Thursday, May 26, 2016

hazira za nini ali kiba

Chorus – Alikiba]
Hasira za nini?
Kwanini huniamini
Kama mwenzio bado nakupenda?
Maneno mengi mjini, ili uniache mimi
Lakini mwenzio bado nakupenda
Hasira za nini?
Kwanini huniamini
Kama mwenzio bado nakupenda?
Maneno mengi mjini, ili uniache mimi
Lakini mwenzio bado nakupenda
[Verse 1 – Chidi Benz]
Chakula hakiliki kama nsipokuona
Haipiti chai iliki au ndafu ilionona
Laazizi, waubani, mchumba
Mashaallah, Mola kweli aliumba
Huna kasoro umejazika
Ila mlani kama godoro, kiuno umekatika
Nabangaiza vibarua mchana, usiku
Japo nipate chochote nije tule ipite siku
Maneno ya waongo wanaharibu makusudi
Usafiri mjini tabu napochelewa kurudi
Usinihisi vibaya ukanuna, ukavimba
Ukatamani unirarue, ugeuke simba
(Ugeuke simba baby, hasira za nini?
Hasira za nini, baby?)
[Chorus – Alikiba]
Hasira za nini?
Kwanini huniamini
Kama mwenzio bado nakupenda?
Maneno mengi mjini, ili uniache mimi
Lakini mwenzio bado nakupenda
Hasira za nini?
Kwanini huniamini
Kama mwenzio bado nakupenda?
Maneno mengi mjini, ili uniache mimi
Lakini mwenzio bado nakupenda
[Chorus – Alikiba]
Mami punguza hasira na unisikilize mimi
Please acha kuzira hivyo unaniumiza mimi
Sina mwingine zaidi yako haki ya nani
Moyo wangu uko kwako kwingine sitotamani
Nlizunguka pande zote, nkaona warembo wote
Kote nlisimama kwako naanguka niokote
Unanipa morali ya kutafuta mapesa
Najaza kibubu maisha mbele yasije tutesa
Pesa ndo kila kitu nazisaka mchana, usiku
Sipendi kushikwa karaha, nakwambia kila siku
Kokote kambi, chochote pwani, ndo life honey
Staki tuje lia njaa nazisaka nje, ndani
Jasho langu ili upate isikukumbe tamaa
Japo nilete mkate wakinishinda dagaa
Nipende usiniache mami, usije tambaa
Napokumbata nikumbate wangu wa shida na raha
Hasira za nini mamaa?
La Familia! Chidi Benz hapa
[Chorus – Alikiba]
Hasira za nini?
Kwanini huniamini
Kama mwenzio bado nakupenda?
Maneno mengi mjini, ili uniache mimi
Lakini mwenzio bado nakupenda
Hasira za nini?
Kwanini huniamini
Kama mwenzio bado nakupenda?
Maneno mengi mjini, ili uniache mimi
Lakini mwenzio bado nakupenda
[Outro – Chidi Benz & (Alikiba)]
Usinihukumu vibaya kwa maneno ya watu
Wabaya wasiopenda maendeleo kwa watu
(Usinihukumu vibaya kwa maneno ya watu
Wabaya wasiopenda maendeleo kwa watu)
Usinihukumu vibaya kwa maneno ya watu
Wabaya wasiopenda maendeleo kwa watu
(Usinihukumu vibaya kwa maneno ya watu
Wabaya wasiopenda maendeleo kwa watu)
Mami usinihukumu vibaya kwa maneno ya watu
Maendeleo kwa watu
Usinihukumu vibaya kwa maneno ya watu
Wabaya wasiopenda maendeleo kwa watu

barnaba nivute kwako

[Chorus – Dayna]
Nivute kwako niwe wako milele
Nivute kwako, nivute baby
Nivute kwako niwe wako milele
Nivute kwako, nivute
[Verse 1 – Dayna]
Najua unanipenda nami nakupenda wewe
Najua nakupenda ila nangoja uanze wewe
Moyo wangu wakupenda wewe pekee
Nivute kwako nitoe huu upweke
Akili yangu yakuwaza wewe pekee
Nivute kwako nitoe huu upweke
[Bridge – Dayna]
Endapo utasema hutokataliwa (wewe)
Endapo utasema hutofikiriwa (wewe)
Endapo utasema utakubaliwa
Utakubaliwa baby
[Chorus – Dayna]
Nivute kwako niwe wako milele
Nivute kwako, nivute baby
Nivute kwako niwe wako milele
Nivute kwako, nivute
[Verse 2 – Barnaba]
Kama kukuvuta ntakuvuta
Ila upendo wangu kwako usijeshuka
Zipo shida nyingi na mabalaa
Vumilia hata tukishinda njaa
Mola hugawa ridhiki kwa mafungu
Subiri zamu yetu atafika kwetu
[Bridge – Dayna & Barnaba]
Ziko shida nyingi sijali, sijali, sikali
Mimi ni wako tayari, tayari, tayari
Ziko shida nyingi sijali, sijali, sijali
Mimi ni wako tayari, tayari, tayari
[Chorus – Dayna]
Nivute kwako niwe wako milele
Nivute kwako, nivute baby
Nivute kwako niwe wako milele
Nivute kwako, nivute baby
[Bridge – Dayna]
Kapanga yeye mimi kuwa nawe
Uoga utoe ungechelewa ningesema mwenyewe
Kapanga yeye (si mwingine)
Mimi kuwa nawe (na wewe)
Uoga utoe ungechelewa ningesema mwenyewe
[Chorus – Dayna]
Nivute kwako niwe wako milele
Nivute kwako, nivute baby
Nivute kwako niwe wako milele
Nivute kwako, nivute
[Outro]
Sheddy Clever
Yeah it’s me Barnaba Boy Classic!
Dayna na Barnaba (Burn Records!)

