Wednesday, February 28, 2018

G Nako – OG Original

I’mma keep it real eh (I’mma keep it OG)
I’mma keep it real eh (I’mma keep it OG)
OG! (Nahreel On A Beat!)
Uongo utakupa ushindi, wa siku moja
Ukweli unaishi milele, moja kwa moja
I’mma keep it real eh (I’mma keep it OG)
I’mma keep it real eh (I’mma keep it OG)
I keep it one hundred eh (I’mma keep it OG)
I keep it one hundred eh (I’mma keep it OG)
Hawa machizi wanakunywa na wewe Sunday
Hawa machizi wanaku-snitch Monday
Na snitch akishikwa basi apigwe Monday
Wara Wara sivujishi, mpaka polisi wasande
Mchizi wa kweli ha-snitch, goma mpaka rumande
I’mma keep it real eh (I’mma keep it OG)
Original, orijinale
Mkono kwa pesa inalipa eh?
Vipi ujenzi wa taifa? enhee
Na huu si ni mziki wa kizazi kipya? eh
Kitaani vipaji vinakufa, aichi!
Let’s keep it real, sisi wote ni Hip Hop, yap!
Let’s keep it real, wote tunataka hela, yap!
Let’s keep it real, wote tuna familia, yep!
Let’s keep it real, hamjui kutengeneza hela, chap chap!
Kama hutaki kuwa on top, jamaa
Basi lazima wewe ni whack, uh jamaa
Damn it!
Uongo utakupa ushindi wa siku moja
Ukweli unaishi milele moja kwa moja
I’mma keep it real eh (I’mma keep it OG)
I’mma keep it real eh (I’mma keep it OG)
I keep it one hundred eh (I’mma keep it OG)
I keep it one hundred eh (I’mma keep it OG)
I’mma keep it real eh (I’mma keep it OG)
I’mma keep it real eh (I’mma keep it OG)
I keep it one hundred eh (I’mma keep it OG)
I keep it one hundred eh (I’mma keep it OG)
Atakuazima chumvi akutangaze kitaa kizima
Akikuazima mboga si kitanuka hii Dar nzima
Najua waona simu yangu, mbona hupokei?
Sikupigi kizinga hommie, nataka ku-survive
Subiri nipige mabovu, ntabonga na secretary
Level chafu, level za kibepari
I’mma keep it real eh (I’mma keep it OG)
Original, orijinale
Ku-fake ni kama kujichubua, lazima mnajijua
Kama jua kuchomoza, na jua kutua
Na navojua watu wakikua wanakuwa na busara
Ona mmekua, mmekua mmekuwa mafala
Mi nawajua personal, ni wapishi wa maneno
Msoweza kula, wagumu nje
Ndani wauza sura
Huruma punje, muda wangu wa mulla
Tukikutana mwakenua meno, eh!
Mi sio daktari wa meno, ehee
Kimeno meno
Uongo utakupa ushindi wa siku moja
Ukweli unaishi milele moja kwa moja
I’mma keep it real eh (I’mma keep it OG)
I’mma keep it real eh (I’mma keep it OG)
I keep it one hundred eh (I’mma keep it OG)
I keep it one hundred eh (I’mma keep it OG)
I’mma keep it real eh (I’mma keep it OG)
I’mma keep it real eh (I’mma keep it OG)
I keep it one hundred eh (I’mma keep it OG)
I keep it one hundred eh (I’mma keep it OG)

Lovely gelly wa rhymes lyrics

Achana na sura yake, napenda tabia zake
Heshima kwa wazazi wake
We, unafaa kuishi nami
Wee eh

Nasema mi, siku haipiti mpaka nimuone yeye
Nasema mi, chakula hakipiti mpaka nimuone yeye

Eh! Sitaki we ulie, sitaki we uumie
Nataka utulie, tena kwangu mie

Yuko lovely, everyday na-feel kuwa nae
Yuko lovely, everyday na-feel kuwa nae
Yuko lovely
Yuko lovely
Heey, hey, hey, hey
Heey, hey, hey, hey

Nimempa moyo wangu mi, autunze
Tabasamu lake kwangu mi, asipunguze
Ah zile stress na maumivu ya nyuma, alishafuta
Na every day, tunavuna tunachuma, tunasonga

