Monday, May 15, 2017

Ben pol ft darassa muziki lyrics

Rudi utotoni 
Usipotembea utabebwa mgongoni
255 champion boy 
Niite Mbwana Samata

Wanaota mapembe waongezee mkia
Na Ukinibeep tunakupigia
And let me make one thing clear
Blah blah sitaki kusikia
Sio Simba sio Chui sio Mamba
Ngozi yangu inatosha kujigamba
Na sina maneno ya kwenye Khanga
Kazi juu ya kazi yani Bamba to bamba
Mzaa unawezaa kuzaa kizaazaa
Sinzia na fegi uchome kibanda
Kalale uote ndoto zako za kitanda
Sisi bado tupo macho mida ya wanga
Funga mkanda kaza na kamba
Ama ufate nyayo uchane msamba
Pasua miamba pasua anga
Tunasemaga chambua kama karanga

Maisha na Muziki
Acha maneno weka muziki
Ukiwa sad ukiwa happy 
Ukiwa juu ukiwa chini
Piga muziki
yeah
Safari na muziki
yeah 
Acha maneno weka muziki
yeah
Imba unachopenda na ukitaka kucheza
Cheza Mziki
Bambata shika kamata
Rumba sakata
Nnapokaa mchizi nshadataa nshadataa

Unataka kukimbia na hauna break
What do you expect
Bongo, Congo au kwa Thabo Mbeki
Cheza lokasa ya mbongo uweze kumake
Watch yourself usije jiconfuse
Mzuka wa kuruka reggae kwenye blues
Una mchuzi no excuse
Maisha yetu kila siku kama vile kwenye movie
Vitu vingine havitakag ujuaji
Utajikuta unatandikia watu jamvi
Kusubiria embe chini mnazi
Kumwelewesha chizi utajipa kazi
Funga mkanda kaza na kamba
Ama ufate nyayo uchane msamba
Pasua miamba pasua anga
Tunasemaga chambua kama karanga

Maisha na Muziki
Acha maneno weka muziki
Ukiwa sad ukiwa happy 
Ukiwa juu ukiwa chini
Piga muziki
yeah
Safari na muziki
yeah 
Acha maneno weka muziki
yeah
Imba unachopenda na ukitaka kucheza
Cheza Mziki

Wanatamani tupotee kwenye map
Tunapeleka game to the top top
I thought i told that we don't stop
Don't stop we don't stop
Wanatamani tupotee kwenye map
Tunapeleka game to the top top
I thought i told you that we don't stop
we don't stop

No comments:

Post a Comment