Izzo Bizness Ft Barnaba & Shaa Love Me lyrics

Intro – Izzo, Shaa & Barnaba]
Here they talk, let ’em talk girl
Now what they talk?
Here they talk, let ’em talk girl
Now what they talk?
Here they talk, let ’em talk girl
Now what they talk?
Here they talk, let ’em talk girl
Ah haa
[Chorus – Barnaba, Shaa & Izzo Bizness]
Kama kijana, nilishafanya vitu vyote pia nikamaliza
Na mwisho wa siku, akili yangu kwake kabisa ikagota
Please don’t judge me (don’t judge baby, don’t judge baby eh)
Baby love me (I love you baby, I love ya!)
[Verse 1 – Izzo Bizness]
Mapenzi hatujaanza juzi, long time niko nawe
Naomba radhi nikikuudhi, nahisi nimeumbwa na wewe
We barafu wa moyo wangu, acha leo niweke wazi
Labda shahidi yangu Mungu, nikiwatoa wazazi
Nakumbuka toka shule, enzi za sekondari
Baby ulikuwa pale, we ulionyesha kunijali
You’re the one in a million, naapa kwa jina langu
Ah Jose Chameleone, ‘Sina var
luvalu baby’
Tangu Izzo naitwa Imma, we ulikuepo ulisimama
Matatizo yalituandama, we hukuchoka ulipambana
We ndo maana ya mapenzi, mapenzi yanakuogopa
Hawa vicheche ni washenzi, hawajui wanachotaka
Ntakujali na kukuheshimu, acha woga mi bwana ako
Ya kwetu jukumu letu, hayawahusu shoga zako
We ndo Alicia, mi ndo Swizz, tupa mbali Jay Z, Beyonce
Shaa ndo keys, MJ beats, anayebisha shauri yake
[Chorus – Barnaba, Shaa & Izzo Bizness]
Kama kijana, nilishafanya vitu vyote pia nikamaliza
Na mwisho wa siku, akili yangu kwake kabisa ikagota
Please don’t judge me (don’t judge baby, don’t judge baby eh)
Baby love me (I love you baby, I love ya!)
[Verse 2 – Izzo Bizness]
Kama ku-cheat, nisha-cheat sikufichi honey
Nisamehe yo my sweet honey, ni pepo sio mi
Ruksa kamba we nifunge, nishatua hapa
We ni jimbo nami mbunge, nishatua hapa
Mapenzi moto moto mpaka joto linaona wivu
Nikuite nani, ama mtoto? Leo baby naomba kavu
We mtamu kushinda asali, hakyamungu utaniua
Acha waseme mi sijali, haki ya Mungu utaniuaa
Acha basi nikusifie, sifa ulizonazo
Ila baby usijisikie, ikawa kama chanzo
Guu lako sio la bia, baby guu la champagne
Leo wazi nakuambia, hey you got that thing
Midomo wet sio mikavu, ona wanaona wivu
Umejazika si sana, maana sana inaboa
Hasa kwa sisi waungwana, sana inaboa
Macho na hizo hips ndo nakufa kabisa
[Chorus – Barnaba, Shaa & Izzo Bizness]
Kama kijana, nilishafanya vitu vyote pia nikamaliza
Na mwisho wa siku, akili yangu kwake kabisa ikagota
Please don’t judge me (don’t judge baby, don’t judge baby eh)
Baby love me (I love you baby, I love ya!)
[Bridge – Shaa]
(I love ya)
I love you baby, I love ya
(I love ya)
I love you baby, I love ya
(I love ya)
I love you baby (baby), I love ya
(I love ya)
Ah ah I love ya (I love ya)
I love you baby, I love ya
(I love ya)
I love you baby, I love ya
(I love ya)
I love you baby (baby), I love ya
(I love ya)
Ah ah I loving ya
[Chorus – Barnaba, Shaa & Izzo Bizness]
Kama kijana, nilishafanya vitu vyote pia nikamaliza
Na mwisho wa siku, akili yangu kwake kabisa ikagota
Please don’t judge me (don’t judge baby, don’t judge baby eh)
Baby love me (I love you baby, I love ya!)
[Outro – Izzo Bizness]
Yeah!
Hii special kwako baby, au sio?
You’re the one and only
Yo miss Bizz.. miss Bizness, baby
Hahah
I love you, baby aah

