Friday, December 14, 2018

Alikiba - Kadogo lyrics


Yoo
001
Aah aah ah
Iyo iyo iyo yeah
Kadogo
Kanapenda keroro
Keroro
Keroro
Kadogo
kanapenda keroro
Kembamba kadogodogo
Kanapenda keroro
Nikamuuliza,
Anatoka 254
Mombasa kwa wanjanja janja
Ananikosha roho
She must be there
She would be there
Wouh wo
Kadogo dogo
Mnawakataa machali
Mnawataka mamanzi
Mnanikulia vako sio (Ye baba)
Mnawataka maboys
Mnawakata wadosi
Mnanikulia vako sio (Ye baba)
Mnawakata machali
Mnawataka mamanzi
Mnanikulia vako sio (Ye baba)
Mnawataka maboys
Mnawakata wadosi
Mnanikulia vako sio (Ye baba)
Kadogo
Kanapenda keroro
Keroro
Keroro
Kadogo
kanapenda keroro
Kembamba kadogodogo
Kanapenda keroro
Akaja Bongo aah
Akaja akaja Bongo
Keroro
Akitwika anayumba yumba
Keroro
Naskia am in love sio kidogo
Anaweza love
Ananikosha
Kwa vile
Vile
Anavyodance aah
Ananikosha
She must be there
She would be there
Wouh wo
Kadogo dogo
Mnawakataa machali
Mnawataka mamanzi
Mnanikulia vako sio (Ye baba)
Mnawataka maboys
Mnawakata wadosi
Mnanikulia vako sio (Ye baba)
Mnawakata machali
Mnawataka mamanzi
Mnanikulia vako sio (Ye baba)
Mnawataka maboys
Mnawakata wadosi
Mnanikulia vako sio (Ye baba)
Kadogo
Kanapenda keroro
Keroro
Keroro
Kadogo
kanapenda keroro
Kembamba kadogodogo
Kanapenda keroro

Kadogo kadogodogo
Kananimaliza
Kananikosha roho roho
Kadogo kadogodogo
Kananimaliza
Nikosha roho
Roho yangu weeh


Thursday, December 6, 2018

ONE TIME by RICH MAVOKO

Nipate kamba tuongee
Hata mbali twende
Nataka me nikueleze 
mapenzi ni kitovu cha uzembe
Usilete mawenge utafanya wanizomee
Uwe mpogole mmakonde me nataka nikuoe
Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuongee
Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuonge
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Sikurogi na pembe
Me nataka unipende
Utamu wa peremende
Hasa za pwani na tende
Zile za unyama unyamani niwe kwako ndio ni jembe
Anitake nani kama hutaki niende
Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuongee
Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuonge
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee tuongee oleba olebaba
Nataka tuonge tuongee olo babao
Nataka tuongee tuongee oleba olebaba
Nataka tuonge tuongee olo babao
Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuongee
Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuonge
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Basi nipe one time..*2
(Piano Playing .....till fade)

unanichora by BenPol ft Joh makini

Yeah
With best rnb singer
Kumbe wanichora
Ni king Jo
Yeah
(Verse1:Joh Makini)
Siri me na we ni lazima iwe serious
Show ni me na we na sioni ulazima ulete shazi
Soo ni ni me na we na sioni kama uongo ni kazi
Usione kama urafiki ni vyeti upate kazi
Sioni rafiki wa mbuzi eti keti mkune nazi
Urafiki mkia wa mbuzi mfupi na nyeti wazi
Nakushangaa u baniani mhaya
We na baniani mbaya
Waubani vipi haya
Yachumbani yakimwagika hadharani ujue ni haya
Haya wanashika nini washkaji washika mabaya
Yanawika jogoo ajawika alfajiri
Washayaanika kariakoo
Hawakai maneno yamewakalia koo
Kumbe nao wanataka kunikalia oooh
Mpaka kwa nyumbani yangu wakiparty no
Mpaka moshi unavuma juu ndani ni pamoto
(Chorus:Benpol)
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
(Bridge)
Mama baba yereeeeee
Mama baba yereeeee
(Verse2:BenPol)
Utulie home nakupa vitamu
Usinitenge nazi kama embe la msimu
Utulie home nakupa vitamu
Na me nikulimde nizidi pata utamu
Najuaa Hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Hasa kwanini mpenzi unakana
Wao Hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Sasa kwanini mpenzi unaongea naoo
(Chorus:Benpol)
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Yere zere yere zere...........till fade

Kila Ndoto Lyrics by SaRaha ft Marlaw

Verse 1 - SaRaha
Mara kwanza nilipokuona
nimeshindwa kuongea
unafanya nini na mimi baby (baby)
Natafuta maneno
kuelezea kukujulisha
umeshika moyo wangu wewe (wewe)
Nakupigia bila sababu
kusikiliza sauti yako
mbona siwezi kukwambia
kwamba nilikutamani
ila nikawa na aibu
kumbe na mwenzangu ni vile vile
Chorus
Kila wimbo nakuimba wewe
Kila ndoto nakuonta wewe
kila siku nakuwaza wewe
wewe
Verse 2 - Marlaw
Kwa muda mrefu sasa
nimeshindwa kukwambia
moyo umekuchagua wewe (wewe)
Nikitaka kuongea
maneno yanapotea
natamani uanze mwenyewe (mwenyewe)
oh everytime I see you
I wanna tell you how I feel
but you make me shy
Nilikutamani
ila nikawa na aibu
kumbe na mwenzangu ndo vile vile
Chorus
Kila wimbo nakuimba wewe
Kila ndoto nakuonta wewe
kila siku nakuwaza wewe
wewe
Kila wimbo nakuimba wewe
Kila ndoto nakuonta wewe
kila siku nakuwaza wewe
wewe