Eh! Sitaki we ulie, sitaki we uumie
Nataka utulie, tena kwangu mie

Yuko lovely, everyday na-feel kuwa nae
Yuko lovely, everyday na-feel kuwa nae
Yuko lovely
Yuko lovely
Heey, hey, hey, hey
Heey, hey, hey, hey
Heey, hey, hey, hey
Heey, hey, hey, hey

Yuko lovely, everyday na-feel kuwa nae
Yuko lovely, everyday na-feel kuwa nae
Yuko lovely
Yuko lovely

Kafia ghetto Hussein machozi lyrics

Siku nyingi binti namfukuzia
Alishan’tosa nishakata tamaa
Sikujua kama kwangu angekuja
Nilitoa matumaini ya kumpata
Siku nyingi binti namfukuzia
Alishan’tosa nishakata tamaa
Sikujua kama kwangu angekuja
Nilitoa matumaini ya kumpata
(Leo hii kaja mwenyewe mchumba)
Ghetto kwangu mpaka ndani kaingia
(Nilimuuliza naeza kukusaidia)
Akacheka kisha akaniambia
Ombi langu lile amenikubalia
Siku zote alikuwa akinifikiria
Niliruka kwa furaha kubwa sana
Sikuamini kama mchumba ningempata
(Usilojua ni usiku wa giza)
Ningetambua bora ningemtimua
(Usilojua ni usiku wa giza)
Ningetambua bora ningemtimua

Nani ataniona mi ni mkweli
Nani nikimuelezea ataniamini
Nani ataniona sio katili
Nani atanisaidia mimi
Nani ataniona mi ni mkweli
Nani nikimuelezea ataniamini
Nani ataniona sio katili
Nani atanisaidia mimi

Baada ya stori binti nilimuuliza
Kinywaji gani angeweza kutumia
Alinieleza kisha mi nikainuka
Nikaelekea dukani kununua
Baada ya stori binti nilimuuliza
Kinywaji gani angeweza kutumia
Alinieleza kisha mi nikainuka
Nikaelekea dukani kununua
(Huwezi amini nyuma nilipomuacha)
Baada ya kurudi ndipo kizaa zaa
(Binti alikuwa kitandani kajilaza)
Nilimuamsha lakini hakuamka
Pumzi zake zilikuwa zimekata
Nilidhani labda kazimia
Maji ya baridi kichwani nilimwagia
Lakini hata hakushtuka
(Kumbe alikuwa tayari ameshakufa)
Nimekwisha Hussein bila kujua
(Kumbe alikuwa tayari ameshakufa)
Nimekwisha Machozi bila kujua

Nani ataniona mi ni mkweli
Nani nikimuelezea ataniamini
Nani ataniona sio katili
Nani atanisaidia mimi
Nani ataniona mi ni mkweli
Nani nikimuelezea ataniamini
Nani ataniona sio katili
Nani atanisaidia mimi

Ee Mola nimekosa nini
Ee Mola niokoe mimi
Ee Mola basi nipe akili
Mimi nifanye nini
Ee Mola nimekosa nini
Ee Mola niokoe mimi
Ee Mola basi nipe akili
Mimi nifanye nini

Furaha yangu imekuwa kilio changu (kilio changu)
Furaha yangu imekuwa kilio changu
Ndoto zangu leo majonzi kwangu
Ntawaeleza nini walimwengu
Ndoto zangu leo majonzi kwangu
Ntawaeleza nini walimwengu

(Vipi wataniona mi ni mkweli)
(Vipi nikiwaelezea wataniamini)
(Vipi wataniona sio katili)
(Vipi ingekuwa wewe ungefanya nini)

Nani ataniona mi ni mkweli
Nani nikimuelezea ataniamini
Nani ataniona sio katili
Nani atanisaidia mimi
Nani ataniona mi ni mkweli
Nani nikimuelezea ataniamini
Nani ataniona sio katili
Nani atanisaidia mimi