hussein machozi kafiaghetto

[Verse 1]
Siku nyingi binti namfukuzia
Alishan’tosa nishakata tamaa
Sikujua kama kwangu angekuja
Nilitoa matumaini ya kumpata
Siku nyingi binti namfukuzia
Alishan’tosa nishakata tamaa
Sikujua kama kwangu angekuja
Nilitoa matumaini ya kumpata
(Leo hii kaja mwenyewe mchumba)
Ghetto kwangu mpaka ndani kaingia
(Nilimuuliza naeza kukusaidia)
Akacheka kisha akaniambia
Ombi langu lile amenikubalia
Siku zote alikuwa akinifikiria
Niliruka kwa furaha kubwa sana
Sikuamini kama mchumba ningempata
(Usilojua ni usiku wa giza)
Ningetambua bora ningemtimua
(Usilojua ni usiku wa giza)
Ningetambua bora ningemtimua
[Chorus]
Nani, ataniona mi ni mkweli?
Nani nikimuelezea ataniamini?
Nani, ataniona sio katili?
Nani, atanisaidia mimi?
Nani, ataniona mi ni mkweli?
Nani nikimuelezea ataniamini?
Nani, ataniona sio katili?
Nani, atanisaidia mimi?
[Verse 2]
Baada ya stori binti nilimuuliza
Kinywaji gani angeweza kutumia
Alinieleza kisha mi nikainuka
Nikaelekea dukani kununua
Baada ya stori binti nilimuuliza
Kinywaji gani angeweza kutumia
Alinieleza kisha mi nikainuka
Nikaelekea dukani kununua
(Huwezi amini nyuma nilipomuacha)
Baada ya kurudi ndipo kizaa zaa
(Binti alikuwa kitandani kajilaza)
Nilimuamsha lakini hakuamka
Pumzi zake zilikuwa zimekata
Nilidhani labda kazimia
Maji ya baridi kichwani nilimwagia
Lakini hata hakushtuka
(Kumbe alikuwa tayari ameshakufa)
Nimekwisha Hussein bila kujua
(Kumbe alikuwa tayari ameshakufa)
Nimekwisha Machozi bila kujua
[Chorus]
Nani, ataniona mi ni mkweli?
Nani nikimuelezea ataniamini?
Nani, ataniona sio katili?
Nani, atanisaidia mimi?
Nani, ataniona mi ni mkweli?
Nani nikimuelezea ataniamini?
Nani, ataniona sio katili?
Nani, atanisaidia mimi?
[Bridge]
Ee Mola, nimekosa nini?
Ee Mola, niokoe mimi
Ee Mola basi nipe akili
Mimi nifanye nini
Ee Mola, nimekosa nini?
Ee Mola, niokoe mimi
Ee Mola basi nipe akili
Mimi nifanye nini
Furaha yangu, imekuwa kilio changu (kilio changu)
Furaha yangu, imekuwa kilio changu
Ndoto zangu leo majonzi kwangu
Ntawaeleza nini walimwengu?
Ndoto zangu leo majonzi kwangu
Ntawaeleza nini walimwengu?
(Vipi, wataniona mi ni mkweli?)
(Vipi nikiwaelezea wataniamini?)
(Vipi, wataniona sio katili?)
(Vipi, ingekuwa wewe ungefanya nini?)
[Chorus]
Nani, ataniona mi ni mkweli?
Nani nikimuelezea ataniamini?
Nani, ataniona sio katili?
Nani, atanisaidia mimi?
Nani, ataniona mi ni mkweli?
Nani nikimuelezea ataniamini?
Nani, ataniona sio katili?
Nani, atanisaidia mimi?

ji ft lil ghetto kidato kimoja Lyrics

[Verse 1 – JI]
Kama safari ya mapenzi, nataka kuianzisha mimi na wewe
Nimepita nimeona wengi, jua moyo umekuchagua wewe
Kama safari ya mapenzi, nataka kuianzisha mimi na wewe
Nimepita nimeona wengi, jua moyo umekuchagua wewe
Nikiwa karibu na ua ridi, basi na mimi nitanukia
Kukuoa inanibidi, kwa kila hali ma umenivutia
[Chorus – JI]
Unanikumbuka ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule tulosoma wote kidato kimoja
Unanikumbuka ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule tulosoma wote kidato kimoja
[Verse 2 – JI]
Unajua mtu halazimishwi kupenda, anapenda mwenyewe
Basi usinikuzishie kidonda, wakati wajua dawa ni wewe
Unajua mtu halazimishwi kupenda, anapenda mwenyewe
Basi usinikuzishie kidonda, wakati wajua dawa ni wewe
Ntapata mi au nitakosa, utanisononesha kama ukinitosa
Kiangazi hata mvua za masika, nikikukosa jua ntaweweseka
Ntapata mi au nitakosa, utanisononesha kama ukinitosa
Kiangazi hata mvua za masika, nikikukosa jua ntaweweseka
[Chorus – JI]
Unanikumbuka ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule tulosoma wote kidato kimoja
Unanikumbuka ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule tulosoma wote kidato kimoja
[Verse 3 – Lil Ghetto]
Naamini unanikumbuka, hizo dharau uloleta
Kama tunda limeshawiva, tulibandue maganda
Fikiri, kumbuka tulipotoka
Mama wee, dada wee, unanitesa sana
Mama wee, dada wee, mbona unanichanganya?!
[Chorus – JI]
Unanikumbuka ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule tulosoma wote kidato kimoja
Unanikumbuka ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule tulosoma wote kidato kimoja

