Friday, December 4, 2020

Nandy aibu lyrics

 Kimambo on the beat

Ooh baby
Mwenzako
Mi nawashwa pabaya
Kiuchokozi
Ukinigusa gusa mie haya
Wetu mtoko
Mihogo bichi koko ooh
Nidekeze kitoto
Kachumbari kwa kijiko

I wanna be solo
Na unifanye utakavyo
Baby give me some more
Ziteke zangu hisia
I wanna be solo
Na unifanye utakavyo
Baby give me some more
Ziteke zangu hisia
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu

Nawaza imekuaje mmetumbukia
Kina kirefu mble sioni
Sholole chumbani umenitunukia
Unipeleke ngara mtoni
Umerishika idara
Hallo hallo kwako fala oyo oyo
Sina sera oyo oyo
Kesho shela

I wanna be solo
Na unifanye utakavyo
Baby give me some more
Ziteke zangu hisia
I wanna be solo
Na unifanye utakavyo
Baby give me some more
Ziteke zangu hisia
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu

Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu

dunia shamba alikiba lyrics

 Asubuhi kumekucha Ali naamka

Nakwenda shamba kutafuta matunda
Good mornie sweety ye nakuaga bibie
Nakwenda shamba chochote tutapata
Tutakapo kosa leo mamii tuvumilie
Uh ni Mungu kapanda yote ni matokeo
Ona unavumilia namshukuru Mola
Kote nimezunguka wewe ni mke bora
Ona unavumilia namshukuru Mola
Kote nimezunguka wewe ni mke bora

We hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo dunia mashindano
We hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo dunia mashindano

Mumeo narejea
Hali yangu si waiona
Wakati nakwenda
Ajali nilipata
Ile njia panda nilipita
Alinivamia simba
Na watu wakaja pale kuniokoa
Walinipeleka hospitali ya wilaya
Matibabu nilipata ah
Na sasa nimetoka
Hali yako mjamzito
Usijepatwa mshituko
Dunia ni king’amo
Dunia mashindano
Hali yako mjamzito
Usijepatwa mshituko
Dunia ni king’amo
Dunia mashindano

We hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo dunia mashindano
Hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo dunia mashindano

(Yote ni matokeo)

Ona unavumilia namshukuru Mola
Kote nimezunguka wewe ni mke bora
Ona unavumilia namshukuru Mola
Kote nimezunguka wewe ni mke bora

We hivyo vyote maa (we hivyo vyote maa)
Ulivyo nakupendaga daaa..
Dunia ni king’amoaaa
Jua milele niwe nawe
Nishakutia medani ya chuma

We hivyo vyote maa
Nakupendaga
Dunia ni king’amo dunia mashindano

Ni kingamo mchumba
Kila mtu na yake
Na mila yake mamaa
Duniani kingambo!

We hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo dunia mashindano
Hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo dunia mashindano

Una Mimi Mars na Young Lunya - Marioo

 (RoofTop Audio Station)

Na najiamini
Halali nje analala na mimi (ndani ndani)
Wengine wa nini (yeiye)
Anadata anavopewa na mimi (chumbani chumbani)

Una (una una)
Unanichanganya (una una)
Unavyonifanya (una una)
Unanichanganya sana
Tena ukinigusaga
Na kunipa zaga
Unanichanganya sana

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavonipa vyote

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya
Unanichanganya

Weka niweke (we)
Weka niweke (we)
Weka niweke (we)
Weka niweke (we)

Hata kama nitakosea usininunie beibe
Niambie
Maana si unajua mwanadamu
Na mie
Na unavyoninogesha
Ukija kuacha
Mwenzako nitajutia
Utanitoa roho (utanitoa roho)

Habari za mjini kwani nini (we)
Natoka na mimi kwani nini (we)
Mchezo mchezo na baby wa mimi (we)
Tulipotoka wanajua ni nini (we)
Sema ukweli nishampata nishamnasa
Alafu sasa na kwenye bedi mtamu haswa
Chuma mimi ila sumaku ishamnasa
Pelekeni ANGAZA huo wenu ushauri nasaha sa
Anavyozungusha hicho kiuno
Mimi ndo nazidisha mikuno
Wanapataka sasa unavyowapatia michuno
Kwani hawapati usingizi wakisikia miguno

Una unanichanganya (una una)
Unavyonifanya (una una)
Unanichanganya sana

Tena ukinigusaga
Na kunipa zaga
Unanichanganya sana

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavonipa vyote

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unanichanganya

Weka niweke (we)
Weka niweke (we)
Weka niweke (we)
Weka niweke (we)

Umenishika pabaya
Umenishika pabaya (ooh yeah beibe)
Umenishika pabaya
We bwana ni mbaya

Umenishika pabaya
Umenishika pabaya (aah ah)
Umenishika pabaya
We dada ni mbaya

Una una
Una una
Una una
Una una