IZZO B FT BARNABA NA SHAA love me lyrics

Here they talk let ’em talk girl
Now what they talk
Here they talk let ’em talk girl
Now what they talk
Here they talk let ’em talk girl
Now what they talk
Here they talk let ’em talk girl
Ah haa
Kama kijana nilishafanya vitu vyote pia nikamaliza
Na mwisho wa siku akili yangu kwake kabisa ikagota
Please don’t judge me (don’t judge baby don’t judge baby eh)
Baby love me (I love you baby I love ya)
Mapenzi hatujaanza juzi long time niko nawe
Naomba radhi nikikuudhi nahisi nimeumbwa na wewe
We barafu wa moyo wangu acha leo niweke wazi
Labda shahidi yangu Mungu nikiwatoa wazazi
Nakumbuka toka shule enzi za sekondari
Baby ulikuwa pale we ulionyesha kunijali
You’re the one in a million naapa kwa jina langu
Ah Jose Chameleone
Sina valuvalu baby’
Tangu Izzo naitwa Imma we ulikuepo ulisimama
Matatizo yalituandama we hukuchoka ulipambana
We ndo maana ya mapenzi mapenzi yanakuogopa
Hawa vicheche ni washenzi hawajui wanachotaka
Ntakujali na kukuheshimu acha woga mi bwana ako
Ya kwetu jukumu letu hayawahusu shoga zako
We ndo Alicia mi ndo Swizz tupa mbali Jay Z Beyonce
Shaa ndo keys MJ beats anayebisha shauri yake
Kama kijana nilishafanya vitu vyote pia nikamaliza
Na mwisho wa siku akili yangu kwake kabisa ikagota
Please don’t judge me (don’t judge baby don’t judge baby eh)
Baby love me (I love you baby I love ya)
Kama ku-cheat nisha-cheat sikufichi honey
Nisamehe yo my sweet honey ni pepo sio mi
Ruksa kamba we nifunge nishatua hapa
We ni jimbo nami mbunge nishatua hapa
Mapenzi moto moto mpaka joto linaona wivu
Nikuite nani ama mtoto Leo baby naomba kavu
We mtamu kushinda asali hakyamungu utaniua
Acha waseme mi sijali haki ya Mungu utaniuaa
Acha basi nikusifie sifa ulizonazo
Ila baby usijisikie ikawa kama chanzo
Guu lako sio la bia baby guu la champagne
Leo wazi nakuambia hey you got that thing
Midomo wet sio mikavu ona wanaona wivu
Umejazika si sana maana sana inaboa
Hasa kwa sisi waungwana sana inaboa
Macho na hizo hips ndo nakufa kabisa
Kama kijana nilishafanya vitu vyote pia nikamaliza
Na mwisho wa siku akili yangu kwake kabisa ikagota
Please don’t judge me (don’t judge baby don’t judge baby eh)
Baby love me (I love you baby I love ya)
(I love ya)
I love you baby I love ya
(I love ya)
I love you baby I love ya
(I love ya)
I love you baby (baby) I love ya
(I love ya)
Ah ah I love ya (I love ya)
I love you baby I love ya
(I love ya)
I love you baby I love ya
(I love ya)
I love you baby (baby) I love ya
(I love ya)
Ah ah I loving ya
Kama kijana nilishafanya vitu vyote pia nikamaliza
Na mwisho wa siku akili yangu kwake kabisa ikagota
Please don’t judge me (don’t judge baby don’t judge baby eh)
Baby love me (I love you baby I love ya)
Yeah
Hii special kwako baby au sio
You’re the one and only
Yo miss Bizz miss Bizness baby
Hahah
I love you baby aah