nipe mkono blue ft klynn

[Intro: Mr Blue]
I say pisha, mi nataka kuwakilisha
Bisha, wanga leo nimefika
Kisha, niko na wangu wa maisha
Kwa kumuomba Jah, sauti imesikika
Mauti hijanifika
Namshika mkono niko nae kila dakika
Ananipa mengi na mengine kadhalika
Tumetoka far bado sijabadilika
Mpaka siku ya mwisho pale ntapohitajika
One, atalia machozi ya damu kwa kunikosa shujaa
Ladha hizi tamu hutazipata tena maa
Na, na, na, na
[Verse 1: K-Lyinn]
Nina furaha kuwa hai leo
Maisha ni matamu usilalamike
Ningekufa wala mimi na wewe
Tusingejuana na kupendana
Nisingenusurika ajali baby
Nisingewahi kuhisi raha
Ningewezaje kusema kwamba
Nimeshapenda na ninapenda
Siamini kabisa kama naota
Nilijua kamwe sitokupata
Roho inadunda ukinishika
Na uhakika na wewe pia
Hold me baby, don’t let go
Be my hubby, don’t let go
Be my lover, be my baby
On and on and on
[Chorus: K-Lyinn] x2
Nipe mkono usiniache
Ishi nami siku zote
Nipe moyo wako wote
Mi amore
Nipe mkono usiniache
Ishi nami siku zote
[Verse 2: Mr Blue]
Come down njoo tusali pamoja
Nkushike, unishike tuepuke ajali ki-soldier
Sio huzuni furahia maisha yako
Uko nami sio muhuni mkweli wa penzi lako
Mbele ya mom na-kiss na lips zako
Mbele ya dad tuna-bang kama Nako
Nakuchukua tunasonga, tunaenda zetu mbali
Nyuma watu wanachonga, sisi hatujali
Nahitaji kuitwa boyfriend, we ndo my girlfriend
Njoo nikuchukue tuka-chill this weekend
Iwe mbali au karibu sio issue
But I miss you, ciao!
[Verse 3: K-Lyinn]
Wajua baby
You’re the best unanipa penzi, nivopenda
Kama vile unanisoma, come nikupe love
[Chorus: K-Lyinn] x2
Nipe mkono usiniache
Ishi nami siku zote
Nipe moyo wako wote
Mi amore
[Bridge: K-Lyinn]
Maisha haya, yangekuwaje
Kama ningekufa, sijakutana na wewe
Ingekuwaje, ingekuwaje baby
Ingekuaje on and on and on
[Chorus: K-Lyinn] x4
Nipe mkono usiniache
Ishi nami siku zote
Nipe moyo wako wote
Mi amore

jux uzuri wako

[Intro]
Uuuh
Aaahh
AM Record!
Uuu ooohoo
[Verse 1]
Nikiwa na wee matatizo nasahau
Kwa washika dau pesa zao nadharau
Hakuna kama we toka mwanzo mpaka now
Niko mimi na wewe huna mpango nao
Mapenzi unayonipa, yaani mpaka najiuliza
‘Hivi unaigiza?’, maana mi nakufa kabisa aah aa
[Pre-Chorus]
Napenda nikikushika ubavu
Napenda nikikushikaaa
Napenda nikiku-kiss mdomoni
You’re my baby girl
[Chorus]
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
Uzuri uzuri wako wewe (unanifanya nilie)
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
(unanifanya nilie)
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
Uzuri uzuri wako wewe
[Verse 2]
Walisema mapenzi haiwezi kuwa mimi nawee (mimi nawe)
Tukaona ushenzi ni bora mimi nikuoe (nikuoe)
Isifike mwisho ukaniona mimi sifai (mimi sifai)
Wanatamani kesho unimwage wakuwahi (wakuwahi)
Wana chuki na visa na zao roho
Wanasema sifai kuwa nawe
Wakija na pesa we sema no
Nakupenda umenipenda wewe
Wana chuki na visa na zao roho (yeoh!)
Wanasema sifai kuwa nawe (yeoh!)
Wakija na pesa we sema no
Nakupenda umenipenda wewe
[Chorus]
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
Uzuri uzuri wako wewe (unanifanya nilie)
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
(unanifanya nilie)
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
Uzuri uzuri wako wewe (unanifanya niumiee)
[Bridge] x2
Wananuna, wananuna
Nikiwa na wewe baby wananuna
Wananuna, wananuna
Nikiwa na wewe baby wananuna
[Chorus]
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
Uzuri uzuri wako wewe
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
Uzuri uzuri wako wewe
[Outro]
Uzuri uzuri wako
Yeah!
Uzuri wako
Uzuri uzuri wako
Thank you broda
Uzuri uzuri wako
Paul
Uzuri wako
AM Records (uzuri uzuri wako wewe)
Uzuri uzuri wako
Peizon
Uzuri wako
Juva Tonny
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
I love you, baby
Uzuri uzuri wako (uzuri wako)
Uzuri uzuri wako wewe

