Friday, December 30, 2016

Abdu Kiba Ayayaa Ft. Ruby LYRIC

[Intro]
Ayaa!
Uuh yeeah
Ruby
Uuhuu
Aaah Oooh
Uuh yeeah, sawaa
[Verse 1 – Abdu Kiba & Ruby]
Nafsi inaniuma nasema nimechoka
Nadata nawe ehee
We nani usie na aibu, kutwa mi macho kodo kodo
Na nafsi unaiharibu, baby we, baby wee
Hata mbonii imeumbwa kuona
Kupapasa huku na kule kila kona
Kumbe wanachuki na mimi
Hawapendi maendeleo
Lengo unipige chini haoo
Fitina za nini nyi enyi nyinyi walimwengu
Nimewakosea nini? niacheni roho yangu
[Chorus – Abdu Kiba & Ruby]
Ohh baby, ayayaa
Oh baby, oyoyoo
Ohh baby, ayayaa
Oh baby, oyoyoo
Ohh baby, ayayaa
Oh baby, oyoyoo
Ohh baby, ayayaa
Oh baby, oyoyoo
My baby, baby, baby ayayaa
My baby, baby, baby ayayaa
My baby, baby, baby ayayaa
Ohh baby, ayayaa
Oh baby, oyoyoo
[Verse 2 – Ruby & Abdu Kiba]
Yale maneno maneno, yamenichosha mimi
Fungeni yenu midomo, ananipenda mimi
Tunafurahaaii, tunajidai aaii
Kutwa rahaa, baby
Tunafurahaaii, tunajidai aaii
Kutwa rahaa, baby
Tunafurahaaii, tunajidai aaii
Kutwa rahaa, baby
Tunafurahaaii, tunajidai aaii
Kutwa rahaa, baby
[Chorus – Abdu Kiba & Ruby]
Ohh baby, ayayaa
Oh baby, oyoyoo
Ohh baby, ayayaa
Oh baby, oyoyoo
Ohh baby, ayayaa
Oh baby, oyoyoo
Ohh baby, ayayaa
Oh baby, oyoyoo
My baby, baby, baby ayayaa
My baby, baby, baby ayayaa
My baby, baby, baby ayayaa
Ohh baby, ayayaa
Oh baby, oyoyoo
[Outro]
Oh baaaby ohoo
Eyoooh baby (my baabyy)
Ohh yeyeahh, baby
Oyoyooo (baby!)
Oh baby (baby, baby)
Baaby, eyoooh uuhooh
Oh baaby!
Oh baby, baby, baby (0h baby baby)
My baby, my baby
Eyoooh uuhooo
Baby, baby (oh yeah!)
Aah B Daddy!

Abdu Kiba Bayoyo LYRIC

[Verse 1]
Habibty, habibty, wauba wangu wa ubani eh
Raha za ndani wewe umefunzwa na nani eh?
Mtoto mashaallah, mtoto ma habuba
Mtoto Bilal, Islat, Naifat woyo oh oh
Yako majina yanantatiza bwana
Kila kukicha afadhali lile la jana
Habibty oh-oh, habibty wewe
Wangu mimi kwako wewe kudunda dunda kwako
Kudunda dunda nami
Habibty mashaallah, umezaliwa Tanga kisiwani
Napenda zile dimpose, napenda zile njozi zako za usiku
Aah aah
[Chorus]
Baby, bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Baby, bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Cheza na mimi (bilinge bwa, bilinge bwa, bilinge bwa)
Baby, bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Baby, bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Cheza na mimi (bilinge bwa, bilinge bwa, bilinge bwa)
[Verse 2]
Nafuraha tele kuwa na wewe
Siwezi kukukata kwenye maisha, furaha yangu
Nyota yangu, kizimwe changu, nyumba yangu
Habibty wee, iih
Ni wengi wenye mapenzi
Nishasemwa sana juu yako kwa vile mi unanienzi
Mapenzi real real real, na kukuacha mimi siwezi
Hiyo ni ndoto ya mapenzi, kwangu wa pekee
Napenda zile dimpose, napenda zile njozi zako za usiku
Aah aah
[Chorus]
Baby, bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Baby, bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Cheza na mimi (bilinge bwa, bilinge bwa, bilinge bwa)
Baby, bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Baby, bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Cheza na mimi (bilinge bwa, bilinge bwa, bilinge bwa)
[Outro]
Alekufunza habibty mahaba tusije saliti
Mungu wa raha na dhiki (mahaba) habibty bilinge yo
Alekufunza Habibty mahaba tusije saliti
Mungu wa raha na dhiki habibty bilingeba
Habibty yoyo oh oh oh
Habibty wewe mamaa
Habibty yeeeh, njoo!