ft G NAKO NA JOH MAKINI - NJE YA BOX lyrics

House of music
A City in the house
Mpeleke
Joh Makini
Nikki wa Pili
Wara Wara
Mpeleke nje nje
Nje ya kumi na nane
Nje ya kumi na nane
Mpeleke nje nje
Nje ya kumi na nane
Mungu nijalie demu mpenda pesa
Kila siku nipigane kuwa Bakhresa
Asinipende mimi apende Verossa
Wanaomegewa wengi ndio kitu wamekosa
Malighafi ya suruali si boxer
Siri nyingi mahali dingi alikosa
Demu wa shida na raha na misoto sana
Huyo demu hanifai changamoto hana
Ikiwa demu wako anapenda vidogo
Uwezi kuwa na vingi na kuwa kigogo
Demu amsifie sana bosi wangu
Nikasirike kesho nijenge kiwanda changu
Sitaki demu wa kitanga
Jioni moja kanga
Tayari amejipanga kwa mabusu mangapi
Demu nayemtaka
Manka wa Kichaga jioni anaulizaga
Umeingiza sh’ngapi
Mpeleke nje nje nje
Nje ya kumi nane
Nje nje nje
Nje ya kumi na nane
Mpeleke nje nje nje nje nje
Nje ya box
Nje ya box
Nje ya kumi na nane
Mpeleke nje nje nje
Nje ya kumi nane
Nje nje nje
Nje ya kumi na nane
Mpeleke nje nje nje nje nje
Nje ya box
Nje ya box
Nje ya kumi na nane
Namtoa nje ya box ndio ninfichee ndani ya boxer
Aulizie Ferrari jo ni kitu gani Verossa
Demu boda boda kwenye bajaji anasinzia
Itaua kipaji na uwezo wa kufikiria
Asinipende kama Joh anipende kama star
Super kabisa ile gumzo ya kitaa
Ili nikaze asinilemaze nikadumaa
Sio demu anayehitaji kuwa na ndoa
Bali mwanamke anayehitaji mahitaji ya ndoa
Na sheria mikononi simpigi demu
Nachukua sheria kiunoni Joh let me kill them
Asiyefanya kazi na asile ndio neno lenye uhai
Asishike neno ashike maneno yenye maslahi
My lips no shy when the hips don’t lie
Sio wa lift vocha
Gift shafi chips mayai
Demu cheap hanifai
Bali ghali afanye mi niwaze milioni
Kumuonga laki mbili tatizo nisione
Flow na mdundo ni mapene ya Mweusi hapa any
Sio miaka thelathini na tano driving school
Apende niendeshe magari mazuri yeah that’s cool
Mpeleke nje nje nje
Nje ya kumi nane
Nje nje nje
Nje ya kumi na nane
Mpeleke nje nje nje nje nje
Nje ya box
Nje ya box
Nje ya kumi na nane
Mpeleke nje nje nje
Nje ya kumi nane
Nje nje nje
Nje ya kumi na nane
Mpeleke nje nje nje nje nje
Nje ya box
Nje ya box
Nje ya kumi na nane
Mpeleke nje nje nje
Nje ya kumi nane
Nje nje nje
Nje ya kumi na nane
Mpeleke nje nje nje nje nje
Nje ya box
Nje ya box
Nje ya kumi na nane
Mpeleke nje nje nje

 Joh Makini ft G Nako xo lyrics

Unajua vile inakuwa safi eh
Weusi wamekutana na Sappy
A city in a house na hii..na hii
Wanakemea mapepo.. pepo
Our life is like XO.. XO
Wanakemea mapepo.. pepo
Our life is like XO.. XO
Ile sana tu
True say mamii eh
Usihofie hawa mashabiki wanaishia kwa photo
Utokee mbali we ni ubavu wangu kushoto
Wa moto watuotee mbali
Wa moto watuotee mbali
Magoto tukuokee darlee
Si ndoto tuko fainalee
Mitoko tuko proper byee
Upepo sio Coco, si St. Tropez
Vile ndani patamu nje mi sitokei
Baby google my gogo Red Clique
Chini kidogo, majuu kwa fasi
Kata kidogo nenda kushoto
Ukilia, nafagilia
Endelea kulia, Oh Sh*t
Rudi kulia, shamba langu napalilia
Na pakikuche, napanda pia namwagilia
Yeah
Tutambae, tusimame tutembee dede
Kisha tupae baby (baby), baby (baby)
You know I dont need nobody (nobody), nobody eh
Wanakemea mapepo.. pepo
Our life is like XO.. XO
Wanakemea mapepo.. pepo
Our life is like XO.. XO
Ile sana tu
Yeah
Safi nadata na mental
Hisia ni zote kwa mtoto
Bwana nakupa heko..heko
Kabinti umenambia ni special
Nahitaji utulivu kujilia langu apple
Wanakemea mapepo oh
Penzi unajua nini Wana majibu machizi
We nobody biz.. we nobody business
Kunoga ni hivi, ni kama unakiss mad
Nadili siku hizi nyingi niko na mitikasi
Plus, jumlisha
Mi na wewe ndo maana ya maisha
Pumzisha mawazo kifuani kwa mista
Kistaharabu
Nacheza karata ya mapenzi simpoi
Maneno yao sio mikopo hawatudai
Na macho yao sioni kitu dont feel shy
Vidole vyao sio risasi, they shoot ehee
Nobody die, ikibinda nkoi ikibinda nkoi
We si ulinachaga hoi watanikuta Mo.. Moi, Moi
Tutambae, tusimame tutembee dede
Kisha tupae baby (baby), baby (baby)
You know I dont need nobody (nobody), nobody eh
Wanakemea mapepo.. pepo
Our life is like XO.. XO
Wanakemea mapepo.. pepo
Our life is like XO.. XO
Ile sana tu

Joh Makini - Waya lyrics

Eeeh
Eeeh Imma gonna holla at ya
Imma gonna holla at ya
Eeeh Imma gonna holla at ya
Eeeh eeh excuse miss can I get ur number
Can I get ur number
Excuse miss can I get ur number
Can I get ur number
Eeeh Imma gonna holla at ya
Imma gonna holla at ya
Eeeh Imma gonna holla at ya
Na nikivuta waya
Waya ujue nishajikoki
Na nikivuta waya
Waya ujue nishajikoki
Mimi sina ma story mob
Story ni moko tu temana na zile mob
Story mitoko tu
story mikoko tu
Marafiki mapopo full
Demu for you wanajifanya wamelewa
Na kumbe wana stress za kuolewa boo
Subiri maisha yawapigie boo
Nipe number mi ni come through
Makini siyo waluwalu nishazichanga
Changia mawazo tujenge hekaru
It has been along time hustle
Tz Jay Z raso
Walai kwako mimi nachotaka nilipark
Mazima mama ma vacay national park
Ma vacay Mama K I know your smart
Joh nimebarikiwa wala sio kismati
We play smarter rafikizo walisema nini
It doesnt matter ulimbo nimenasa
Ka umbo ni swadakta ulingoni sikuachi
Gere mifimbo mi nachapa maringo ndo kabisa nazidisha
Nkikupata dili zangu ndefu hazina ukingoni
Ka tabasamu kama kidoti wa kingoni hii
Wapinzani hawahemi maji shingoni
Soooo
Excuse miss can I get ur number
Can I get ur number
Excuse miss can I get ur number
Can I get ur number
Eeeh Imma gonna holla at ya
Imma gonna holla at ya
Eeeh Imma gonna holla at ya
Eeeh Imma gonna holla at ya
Hata walete compe compe
Ushindani mi siogopi
Weusi ni company shawty
Mi siropoki
Na Nikivuta Waya Wayaa
Ujue nishajikoki
Selfmade pesa ya starehe skopi
Cash flow
Kwenye mzunguko mimi stoki
Keshooo
Haitokuwa na shaka siongopi
Poteza muda Ila sio hii bahati ati
Usinipotezee katikati
Binti nipoteze kwenye moyo
Mangi mtamu nitakuruhusu
Kuwa mchoyo sikuja kula tunda
Nimekuja kupanda mbegu ya matunda
Sisi tuwe mizigo maisha yawe punda
Kwa lugha ya nyumbani nkukunda
Leo nimegonga like kesho nitapenda ila
Siunajua kupenda kweli
Sio kupendagaaa vile unakaa ni costar kwenye hili movie
Na vile mimi ni star haswa
It gon be a movie shawty
Imma gonna holla at ya
Imma gonna holla at ya
Eeeh Imma gonna holla at ya
Imma holla at ya
Eeeh eeh excuse miss can I get ur number
Can I get ur number
Excuse miss can I get ur number
Can I get ur number
Eeeh Imma gonna holla at ya
Imma gonna holla at ya
Eeeh Imma gonna holla at ya
Na nikivuta waya
Waya ujue nishajikoki
Na nikivuta waya
Waya ujue nishajikoki
Na nikivuta waya
Waya ujue nishajikoki
Na nikivuta waya
Waya ujue nishajikoki

Asanteni kwa kuja mwana fa lyrics

Choir Master
I’m in a building
Asanteni kwa kuja thanks for coming
Coming coming coming coming
Asanteni kwa kuja thanks for coming
Coming coming coming coming
Shombo nyingi zaidi ya soko la samaki
Ferry inangoja hata beberu hanipati
Buheri wa afya hofu juu yako
Merci beaucoup njoo uongee na cousin yako
Naenda kazini wakati wanaenda vitandani
Sio salama sio salmini na silali ka vitani
Hakuna imani kwa ma-snitch mwana
Njoo na panga ukute shoka ka zamani zama
Bastola na glasi ya Vodka lazima kuwe na sadaka
Madeni lazima yalipwe hata mdaiwa asipotaka
Another day another dollar (aah mi Mchaga mwingine)
Siku nyingine hela nyingine
Sio kicheche mwingine
Asanteni kwa kuja thanks for coming
Coming coming coming coming
Asanteni kwa kuja thanks for coming
Coming coming coming coming
Here comes the beat here comes the beast
Mother I’m still the best
Ukiniona kimya imani na mshindo una-trot
Vita kwa vina money na auto in the bank
Kama ipo itafika tu spika za nini kachaa
Mungu akitaka kukupa wala hakuandikii barua
We get money on the right things and keep calm
Wenye kelele wote sio kings kuwa na nidhamu
Tatizo la uongo ni kwamba milele haufiki mwisho
Ka kiporo utatudanganya na kesho
Malalamiko kibao ka mtoto wa kambo
Kuruka ruka haijawahi kuwa dawa ya ulimbo
Asanteni kwa kuja thanks for coming
Coming coming coming coming
Asanteni kwa kuja thanks for coming
Coming coming coming coming
Ilikuwa poa tu ilikuwa love tu
Ilikuwa safi kabla mkwanja hujaleta makuu
Ilikuwa shega tu ilikuwa peace tu
Ulikuwa mzuka ghafla mkwanja ukaleta upuuzi
Love iko mbali chuki mwanzo mwisho bro
Hata mi ni hater ka hunipendi hivyo hivyo bro
Ulete ubwege na nikupende mi ni Yesu
Hakuna shavu la pili toa wembe nitoe kisu
Bado mshabiki mkubwa wa kazi ya Mungu
Ila kama nakuweza sikungoji nakupa kubwa wangu
Life yangu movie na mi ndo director
Hata ukinielekeza sio kitu inakuwa extra
Asanteni kwa kuja thanks for coming
Coming coming coming coming
Asanteni kwa kuja thanks for coming
Coming coming coming coming

Usiende mbali nendy music lyrics

You’re my love love love lelele lele
Baby
Baby uuh
You’re my love love love lelele lele
We ndo beautiful
Nakupenda
Kwangu number one
Tena ringa
Penzi lako hoi
Umefunga
Mimi kwako goigoi
Umeniweza
Sipati tabu naona raha
Kwenye giza totoro washa taa
Letu penzi liwe furaha
Sipati tabu naona raha
Kwenye giza totoro washa taa
Letu penzi liwe furaha
Usiende mbali
Baki nami
You’re my love love love lelele lele
Usiende mbali
Baki nami
You’re my love love love lelele lele
Pozi zako ukiringa ringa
Mwenzako ndo napenda penda
Ushanichanganya sijiwezi mwenzio oh oh
Rangi yako ya chungwa chungwa
Nyusi umetinda tinda
Unanichanganya mwenzio
Sipati tabu naona raha
Kwenye giza totoro washa taa
Letu penzi liwe furaha
Sipati tabu naona raha
Kwenye giza totoro washa taa
Letu penzi liwe furaha
Usiende mbali
Baki nami
You’re my love love love lelele lele
Usiende mbali
Baki nami
You’re my love love love lelele lele
Never leave me alone
I will love you forever
Siwezi kuacha uwe mnyonge
I know you gonna marry me
I gonna marry you
Sipati tabu naona raha
Kwenye giza totoro washa taa
Letu penzi liwe furaha
Sipati tabu naona raha
Kwenye giza totoro washa taa
Letu penzi liwe furaha
Usiende mbali
Baki nami
You’re my love love love lelele lele
Usiende mbali
Baki nami
You’re my love love love lelele lele