marlaw pii pii

[Verse 1]
Ninataka niwahi kufika
Njia inajam sasa wapi nitapita
Nimekaa karibia saa sita
Sasa kukaa nimechoka oh baby
Sijamwona long time now
Nimerudi toka mwezi jana
Nimeshakwambia mama nimefika tangu mchana
Anajua nimeshafika, ameshapika, amekasirika
Alipika tangu mchana, ila sasa lunch imegeuka dinner
[Chorus]
Nimechoka kupiga honi now (pii pii), hatuelewani
Nimechoka kupiga honi now (pii pii), hatuelewani
Pii pii! Move out of the way, nimechoka kupoteza time
Nina siku nyingi kwenda home, I am missing my baby
Pii pii! Hello baby, natamani niwe nyumbani
Nimekwama hapa njiani, kuna jam baby
[Bridge]
Ah ah, kuna jam baby
Ah ahh, hello
Ah ahh, hello
Ah ahh, hello
[Verse 2]
Unanikatia simu unanionea
Wewe ungekuwepo ungejionea
Unafanya hivyo unakosea mamaa
Unanikatia simu unanionea
Wewe ungekuwepo ungejionea
Unafanya hivyo unakosea mamaa
Nakuomba mpenzi ungojee
Ni njiani naja niombee
Nimechoka nakuja tule, huruma nionee
Nakuomba mpenzi ungojee
Ni njiani naja niombee
Nimechoka nakuja tule, huruma nionee
[Bridge 2] x2
Nimechoka kungoja highway
Nitapita popote imradi wee
Ili kama ni kesi na iwe (pii pii, hatuelewani)
[Chorus]
Nimechoka kupiga honi now (pii pii), hatuelewani
Nimechoka kupiga honi now (pii pii), hatuelewani
Pii pii! Move out of the way, nimechoka kupoteza time
Nina siku nyingi kwenda home, I am missing my baby
Pii pii! Hello baby, natamani niwe nyumbani
Nimekwama hapa njiani, kuna jam baby
[Bridge 1]
Ah ah (oh), I love you so much
Ah ahh, I love you mama
Ah ah, I love you mamaa
[Bridge 2] x2
Nimechoka kungoja highway
Nitapita popote imradi wee
Ili kama ni kesi na iwe (pii pii, hatuelewani)
[Chorus]
Nimechoka kupiga honi now (pii pii), hatuelewani
Nimechoka kupiga honi now (pii pii), hatuelewani
Pii pii! Move out of the way, nimechoka kupoteza time
Nina siku nyingi kwenda home, I am missing my baby
Pii pii! Hello baby, natamani niwe nyumbani
Nimekwama hapa njiani, kuna jam baby
[Outro]
I love you so much, I love you Mama
I love you mama
I love you so much, I love you Mama
I love you mama
My baby, my baby
My baby, my baby
My baby, my baby

marlaw bembeleza

[Chorus]
Hey hey hallo ma
Laiti ungekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
Kama kukupata nitaweza
Jinsi gani kukueleza
Au mi sijui bembeleza
Usinikatae utaniumiza
Nakupenda kukutenda sitoweza
[Verse 1]
Kila time nakuangalia usoni ma
Sio kamaa nakosa neno kusema
Ulivyo ma anafanya kosa kunena
Ingawa moyo hautaki kunena tena
Wazo kichwani lina beep (kukueleza)
Ilavibaya ukinijibu (bembeleza)
Nahisi sijui bembeleza
Utakataa halafu mi utaniumizaa
Kidesign nakuangalia usoni ma
Kuna sign za kuita huko machoni ma
Kitu fulani umehifadhi huko moyoni ma
Unachotaka nianze mikusema
Hapa unafanya nijione (nitashinda)
Hapa unafanya nitamke (nakupenda)
Ilaunacho jibu mdomoni nitofauti nausemacho machoni
[Chorus]
Hey hey hallo ma
Laiti ungekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
Kama kukupata nitaweza
Jinsi gani kukueleza
Au mi sijui kubembeleza
Usinikatae utaniumiza
Nakupenda kukutenda sitoweza
Hallo ma
Laiti ungekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
Kama kukupata nitaweza
Jinsi gani kukueleza
Au mi sijui kubembeleza
Usinikatae utaniumiza
Nakupenda kukutenda sitoweza
[Verse 2]
Kati yetu imetawala rangi ya pinki
Kitu ambacho moyoni siridhikii
Nacho kuomba tuwe zaidi ya marafiki
Inajionyesha machoni unaafiki
Lugha ya macho kwa sasa (nakataa)
Tataka tuongee ilitufikie (mwafaka)
Kwenye party ulikuja umependeza
Kwenye traini ukaniomba mi kucheza
Tuka-dance na macho umelegeza
Ulinibamba nikaficha kukueleza
Unanimaliza, mimi ninakweleza, ninakubembeleza
Baby please baby girl
Vile unatamka, wewe kuona nataka, tuonge ana kwa ana,
Baby please baby girl
[Bridge]
We Dada mi unaniumiza
We dada sijamaliza
Unakata simu
Please, usikate ma
[Chorus]
Hey hey hallo ma
Laiti ungekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
Kama kukupata nitaweza
Jinsi gani kukueleza
Au mi sijui kubembeleza
Usinikatae utaniumiza
Nakupenda kukutenda sitoweza
Hallo ma
Laiti ungekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
Kama kukupata nitaweza
Jinsi gani kukueleza
Au mi sijui kubembeleza
Usinikatae utaniumiza
Nakupenda kukutenda sitoweza