Abdu Kiba Kizunguzungu LYRIC

[Verse 1]
Bila shaka huu ugeni sio mwingine wa single for real
Najua ulipenda kuzunguka dunia hii
Na leo umerudi kwa kunipa ripoti mi
Mpaka home ukarejea, mizigo nkakupokea
Mengi ukanielezea, ni mengi umejionea
Hii dunia ina mengi matatizo
Ulimwengu una vingi vikwazo
Kabla hujafanya maamuzi ungepima
Kipi nimetenda kwako ka kimepima
Ni wivu ulikufanya ukasepa
Na mashoga zako wewe wakakuteka
Uko Sodoma, Kampala
Arusha, Mwanza wewe ulionekana
Mama wewe ulionekana, wewe ulionekana
[Chorus] x2
Kumbe kizungu, kumbe kizunguzungu cha mapenzi
Kinamzingua ye
Kumbe kizungu, kumbe kizunguzungu cha mapenzi
Kinamzingua yeye
[Verse 2]
Alinionyesha upole akitaka msamaha
Aliyoyafanya nyuma kukumbuka jama
Demo si japo pema, hata ukipema si pema tena
Mi nataka kuwa nae, naogopa mi kuwa nae
Moyo wangu wa chuma unajenga kutu
Nataka kuwa nae, naogopa mi kuwa nae
Moyo wangu wa chuma umejenga kutu
Mapenzi ya sasa tapeli, mapenzi ya sasa kwaheri
Umejenga kutu
Kumbe wivu ulikufanya ukasepa
Na mashoga zako we wakakuteka
Uko Uganda, Kampala
Arusha, Mwanza we ulionekana
Mama wewe ulionekana, wewe ulionekana
[Chorus] x2
Kumbe kizungu, kumbe kizunguzungu cha mapenzi
Kinamzingua ye
Kumbe kizungu, kumbe kizunguzungu cha mapenzi
Kinamzingua yeye
[Verse 3]
Fundi tanga na njia sasa umerudi tena, mama
Kiko wapi ulichokifata, wewe?
Siwezi sema sitopenda tena
Ila naamini umejunza
Najua we ukipenda hayo maisha ya raha
Na mimi kwangu ikaja ikawa karaha
Nasema ne-ne-nenda dada, ne-ne-nenda dada
Najua we ukipenda hayo maisha ya raha
Na mimi kwangu ikaja ikawa karaha
Nasema ne-ne-nenda dada, ne-ne-nenda dada
[Chorus] x2
Kumbe kizungu, kumbe kizunguzungu cha mapenzi
Kinamzingua ye
Kumbe kizungu, kumbe kizunguzungu cha mapenzi
Kinamzingua yeye

