Wednesday, August 31, 2016

Mwana FA ft ali kiba - Kiboko yangu lyrics



     

kwa sifa moja umenikamata, nakupa
we peke yako ndo umeniweza... heey
nilikopita nimeteleza, lakini kwako
we ndio kiboko yangu

kila shetani ana mbuyu, wake we ni mibuyu mitatu
ukiamua unitumikishe mwenzio ntalala na viatu
najionea maajabu najionea mapya mama 'angu
hakuna mapenzi ya hivi popote kwenye ulimwengu
siwezi elezea jinsi ninavyokuzimia
nikicheza na moyo wako nacheza na wangu pia
nafsi yangu ilishapotea siwezi hata kujitetea
ka' ulitoroka peponi uzuri ulivyokuenea
figure la kushoto ntageuza na la kulia
wengine hawanijaribu wanajua kitachotokea
sitaki mambo yaende kombo, na yakienda yawahi kurudi
hatuendi nayo hatuwezi shindwa yaje na pambio ikibidi
tunapishana hatugombani, then we back here
hatuendi juu hatuendi chini ila we love it right here
hata mapenzi yakifa boo situbaki sawa tu
si' ni watu wazima halafu hatuwezi ishi ka' underground
ukiwa na nusu ya moyo wangu na nusu iliyobaki kwangu
yote nakupenda wewe, una Jua langu na mwezi wangu
unatembea na roho yangu, sio tena .......
we ndio Michelle Obama wangu

kwa sifa moja umenikamata, umenikamata!
we peke yako ndo umeniweza... umeniweza!
nilikopita nimeteleza, lakini kwako
we ndio kiboko yangu
sipagawi, hawajui kwanza
we ndio namba moja unawakimbiza
unatembea na roho, nataka ujue
wewe ndio kiboko yangu

No comments:

Post a Comment