marlaw rita

[Chorus]
Sauti inasikika
Tega makini, hujui nani inamwita
Chozi lanitoka
Nitazamapo angani, naona sura ya Rita
Ona mikono yangu mitupu
Imezoea kukushika we
Hata nyumbani kwangu haupo
Umepotea sikuoni kwamwe
Ooh Rita, ooh Rita
Daily nakuwaza wee
Ooh Rita, ooh Rita
Mimi nitanyamazaje?
[Verse 1]
Rita we unajua jinsi gani mimi na wewe tulivyopendana
Jitoa sadaka kimapenzi ili mradi tusijetengana
Ila we unajua ni yako familia
Damu yangu ya Bongo si ya Asia
Ndo kigezo cha wao kunitosa
Mara mbili risasi wamenikosa
Kumbuka ile mimba ndio iliyokufanya ukaja kwangu (ulifukuzwa kwenu)
Ulijifunguapo mtoto na wote mkaishi kwangu (ukawachukiza kwenu)
Na taarifa ikaja kwako wewe Rita
Uende Arusha nduguzo wanakwita
Ukani-kiss kiss mimi na mtoto,
Nikaku-kiss ee eehee
[Chorus]
Sauti inasikika
Tega makini, hujui nani inamwita
Chozi lanitoka
Nitazamapo angani, naona sura ya Rita
Ona mikono yangu mitupu
Imezoea kukushika we
Hata nyumbani kwangu haupo
Umepotea sikuoni kwamwe
Ooh Rita, ooh Rita
Daily nakuwaza wee
Ooh Rita, ooh Rita
Mimi nitanyamazaje?
[Verse 2]
Ni tangu Arusha hadi Iringa simu inaita unapokea unalia
Kurudi Iringa uishi nami ndugu zako wamekuzuia
Ukasema laiti ungejua
Usingekubali uondokee pekee
Mwanao analia
Ona mumeo ni bora ninywe pombe
Ila kwa penzi uka-force kurudi
Piga simu mume wangu nakuja
Na maneno ya konda kwenye basi ulifika
Alikupa siti ukakaa, ulipokaa ukakaa
Ile siku mi nimelelewa
Niko mi na mwanangu, kumpokea mke wangu
Konda akasema si wewe, ila tu mwili wako
[Chorus]
Sauti inasikika
Tega makini, hujui nani inamwita
Chozi lanitoka
Nitazamapo angani, naona sura ya Rita
Ona mikono yangu mitupu
Imezoea kukushika we
Hata nyumbani kwangu haupo
Umepotea sikuoni kwamwe
Ooh Rita, ooh Rita
Daily nakuwaza wee
Ooh Rita, ooh Rita
Mimi nitanyamazaje?
Ooh Rita Rita ahh
Na Marco Chali
Ndani ya MJ Records
This is true story to Marco
Rita, Rita, Rita
Aaah hata nyumbani kwangu haupo!

naona raha mbdogg

[Chorus]
Natamani nikuone, sijui ntakuona vipi
Natamani nikufuate, sijui ntakufuata vipi
Please baby I don’t know, sijui
Sema, sema, sema
Please baby I don’t know, sijui
Nakwagara sheri wange
[Verse 1]
Natamani mi nikupe moyo wangu
Uende nao
Uni-kiss niridhike moyo wangu
Upoe nao
Kama nilivyo, nipende mi msela
Mi msela aa, usiniache
Kukuacha naweza
Naogopa nitajiumiza
Ndo maana nafanya miujiza
Moyoni, usije niumiza
[Pre-Chorus]
Naona raha, naona
Raha, naona
Mwenzenu raha naona
Nahisi unafirigita
[Chorus]
Natamani nikuone, sijui ntakuona vipi
Natamani nikufuate, sijui ntakufuata vipi
Please baby I don’t know, sijui
Sema, sema, sema
Please baby I don’t know, sijui
Nakwagara sheri wange
[Verse 2]
Kipi mamaa, kinachokusumbua? Oh
Nieleze baby, ili nikupe mamii
Sema basi (basi), anaekuzuzua oh
Nieleze baby, nami nimuige muhuni
Nami najua, ni wewe tu ulie moyoni mwangu
Kwenye shida na raha, usinimwage
Usiniache
[Pre-Chorus]
Naona raha, naona
Raha, naona
Mwenzenu raha naona
Nahisi unafirigita
[Chorus]
Natamani nikuone, sijui ntakuona vipi
Natamani nikufuate, sijui ntakufuata vipi
Please baby I don’t know, sijui
Sema, sema, sema
Please baby I don’t know, sijui
Nakwagara sheri wange (wange)
[Bridge]
Dumba dumba, dumba dumbe
Dumba dumba, dumba dumbe
(Wange)
Dumba dumba, dumba dumbe
Dumba dumba, dumba dumbe
[Outro]
Ukitaka uje Afrika
Ukitaka twende Amerika
Ukitaka uje Afrika
Ukitaka twende Amerika
Ukitaka uje Afrika
Ukitaka twende Amerika
Ukitaka uje Afrika
Ukitaka twende Amerika
Ukitaka uje Afrika (Congo pia)
Ukitaka twende Amerika (Na Somalia)
Ukitaka uje Afrika (Nairobi pia)
Ukitaka twende Amerika (Kampala pia)
Ukitaka uje Afrika (Bujumbura)
Ukitaka twende Amerika (Comoro pia)
Ukitaka uje Afrika (Maputo aa)
Ukitaka twende Amerika
Dumba dumba, dumba dumbe
Nigeria
Dumba dumba, dumba dumbe
Hae hae hae
Dumba dumba, dumba dumbe
Hae hae hae
Hae hae hae