Belle 9 We Ni Wangu Ft. Mr Blue LYRIC

[Intro – Belle 9]
We unanifaa
We unanifaa
We ni wangu unanifaa
Sipagawi, sichachawi na machangu wa Dar, au sio maa?
Hivyo ndivyo mamaa
Njoo unipe love kwenye shida na raha
Raha, raha, raha
We ni wangu unanifaa
Sipagawi, sichachawi na machangu wa Dar, au sio maa?
Hivyo ndivyo mamaa
Njoo unipe love kwenye shida na raha
Raha, raha, raha
[Chorus – Belle 9]
We ni wangu, wee ee-eh eeh
Mi ni wako, oh oo-oh ooh
We ni wangu, wee ee-eh eeh
Mi ni wako, oh oo-oh ooh
We ni wangu sina time na vicheche
Mi ni wako kwa matozi usishoboke
We ni wangu sina time na vicheche
Mi ni wako kwa matozi usishoboke
Baby, sina time na vicheche
Wewe, kwa matozi usishoboke
Baby, sina time na vicheche
Oh yeah
[Verse 1 – Belle 9]
Huna ujiko, na mi sina mshiko
Kwenye love tume-settle ile bomba
Tukipata twashukuru, tukikosa twalala
Ili mradi siku zinakwenda
Huna ujiko, na mi sina mshiko
Kwenye love tume-settle ile bomba
Tukipata twashukuru, tukikosa twalala
Ile kisela siku zinakwenda
Kama ni pamba uta-shine
Kwa mnyamwezi Belle 9
Usijali mimi ni wako
Nipo tayari hata twende kanisani
Ama kwa wazazi si tukale kiapo
Kama ni pamba uta-shine
Kwa mnyamwezi Belle 9
Usijali mimi ni wako
Nipo tayari hata twende kanisani
Ama kwa wazazi si tukale kiapo, my baby
[Chorus – Belle 9]
We ni wangu, wee ee-eh eeh
Mi ni wako, oh oo-oh ooh
We ni wangu, wee ee-eh eeh
Mi ni wako, oh oo-oh ooh
We ni wangu sina time na vicheche
Mi ni wako kwa matozi usishoboke
We ni wangu sina time na vicheche
Mi ni wako kwa matozi usishoboke
Baby, sina time na vicheche
Wewe, kwa matozi usishoboke
Baby, sina time na vicheche
Oh yeah
[Bridge – Belle 9]
Mimi na wewe, mpaka milele
Mimi na wewe, mpaka milele
Mpenzi njoo (njoo)
Mpenzi njoo (njoo)
Mpenzi njoo (njoo)
Mpenzi njoo (njoo)
[Verse 2 – Mr Blue]
Njoo taratibu, njoo kipenzi tabibu
Kwanini unaniadhibu, njoo unipe majibu
Taratibu tena bila wasiwasi
Si mapenzi mbele pesa, wapi na wapi?
Nivumilie nimesema sikwaachi
Nishasema nakupenda hata kushinda mitikasi
Wapi, unapopataka let’s go
Kipi, ulichokipenda let’s roll
Ulikuwa na bado utazidi kuwa mine
Nakuimbia, emu sikia hii na Belle 9
Subiria, honey kwanza tukamate line
Ukiniacha njiani, mi na wewe ni kwenda ku-shine
Nipe nafasi nikupe kiss, nikupe hug na love
Iko wazi tuki-hustle hatutolala na njaa
Mbele yako mpenzi wangu mi naapa kwa Jah
Machozi nayolia sasa kesho yageuke furaha
[Break – Belle 9]
Unachotaka mimi nakupa
Hivyo mrembo nielewe
Penzi langu usijelitupa
Tuwe sote milele
Unachotaka mimi nakupa
Hivyo mrembo nielewe
Penzi langu usijelitupa
Tuwe sote milele
Mi na we…
[Bridge – Belle 9]
Mimi na wewe, mpaka milele
Mimi na wewe (mi na wewe), mpaka milele (milele)
[Chorus – Belle 9]
We ni wangu, wee ee-eh eeh
Mi ni wako, oh oo-oh ooh
We ni wangu, wee ee-eh eeh
Mi ni wako, oh oo-oh ooh
We ni wangu sina time na vicheche
Mi ni wako kwa matozi usishoboke
We ni wangu sina time na vicheche
Mi ni wako kwa matozi usishoboke
Baby, sina time na vicheche
Wewe, kwa matozi usishoboke
Baby, sina time na vicheche
Oh yeah

Belle 9 Masogange LYRIC

[Intro]
Upo mbali na masogange
Njoo uutulize mtima wange
Upo mbali na masogange eh
[Verse 1]
Miaka mingi imepita baby, ila mi sijakuona
Miaka mingi imekatika ma, ila mi sijakuona
Lile kidonda changu cha mapenzi, moyoni bado hakijapona
Nitapata afadhali mi, endapo we nikikuona
Kama warembo mi nawaona wengi, tabia zao mi naona noma
Najaribu shinda vishawishi, nisije mi kukupa ngoma
[Bridge]
Bado nakupenda wewe, wapi ulipokwenda
Bado nakupenda wewe, wapi ulikokwenda
[Pre-Chorus]
Ndo maana nakuimbia popote ulipo sikia
Baby, urudi nyumbani
Nakuimbia popote ulipo sikia
Mami, tuishi kama zamani
[Chorus]
Mapenzi yanautesa moyo we
Mapenzi yanaumiza moyo we
Mapenzi yanautesa moyo we
Njoo unipoze roho
Mapenzi yanautesa moyo we
Mapenzi yanaumiza moyo we
Mapenzi yanautesa moyo we
Njoo unipoze roho
Toka long time ago we, nakusaka mrembo we
Nakusaka baby, nijue upo wapi mama
[Verse 2]
Wasiopenda kuona mimi nawe
Tunapeana real love ni wengi
Hawapendi kuona mimi nawe
Kila siku twapeana mapenzi
Wasiopenda kuona mimi nawe
Twapendana my baby ni wengi
Hawapendi kuona mimi nawe
Kila siku twapeana mapenzi
[Bridge]
Chochote watachokuambia, usiwasikilize
Nakusihi mami puuzia, moyo wangu usiumize
Chochote watachokuambia, usiwasikilize
Nakusihi mami puuzia, moyo wangu usiumize
Endapo ukiwasikiliza, moyo wangu utaumiza
Endapo ukiwasikiliza, utaniacha mi kwenye kiza
Endapo ukiwasikiliza, moyo wangu utaumiza
Endapo ukiwasikiliza, utaniacha mi kwenye kiza haya
[Chorus]
Upo mbali na masogange
Njoo uutulize mtima wangu
Upo mbali na masogange
Njoo uutulize mtima wangu
Mapenzi yanautesa moyo we
Mapenzi yanaumiza moyo we
Mapenzi yanautesa moyo we
Njoo unipoze roho
Mapenzi yanautesa moyo we
Mapenzi yanaumiza moyo we
Mapenzi yanautesa moyo we
Njoo unipoze roho
Upo mbali na masogange
Njoo uutulize mtima wangu
Upo mbali na masogange
Upo mbali na masogange
Njoo uutulize mtima wangu
Mapenzi yanautesa moyo we
Mapenzi yanaumiza moyo we
Mapenzi yanatesa moyoni
Mapenzi yanatesa rohoni
Mapenzi yanautesa moyo we
Mapenzi yanaumiza moyo we
Mapenzi yanautesa moyo we
Njoo unipoze roho
Mapenzi yanautesa moyo we
Mapenzi yanaumiza moyo we
Mapenzi yanautesa moyo we
Njoo unipoze roho
[Outro]
Wewe, toka long time ago
Nakusaka mrembo nijue uko wapi mama ah
I love you, i need you!

