Friday, December 30, 2016

BUSHOKE FT K-LYNN - NALIA KWA FURAHA. LYSRICS

[Chorus] x2
[Bushoke]
Mbona wanitazama, kisha waanza kulia?
Kama nimekukosea, naomba nisamehe
[K-Lynn]
Hapana hujanikosea, mi nalia kwa furaha
Mapenzi unayonipa, sijawahi kupata
[Verse 1 – K-Lynn]
Unaposogea karibu, unaponishika mkono
Unaponitazama machoni, nashindwa vumilia
Mapenzi unayonipa, sijawahi kupata
Najiuliza ni kwanini, hatukujuana mapema
Nimeishi na wasojua mapenzi
Wasojua hata kunyenyekea
Nimeishi na wanaojua ku-force
Wasojua hata kubembeleza
Ninapokuwa na wewe, najiona ndio mwenyewe
Hata kama sina pesa, najiona tajiri
Hata kama sijala, najiona nimeshiba
[Chorus] x2
[Bushoke]
Mbona wanitazama, kisha waanza kulia?
Kama nimekukosea, naomba nisamehe
[K-Lynn]
Hapana hujanikosea, mi nalia kwa furaha
Mapenzi unayonipa, sijawahi kupata
[Verse 2]
[K-Lynn]
Naomba Mungu atujalie, tufunge ndoa mi na wewe
Na watoto pia tuzae, wakuite baba na mi mama
Maisha yangu bila wewe, sawa na basi bila konda
Maisha yangu bila wewe, mbele sitosonga
[Bushoke]
Na bado, na bado, sijafika mwisho
Na bado, na bado, sijamaliza kitabu
Vumilia maisha yangu, utakula vya kwangu
Mimi si wale wanaojisifu kwa ngono
Mapenzi si maneno, mapenzi ni vitendo
Na bado, na bado, nimesema bado
[Chorus] x2
[Bushoke]
Mbona wanitazama, kisha waanza kulia?
Kama nimekukosea, naomba nisamehe
[K-Lynn]
Hapana hujanikosea, mi nalia kwa furaha
Mapenzi unayonipa, sijawahi kupata

No comments:

Post a Comment