Gere by Weusi

[Intro - Joh]
Yeah!
You know whats happening when Weuse meets
Nahreel, right?
Oyayoo...ooohoo
A city in the house!
Oyayoo...ooohoo
Lets go!!
[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
[Joh Makini]
Kubadili hizi mboga mbili tu tabu kwa mswahili
Mganga hana mashairi jomba ni bure kupiga
ramli
Flow Weusi ni mbele, kanzu tobo ka Pele
Mboyoyo mingi kelele, kamata tupa kule
Wajukuu wa Nyerere, chuki zako ni bure
Kiunoni ni sime njele, juu sipendi kelele
Mavumba ni baba Fere, Temeke huita michele
Karibu gheto ni sherehe, Weusi hatuna kwere
Nina kibali juu ya mdundo huu so sina sorry
Sinyasori wapi Shaa sina story
Wivu ni kidonda umeshiriki ugua pole
Chakati juu kiki...woo woo!...pole pole
[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
[Nikki Wa Pili]
Sio gweraa hii jombaa Nikki yule yule
Nilivyovaa, nilivyong'aa ni kimulimuli
Viburi flow Idd Amin like nduli nduli
Brain kubwa, ndoto kubwa za manguli nguli
Watoto nao ni kibao siku hizi sipigi puli
Usijikombe chonde chonde na makonde bure
Punguza njaa lia ubao jomba kaza msuli
Kwenye hela ndo watoto wanatulia tuli
Benchi mnasugulia ha..hamna carrier
Ah! mziki kama mbege kwangu suna kulia
Ah! Yesu na Maria! Ah! Ndo tunatulia
Ndo nguna inaliwa, imebarikiwa
Get it?
[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
[Gnako]
Kimbiza kimbiza...Usain Bolt
Tupo center ya mchezo...centre bolt
Hatuna penda love, Weusi mtu tano
Center half no beef..no..no..no!
Tulifanya ndafu, mchezo unatupa bread
Mda wa chai ujuzi unasambaza umbea
Mkuda hakai, hatuongei ongei
Tunafanya hatufanyi fanyi, tunafanya kazi
Mungu hakupi roho mbaya
Sshh! Umeipandikiza
Kichwa chako passport, uwezo wako ndo Visa
Aaah! Tuna viburi eeh? Tuna flow vizuriii
[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
...kwere!
...gere!
...kwere!
...gere!
[Outro]
*kinanda kinanyongwaaaa*

NISOME BY GODZILA ft Gnako

(intro)
Weka vyombo juu ya meza (we on it, we on it)
Mtoto mzuri namkonyeza (nisome, nisome)
Kiuno mama umepewa (tuone, tuone)
(Show me what you got baby)
(Show me what you got baby)
(VERSE1:Godzilla)
Nahitaji kupoza koo baada ya kufanya kazi
Nacluz kwenye tinted kukwepa paparazi
Ni kukesha macho baada ya kuhustle
Nipo na G G G Gnako
Mara namuhita muhudumu
namuulza kama anaroom
na pia kama ana ndomu
naruhusiwa kuvuta ndumu
Nipo na mrembo ni sumu
kama ni dhambi nihukumu
Tungi baada ya tungi leo nasimamia humuhumu
Mtoto wa uswazi akinimiss anacall
Hana mbwembwe sijui mara shopping twende mall
Me na wewe busy hapa tunahook up baby
Ile kigangstar gangstar haina make up baby
(CHORUS:Gnako)
Askari wanauliza uliza
wapi wanapuliza puliza
Harufu inasikika sikika
Tunawaambia counter counter
Tumewaka waka
Haki ya Mungu I don't see nobody
Tumewaka waka Mitungi vishungi
Tumewaka waka Na me sivungi siungi
Tumewaka waka Yesu na Maria sioni mbele
Ongeza vyombo kwenye meza we on it we on it
Mtoto mzuri namkonyeza nisome nisome
Kama kiuno ulipewa tuone tuone
(VERSE2:Gnako)
Tafadhari fungeni mikanda vipi
Tumetimba kipande Na wana (Vijiti)
zimeni askari wametanda (Titi)
zipo juu viunoni na shanga (Sipy)
Unachotaka natumia kipanga aghaaa
Watu wewe tumechizika kama milembe
Matumizi ka tuliuza sembe
Na hii ndio wanasemaga kama lembe
Usisubiri akwambie ana genye
Maneno mtekenye
Toilenga mapaki ngavenye
(CHORUS:Gnako)
Askari wanauliza uliza
wapi wanapuliza puliza
Harufu inasikika sikika
Tunawaambia counter counter
Tumewaka waka
Haki ya Mungu I don't see nobody
Tumewaka waka
Mitungi vishungi
Tumewaka waka
Na me sivungi siungi
Tumewaka waka
Yesu na Maria sioni mbele
Ongeza vyombo kwenye meza on it on it
Mtoto mzuri namkonyeza nisome
Kama kiuno ulipewa tuone tuone
Ongeza vyombo kwenye meza we on it we on it
Mtoto mzuri namkonyeza nisome
Kama kiuno ulipewa tuone tuone

subira by shaa

Intro:
Shika uliposhikwa,ujinga kuachia
Maana uliposhika ni muhimu sana kushikilia x2
Chorus:
Maneno x3
Hayashibishi mtu...
Maneno x3
Ila yagombanisha watu (repeats twice)
Verse 1
Hizi ni salamu,nakupatia Subira,nisipokuwepo nitakuwa nasikia
Hizi ni salamu nakupatia Subira mama,nisipokuwepo nitakuwa nasikia
Oooh Subira nisikize sana uendapo mbeleni kuna mawifi ujichunge sana
Oooh Subira nisikize sana uendapo mbeleni kuna mawifi ujichunge mama…
Acha kusangalai (Umpende mumeo)
Weh acha kusangalai (Umtunze mumeo)
Ogopa sanaaa (Kovu la ndui halifutiki)
Hayana maana (Maneno maneno ya wanafiki) X2
Chorus
Maneno x3
Hayashibishi mtu...
Maneno x3
Ila yagombanisha watu (repeats twice)
Verse 2
Mambo ya zamani tofauti na sasa mwenzangu
Na siri za ndani zitunze kifuani mwenzangu
Mambo ya zamani tofauti na sasa mwenzangu
Na siri za ndani zisiwafikie walimwenguuu
(Aaah chunga mdomo unajidanganya
unachoweza kufanya kuna wenzako wanaweza fanya)
Shoga eh kumbuka wanaume sikuhizi wachache
Akienda bafuni akienda kazini akuage shoga eh
(Aaah chunga mdomo unajidanganya
unachoweza kufanya kuna wenzako wanaweza fanya)
Aaaah hiyo nafasi usiipate uiache utachekwa weh
Wenzio wamaliza soli kwa waganga waipateee
(Aaah chunga mdomo unajidanganya
unachoweza kufanya kuna wenzako wanaweza fanya)
Shaa (Hehehe, maji ya ugali hayaonjwi mwenzangu
eh..Wee mwana mwana mwanangu weeehhh...eeeehhh)
Utaniacha hoi hoi hoi,hata nikikuona sauti sitoi
Utaniacha hoi hoi hoi,hata nikikuona sauti sitoi
Shoga eh kumbuka wanaume sikuhizi wachache
Akienda bafuni akienda kazini akuage shoga eh
(Aaah chunga mdomo unajidanganya
unachoweza kufanya kuna wenzako wanaweza fanya)
Shaa(We Shirko weh jamani we Shirko wewe...
Shughuli imeambata na mvua hii
wanyama wanakula wima,chezeya...
Vita vifanyike ila Raisi nisiuwaweeee..)
(Aaah chunga mdomo unajidanganya
unachoweza kufanya kuna wenzako wanaweza fanya)
.................
Utaniacha hoi hoi hoi,hata nikikuona sauti sitoi
Utaniacha hoi hoi hoi,hata nikikuona sauti sitoi
..............piano plays till fade

WALALA HOI by Izzo Business

Intro
Walala hoi…
Walala hoi…
Walala hoi
Chorus
Walala hoi sisi ndio Walala hoi (Walala hoi) x 4
moja haikai mbili haikai mbaya wako ni jirani babu (Walala hoi) x 4
Verse 1
Tunaunga unga maisha yetu ni safari bado tunataabika
(Walala hoi)
tunakomaa maisha ni safari imani ipo bado sisi mbali tutafika (Walala hoi)
tumazaliwa kwenye njaa njaa imetulea sisi home mali hatujakuta (Walala hoi)
mama Yanga baba Simba upinzani babu ndani yani kila dakika (Walala hoi)
kupinda ni sheria usishangae huku kwetu mbona imeshazoeleka (Walala hoi)
hatujasoma dili chafu leta pesa babu hata iwe dili ya kuteka
(Walala hoi)
tunaonekana hatuna maana tunatengwa kona zote twa dharaulika
majina yote sisi Vidampa wapumbavu wezi majambazi yote wametupachika
Rhumba kali wewe utadata
soma pata ondoa shaka
faster umenipata chafu tatu maisha karata
maisha bondi kukosa na kupata
jela nyummbani hakuna kuogopa sheli tunamoka
sisi machizi kama kaboka
uchungu wa meno na kucha kamuulize Ulimboka
Chorus
Walala hoi sisi ndio Walala hoi (Walala hoi) x 4
moja haikai mbili haikai mbaya wako ni jirani babu (Walala hoi) x 4
Verse 2
Roba za mbao mtaani ni nani kaleta? (Walala hoi)
kulogana logana tu bila sababu mtaani? (Walala hoi)
majungu fitina unafiki umbea na chuki? (Walala hoi)
kazi ngumu tunapigika lakini ujira ni mdogo babu (Walala hoi)
toa kazi tumalize hatulazi kitu hapa sisi mwendo ni wa CHAP-CHAP
kwenye Bar hatukai zetu vilabuni yes sisi mwendo ni MATAPU-TAPU
bila sababu tunakudiss tukijua umetuzidi sisi wala hatukukwepeshi
chuki roho mbaya jadi yetu Mungu hapendi lakini sisi tumerithi
kila time tupo simple watu wa Mingle mawazo yetu kwenye Bingo dr.Kingo ngoma zetu ni Segere na Msondo
sisi ndio wachezeshaji tuite Redondo
Rest in Peace James mtoto wa Dandu
hii game bado kwako japo upo kando
big brother the Chase muulize Nando
kama Zay-B vile watu wapo gado
Chorus
Walala hoi sisi ndio Walala hoi (Walala hoi) x 4
moja haikai mbili haikai mbaya wako ni jirani babu (Walala hoi) x 4
Outro
Walala hoi…
Walala hoi…
Walala hoi…
Walala hoi x 3…
hoi hoi hoi Walala …
hoi hoi hoi Walala…
hoi hoi hoi Walala.

Friday, May 11, 2018

Alikiba - Mvumo Wa Radi lyrics


Naanza na hii sifa yangu mpweke
Misifa mingi na ukwezi me sina makuzi
Ntakupenda wewe
Ntampenda mama
Na baba yako
Na ndugu zako
Ntakupa mapenzi mimi
Kama Mvumule mvumule
(Hujawahi pewa]Ma Mvumule mvumule
(Ukitaka waskie)Ma mvumule mvumule
Kama mvumo wa radi

Tatizo lako sheri
Unanstaajabisha na unavonipenda kweli
Roho inaniuma
Wivu naona
Me naumia
Am in love Weweee
Nampenda sana

Tupendane tupendane Penzi liwe sawa sawa
Isiwe nusu na robo kwa kilo
Penzi robo lingine liende kule
Nataka yote mapenzi kwa kilo
Aaah aanha
Tupendane kama Baba na Mama
Na siku zote tuishi kwa furaha

Tupendane Bacongo,Tanzania,Uganda Kenya
Burudi na rwanda na zambia mpaka
Mozambique Ghana mpaka Nigeria
Cameroon Sudan Mpaka Somalia
Africa Africa tupendane

Tupendane tupendane Penzi liwe sawa sawa
Isiwe nusu na robo kwa kilo
Penzi robo lingine liende kule
Nataka yote mapenzi kwa kilo
Aaah aanha
Tupendane kama Baba na Mama
Na siku zote tuishi kwa furaha

Tuishi kwa Furaha Tupendane
We wangu wa moyoni
Ukisikia homa ile homa ya jiji ni wewe
Wanaojiita masponsor ma love wasikusimbue
Wanajiona maboss lady mabossbaby
Tena wife material My honey bunny
Honey bunny unabana
Wengine wote wanajiaa aaa aaah
Kwa mvumule mvumule
Ntakupa mapenzi mimi

Tupendane tupendane Penzi liwe sawa sawa
Isiwe nusu na robo kwa kilo
Penzi robo lingine liende kule
Nataka yote mapenzi kwa kilo
Aaah aanha
Tupendane kama Baba na Mama
Na siku zote tuishi kwa furaha

Tuesday, April 17, 2018

Ray C - Na wewe Milele

Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja
Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja
Siku niliyokuona macho yangu yalishtuka
Nilijua roho yangu mimi kwako imefika
Na sasa tupo pamoja uwe wangu niwe wako
Kwa shida na raha zote moyo wangu uko kwako
Na raha zako siwezi mimi kwako kuzikosa
Na raha zako siwezi mimi kwako kuzikosa
Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja
Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja
Penzi sitolibadili kwa udi hata ubani
Penzi letu liwe tamu, tamu lishinde asali
Mpenzi usinidhulumu nipe raha za ndani zote
Ziishi moyoni mwangu milele hata milele
Ziwaudhi maadui wasopenda penzi letu
Ziwaudhi maadui wasopenda penzi letu
Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja
Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja
Kila kukicha natabasamu
Nina furaha kuwa na wewe
Wanipa raha bila karaha
Mimi na wewe furaha tele
Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja
Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja
Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja
Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja
Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja
Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja
Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja
Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto baby
Nataka tuishi wote pamoja

Stamina ft Jux - Alisema

It’s Moro Town baby
You know what Kev
This is so conscious man
Sio kila Mchaga muuza duka so nisiogope kuitwa Mangi
Kupanda na kushuka ndio chart isiyohitaji rangi
Bora kuitwa mshamba kwenye group la matapeli
Subira ikikosa kamba jipange kuivuta heri
Alisema nisilete uchizi mbele ya daktari wa akili
Nisiwe na hasira za mkizi ili mvuvi anifanye dili
Kukosa na kupata ndo mechi isiyokua na draw
Kama maisha karata mchangaji nimkabe koo oh
Madawa ya kulevya niogope yatanipa uchizi
Maishani nisiwe dereva kwenye basi la wazinzi
Kengeza ndo macho yangu nisimcheke mwenye chongo
Nipendezeshe maisha yangu ka dressing table ya Mkongo
Nisile ada kisa demu mapenzi hayana mradi
Maisha ni PS game hayachezeki bila pad
Elimu ya mtaani niijue ili nikuze ukoo
Ila elimu ya darasani nisihitimu bila ya joho
Alisema
Nifanye nachofanya bwana mimi nisizubae
Uwezo ninao alisema
Maneno yakisemwa wala mimi nisishangae
Niachane nayo alisema
Ubinadamu kazi alisema
Nisiwe na haraka na maisha alisema
Nisichague kazi alisema
Nakumbuka iye eh
Usoni nisi-pretend ugumu wakati moyoni nina usharo
Gangsta sio kuvuta ndumu nijipange nitafute miparo
Kama pesa hazilali mtafutaji nisichonge kitanda
Asali ikiwa juu ya dari mrinaji nisichome kibanda
Alisema mjini mipango sio urefu wa magorofa
Samaki akiliwa na chambo nijue mvuvi ameshaanza urofa
Nisinywe gongo na biskuti nikadhani ndio janja teja
Nikaze buti ili niji-boost wapinzani wasiniite kinega
Kama muda ni pesa nifungue account ya saa
Nisiseme boom linatesa huku principle anashinda bar
Maisha trailer za Kanumba nsiogope kufa kiuongo
Mimba ya ujinga haina mkunga nitafute ujanja kwa usongo
Nisimdharau fukara kisa nimemzidi kipato
Mtoto nisimfanyie tohara akikua aniite Pilato
Fisadi akiwa jogoo tetea nitafute kambi
Mziki una kwashiorkor nsiache hadi unipe kitambi
Alisema
Nifanye nachofanya bwana mimi nisizubae
Uwezo ninao alisema
Maneno yakisemwa wala mimi nisishangae
Niachane nayo alisema
Ubinadamu kazi alisema
Nisiwe na haraka na maisha alisema
Nisichague kazi alisema
Nakumbuka iye eh
Nisishangae kukuta bwanga kwenye chumba cha ma-model
Ila nishangae kuziona shanga kwenye kiuno cha mtoto mdogo
Kipimo cha utapeli hakipimwi na mzani wa ubongo
Nsibishane na ukweli ikiwa nina chembe za uongo
Mfupi ndio aliyegundua ngazi ili mradi apate virefu
Nisimtukane mzazi nitapata radhi ya ukosefu
Selemara rudi VETA mende akiangusha kabati
Daudi akipigwa ngeta nijue kesi kwa Goriati
Primary na shule ya msingi zina utofauti wa kimasilahi
Inabidi nione vifo vingi ili nijue thamani ya uhai
Nguvu za uongo wa video zisinipotezee ujana
Nisijiite jembe huku kimeo wakati pabichi nakwama
Nikikosa fasta nitubu masizi yasigeuke kiwi
Na nisiogope kuitwa bubu kwenye kundi la viziwi
Nisi-force penzi kwa changu ni bora nikatumia Detto
Na Moro ndio mkoa wangu nikiukana wataniita Petro
Alisema
Nifanye nachofanya bwana mimi nisizubae
Uwezo ninao alisema
Maneno yakisemwa wala mimi nisishangae
Niachane nayo alisema
Ubinadamu kazi alisema
Nisiwe na haraka na maisha alisema
Nisichague kazi alisema
Nakumbuka iye eh
Uwezo nnao alisema
Niachane nao alisema
Kama Mungu alitoa tusishangae anapotwaa
Amini kila binadamu alizaliwa shujaa
So this one is dedicated to all who lost their beloved ones

Kwenu Vipi by Stamina ft Ney Wa Mitego

Mziki wenu ana ana doo
Unafanya mshindwe hata kufikiri
Kutwa kwenye vioo kuliko kuandika mashairi
Hip Hop mizuka yakujuza usivyojua
Hivi mziki wenu unanuka
Mbona mnabana pua
Swali lako kwangu halina jibu
Ulichouliza hakinihusu
Sema kama unanijaribu au dogo una-force beef
Hapa kwangu pakavu sitaki upuuzi
Maswali ya kupana pua na poda muulize Dimpoz
Aa haa hamna cha maana kutwa kuwaimbia wasichana
Unalikuta libaba lizima eti oh nakula ujana
Haziingii akilini na hazielimishi jamii
Sa nimjue wa nini aliyemwaga pombe ya nanii Eeh
Okay Professor Jay bwana mdogo si unamjua
Hata baba ‘ako nyumbani naimani anamtambua
Kwa nyimbo za kuelimisha we pimbi kaa kimya
“Kamili Gado” imetoboa ali-change mtu mzima
Kwani huko kwenu vipi
Aah huku kwetu fresh
Tuna manyumba tuna magari tuna cash
Kwani huko kwenu vipi
Aah huku kwetu poa
Machizi tunachana sana ila mnabebwa hadi mnaboa
Kwani huko kwenu vipi
Huku kwetu fresh
Kwani huko kwenu vipi
Aah huku kwetu safi
Huko kwenu vipi
Huku kwetu fresh
Harakati zinaendelea kwetu stress sio kesi
Mnajifanya mnafanya ngumu wakati hamna majukumu
Wengi wenu wala ndumu na bado mnaishi kwenu
Usibishane na mimi kwanza we bado unasoma
Shoo zenu bei rahisi hata kwa bia nyie mnafanya
Hip Hop inahitaji kichwa sio kunywa mchuzi wa pweza
Blaza huku kwetu ulifichwa umesepa sababu ya kumezwa
Ama kweli nimeamini wanawake mkiwezeshwa mnaweza
Kama umenishindwa mimi je Fid Q utamuweza
Kwanza hamtambui kwamba huu mziki ni kazi
Na ndo maaana mnakatazwa na wazazi
Unafanya mziki mwaka wa kumi huna hata bajaji
Nyie sio wasaniii ni wasindikizaji
Huko kwenu mnajua waganga sababu mnapeana stress
Ndo maana hadi nyimbo vamba mtaani zinakuwa the best
Blaza ushaachia siti so punguza kujisifu
Huku viumbe tunaachia hit bila hata kumtaja Chief
Kwani huko kwenu vipi
Aah huku kwetu fresh
Tuna manyumba tuna magari tuna cash
Kwani huko kwenu vipi
Aah huku kwetu poa
Machizi tunachana sana ila mnabebwa hadi mnaboa
Kwani huko kwenu vipi
Huku kwetu fresh
Kwani huko kwenu vipi
Aah huku kwetu safi
Huko kwenu vipi
Huku kwetu fresh
Harakati zinaendelea kwetu stress sio kesi
Kwa ku-post picha Insta hilo mnaongoza
Utasikia huu mjengo wangu mpya kumbe umepanga unajiongeza
Nasikia daily mko gym eti mnatanua vifua
Wakati mkirudi makwenu wengi wenu mnajichubua
Ebo
Mnajifanya mnakaza huku mnakufa njaa
Hakuna mnachopata zaidi ya sifa kwenye mitaa
Kwanza mnatudhalilisha kutwa mnapiga vizinga
Umarekani mwingi mpaka mnakula unga
Si bora sisi unga kuliko nyie mapu***
Hana style hamna swagg wala hamjui kutunga
Kwa kuongeza sifuri kwa hilo mnaujasiri
Hata video ya milioni 2 utasikia milioni 200
Sh*t
Bwa’ mdogo ongea na mimi mbona unawasema watu
Wataje kwa majina ka kweli unafanya Hip Hop
Kwanza umekula au unaanzisha tu mgogoro
Kabla hatujafika mbali una nauli ya kurudi Moro
Kwani huko kwenu vipi
Aah huku kwetu fresh
Tuna manyumba tuna magari tuna cash
Kwani huko kwenu vipi
Aah huku kwetu poa
Machizi tunachana sana ila mnabebwa hadi mnaboa
Kwani huko kwenu vipi
Huku kwetu fresh
Kwani huko kwenu vipi
Aah huku kwetu safi
Huko kwenu vipi
Huku kwetu fresh
Harakati zinaendelea kwetu stress sio kesi
Anha kama hupati unachopenda
Penda unachopata au sio
Mwisho wa siku hii ni biashara
Inabidi mwisho wa siku tupendane sisi kwa sisi
Au sio
Don’t take it personal man
(Seductive Records)
Au sio Mambo yataongeleka au sio
Tutagombana mwisho wa siku Bongo Flava na Hip Hop
We all teame
Stamina Nay Wa Mitego T-Touch au sio
Take it easy homeboy don’t panic
It’s just a business man
Calm down errbody
Hahaha napenda nachokisikia
I’m out

Sam sina raha

Kila siku mi naumia na mawazo wapi nitampata mkee mwema maishani Najifuta machozii Nikasahau nilivyo tendwa zamani
Naona kama ngege waa moto mazuri kuwa nawe maishani Nacho mwambia ananielewaa Napenda animpenda Sito mwaacha asilani Gari pesa sinaa Ndio maana nakuita mchuba We wa gari na nyumba ama pesa ndio chumba Bora unieleze mchumba Mi si mgeni wa mpenzi mwenzako Maumivu naya tambua Nipe nikupu ndio ishara ya upendo Haiwezekani daily unanizingua Nisipokuona sina raha eeh Naumia namawazo Sema Kama haunipendi Ikiwa haunipendi Haiwezekani we daily unanizingu We nimgonjwa na unamwitaji mtabibu Mi ni daktari ki maradhi ntakutibu

Dully Sykes - Baby Candy

Baby usilie
Mi najua wazo lako
Ni kuwa na mimi leo mpaka kufa (baby Candy usilie)
Nenda shule kwanza
Halafu mambo ya love ndo baadae yatafuata
Usione nadharau
Hata mimi nakungoja baby Candy
Wala sijakusahau
Bado nakupenda usione sikupendi (baby usilie)
Umetoroka kwenu
Umenifuata home
Usiniponze Candy
Rudi kwenu Dom
Unataka tu-spend jigi, hug na rom
U-study mapenzi yatazidi ka ya dili ya niko
Kwa mwingine siendi
We ni zaidi ya utamu
Na ngoja ufike age
Mpaka moya msimamu
Itakuwa afadhali, rahisi kuja kwangu kwa room
Pia uache tabia zako za kutaka kunywa sumu
Nayafuta machozi
Acha kulia Candy
Nitakupa mapenzi
Utapokuwa na age
Takua upate umri wa ku-spend na mi
Usije ukanifungisha nikashangaza jamii
Baby usilie
Mi najua wazo lako
Ni kuwa na mimi leo mpaka kufa (baby Candy usilie)
Nenda shule kwanza
Halafu mambo ya love ndo baadae yatafuata
Usione nadharau
Hata mimi nakungoja baby Candy
Wala sijakusahau
Bado nakupenda usione sikupendi (baby usilie)
Sio kwamba sikupendi
We bado mdogo sana
Sikia baby Candy
Mi nakupenda sana
Nangoja ukue kwanza
Twaweza kuoana
Nataka niwe wa kwanza
Kikombe kukivunja
Wacha kulia sana
Unanisononesha
Mi nakusihi sana
Pia nakukumbusha
Rudi shuleni soma
Kwani bado mapema
Usije pata homa
Kwa kuniwaza mama
Hata rafiki zangu
Watanitenga pia
Na itakuwa kashfa kwangu
Hata kwako pia dear
Nadhani umenisikia
Yote nilokwambia
Wacha kulia lia
Wacha kulia lia
Baby usilie
Mi najua wazo lako
Ni kuwa na mimi leo mpaka kufa (baby Candy usilie)
Nenda shule kwanza
Halafu mambo ya love ndo baadae yatafuata
Usione nadharau
Hata mimi nakungoja baby Candy
Wala sijakusahau
Bado nakupenda usione sikupendi (baby usilie)
Baby Candy
Si kwamba sikupendi
Nangoja ukue, umalize shule
Tuta-spend, tuta-spend
Baby usilie
Mi najua wazo lako
Ni kuwa na mimi leo mpaka kufa (baby Candy usilie)
Nenda shule kwanza
Halafu mambo ya love ndo baadae yatafuata
Usione nadharau
Hata mimi nakungoja baby Candy
Wala sijakusahau
Bado nakupenda usione sikupendi (baby usilie)

Sizonje - Mrisho Mpoto ft Banana Zorro

Sizonje hii ndio nyumba yetu
Milango ipo wanapita madirishani
Sizonje ndio nyumba yetu
Milango ipo wanapita madirishani
Ingia uyaone maajabu ya nyumba yetu
Ingia uyaone maajabu ya nyumba yetu
Tulikaa barazani tukasikia kelele
Kelele toka ndani mtu anaruka dirishani
Sizonje karibu nyumbani kwetu
Uone maajabu ya nyumba yetu
Karibu sana Sizonje hii ndo nyumba yetu
Tulipoficha mundu za kupondea wezi
Kwani makaburi yaliofukuliwa lazima yazikwe upya
Nyumba hii Sizonje ina vyumba vinne
Vitatu havifunguki kimoja hakina mlango
Japo kuwa kina watu ndani na hawaongei Kiswahili
Wenyeji wanalala sebleni na walishazoea
Sizonje kule tulipotoka panaitwa jikoni
Huna haja ya kwenda kule kumejaa mafundi wa kupika
Sasa hivi wanakupikia wewe ili ule ulale
Ukiamka muongee nini hasa ujio na dhima ya safari yako
Wanashangaa mbona ghafla
Samahani sana mgeni
Wapishi wameniomba kwamba
Nikuulize tena kwa kukuomba kwamba
Eti unapenda vya mafuta au vya nazi
Wanataka kukuonyesha madoido katika mapishi yao Sizonje
Sizonje chumba hiki naomba usiingie
Ukimaliza nitakwambia kwanini
Kuna sauti inajirudia mara kwa mara
Na hapa mlangoni kulikuwa na picha mbili kubwa
Moja picha nyingine mchoro wa picha wa kwanza
Ninachokumbuka iliwahi kuandikwa ‘Usiyemtaka Kaja’
Hatukuwahi kuelewa maana yake
Labda kwa sababu ya ujio wako unaweza kutusaidia
Sizonje hii ndio nyumba yetu
Milango ipo wanapita madirishani
Sizonje hii ndio nyumba yetu
Milango ipo wanapita madirishani
Ingia uyaone maajabu ya nyumba yetu
Ingia uyaone maajabu ya nyumba yetu
Najua wimbo mbaya haufai kubembelezea mtoto
Na kamwe mtoto hawezi kuungua
Kwa kiazi kilichokuwa kwenye kiganja cha mama yake mzazi
Njoo huku uone Sizonje
Si unajua harufu ya uzazi haiishi mpaka mtoto akue
Sawa Sizonje huu hapa ni ua
Lile pale ni shimo la taka
Na kile pale ni choo
Kinachotutisha na kutuogopesha zaidi
Wanaoishi humu ndani hawajawahi kutupa taka
Wala kwenda chooni
Kama ukiwa makini
Kwa nje utasikia sauti za makundi ya watu
Wengi ni vijana wana bahasha za khaki mikononi
Kama hamtupi taka shimo hili mlichimba la nini
Lakini pia kwenye sauti zao Sizonje
Kuna watoto wazee na kina mama
Ukiunganisha sauti zao ndio unapata hizo kelele
Ninavyosikia ila sina uhakika
Waliambiwa kihistoria nyumba hii ni ya kwao
Na wana haki ya kutupa taka na kutumia choo hiki
Sasa njoo nikuonyeshe huku uchochoroni
Uone maajabu mengine ya nyumba hii
Sizonje ukiona tembo anaringa
Ujue mvua zinakaribia
Sizonje hii ndio nyumba yetu
Milango ipo wanapita madirishani
Sizonje ndio nyumba yetu
Milango ipo wanapita madirishani
Ingia uyaone maajabu ya nyumba yetu
Ingia uyaone maajabu ya nyumba yetu
Ingia uyaone maajabu ya nyumba yetu
Ingia uyaone maajabu ya nyumba yetu

Hafsa ft Banana Zorro Pressure

Mpenzi wangu mimi kweli nakupenda
Unajua ndo maana wanitesa
Sio siri honey wanipa pressure
Pressure ah pressure
Pressure pressure pressure ya nini
Nakutesa tesa na nini
Pressure pressure pressure ya nini
Mbona mpenzi huniamini
Kila tunapotoka eh mi narudi na ndonya
Napigwa eti nawachukulia
Khadija ndio nani mbona anasumbua
Usiku hatulali simu kila mara
Sababu maneno maneno
Maneno yako mami
Sababu mdomo mdomo eh
Mdomo wako mami
Nisiongee na watu eh
Mbona wasichana pekee
Labda ni madada zangu eh
Mbona mabusu tele
Mambo ya kizungu
Maumaya sipumui akija
Hata huduma zinasitishwa
Niweke wazi
Mi naona mwenzangu huogopi maradhi
Mama mama hao wengine wadhamini eh
Mpenzi wangu mimi kweli nakupenda
Unajua ndo maana wanitesa
Sio siri honey wanipa pressure
Pressure ah pressure
Pressure pressure
Pressure ya nini
Nakutesa tesa na nini
Pressure pressure
Pressure ya nini
Mbona mpenzi huniamini
Vipi kuhusu Anitha
Yule binti wa Morocco oh
Acha yule Rose
Mwenye mtoto wako
Kitanda hakizai harumu
Ile kweli damu yangu (nisamehe)
Kuhusu huyo Anitha
Mh
Anitha mbona simkumbuki
Mbona kigugumizi
Sababu waniona mwizi
Mbona kigugumizi
Mapenzi yamekwisha siku hizi
Mpenzi wangu mimi kweli nakupenda
Unajua ndo maana wanitesa
Sio siri honey wanipa pressure
Pressure ah pressure
Pressure pressure
Pressure ya nini
Nakutesa tesa na nini
Pressure pressure
Pressure ya nini
Mbona mpenzi huniamini
Nakupenda nakuheshimu lakini huna aibu wewe
Nakupenda nakuamini lakini sina imani tena nawe eh
Kama zamani na sasa kuna tofauti nisamehe
Kama zamani na sasa kuna tofauti tumalize
Tofauti zetu eh
Mimi na wewe eh
Tofauti zetu eh
Mpenzi wangu mimi kweli nakupenda
Unajua ndo maana wanitesa
Sio siri honey wanipa pressure
Pressure ah pressure
Pressure pressure
Pressure ya nini
Nakutesa tesa na nini
Pressure pressure
Pressure ya nini
Mbona mpenzi huniamini
Allan Mapigo Said Komorien
Banana ananitesa eh
Hey

AbduKiba Bayoyo lyrics

Habibty habibty wauba wangu wa ubani eh
Raha za ndani wewe umefunzwa na nani eh?
Mtoto mashaallah mtoto ma habuba
Mtoto Bilal Islat Naifat woyo oh oh
Yako majina yanantatiza bwana
Kila kukicha afadhali lile la jana
Habibty oh-oh habibty wewe
Wangu mimi kwako wewe kudunda dunda kwako
Kudunda dunda nami
Habibty mashaallah umezaliwa Tanga kisiwani
Napenda zile dimpose napenda zile njozi zako za usiku
Aah aah
Baby bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Baby bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Cheza na mimi (bilinge bwa bilinge bwa bilinge bwa)
Baby bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Baby bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Cheza na mimi (bilinge bwa bilinge bwa bilinge bwa)
Nafuraha tele kuwa na wewe
Siwezi kukukata kwenye maisha furaha yangu
Nyota yangu kizimwe changu nyumba yangu
Habibty wee iih
Ni wengi wenye mapenzi
Nishasemwa sana juu yako kwa vile mi unanienzi
Mapenzi real real real na kukuacha mimi siwezi
Hiyo ni ndoto ya mapenzi kwangu wa pekee
Napenda zile dimpose napenda zile njozi zako za usiku
Aah aah
Baby bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Baby bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Cheza na mimi (bilinge bwa bilinge bwa bilinge bwa)
Baby bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Baby bilinge bayoyo (bilinge bwa)
Cheza na mimi (bilinge bwa bilinge bwa bilinge bwa)
Alekufunza habibty mahaba tusije saliti
Mungu wa raha na dhiki (mahaba) habibty bilinge yo
Alekufunza Habibty mahaba tusije saliti
Mungu wa raha na dhiki habibty bilingeba
Habibty yoyo oh oh oh
Habibty wewe mamaa
Habibty yeeeh njoo!

Saturday, April 14, 2018

Dogo Janja ft PNC la moyoni lyrics

la moyoni by Dogo Janja ft PNC

wala mimi sina hila, ila nafsi yangu inanituma kusema ya moyoni
wala sina kisasi, namshukuru mola huko nilikotoka na sasa nilipofika
kitanashati haswa, natiririsha ngoma
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma
kitanashati haswa, nakinukisha pale
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma

Verse zangu mi naziacha mungu atawasomea
Jasho langu kwenye shamba lao, walifanya Mbolea
Hawakujali nilikotokea, shida zajibebea
wakanifunga akili huku miguu inatembea
Mama akasema mwanangu kaza msuli
Ukitaka zikwa na watu vua koti la ukiburi
Dawa ya Jeuri kiburi, mimi sio mzuri
Pesa ndio kivuli nalea mapenzi kama hujui
kudai haki yangu kumejenga uadui
napenda 'madugu' zangu na ndugu siwabagui
mtanizika na simjui, ntapoelekea asubuhi
nani mwenye upendo wa ukweli hata nikishuka haupungui
Bado nasukuma kete, weka nami niweke
chomeka nichomeke ngumi dabo na teke
kwenye maseke ya makeke
mfukoni mambo bado kama Chege wa Temeke!

wala mimi sina hila, ila nafsi yangu inanituma kusema ya moyoni
wala sina kisasi, namshukuru mola huko nilikotoka na sasa nilipofika
kitanashati haswa, natiririsha ngoma
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma
kitanashati haswa, nakinukisha pale
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma

Naamua kukaa kimya, ila nina domo la kaya
Hata we niliyekuamini, leo unanisema vibaya
stoneshi kidonda binadamu ka' kinyonga
ukitaka kuishi wanavyotaka, he utakonda
wako waliofurahi, wakasema naenda kuteseka
kumbe kwangu bora maana hata nikilala kwenye mkeka
siwezi kukataa nimetoka kwenye njaa
kama hakuna manufaa siwezi ng'ang'ania Dar
Jasho nililomwaga halijachonga hata kitanda
watu wanaendesha magari na kumiliki vinanda
Inshallah, Mungu ndiye anayepanga
Machungu naya'rewind kwenye mind kama kanda
Nashukuru asubuhi kumekucha kwenye mwanga
Mungu ananilinda ananikinga na Majanga
Namuomba safari hii isiishie njiani
waje sema maisha yangu bila wao haiwezekani

wala mimi sina hila, ila nafsi yangu inanituma kusema ya moyoni
wala sina kisasi, namshukuru mola huko nilikotoka na sasa nilipofika
kitanashati haswa, natiririsha ngoma
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma
kitanashati haswa, nakinukisha pale
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma

Mziki kwenye ala, nawasukuma kama mpira
kama nafunga kushoto kumbe kulia..Bila!
Ndege mjanja tundu mlinzi tatu..Bila!
Janjaro bado yupo kama desturi na Mila

Right!
Niko makini, kwenye game sitong'oka
Japo kuna wanga wanaotaka kuzima nyota
kuna wanaodiriki, hata fala mi kuniita
ila mridi nipinde, wao wabaki wakipeta
ila nimeshtuka, siri ndo imefichuka
mwanzo walipoona fani na sasa wapo jukwaani
walo.sema ni uhuni watu imewaingia damuni
wengine bila haya

wala mimi sina hila, ila nafsi yangu inanituma kusema ya moyoni
wala sina kisasi, namshukuru mola huko nilikotoka na sasa nilipofika
kitanashati haswa, natiririsha ngoma
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma
kitanashati haswa, nakinukisha pale
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma

Steve rnb Jambo Jambo lyrics

Jambo jambo by Steve RnB

(Chorus)
Nasema jambo jambo mama
Habari gani nzuri sana
Ukiniacha ntaumia
Mwenzio nshakuzimia
Nasema jambo jambo mama
Habari gani nzuri sana
Ukiniacha ntaumia
Mwenzio nshakuzimia

(Verse1)
Uzuri wako umenifanya
Niwe nawe ka kabisa
Tabia ndio imenivuta
Niwe karibu
Moyoni niwe na furaha baby
Na furaha baby
Hakuna atakayenitenganisha atakayenitenganisha
niwe mbali na we mama
Ni mungu mwenyewe anaweza
Anapenda wote tuwe na furaha baby
Na furaha baby

(Bridge)
Without you
Without you
Love me o  I can't be
Without you
Without you
No steve rnb
Without you
Without you
Love me o  I can't be
Without you
Without you
No steve rnb

(Verse2)
Natamani niwe nawe kila saa
Usiku na mchana kuna njaa
Ukiwapo we pembeni kweli  najivunia
Karibu ndani yangu washa taa
Ndani giza nene washa mshumaa
Sikia hizi hisia
Karibu ndani naumia yeeah

(Chorus)
Nasema jambo jambo mama
Habari gani nzuri sana
Ukiniacha ntaumia
Mwenzio nshakuzimia
Nasema jambo jambo mama
Habari gani nzuri sana
Ukiniacha ntaumia
Mwenzio nshakuzimia

Without you
Without you
Love me o  I can't be
Without you
Without you
No steve rnb
Without you
Without you
Love me o  I can't be
Without you
Without you
No steve rnb