Friday, December 14, 2018

Alikiba - Kadogo lyrics


Yoo
001
Aah aah ah
Iyo iyo iyo yeah
Kadogo
Kanapenda keroro
Keroro
Keroro
Kadogo
kanapenda keroro
Kembamba kadogodogo
Kanapenda keroro
Nikamuuliza,
Anatoka 254
Mombasa kwa wanjanja janja
Ananikosha roho
She must be there
She would be there
Wouh wo
Kadogo dogo
Mnawakataa machali
Mnawataka mamanzi
Mnanikulia vako sio (Ye baba)
Mnawataka maboys
Mnawakata wadosi
Mnanikulia vako sio (Ye baba)
Mnawakata machali
Mnawataka mamanzi
Mnanikulia vako sio (Ye baba)
Mnawataka maboys
Mnawakata wadosi
Mnanikulia vako sio (Ye baba)
Kadogo
Kanapenda keroro
Keroro
Keroro
Kadogo
kanapenda keroro
Kembamba kadogodogo
Kanapenda keroro
Akaja Bongo aah
Akaja akaja Bongo
Keroro
Akitwika anayumba yumba
Keroro
Naskia am in love sio kidogo
Anaweza love
Ananikosha
Kwa vile
Vile
Anavyodance aah
Ananikosha
She must be there
She would be there
Wouh wo
Kadogo dogo
Mnawakataa machali
Mnawataka mamanzi
Mnanikulia vako sio (Ye baba)
Mnawataka maboys
Mnawakata wadosi
Mnanikulia vako sio (Ye baba)
Mnawakata machali
Mnawataka mamanzi
Mnanikulia vako sio (Ye baba)
Mnawataka maboys
Mnawakata wadosi
Mnanikulia vako sio (Ye baba)
Kadogo
Kanapenda keroro
Keroro
Keroro
Kadogo
kanapenda keroro
Kembamba kadogodogo
Kanapenda keroro

Kadogo kadogodogo
Kananimaliza
Kananikosha roho roho
Kadogo kadogodogo
Kananimaliza
Nikosha roho
Roho yangu weeh