si uliniambia waja mb dogg

[Verse 1]
Si kwamba tu naimba sometimes huwa nalia
Hofu na mashaka ulipo labda una-share
Ulisema waja mnyamwezi nikakungojea
Sema mami sema lini utarejea?
Ee-eh eh, I love you maa
Oo-oh oh, I love you girl
Ee-eh eh, I love you maa
Oo-oh oh, I love you girl
Na uliposema waja wengi walikungojea
Mara muda umepita Abdul Bonge umeshamboa
Hivi kangoja mpaka Mola kamchukua
Sema mamii sema lini utarejea?
Ee-eh eh, I love you maa
Oo-oh oh, I love you girl
Ee-eh eh, I love you maa
Oo-oh oh, I love you girl
[Chorus]
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man, mi nakungoja
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man, mi nakungoja
Ajabu toka ulipotoka miaka imepita
Sijakuona wangu my darling
Ni mbali uliko mi’ko mi na mashaka
Nakosa raha kabisa
[Verse 2]
Penzi lako nkilikosa baby kwangu soo
Ndo mana mi nakwita baby, baby kwangu njoo
Nakupa live baby unanitesa roho
Ndo maana nakonda, nadata na beat zapo
Au ndo ule mfano baby wanipenda roho
Na ile nyama mbichi baby, itaniuma roho
Kama ni dili ntazicheza baadae
Kwanza rudi home washangae
Rudi home baby ili wapagawe
Nicheze nawe Kuchi Kuchi Hota Haii
Nakusubiri baby, nakungojea mchumba
Nakusubiri nakungoja, mchumba usinizuge
Nakusubiri baby, nakungojea mchumba
[Chorus]
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man, mi nakungoja
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man, mi nakungoja
Ajabu toka ulipotoka miaka imepita
Sijakuona wangu my darling
Ni mbali uliko mi’ko mi na mashaka
Nakosa raha kabisa
[Bridge]
Na kama waja niambie baby yee iye
Kama utanitosa mi nijua baby ei yee
Yaani na maana sina jinsi, I love you girl
I love you shori, everyday
Na maana sina jinsi, I love you girl
I love you shori, everyday
[Chorus]
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man, mi nakungoja
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man, mi nakungoja
Ajabu toka ulipotoka miaka imepita
Sijakuona wangu my darling
Ni mbali uliko mi’ko mi na mashaka
Nakosa raha kabisa

