Friday, December 30, 2016

Nuh Mziwanda ft Ali Kiba Jike Shupa lyrics

[Verse 1 – Nuh Mziwanda]
Nipeleke kwa muganga
Na mimi nataka wanga
Maana mapenzi yamenikoroga kinoma
Anichanje chale mwili muzima
Nisimkumbuke hata jina
Yule asidi, gaidi wa moyo wangu
Anichanje chale mwili muzima
Nisimkumbuke hata jina
Yule asidi, gaidi wa moyo wangu
[Bridge – Nuh Mziwanda]
Haya mapenzi basi
Nimeyavulia shati
Kupendwa ni ajira
Na mimi sina vyeti
Haya mapenzi basi
Nimeyavulia shati
Kupendwa ni ajira
Na mimi sina vyeti
[Pre-Chorus – Nuh Mziwanda]
Kule kukusifia
Mabaya kukufichia
Mbele ya mama, oh baba, oh lala
Mapenzi si ubondia
Najikaza huku nateketea
Bora nijivue, nisijisumbue
Mapenzi si ubondia
Najikaza huku nateketea
Bora nijivue, nisijisumbue
[Chorus – Alikiba]
Sasa basi (sasa basi)
Inatosha, nimekopesha mwili wangu
Bila kuogopa
Kumbe jike shupa (shupa)
Hata kwenye karata haupo
Unaruka kila sehemu umeshapita
Sasa basi
[Verse 2 – Nuh Mziwanda]
Ulijidai kunipima akili kwa mizani
Kuniendesha kama toy, kukosa nuru kisa kizani
Ukanikinai aibu kunitia hadharani
Kuniona sifai, masikini nimekosa nini?!
[Bridge – Nuh Mziwanda]
Haya mapenzi basi
Nimeyavulia shati
Kupendwa ni ajira
Na mimi sina vyeti
Haya mapenzi basi
Nimeyavulia shati
Kupendwa ni ajira
Na mimi sina vyeti
[Pre-Chorus – Nuh Mziwanda]
Kule kukusifia
Mabaya kukufichia
Mbele ya mama, oh baba, oh lala
Mapenzi si ubondia
Najikaza huku nateketea
Bora nijivue, nisijisumbue
Mapenzi si ubondia
Najikaza huku nateketea
Bora nijivue, nisijisumbue
[Chorus – Alikiba]
Sasa basi (sasa basi)
Inatosha, nimekopesha mwili wangu
Bila kuogopa
Kumbe jike shupa (shupa)
Hata kwenye karata haupo
Unaruka kila sehemu umeshapita
[Outro – Alikiba & Nuh Mziwanda]
Yeap!
What goes around, comes around baby
Mr T-Touch
Nuh Mziwanda, we pop, anhaa
Mr T-Touch, pop it
K Zone
You know how it is always and always
Anhaa hey, yeap
Mziwanda!
Inauma, inauma
Inauma, inauma
Inauma, inauma
Inauma, inauma
COMMENTS

2 comments: