Tuesday, May 16, 2017

Love me izzo bizzness lyrics

Here they talk, let ’em talk girl
Now what they talk?
Here they talk, let ’em talk girl
Now what they talk?
Here they talk, let ’em talk girl
Now what they talk?
Here they talk, let ’em talk girl
Ah haa
Kama kijana, nilishafanya vitu vyote pia nikamaliza
Na mwisho wa siku, akili yangu kwake kabisa ikagota
Please don’t judge me (don’t judge baby, don’t judge baby eh)
Baby love me (I love you baby, I love ya!)
Mapenzi hatujaanza juzi, long time niko nawe
Naomba radhi nikikuudhi, nahisi nimeumbwa na wewe
We barafu wa moyo wangu, acha leo niweke wazi
Labda shahidi yangu Mungu, nikiwatoa wazazi
Nakumbuka toka shule, enzi za sekondari
Baby ulikuwa pale, we ulionyesha kunijali
You’re the one in a million, naapa kwa jina langu
Ah Jose Chameleone,
Sina valuvalu baby’
Tangu Izzo naitwa Imma, we ulikuepo ulisimama
Matatizo yalituandama, we hukuchoka ulipambana
We ndo maana ya mapenzi, mapenzi yanakuogopa
Hawa vicheche ni washenzi, hawajui wanachotaka
Ntakujali na kukuheshimu, acha woga mi bwana ako
Ya kwetu jukumu letu, hayawahusu shoga zako
We ndo Alicia, mi ndo Swizz, tupa mbali Jay Z, Beyonce
Shaa ndo keys, MJ beats, anayebisha shauri yake
Kama kijana, nilishafanya vitu vyote pia nikamaliza
Na mwisho wa siku, akili yangu kwake kabisa ikagota
Please don’t judge me (don’t judge baby, don’t judge baby eh)
Baby love me (I love you baby, I love ya!)
Kama ku-cheat, nisha-cheat sikufichi honey
Nisamehe yo my sweet honey, ni pepo sio mi
Ruksa kamba we nifunge, nishatua hapa
We ni jimbo nami mbunge, nishatua hapa
Mapenzi moto moto mpaka joto linaona wivu
Nikuite nani, ama mtoto? Leo baby naomba kavu
We mtamu kushinda asali, hakyamungu utaniua
Acha waseme mi sijali, haki ya Mungu utaniuaa
Acha basi nikusifie, sifa ulizonazo
Ila baby usijisikie, ikawa kama chanzo
Guu lako sio la bia, baby guu la champagne
Leo wazi nakuambia, hey you got that thing
Midomo wet sio mikavu, ona wanaona wivu
Umejazika si sana, maana sana inaboa
Hasa kwa sisi waungwana, sana inaboa
Macho na hizo hips ndo nakufa kabisa
Kama kijana, nilishafanya vitu vyote pia nikamaliza
Na mwisho wa siku, akili yangu kwake kabisa ikagota
Please don’t judge me (don’t judge baby, don’t judge baby eh)
Baby love me (I love you baby, I love ya!)
(I love ya)
I love you baby, I love ya
(I love ya)
I love you baby, I love ya
(I love ya)
I love you baby (baby), I love ya
(I love ya)
Ah ah I love ya (I love ya)
I love you baby, I love ya
(I love ya)
I love you baby, I love ya
(I love ya)
I love you baby (baby), I love ya
(I love ya)
Ah ah I loving ya
Kama kijana, nilishafanya vitu vyote pia nikamaliza
Na mwisho wa siku, akili yangu kwake kabisa ikagota
Please don’t judge me (don’t judge baby, don’t judge baby eh)
Baby love me (I love you baby, I love ya!)
Yeah!
Hii special kwako baby, au sio?
You’re the one and only
Yo miss Bizz.. miss Bizness, baby
Hahah
I love you, baby aah

Kidatokimoja lil ghetto lyrics

Kama safari ya mapenzi, nataka kuianzisha mimi na wewe
Nimepita nimeona wengi, jua moyo umekuchagua wewe
Kama safari ya mapenzi, nataka kuianzisha mimi na wewe
Nimepita nimeona wengi, jua moyo umekuchagua wewe
Nikiwa karibu na ua ridi, basi na mimi nitanukia
Kukuoa inanibidi, kwa kila hali ma umenivutia
Unanikumbuka
Ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule
Tulosoma wote kidato kimoja
Unanikumbuka
Ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule
Tulosoma wote kidato kimoja
Unajua mtu halazimishwi kupenda, anapenda mwenyewe
Basi usinikuzishie kidonda, wakati wajua dawa ni wewe
Unajua mtu halazimishwi kupenda, anapenda mwenyewe
Basi usinikuzishie kidonda, wakati wajua dawa ni wewe
Ntapata mi au nitakosa, utanisononesha kama ukinitosa
Kiangazi hata mvua za masika, nikikukosa jua ntaweweseka
Ntapata mi au nitakosa, utanisononesha kama ukinitosa
Kiangazi hata mvua za masika, nikikukosa jua ntaweweseka
Unanikumbuka
Ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule
Tulosoma wote kidato kimoja
Unanikumbuka
Ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule
Tulosoma wote kidato kimoja
Naamini unanikumbuka, hizo dharau uloleta
Kama tunda limeshawiva, tulibandue maganda
Fikiri, kumbuka tulipotoka
Mama wee, dada wee, unanitesa sana
Mama wee, dada wee, mbona unanichanganya?!
Unanikumbuka
Ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule
Tulosoma wote kidato kimoja
Unanikumbuka
Ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule
Tulosoma wote kidato kimoja

Made hela lyrics

Hee – laa
Hee – laa
Hee – laa
Hee – laa
Habari gani jamani
Na hali ni gani
Mliopo duniani na mna raha
Game hatushindani na hatubishani
Nani ni Bingwa wa raha heeh
Siku hizi hela inakupa u star
Ni rahisi kumpinga hata Jah
Mwenye ela atakuhamisha Dar
Na akitaka hata jela utakaa
Hela imeleta hata vita imeua majita
Hali mradi balaa
Hela imevunja kanisa
Leo hakuna misa tunashinda bar
Yule kijana wa home sio star
Anatukana hata walio mzaa
Wivu tamaa na njaa
Ukiendekeza jua kidole utakaa
Hee – laa
Hee – laa
Hee – laa
Hee – laa
Hii dunia ni njia na nishapitia
Na nakaribia kusepa
Wengi wanaisifia ila mi naichukia
Na naona ni ngumu pia kuikwepa
Basi nyinyi watoto someni
Ya akina wema kadinda komeni
Kesho mufike kule bungeni
Msiendekeze ya mabrazamen
Mengi nimepitia nikiwahadithia
Wengine mtalia sana
Ina mengi dunia usipoangalia
Watakutatisha tamaa
Eti Masaki kuna Mungu-Watu
Nje Jongoo kumbe nani chatu
Hivi nyie darasa la tatu
Mshaisoma hadithi ya kibantu
Hee – laa
Hee – laa
Hee – laa
Hee – laa
Enyi nyinyi wadada wa mjini
Mnauza chini mnataka nini hela
Siwezi weka akilini chumvini mimi
Alafu nikupe hela
Kama wewe una act tom boy
Hata unshike kwa wapi huchojoi
Hata ufungue hii nati sienjoy
Nakula bati kuliko hata toy
Hee – laa
Hee – laa
Hee – laa
Hee – laa

Vailet matonya lyrics

Watu walishachonga sana
Eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana
Kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss, hug sipati oh mama, baby
Watu walishachonga sana
Eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana
Kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss, hug sipati oh mama, baby
Mi na huyu demu tunapendana
Sisi kila sehemu mimi naye hatutoachana
Kwenye shida na raha sisi tunapendana
Bora tunapendana
Mseme msemavyo tutazikana
Mi na Vai hatutoachana
Mbane mbanavyo tutazikana
Mi naye hatutoachana
Wanaogombana wanapatana
Nikikuudhi naomba unisamehe
Kama kadi I’m sorry mpenzi nikuletee
Semaa unachotaka
Chochote unachotaka nitakupa maa
Baby usiwe na pupa
usiwe kama fisi unataka mfupa
Wewe Vailet amini we ndo
My sweet heart, mi napenda unavyodeka
Unavyocheka, mwili unaweweseka
Watu walishachonga sana
Eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana
Kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss, hug sipati oh mama, baby
Watu walishachonga sana
Eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana
Kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss, hug sipati oh mama, baby
Vailet njoo Vailet usihofu
Vailet usifanye chochote itakuwa soo
Kwani mi mwenzako Tonya nakupenda sana
Ziba masikio wanafiki watakudanganya
Vailet basi usiwe na wasi
Ushanikataza nastop kuvuta nyasi
Kuna mazuri baby utakuwa huyapati
Kipindi kile we utaponisaliti we
Vailet we ndo keki wengine fake
Wataolewa hawariziki we
Mi na wewe tu, we ndo wangu sista duu
Usiwe na makuu nasisitiza we ndo my au
Vailet usininyanyase mie
Vailet nini nikununulie
Watu walishachonga sana
Eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana
Kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss, hug sipati oh mama, baby
Watu walishachonga sana
Eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana
Kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss, hug sipati oh mama, baby

Speak tairi matonya lyrics

Najua nishachelewa
Kama kupenda umeshawahiwa
Nahisi kama ngekewa
Hadithi nzuri nasimuliwa
Kweli Maanani kaumba dunia kwa uwezo wa pekee
Nakupa marks asilimia mia baada wifey wewe
Kwani, lini, honey utakuja niamini?
Ya kwamba kidole kimoja hakiwezi vunja chawa hasirani
Pini ukinilia mi utanipa kovu kubwa maishani
Kwani Tonya mi tayari kuwa hata kwa spare tairi
Tafadhali Lati niamini
Nenda kwanza kafikiri
Tonya boy mi ni tayari kuwa hata spare tairi
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)
Kila ndege hutua kwenye mti aupendao
Hata kama una miba na majani kibao
Nishatota nugu tafadhali nikubali mwenzio
Hata kama una mchumba sitoweka vikwazo
Ayaa, hata mimi nakupenda kwenye hii sayari
Ayaa, na tabia za watu Lati huwezi tabiri
Unaweza tendwa na uliye nae
Nikaziba pengo juu yake yeye, Lati niamini
Tafadhali Lati niamini
Nenda kwanza kafikiri
Tonya boy mi ni tayari kuwa hata spare tairi
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)
Kila kukicha mi naona jii
Hata mwenzangu hueleweki
Na jibu langu hunipi
Nitafanyanini sasa wangu Lati
Kila kukicha mi naona jii (eeh)
Hata mwenzangu hueleweki (eeh)
Na jibu langu hunipi (eeh)
Nitafanyanini sasa wangu Lati (eeh)
Tafadhali Lati niamini
Nenda kwanza kafikiri
Tonya boy mi ni tayari kuwa hata spare tairi
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)

Anita matonya lyrics

Anita (iye iyee)
Anita wangu (uwo uwo)
Lelele lilele iye iyee
Nasukuma sukuma, ili siku ziende
Urudi nyumbani tuishi pamoja
Nasikia mazoea yanatabu, leo ndio naamini
Tangu uondoke Anita raha nakosa mimi
Hukumbuki tulilishana yamini
Kwamba mimi na wewe
Maisha milele mpaka nafukiwa chini
Ni mawazo yanautesa moyo wangu Anita nielewe iyee
Natamani uyajue ili unilinde mimi
Sijajua uliwaza nini Anita kuwa mbali na mie iyee
Hata hilo nilijue ili nisaishwe mimi
Kama ni maradhi, mimi ndio wako dakitari
Unambie mapema ili dawa yake niijue
Ama ni waradhii iiih hiii
Anii..
Anita (iye iyee)
Anita wangu (uwo uwo)
Lelele lilele iye iyee
Nasukuma sukuma, ili siku ziende
Urudi nyumbani tuishi pamoja
Unajua mi nilikupendaa zaidi
Ila ya dunia we yalikuzidi
Nilitamani kuwa nawe zaidi
Kuliko yoyote unayemdhani
Siku zote uko safarini kuniacha mimi upweke
Mi nilikupenda sana we mpenzi
Je kweli wataka kunienzi?
Au unataka kunitia mi mashakani?
Siku zaenda kama chizi, ni yangu njiani naongea
Hiyo yote sababu yako Anita kilio pokea
Chefu na majirani mtani wanakuulizia
Sina la kuwajibu nabaki kama chizi najililia
Waliniambia nikuache wewe
Ili mi niishi mwenyewe
Masikio nikaziiba, vipi niishi bila wewe
Wakasema hutonithamini, wala haikuniingia akilini
Mbuzi gita wakapiga jua wewe ndio wa maishani
Anita wewe umeumbika mama
Kila upitapo nyuma lawama
Sijiwezi mtoto wa kitanga
Kwako taabani nishabwaga manyanga
Anita wewe umeumbika mama
Kila upitapo nyuma lawama
Sijiwezi mtoto wa kitanga kwako taabani
Anita, nakuita..
Anita (iye iyee)
Anita wangu (uwo uwo)
Lelele lilele iye iyee
Nasukuma sukuma, ili siku ziende
Urudi nyumbani tuishi pamoja
Anita (iye iyee)
Anita wangu (uwo uwo)
Lelele lilele iye iyee
Nasukuma sukuma, ili siku ziende
Urudi nyumbani tuishi pamoja
Pamoja, pamoja na Dunga
Ndani ya 41 Records
Pamoja iih na Jide (aan haa, ah Jide)
Mkata
Ndani ya 41 Records (oh pamoja)

So uliniambia mb Dogg lyrics

Si kwamba tu naimba sometimes huwa nalia
Hofu na mashaka ulipo labda una-share
Ulisema waja mnyamwezi nikakungojea
Sema mami sema lini utarejea
Ee-eh eh I love you maa
Oo-oh oh I love you girl
Ee-eh eh I love you maa
Oo-oh oh I love you girl
Na uliposema waja wengi walikungojea
Mara muda umepita Abdul Bonge umeshamboa
Hivi kangoja mpaka Mola kamchukua
Sema mamii sema lini utarejea
Ee-eh eh I love you maa
Oo-oh oh I love you girl
Ee-eh eh I love you maa
Oo-oh oh I love you girl
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Ajabu toka ulipotoka miaka imepita
Sijakuona wangu my darling
Ni mbali uliko mi’ko mi na mashaka
Nakosa raha kabisa
Penzi lako nkilikosa baby kwangu soo
Ndo mana mi nakwita baby baby kwangu njoo
Nakupa live baby unanitesa roho
Ndo maana nakonda nadata na beat zapo
Au ndo ule mfano baby wanipenda roho
Na ile nyama mbichi baby itaniuma roho
Kama ni dili ntazicheza baadae
Kwanza rudi home washangae
Rudi home baby ili wapagawe
Nicheze nawe Kuchi Kuchi Hota Haii
Nakusubiri baby nakungojea mchumba
Nakusubiri nakungoja mchumba usinizuge
Nakusubiri baby nakungojea mchumba
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Ajabu toka ulipotoka miaka imepita
Sijakuona wangu my darling
Ni mbali uliko mi’ko mi na mashaka
Nakosa raha kabisa
Na kama waja niambie baby yee iye
Kama utanitosa mi nijua baby ei yee
Yaani na maana sina jinsi I love you girl
I love you shori everyday
Na maana sina jinsi I love you girl
I love you shori everyday
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Ajabu toka ulipotoka miaka imepita
Sijakuona wangu my darling
Ni mbali uliko mi’ko mi na mashaka
Nakosa raha kabisa

Ina maana mb Dogg lyrics

Natamani nikuone sijui ntakuona vipi
Natamani nikufuate sijui ntakufuata vipi
Please baby I don’t know sijui
Sema sema sema
Please baby I don’t know sijui
Nakwagara sheri wange
Natamani mi nikupe moyo wangu
Uende nao
Uni-kiss niridhike moyo wangu
Upoe nao
Kama nilivyo nipende mi msela
Mi msela aa usiniache
Kukuacha naweza
Naogopa nitajiumiza
Ndo maana nafanya miujiza
Moyoni usije niumiza
Naona raha naona
Raha naona
Mwenzenu raha naona
Nahisi unafirigita
Natamani nikuone sijui ntakuona vipi
Natamani nikufuate sijui ntakufuata vipi
Please baby I don’t know sijui
Sema sema sema
Please baby I don’t know sijui
Nakwagara sheri wange
Kipi mamaa kinachokusumbua? Oh
Nieleze baby ili nikupe mamii
Sema basi (basi) anaekuzuzua oh
Nieleze baby nami nimuige muhuni
Nami najua ni wewe tu ulie moyoni mwangu
Kwenye shida na raha usinimwage
Usiniache
Naona raha naona
Raha naona
Mwenzenu raha naona
Nahisi unafirigita
Natamani nikuone sijui ntakuona vipi
Natamani nikufuate sijui ntakufuata vipi
Please baby I don’t know sijui
Sema sema sema
Please baby I don’t know sijui
Nakwagara sheri wange (wange)
Dumba dumba dumba dumbe
Dumba dumba dumba dumbe
(Wange)
Dumba dumba dumba dumbe
Dumba dumba dumba dumbe
Ukitaka uje Afrika
Ukitaka twende Amerika
Ukitaka uje Afrika
Ukitaka twende Amerika
Ukitaka uje Afrika
Ukitaka twende Amerika
Ukitaka uje Afrika
Ukitaka twende Amerika
Ukitaka uje Afrika (Congo pia)
Ukitaka twende Amerika (Na Somalia)
Ukitaka uje Afrika (Nairobi pia)
Ukitaka twende Amerika (Kampala pia)
Ukitaka uje Afrika (Bujumbura)
Ukitaka twende Amerika (Comoro pia)
Ukitaka uje Afrika (Maputo aa)
Ukitaka twende Amerika
Dumba dumba dumba dumbe
Nigeria
Dumba dumba dumba dumbe
Hae hae hae
Dumba dumba dumba dumbe
Hae hae hae
Hae hae hae

Latifah mb Dogg lyrics

Maneno mengi wanasema juu yako
Eti kuna kitu honey umenifanyia
Mganga sio sababu mimi kuja kwako
Ila mi mwenyewe moyoni nimekuchagua
Nakutafuta nione sura yako
Nakutamani niwe karibu yako
Kama ni gari ndio mapenzi yawe tight
MB Dogg man mi nishalinunua
Kama salamu honey we ukini-miss
Ni-beep baby mi nitakupigia
Nakutafuta nione sura yako
Nakutamani niwe karibu yako
Aaya aa baby
Yei yei yei oh baby
Sema basi unachotaka mamii
Sema basi unachotaka honey
Honey achana na mawazo kishetani
Ukiniacha mi nitabaki na nani?
Latifah we ndo tu mamii
Lati we ndo honey
Latifah we ndo tu mamii
Latifah haya
Yei yei yee yee baby
Aah aa oo oh
Yei yei yee yee baby
Aah aa oo oh
Vipo vya ku-share Lati sio mapenzi
We ni wangu imepangwa toka enzi
Sema basi kitu gani unachotaka
We usijali mrume sina matata
Nachotaka we milele uwe wangu
Uje nikuite mama wa watoto wangu
Ukiniacha utaumiza moyo wangu
Kwani n’shaachana na habari za machangu
Ndio sharo wacha waone donge (waone donge)
Kama mikwanja tutachota club tubonge
Kilichobaki sir God tumuombe
Tuwapo wawili nyoyo zetu tuzikonge
Nachotaka we milele uwe wangu
Uje nikuite mama wa watoto wangu
Ukiniacha utaumiza moyo wangu
Kwani n’shaachana na habari za machangu
Penzi la dhati Latifah mi nitaona ah
Haa aa haa a
Penzi la uzushi Lati mi nitajua ah
Haa aa haa a
Kumbuka Doggy man Dogg nakupenda
Ukiniacha Doggy man Dogg nitakonda
Njoo uni-kiss lady njoo unipe denda ahaa
Madee ye anajua
Kama penzi langu kwako moyoni kidonda
Haa aa haa a
Kama penzi langu kwako nguvu za kiganga
Haa aa haa a
Ukiniacha Doggy man Dogg nitakonda
Njoo uni-kiss lady njoo unipe denda ahaa
Dogg naumia
Yei yei yee yee baby
Aah aa oo oh
Yei yei yee yee baby
Aah aa oo oh
Sema basi unachotaka mamii
Sema basi unachotaka honey
Honey achana na mawazo kishetani
Ukiniacha mi nitabaki na nani?
Latifah we ndo tu mamii
Lati we ndo honey
Latifah we ndo tu mamii
Latifah haya

In maana mb dogg lyrics

Ina maana hujui kama
Nakupenda sana wee
Jinsi ulivyoumbika duu
Mi nakonda na we
Ina maana hujui kama
Nakupenda sana wee
Jinsi ulivyoumbika duu
Mi nakonda na we
Niamini baby moyo wangu
Umeuteka wee
Sili silali juu yako
Mi na mawazo
Bora shida na njaa my baby girl
Huwa mazoea
Ila sivo kuona we my wife
Nakosa raha kabisa
Ina maana hujui kama
Nakupenda sana wee
Jinsi ulivyoumbika duu
Mi nakonda na we
Ina maana hujui kama
Nakupenda sana wee
Jinsi ulivyoumbika duu
Mi nakonda na we
Uzuri wa sura yako baby maa
Umekufanya nikupe taji la Afrika
Nimejikaza nisiseme Nancy Sumari
Eeh! Mi nashindwa nawe
Naposikia jina lako oh
Natamani nikufate ulipo maa
Huwa sili silali Nancy Sumari
Hey! Mi nakonda na we
Unafaa kuheshimika sio kwa taji waliokuvika
Umzuri wa asili idara zote umekamilika
Umrefu kama twiga
Kifuani kama miba
Sina ufana nae labda dada ‘angu Saida
Unawaka kama nyota angani inayong’aa
Umalkia wa ajabu unapaswa nikuite star
Nakupongeza kwa zeze huku kitaa
Mwana wa Sumari nawe matawi ya juu shaa!
Macho yanashangaa ila nafsi imekubali
Wewe wala haitoshi kupewa zawadi ya gari
Zawadi kubwa apewe mtu kama mimi
Ambaye ntakuthamini hata ukiwa mwezini
Nachokuomba kuwa busy kwepa skendo
Mi ntakutunuku shahada nyingi za urembo
Mungu kakumulika malkia wa Afrika
Kwa kifupi mama umekubalika
Sio tu Madee MB Dogg mama Pashta
Hata Kwembe Tolu kasema we senyorita
Huku vacho unapendeza na macho unalegeza
Wala hujala kungu nahisi unanikonyeza
Right?
Natamani uende kwetu
Mh kwetu kwetu
Kwetu kule Manza Bay
Natamani uende kwetu
Kwetu kule Manza Bay
Ukale-kale wali na sombe
Natamani uende kwetu
Kwetu kule Manza Bay
Natamani uende kwetu
Kwetu kule Manza Bay
Ukale-kale wali na sombe
Sema unachotaka
Baby mi ntakupa
We ndo kimwana face wa Afrika
Tumboni navidonda
Mawazo mi nakonda
MB Dogg man nachoka kabisa
Natamani uende kwetu
Kwetu kwetu
Kwetu kule Manza Bay
Natamani uende kwetu
Kwetu kule Manza Bay
Ukale-kale wali na sombe
Sema unachotaka
Baby mi ntakupa
We ndo kimwana face wa Afrika
Tumboni navidonda
Mawazo mi nakonda
MB Dogg man nachoka kabisa

Mirror naogoba lyrics

Kama nyota na mwezi angani
Kama nyota na mwezi angani
Mwenzenu naogopa kuumia
Mwenzenu naogopa kuumia
Usinipe namba ka unajua utajakuniuma
Kupenda sio ushamba, natamani na moyo unaniuma
Mi mwana masikini kipato kidogo (kidogo)
Uje uniache mimi uende kwa vigogo (ah vigogo)
Hata kama sipo
Pendo langu lipo
Mvua na mafuriko
Hapa mbele ya maandiko
Milele mpaka kifo
Kwamba mi ni wako
Wako, uh
Sijutii maamuzi yangu ila naogopa kuumia
Ndipo ilipo furaha yangu baby naogopa kuumia
Usije ponza hisia zangu mwenzio naogopa kuumia
Mapenzi ndio furaha yangu mwenzenu naogopa kuumia
Kama nyota na mwezi angani, niwe karibu nawe
Natamani hata kama ungenipenda mimi tu (mimi tu)
Ila kwingine usitamani, my baby, tuwe mimi nawe
Natamani hata kama ungenipenda mimi tu (mimi tu)
Hata kama sipo
Pendo langu lipo
Mvua na mafuriko
Hapa mbele ya maandiko
Milele mpaka kifo
Kwamba mi ni wako
Wako, uh
Sijutii maamuzi yangu ila naogopa kuumia
Ndipo ilipo furaha yangu baby naogopa kuumia
Usije ponza hisia zangu mwenzio naogopa kuumia
Mapenzi ndio furaha yangu mwenzenu naogopa kuumia
Mapenzi bila pesa ndio yaponzao
Mara nyingi moyo wangu
Ila najipa imani kwako haitakuwa hivyo
Tena kuwa makini nisemayo
Usiulaghai moyo wangu
Kwa kunipenda kwa uzani, mwisho kujutia
Ah! Hata kama sipo
Pendo langu lipo
Mvua na mafuriko
We mama
Hapa mbele ya maandiko
Milele mpaka kifo
Kwamba mi ni wako
Mama wee
Sijutii maamuzi yangu ila naogopa kuumia
Ndipo ilipo furaha yangu baby naogopa kuumia
Usije ponza hisia zangu mwenzio naogopa kuumia
Mapenzi ndio furaha yangu mwenzenu naogopa kuumia
Ila naogopa kuumia
Baby naogopa kuumia
Mwenzenu naogopa kuumia
Mwenzenu naogopa kuumia
Ila naogopa kuumia
Baby naogopa kuumia

Basi nenda mo music lyrics

Ooh (Classic Music)
Oh ohh
Kulalama kufuru lakini
Naona ndio napoza moyo
Uwepo wako sawa na mwiba kidoleni
Ile tamu imegeuka shubiri
Nilipokuthamini nikakupa moyo
Hata kutendwa sikufikiri
Kinywa kizito kuukubali ukweli
Moyo unashindwa inaniuma ni hatari
Mapenzi yanatawala dunia sawa
Nimechoka kutawaliwa kama
Uwepo wako sawa na muiba kidoleni
Ile Asali wanalina wengine
Siwezi kubishana na moyo
Nilikupenda kipepeo
Ila ile picha linaonyesha mapenzi yamekwisha
Go Ooh
Basi nenda
Na mi ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Na mi ntaudanganya moyo utatulia
Basi nenda
Na mi ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Na mi ntaudanganya moyo utatulia
Wanasema upendo wa kweli ndo hata haufutiki
Ila kwa baadhi najua
Right ningeelewa kuvuma kwa upepo hakutobadili misimu ya jua
Nilishajua miendeno yako
Tusingewezana aaha
Kumbe nakunywa maji ya moto na me bado mtoto
Kwangu changamoto mmh
Waliposema hufai
Nilijipa moyo ni ya walimwengu
(Bileke bizende bindi biloza)
Hata Lolly aliniambia
Labda thamani ya mapenzi ni kikombe
Sikukivunja sina thamani
Sawa nimelewa sana sina haja ya kung’ang’ana
Basi nenda
Na mi ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Na mi ntaudanganya moyo utatulia
Basi nenda
Na mi ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Na mi ntaudanganya moyo utatulia
Basi nenda
Na mi ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Na mi ntaudanganya moyo utatulia
Basi nenda
Na mi ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Na mi ntaudanganya moyo utatulia
Lolly Mwaah
K Records
Classic Music

Nitazoea mo music lyrics

Ayaa!
D Classic
Mmh!
Zile kelele za mto, hazitotikisa mwamba
Kama jaribio langu, kutishia mlima sawa na mate kuzima moto
Basi ungenieleza ule muda wangu ningesoma hata gazeti
Naona najidhariri kutangazia umma napendwa kumbe natendwa
Unawaambia mashosti, imeku-cost kuspend muda na mimi
Umeniwekea nuksi, ona sipati mwenye upendo wa dhati ehh
Sawa nimeumia, ila nitazoea
Jua dunia duara nawe yatakutokea
Nakuombea Mola ohoo
Akuepushe madhara
Maisha sio masihara, ipo siku utanambia ah
Basi Mwasi
Sikio la kufa halisikiagi dawa
Ya nini nikupeti peti
Kisicho riziki sili nakitupa mbali
Basi Mwasi
Sikio la kufa halisikiagi dawa
Ya nini nikupeti peti
Kisicho riziki sili nakitupa mbali
Sikukushtua haya, niliposema ‘basi nenda’ (basi neenda)
Nilijiuguza haya, niliposema mi ‘dhahabu’
Niliposema baby ‘simama’ ulizidi songaa (why?)
Nimeamini we sio binadamu ni kinyonga
Nimedanganywa utulivu wa nje
Kwa ndani unatokota
Na umeniponda kwa nyundo ulozungushwa miba nguvu tena sina eiih
Sawa nimeumia, ila nitazoea
Jua dunia duara nawe yatakutokea
Nakuombea Mola ohoo
Akuepushe madhara
Maisha sio masihara
Ipo siku utanambia ah
Basi Mwasi
Sikio la kufa halisikiagi dawa
Ya nini nikupeti peti
Kisicho riziki sili nakitupa mbali
Basi Mwasi
Sikio la kufa halisikiagi dawa
Ya nini nikupeti peti
Kisicho riziki sili nakitupa mbali
Eh eh eh yere uh eh
Eh eh eh yere uh eh
Asante

Asanteni kwa kuja mwanafa lyrics

Choir Master!
I’m in a building
Asanteni kwa kuja, thanks for coming
Coming, coming, coming, coming
Asanteni kwa kuja, thanks for coming
Coming, coming, coming, coming
Shombo nyingi zaidi ya soko la samaki
Ferry inangoja hata beberu hanipati
Buheri wa afya, hofu juu yako
Merci beaucoup, njoo uongee na cousin yako
Naenda kazini wakati wanaenda vitandani
Sio salama. sio salmini na silali ka vitani
Hakuna imani kwa ma-snitch mwana
Njoo na panga ukute shoka ka zamani zama
Bastola na glasi ya Vodka lazima kuwe na sadaka
Madeni lazima yalipwe hata mdaiwa asipotaka
Another day, another dollar (aa mi mchaga mwingine)
Siku nyingine, hela nyingine
Sio kicheche mwingine
Asanteni kwa kuja, thanks for coming
Coming, coming, coming, coming
Asanteni kwa kuja, thanks for coming
Coming, coming, coming, coming
Here comes the beat, here comes the beast
Mother, I’m still the best
Ukiniona kimya imani na mshindo una-trot
Vita kwa vina money na auto in the bank
Kama ipo itafika tu, spika za nini kachaa
Mungu akitaka kukupa wala hakuandikii barua
We get money on the right things, and keep calm
Wenye kelele wote sio kings, kuwa na nidhamu
Tatizo la uongo ni kwamba milele haufiki mwisho
Ka kiporo utatudanganya na kesho
Malalamiko kibao ka mtoto wa kambo
Kuruka ruka haijawahi kuwa dawa ya ulimbo
Asanteni kwa kuja, thanks for coming
Coming, coming, coming, coming
Asanteni kwa kuja, thanks for coming
Coming, coming, coming, coming
Ilikuwa poa tu, ilikuwa love tu
Ilikuwa safi kabla mkwanja hujaleta makuu
Ilikuwa shega tu, ilikuwa peace tu
Ulikuwa mzuka ghafla mkwanja ukaleta upuuzi
Love iko mbali, chuki mwanzo mwisho bro
Hata mi ni hater ka hunipendi hivyo hivyo bro
Ulete ubwege na nikupende, mi ni Yesu?!
Hakuna shavu la pili, toa wembe nitoe kisu
Bado mshabiki mkubwa wa kazi ya Mungu
Ila kama nakuweza sikungoji nakupa kubwa wangu
Life yangu movie, na mi ndo director
Hata ukinielekeza sio kitu inakuwa extra
Asanteni kwa kuja, thanks for coming
Coming, coming, coming, coming
Asanteni kwa kuja, thanks for coming
Coming, coming, coming, coming

Mwasiti nalivua pendo lyrics

Leo nalivua pendo nililopenda zamani
Nabadilli wangu mwendo nami niwe furahani
Nimechoshwa na skendo, vita na purukushani
Kweli asiyejua pendo apendwapo hapaoni
Nilimpa kwa kishindo penzi lote la moyoni
Raha na wingi uhondo sikumnyima mwandani
Ameyavunja kwa nyundo mwenzenu sikuamini
Leo nalivua pendo nirudi yangu thamani
Ada ya mja hunena, ungwana ni kitendo uuh
Hadhi yangu kubwa sana si mimi kuwa mdondoo
Hatuwezi kulingana kauli hata matendo
Kwaheri ya kuonana leo nalivua pendo
Ada ya mja hunena, ungwana ni kitendo uuh
Hadhi yangu kubwa sana si mimi kuwa mdondoo
Hatuwezi kulingana kauli hata matendo
Kwaheri ya kuonana leo nalivua pendo
Niliyajenga kwa nondo mapenzi yangu ya ndani
Kwa ufundi na miundo na mambo yote ya Pwani
Kumbe nalea uvundo aibu tupu nyumbani
Kweli asiyejua pendo hapendeki ni shetani
Pendo gani la magendo apendwae hafanani
Leo naliweka kando pendo hili la kihuni
Najiepusha na lindo kumlinda hayawani
Kwani mapenzi mkondo hayataki ushindani yeah
[Ada ya mja hunena, ungwana ni kitendo uuh
Hadhi yangu kubwa sana si mimi kuwa mdondoo
Hatuwezi kulingana kauli hata matendo
Kwaheri ya kuonana leo nalivua pendo
Ada ya mja hunena, ungwana ni kitendo uuh
Hadhi yangu kubwa sana si mimi kuwa mdondoo
Hatuwezi kulingana kauli hata matendo
Kwaheri ya kuonana leo nalivua pendo
Nimehitimu msondo, msondo wa kizamani
Nikahusiwa upendo, upendo siri yake nini
Nimefundwa kimitindo, na starehe za chumbani
Kupendana ni matendo, mtendeane hisiani
Kweli mchezea jando, mapenzi kwake ni nini?
Bora niyapige tindo, mimi nawe buriani
Ada ya mja hunena, ungwana ni kitendo uuh
Hadhi yangu kubwa sana si mimi kuwa mdondoo
Hatuwezi kulingana kauli hata matendo
Kwaheri ya kuonana leo nalivua pendo
Ada ya mja hunena, ungwana ni kitendo uuh
Hadhi yangu kubwa sana si mimi kuwa mdondoo
Hatuwezi kulingana kauli hata matendo
Kwaheri ya kuonana leo nalivua pendo

Mapito mwasiti lyrics

Mmmh
Imma The Boy
Kosa kukueleza jinsi navyougua
Roho, moyo, pendo ayaaya
Kama ungeelewa, hili shamba lisingevunwa aah
Mazao yanafanana na kijiji ulichokwenda aah
Jinsia moja ila tofauti ni tabia aa aah aa
Ni we unaenifanya usingizi nakosa eeh
Ni we unaenifanya usiku nashindwa kulala
Ni we unaenifanya mimi nashinda kuwaza
Ni we unaenifanya mapenzi nayaona machungu
Na kufumba macho
Hata nikilia, machozi yanaanguka chini
Hakuna wa kuyakinga, wala yule wa kuyasitiri
Jua ni wewe ulenipa ufalme wa mapito oh oh
Acha nijute ukarimu wako na upole ndio chanzo
Jua ni wewe ulenipa ufalme wa mapito oh oh
Acha nijute ukarimu wako na upole ndio chanzo
(Moyo, roho ayaaaya)
Hata na mimi iih ii
Moyo, roho aya yaya
Nikikukosea nakubembeleza huku unacheka ha ha
Wanikumbatia, sura kifuani umeilaza ha ha
Kumbe kwako moyoni unimanya
Kenga suda duna kamwezi bwana
Kumbe kwako moyoni unimanya
Kenga suda duna kamwezi bwana
Ungefumania hata sura nisingenyanyua ah ooh
Sometimes I feel bora nikaishi mbali
Mapenzi ni ya wawili jamaaa
Eeh
Moyo, roho ayaaya
Ni we unaenifanya mimi nashinda kuwaza aah
Ni we unaenifanya mapenzi nayaona machungu
Na kufumba macho
Ni wewe baby
Ni we kichunda changu
Ni wewe baby
Ni wewe, ni wewe, ni wewe, ni wewe, ni wewe kichuna changu
Jua ni wewe (iiih) ulenipa ufalme wa mapito oh oh
Acha nijute ukarimu wako na upole ndio chanzo
Jua ni wewe ulenipa ufalme wa mapito oh oh
Acha niwaze ukarimu wako na upole ndio chanzo
(Moyo, roho ayaaya)
Hata na mimi iih ii
Moyo, roho aya yaya
Jua ni wewe ulenipa ufalme wa mapito oh oh oh
Acha nijute ukarimu wako na upole ndio chanzo
Jua ni wewe ulenipa ufalme wa mapito oh oh oh
Acha niwaze ukarimu wako na upole ndio chanzo
(Moyo, roho ayaaya)
Hata na mimi iih ii
Moyo, roho aya yaya

Ruby na yule lyrics

Eiyeeh Ruby
Eiiiiyeh Thomas
Mapenzi hayana mwenyewe
Unaweza penda kijana au mzee eeh
Niite jina langu baby
Huenda nafsi yangu itapoa aah aaa
Shika moyo wangu baby
Unavyokwenda mbio wewe utapoa
Aaahha aa
Kuna muda namuomba Mungu angekuleta mapema
Oh oh ohh uu
Ila bado sio mbaya
Wewe ndo unaejua maumivu yangu iii baby
Ila bado sio mbaya
Wewe ndo unaejua maumivu yangu
Siko radhi unitoke machoni iii iih
Tembea nami ndotonii yeahh
Ntakuweka moyoni iihi iih
Bila hofu rohoniii baby
Moyo wangu tembea na yule
Na yulee
Ndo nampendaga
Macho yangu mtazame yule
Mtazame yulee
Ndo namwamini saaana
Aaah aaah aaa aahh
Baby sitaki kutazama nyuma tena
Mmh maumivu nilishayaona
Wengi walinipotezea muda
Mmh hakuna nilichokipata
Aaahha aa
Kuna muda namuomba Mungu angekuleta mapema
Oh oh ohh uu
Ila bado sio mbaya
Wewe ndo unaejua maumivu yangu iii baby
Ila bado sio mbaya
Wewe ndo unaejua maumivu yangu
Siko radhi unitoke machoni iii iih
Tembea nami ndotonii yeahh
Ntakuweka moyoni iihi iih
Bila hofu rohoniii baby
Moyo wangu tembea na yule na yulee
Ndo nampendaga
Macho yangu mtazame yule mtazame yulee
Ndo namwamini saaana
Siwezi ukabue maisho yangu
Yatanaimi ndu tell meee
Eeee eeyy eii eeii
Moyo wangu tembea na yule na yulee
Ndo nampendaga
Macho yangu mtazame yule mtazame yulee
Ndo namwamini saaana
Moyo wangu tembea na yule na yulee
Ndo nampendaga
Macho yangu mtazame yule mtazame yulee
Ndo namwamini saaana