mb dogg latifah ft madee

[Verse 1 – MB Dogg]
Maneno mengi wanasema juu yako
Eti kuna kitu honey umenifanyia
Mganga sio sababu mimi kuja kwako
Ila mi mwenyewe moyoni nimekuchagua
Nakutafuta, nione sura yako
Nakutamani, niwe karibu yako
Kama ni gari ndio mapenzi yawe tight
MB Dogg man, mi nishalinunua
Kama salamu honey we ukini-miss
Ni-beep baby, mi nitakupigia
Nakutafuta, nione sura yako
Nakutamani, niwe karibu yako
Aaya aa baby
Yei yei yei, oh baby
[Chorus – MB Dogg]
Sema basi unachotaka mamii
Sema basi unachotaka honey
Honey achana na mawazo kishetani
Ukiniacha mi nitabaki na nani?
Latifah we ndo tu mamii
Lati we ndo honey
Latifah we ndo tu mamii
Latifah, haya!
[Bridge – MB Dogg]
Yei yei yee, yee baby
Aah aa, oo oh
Yei yei yee, yee baby
Aah aa, oo oh
[Verse 2 – Madee]
Vipo vya ku-share Lati sio mapenzi
We ni wangu imepangwa toka enzi
Sema basi kitu gani unachotaka
We usijali mrume sina matata
Nachotaka we milele uwe wangu
Uje nikuite mama wa watoto wangu
Ukiniacha utaumiza moyo wangu
Kwani n’shaachana na habari za machangu
Ndio, sharo wacha waone donge (waone donge)
Kama mikwanja tutachota club tubonge
Kilichobaki sir God tumuombe
Tuwapo wawili nyoyo zetu tuzikonge
Nachotaka we milele uwe wangu
Uje nikuite mama wa watoto wangu
Ukiniacha utaumiza moyo wangu
Kwani n’shaachana na habari za machangu
[Verse 3 – MB Dogg]
Penzi la dhati Latifah mi nitaona ah
Haa aa haa a
Penzi la uzushi Lati mi nitajua ah
Haa aa haa a
Kumbuka Doggy man, Dogg nakupenda
Ukiniacha Doggy man, Dogg nitakonda
Njoo uni-kiss lady, njoo unipe denda ahaa
Madee ye anajua
Kama penzi langu kwako moyoni kidonda
Haa aa haa a
Kama penzi langu kwako nguvu za kiganga
Haa aa haa a
Ukiniacha Doggy man, Dogg nitakonda
Njoo uni-kiss lady, njoo unipe denda ahaa
Dogg naumia
[Bridge – MB Dogg]
Yei yei yee, yee baby
Aah aa, oo oh
Yei yei yee, yee baby
Aah aa, oo oh
[Chorus – MB Dogg]
Sema basi unachotaka mamii
Sema basi unachotaka honey
Honey achana na mawazo kishetani
Ukiniacha mi nitabaki na nani?
Latifah we ndo tu mamii
Lati we ndo honey
Latifah we ndo tu mamii
Latifah, haya!

Kiboko Yangu Ft. Alikiba

[Intro – Alikiba]
Kwa sifa moja umenikamata
Nakupa, we peke yako ndo umeniweza
Nilikopita nimeteleza
Lakini kwako, we ndo kiboko yangu
[Verse 1 – MwanaFA]
Kila shetani ana mbuyu wake, we ni mibuyu mitatu
Ukiamua unitumikishe mwenzio ntalala na viatu
Najionea maajabu, najionea mapya mama angu
Hakuna mapenzi ya hivi popote kwenye ulimwengu
Siwezi elezea jinsi navyokuzimia
Nikicheza na moyo wako, unacheza na wangu pia
Nafsi yangu ilishapotea, siwezi hata kujitetea
Ka ulitoroka peponi uzuri ulivyokuenea
Piga la kushoto ntageuza na la kulia
Wengine hawanijaribu wanajua kitakachotokea
Sitaki mambo yaende kombo na yakienda yawahi kurudi
Hatuendi nayo, hatuwezi shindwa, yaje na mapambio ikibidi
Tunapishana, hatugombani then we back here
Hatuendi juu, hatuendi chini, love, we right here (oh!)
Hata mapenzi yakifa boo, si tubaki sawa tu
Si ni watu wazima, love hatuwezi kuishi ka underground
Ujue una nusu ya moyo wangu, na nusu ilo baki kwangu
Yote nakupenda wewe, una jua langu, una mwezi wangu
Unatembea na roho yangu (wewe)
Sio mtu tena wa mademu, we ndo Michelle Obama wangu
[Chorus – Alikiba]
Kwa sifa moja umenikamata
We peke yako ndo umeniweza
Nilikopita nimeteleza
Lakini kwako, we ndo kiboko yangu
Sipagawi hawajui kwanza
We namba moja umewakimbiza
Unatembea na roho yangu
Nataka ujue we ndo kiboko yangu
[Verse 2 – MwanaFA]
Wakikuita vikao vya hino wambie uko busy na bwana
Na ubize hauwezi kuisha maana una mengi ya kufanya
Hatuwezi kosa usingizi sababu watu wanasema
Wana midomo, waifanyie nini? Waache wakichoka wataizima
Uko mikono salama, ’cause nakuzimia sana
Ka mboni yangu ya jicho jinsi navyokutazama
Mahaba to the moon and back
Kau keep it real, kwa kifupi mambo ya kihuni sitaki
Nataka tuzeeke pamoja
Mpaka vikongwe mi na we bega kwa bega
Chochote unachotaka nime mipango ya kukupa kweli
Kama sina ntatafuta na naamini utasubiri
Huwezi omba ndege una akili, huwezi omba meli
We ndo mtunza hela zangu, utaomba unachoweza himili
Ka mteka meli wa kisomali, we ndo captain wangu
We ndo suka man, we ndo pilot love
Ujue una nusu ya moyo wangu, na nusu ilo baki kwangu
Yote nakupenda wewe, una jua langu, una mwezi wangu
Unatembea na roho yangu (wewe)
Sio mtu tena wa mademu, we ndo Michelle Obama wangu
[Chorus – Alikiba]
Kwa sifa moja umenikamata
We peke yako ndo umeniweza
Nilikopita nimeteleza
Lakini kwako, we ndo kiboko yangu
Sipagawi hawajui kwamba
We namba moja umewakimbiza
Unatembea na roho yangu
Nataka ujue we ndo kiboko yangu