Barakah Da Prince Siwezi LYRIC

[Verse 1]
Ulinipa donda ndugu
Donda ndugu ni gumu kupona
Ila siwezi sema sitopenda, nitamkufuru Mola
Unajua umenipa maumivu sugu
Maumivu sugu yasokwisha yote
Sababu ya kukupenda wee
Na sintochoka kukuombea kwa Mola
Akuzidishie baraka
Hata kukupenda wewe sichoki ii
Najua kunipenda sio lazima
Siwezi kuijenga chuki
Maa’ke najua
Nilijipa imani mwenyewe ipo siku utanithamini
Ila haukuwa nafasi yangu wewe
Naamini haukuwa fungu langu
Aaah kungoja yote kwanini?!
Leo, moyo wangu naukanda mie!
[Chorus]
Sitopunguza mapenzi (kwa we)
Kukuchoka siwezi (je we?)
Japo nimekosa penzi (nawe)
Nitaufariji moyo
Sitopunguza mapenzi (kwa we)
Kukuchoka siwezi (je we?)
Japo nimekosa penzi (nawe)
Nitaufariji moyo
Ooh mama wee
Naumia sana moyoni wee
[Verse 2]
Umenipa msiba
Msiba msiba bila kilio
Umenivua utu uzima
Nikatoa machozi ka ya mtoto
Hata kama nikisema nipende kwingine tatizo ni moyo
Moyo, kwana unaona nitadanganya
Tatizo uliopenda ni moyo
Siwezi kubishana nawe
Japo nafasi yangu kwako haikupatikana
Ila hongera kwa kuchukua usingizi wangu
Nashukuru mapema nilijua ipi nafasi yangu
Wewe sio mangapi ila nimeamua kuwapisha wenzangu
Na kujipa imani moyo wangu hutokusahau
Wewe, haukuwa nafasi yangu wewe
Naamini haukuwa fungu langu
Aaah kungoja yote kwanini?!
Leo, moyo wangu mi naukanda mie!
[Chorus]
Sitopunguza mapenzi (kwa we)
Kukuchoka siwezi (je we?)
Japo nimekosa penzi (nawe)
Nitaufariji moyo
Sitopunguza mapenzi (kwa we)
Kukuchoka siwezi (je we?)
Japo nimekosa penzi (nawe)
Nitaufariji moyo
Sitopunguza mapenzi (kwa we)
Kukuchoka siwezi (je we?)
Japo nimekosa penzi (nawe)
Nitaufariji moyo
[Outro]
Eeh usining’ang’anie mie, mie
Sipunguzi mapenzi
Eeh sipunguzi mapenzi

Barakah Da Prince Siachani Nawe LYRIC

[Intro]
Ohoo weo, ohoo weo
Ouhoo!
Ohoo weo, ohoo weo
Mmhh! mnhh!
Ohoo weo, ohoo weo
[Verse 1]
Wakati nalazimisha moyo kupenda sio kama ninakosea
Ipo sababu ya mi kurejesha namba ambayo ilipotea
Hali ya mtoto kumsusa mama akishachapwa
ni sawa na mapenzi
Ukishapenda unasahau hata kama ulishafanyiwaga ushenzi
Nakumbuka nilijuta sana kupenda penda kusikokua na thamani
Ila hitaji la moyo lalazimisha kurudia zamani
[Chorus]
Ohoo weo, ohoo weo
Mimi bado nina imani
Ohoo weo, ohoo weo
Ipo siku utanipa thamani
Ohoo weo, ohoo weo
Mimi bado nina imani
Ohoo weo, ohoo weo
Jua mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Acha nisote mie
Ila mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Wacha nisote mie
[Verse 2]
Labda juu ya kaburi utanipenda mimi nikiwa sina uhai
Hisia zangu haziheshimiwi najidharau sifai
Heri ya upofu wa macho kwa yale nayoyaona
Umeruhusu mboni zangu mi kumwaga machozi
Yaani ungejua hisia za mapenzi
Kutesa moyo ila bado hazichoshi
Kupendwa sipendwi najua wazi ila bado silithii
Maana kesho nitaurubuni moyo
Unapendwa ila unapimwa
Mi na meno ila najiona kibogoyo
Kweli penzi donda moyo
[Chorus]
Ohoo weo, ohoo weo
Mimi bado nina imani
Ohoo weo, ohoo weo
Ipo siku utanipa thamani
Ohoo weo, ohoo weo
Mimi bado nina imani
Ohoo weo, ohoo weo
Jua mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Acha nisote mie
Ila mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Wacha nisote mie
[Outro]
Jua mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Acha nisote mie
Ila mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Wacha nisote mie
Acha nisote mie ehee
Mi sishindani nawe wewe
Mi sibishani na wewe

Barnaba Nabembelezwa LYRIC

[Verse 1]
Muda mwingine utanikuta na mawazo
Kwasababu nakumiss
Muda mwingine chozi lanidondoka mimi
Kwa pendo langu la dhati
Muda mwingine nahofu..
Kwa vile unavyonipa ukimpa mwingine
Muda mwingine shahuku
Kwa vile unavyon’jali ukimjali mwingine, baby
[Chorus]
Nikilia nabembelezwa kwa upendo
Nae akinuna namliwaza kwa vitendo
Je wewe ushawahi kubembelezwa?
Mwenzio mimi nishawahi kubembelezwa nadekezwa
Aah aahaa nabembelezwa
Ooh oohoo nabembelezwa
[Verse 2]
Mapenzi si mchezo naamini
Wapendanao huwa pacha
Vitendo na mawazo maishani
Huwezi kutofautisha
Fitina si kigezo sononinyi ehee!
Ishakuwa gumzo mtaani
Watu wanatengeneza picha
[Chorus]
Nikilia nabembelezwa kwa upendo
Nae akinuna namliwaza kwa vitendo
Je wewe ushawahi kubembelezwa?
Mwenzio mimi nishawahi kubembelezwa nadekezwa
Aah aahaa nabembelezwa
Ooh oohoo nabembelezwa
[Verse 3]
Simuoni mwingine duniani
Wa penzi la kweli kama yeye
Sijawa punguani akilini
Niliemchagua ni yeye
Najua mtasema sema
Na mwisho wake mtulie
Mengi mtachonga sana
Ila nitabaki na yeye eh aa
Mamama mamama mamaa
Mama mamama (eeh!)
Mamama mamama mamaa
Tutu tururutu
[Chorus]
Nikilia nabembelezwa kwa upendo
Nae akinuna namliwaza kwa vitendo
Je wewe ushawahi kubembelezwa?
Mwenzio mimi nishawahi kubembelezwa nadekezwa
Aah aahaa nabembelezwa
Ooh oohoo nabembelezwa
Nikilia nabembelezwa kwa upendo
Nae akinuna namliwaza kwa vitendo
Je wewe ushawahi kubembelezwa?
Mwenzio mimi nishawahi kubembelezwa nadekezwa
Aah aahaa nabembelezwa
Ooh oohoo nabembelezwa

Bob Junior Nichumu LYRIC

[Intro]
Oooh ooooh ooh
Ni Mr Chocolate
Bob Chocolate
Tuimbe wote, chocolate, chocolate
[Verse 1]
Kufuri imewekwa ili watu waseme
Basi acha mi nikwambie
Umekuwa dokta wa kuniponya
Basi acha mi nikusifie
Nishakuwa zoba, nikawa rofa
Basi acha kwako nitulie
Nilishaanguka ukaniokota, mzigo wangu usiachie
[Bridge]
Usijebadilika, ukawa kama wale
Wa enzi zile, zile, zile
Ukanitapika, ukawa kama wale
Wa enzi zile, zile, zile
[Chorus]
Sukari yangu, asali yangu
Mapigo yangu ya moyo wangu
Sukari yangu, asali yangu
Mapigo yangu ya moyo wangu
Basi nichumu nikiss mwaah
Nichumu nikiss mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah, mwaah, mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah
Ahaa nichumu nikiss mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah, mwaah, mwaah
Ooh ooo
Ah raisi wa masharobaro nimechoka mimi aah
Ooh oooh ooo
[Verse 2]
Usimiss hadithi ya sungura na fisi
Acha ukweli nikwambie
Umenidhibiti, sihadaiki
Acha sifa nikupatie
Kula nanasi kwa hitaji nafasi
Basi acha nijiservie
Anaekushika mshikilie, shika basi usiachie
[Bridge]
Usijebadilika, ukawa kama wale
Wa enzi zile, zile, zile
Ukanitapika, ukawa kama wale
Wa enzi zile, zile, zile
[Chorus]
Sukari yangu, asali yangu
Mapigo yangu ya moyo wangu
Sukari yangu, asali yangu
Mapigo yangu ya moyo wangu
Basi nichumu nikiss mwaah
Nichumu nikiss mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah, mwaah, mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah
Aah nichumu nikiss mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah, mwaah, mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah
Aah nichumu nikiss mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah, mwaah, mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah
Aah nichumu nikiss mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah, mwaah, mwaah
[Outro]
Nichumu nikiss mwaah
Nichumu nikiss mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah, mwaah, mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah
Aah nichumu nikiss mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah, mwaah, mwaah
Masharobaro ndo habari ya mjini!

Bonge la Nyau ft Q Chillah Aza LYRICS

[Chorus – Q Chillah & (Bonge La Nyau)]
Aza, Aza, mtoto wa Kariakoo
Aza, Aza, ah, nakupa shikamoo
Aza, Aza
(Ah mtoto wa Kariakoo, mtoto wa Kariakoo)
Aza, Aza, ah, nakupa shikamoo
Kwenu wananiita golo
Ukweli sio koro
Mapenzi ndivyo yalivyo
[Verse 1 – Bonge La Nyau]
Eyo flow nazi-fix so bad
Navyo-feel bad just like na-play card
More motivation, more money, more play
Visa na vituko unavyofanya siongei
Ngwair, kama Ngwair akakuita She-Got-A-Gwan
Pozi mpaka pozi za Blue ukiwa chumbani
Ulivyodeka dah, ndo unanipa burudani
Umenipa thamani kwa mwingine sitamani
Kama umezaliwa mi nisota
Mwanao hata mia naokota
Ukirudi kwangu ka naota
Unavyonitunuku naogopa
Mtaka nyingi ukosa na saba
Usipende madingi utakuja kuvaba
Tulia na mimi tuishi pamoja
Tukikosa leo kesho inakuja
[Chorus – Q Chillah & (Bonge La Nyau)]
Aza, Aza, mtoto wa Kariakoo
Aza, Aza, ah, nakupa shikamoo
Aza, Aza
(Ah mtoto wa Kariakoo, mtoto wa Kariakoo)
Aza, Aza, ah, nakupa shikamoo
Kwenu wananiita golo
Ukweli sio koro
Mapenzi ndivyo yalivyo
[Verse 2 – Bonge La Nyau]
Ile love nayotaka kwako naipata
Siwezi kusaka vingine kwenye vichaka
Unavyokata, mpaka nadata
Kama love ni uchafu, Kkoo zitupwe taka
Mungu akupe imani uzidi kunithamini
Na akulinde na shetani ufate miongozo ya dini
Atuweke vyema duniani mpaka tukienda chini
Kila siku furahani: shida, raha na mimi
Kama umezaliwa mi nisota
Wanaogharami unaokota
Ukirudi kwangu ka naota
Unavyonitunuku naogopa
Mtaka nyingi ukosa na saba
Usipende madingi utakuja kuvaba
Tulia na mimi tuishi pamoja
Tukikosa leo kesho inakuja
[Chorus – Q Chillah & (Bonge La Nyau)]
Aza, Aza, mtoto wa Kariakoo
Aza, Aza, ah, nakupa shikamoo
Aza, Aza
(Ah mtoto wa Kariakoo, mtoto wa Kariakoo)
Aza, Aza, ah, nakupa shikamoo
Kwenu wananiita golo
Ukweli sio koro
Mapenzi ndivyo yalivyo

BUSHOKE FT K-LYNN - NALIA KWA FURAHA. LYSRICS

[Chorus] x2
[Bushoke]
Mbona wanitazama, kisha waanza kulia?
Kama nimekukosea, naomba nisamehe
[K-Lynn]
Hapana hujanikosea, mi nalia kwa furaha
Mapenzi unayonipa, sijawahi kupata
[Verse 1 – K-Lynn]
Unaposogea karibu, unaponishika mkono
Unaponitazama machoni, nashindwa vumilia
Mapenzi unayonipa, sijawahi kupata
Najiuliza ni kwanini, hatukujuana mapema
Nimeishi na wasojua mapenzi
Wasojua hata kunyenyekea
Nimeishi na wanaojua ku-force
Wasojua hata kubembeleza
Ninapokuwa na wewe, najiona ndio mwenyewe
Hata kama sina pesa, najiona tajiri
Hata kama sijala, najiona nimeshiba
[Chorus] x2
[Bushoke]
Mbona wanitazama, kisha waanza kulia?
Kama nimekukosea, naomba nisamehe
[K-Lynn]
Hapana hujanikosea, mi nalia kwa furaha
Mapenzi unayonipa, sijawahi kupata
[Verse 2]
[K-Lynn]
Naomba Mungu atujalie, tufunge ndoa mi na wewe
Na watoto pia tuzae, wakuite baba na mi mama
Maisha yangu bila wewe, sawa na basi bila konda
Maisha yangu bila wewe, mbele sitosonga
[Bushoke]
Na bado, na bado, sijafika mwisho
Na bado, na bado, sijamaliza kitabu
Vumilia maisha yangu, utakula vya kwangu
Mimi si wale wanaojisifu kwa ngono
Mapenzi si maneno, mapenzi ni vitendo
Na bado, na bado, nimesema bado
[Chorus] x2
[Bushoke]
Mbona wanitazama, kisha waanza kulia?
Kama nimekukosea, naomba nisamehe
[K-Lynn]
Hapana hujanikosea, mi nalia kwa furaha
Mapenzi unayonipa, sijawahi kupata

Chege -- Mwanayumba LYRICS

Oyaeeh
[Intro]
Oyaee (check it out!), oyaaee
It’s A Fish Crab
Oyaeeh (Chege!), Mwanayumba
Oyaeeh (It’s a Fish Crab presentation), oyaaee
Oyaee, Mwanayumba
[Chorus]
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
[Verse 1]
Ujumbe wangu ni mfupi tu
Nawaombeni ndugu na jamaa
Popote pale mlipo oo
Msikiapo Chege naimba wimbo huu
Nahangaika kumtafuta, kipenzi changu Mwanayumba aah
Popote pale mtapomuona mwambieni bado nampenda
Sijui kama yuko Kenya, sijui labda yuko Dar Es Salaam
Sijui kama yuko Kigoma, mwambieni bado nampenda
Najua bado ananipenda, na mimi bado nampenda aa
Sijui nani kamchanganya Mwanayumba hayupo tena nami
[Chorus]
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
[Verse 2]
Mwanayumba kwani uko wapi nikufate mrembo ooh
Kama uko kwa mama yako mdogo nikufate Mabibo ooh
Mwanayumba kamwe bila wewe sitoweza mpenzi
Nimefunzwa kupenda nisiache tuwe enzi na enzi iii
Sasa wapi ulipokwenda mpenzi umeniacha na majonzi
Sikuoni tena mbele usoni nakuota kwenye njozi
Usiku navuta shuka napapasa sikupati
Aahaa aa aaah aa aah
[Chorus]
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
[Bridge]
Mkimuona, mkimuona
Mkimuona mleteni
Mkimuona, mkimuona
Mkimuona mleteni
Mkimuona yule pale, mkimuona mleteni
Mkimuona yule pale, mkimuona mleteni
[Chorus]
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
[Outro]
Ee iye iye mwambieni bado nampenda
Yee iye iye mwambieni bado nampenda
Ee iye iye mwambieni bado nampenda
Yee iye iye mwambieni bado nampenda
Oyaeeh, oyaee
Oyaeeh Mwanayumba
Oyaeeh (check it out!), oyaee
Oyaeeh Mwanayumba

Chid Benz ft Alikiba --- Hasira Za NINI LYRICS

[Chorus – Alikiba]
Hasira za nini?
Kwanini huniamini
Kama mwenzio bado nakupenda?
Maneno mengi mjini, ili uniache mimi
Lakini mwenzio bado nakupenda
Hasira za nini?
Kwanini huniamini
Kama mwenzio bado nakupenda?
Maneno mengi mjini, ili uniache mimi
Lakini mwenzio bado nakupenda
[Verse 1 – Chidi Benz]
Chakula hakiliki kama nsipokuona
Haipiti chai iliki au ndafu ilionona
Laazizi, waubani, mchumba
Mashaallah, Mola kweli aliumba
Huna kasoro umejazika
Ila mlani kama godoro, kiuno umekatika
Nabangaiza vibarua mchana, usiku
Japo nipate chochote nije tule ipite siku
Maneno ya waongo wanaharibu makusudi
Usafiri mjini tabu napochelewa kurudi
Usinihisi vibaya ukanuna, ukavimba
Ukatamani unirarue, ugeuke simba
(Ugeuke simba baby, hasira za nini?
Hasira za nini, baby?)
[Chorus – Alikiba]
Hasira za nini?
Kwanini huniamini
Kama mwenzio bado nakupenda?
Maneno mengi mjini, ili uniache mimi
Lakini mwenzio bado nakupenda
Hasira za nini?
Kwanini huniamini
Kama mwenzio bado nakupenda?
Maneno mengi mjini, ili uniache mimi
Lakini mwenzio bado nakupenda
[Chorus – Alikiba]
Mami punguza hasira na unisikilize mimi
Please acha kuzira hivyo unaniumiza mimi
Sina mwingine zaidi yako haki ya nani
Moyo wangu uko kwako kwingine sitotamani
Nlizunguka pande zote, nkaona warembo wote
Kote nlisimama kwako naanguka niokote
Unanipa morali ya kutafuta mapesa
Najaza kibubu maisha mbele yasije tutesa
Pesa ndo kila kitu nazisaka mchana, usiku
Sipendi kushikwa karaha, nakwambia kila siku
Kokote kambi, chochote pwani, ndo life honey
Staki tuje lia njaa nazisaka nje, ndani
Jasho langu ili upate isikukumbe tamaa
Japo nilete mkate wakinishinda dagaa
Nipende usiniache mami, usije tambaa
Napokumbata nikumbate wangu wa shida na raha
Hasira za nini mamaa?
La Familia! Chidi Benz hapa
[Chorus – Alikiba]
Hasira za nini?
Kwanini huniamini
Kama mwenzio bado nakupenda?
Maneno mengi mjini, ili uniache mimi
Lakini mwenzio bado nakupenda
Hasira za nini?
Kwanini huniamini
Kama mwenzio bado nakupenda?
Maneno mengi mjini, ili uniache mimi
Lakini mwenzio bado nakupenda
[Outro – Chidi Benz & (Alikiba)]
Usinihukumu vibaya kwa maneno ya watu
Wabaya wasiopenda maendeleo kwa watu
(Usinihukumu vibaya kwa maneno ya watu
Wabaya wasiopenda maendeleo kwa watu)
Usinihukumu vibaya kwa maneno ya watu
Wabaya wasiopenda maendeleo kwa watu
(Usinihukumu vibaya kwa maneno ya watu
Wabaya wasiopenda maendeleo kwa watu)
Mami usinihukumu vibaya kwa maneno ya watu
Maendeleo kwa watu
Usinihukumu vibaya kwa maneno ya watu
Wabaya wasiopenda maendeleo kwa watu

Christian Bella Ft Ommy Dimpoz Nani Kama Mama LYRICS

[Intro – Ommy Dimpoz]
Mama oh mama
Na Poz Kwa Poz!
Mama oh mama
Nani kama mama
[Verse 1 – Christian Bella]
Oh yah nani kama mama, heshima kwa mama
Yale mateso ulinibeba miezi mitisa tumboni mwako
Pole sana mama
Nikupe nini? Heshima kwa mamaaa (maama ee)
Uliteseka siku ya kunitoa duniani
Nikupe nini? (mama eeh)
Thamani ya malezi yako siwezi kuyalipa
[Chorus – Christian Bella]
Mama ee
Nani kama mama aaa? (mama mama)
Nani kama mama aaa? (mikono yako kwangu ni baraka)
Nani kama mama aaa? (usipotoke umdharau mama yoyo)
Nani kama mama aaa? (ma ma ma mama)
[Verse 2 – Ommy Dimpoz]
Hello mama, hii ni kwako mama
Si, nimekukumbuka sana (mama)
Usiku na mchana, ai
Nakuombea upumzike salama eh
Tabia na heshima eh, busara na hekima eh ae
Ulinifundisha vyema eh, si, nakuombea upumzike salama
[Bridge – Ommy Dimpoz]
Matatizo ya dunia, kweli ninayapitia
Yale ulionihusia eeh, ya kweli mama ee
Matatizo ya dunia, kweli ninayapitia
Yale ulionihusia eeh, eee mama eeh
[Verse 3 – Christian Bella]
Malezi ya mama, elimu ya mama
Haina ada wala cheti ila ni zaidi ya elimu ya chuo kikuu
Nikikumbuka zamani nilipokuwa mutoto
Nikilia usiku mama lazima utakesha na mimi
Huwezi kukubali niwe macho usiku
Nawe ufumba macho yako
Mapenzi ya maaama kwa mtoto wake haina mfano
Hata mapenzi ya boyfriend na girlfriend hayafiki hata robo
Nikikumbuka zamani nilipokuwa mutoto
Nikiumwa usiku mama lazima utakesha na mimi
Mola wasaidie wakina mama wote
Wape maisha marefu, nani kama maama?
Mama ni maama yeeye
Thamani ya malezi yako siwezi kuyalipa
Mama maama yeee, mama na mama
Nasema mama ni mama yee
Nani kama mama? (mama)
Mama ni mama (mama)
Heshima kwa mama
Mama ni mama
Wee!
[Chorus – Christian Bella]
Ma ma!
Nani kama mama aaa? (mama mama)
Nani kama mama aaa? (mikono yako kwangu ni baraka)
Nani kama mama aaa? (usipotoke umdharau mama yoyo)
Nani kama mama aaa? (ma ma ma mama)