Nashindwa Christian Bella lyrics

Iyee eeh
Mamiee
Iyee
We ndo mamii ee
Iyee
Mi ndo dadii ee
Iyee eeh
Mamiee
Iyee
We ndo mamii ee
Iyee
Mi ndo dadii ee
Mie mie mie
Mie mie mie mie
Mie mie mie
Mie mie mie mie
Mbona kama unanionea
Haya mapenzi gani kila siku lazima nibembeleze
Lini sasa mpenzi wangu na we utanibembeleza
Na mimi nisikie unavyosikiaga nikikubembeleza
Ona kaneno ‘mapenzi’ kaneno kafupi
Kana mambo mengi unaempenda atakuzingua
Si bora angesema hata mapema ameniacha nimezama
Kutoka sasa
Nashindwa (shindwa)
Nashindwa (shindwa)
Ale kutoka mimi
Nashindwa (shindwa yeye)
Aaah aaah
Nashindwa (shindwa)
Sijui nifanye nini
(Nashindwa) mama weeeh
Angejua kabisa ninavyompenda
Sijawahi kupenda ndo yeye wa kwanza ananizuzua
Si bora angesema hata mapema
Ameniacha nimezama
Kutoka sasa
Nashindwa (shindwa)
Nashindwa (shindwa)
Kutoka mimi
Nashindwa (shindwa yeyee)
Aaah aaah
Nashindwa (shindwa)
Sijui nifanye nini
(Nashindwa) mama weeeh
Julilala lalaa
Mie mie mie (mie)
Mie mie mie mie (mimi)
Mie mie mie (mimi, mimi)
Mie mie mie mie
Mie mie mie (mie)
Mie mie mie mie (mimi eeh)
Mie mie mie (mimi, mimi, miee)
Ghafla tu anafunga virago
Namuuliza hataki kusema tatizo ni nini
Sijui kuna shida gani
Haya mapenzi lawama kila siku mimi
Tulia mama mi ni wako nakupenda sana
Usihangaike, usibabaike
Na wale maadui nataka wabaki na aibu
We ni wangu, mi ni wako mpenzi wangu
Embu punguza maringo na mapozi nakupenda
We ni wangu, mi ni wako mpenzi wangu
Darle punguza maringo na mapozi nakupenda
Iyee (eeh!)
Mamie (mamiee)
Mi ndo dadie (dadiee)
Mamie (mamie)
Mi ndo dadie (dadie)
Iyee (eeh!)
Mamie (mamiee)
Dadie (dadiee)
Mamie (mamie)
Iyee (iyeeh)
Mamie (mamiee)
Iyee
Iyee (iyee)
Iyee (iyee)
Iyee (iyee)
Ale we ni wangu, mi ni wako mpenzi wangu
Ale punguza maringo na mapozi nakupenda
Wewe ni wangu, mi ni wako mpenzi wangu
Mpenzi oh punguza maringo na mapozi nakupenda
Iyeeh (eeh)
Mamie (mamiee)
Iyee ehh
We ndo mamie (honey eh)
Mi ndo dadie (dadie)
Iyeeh, iyeee
Iyeee mamie (mamie)
Eeh mamie (mamie)
Mi ndo dadiie (dadie)
Iyee iyeee
Ale we ni wangu mamie (mamiee)
Mimi ni wako
Mamie (mamiee)
We ni wangu mamie (mamiee)
Mimi ni wako, mamaee

chafu pozi bill nass lyrics

Usoni tuna ngenya bado tunapendwa
Mifukoni sio njema bado tunapeta
Waambie watoto wa mama furaha yetu sio pesa
Sio pesa furaha yetu sio pesa
My niggas wanakunja my niggas wanakunja tu
Wanakunja tu
Na sisi tunadunda na sisi tunadunda du
Tunadunda du
Hai oh nikipiga dili namcheki mommy oh
Nakumbuka kwanza nyumbani oh
(Chafu pozi)
Mara natoka na fulani oh (ndo basi tena)
Dili ka buki la man oh (ndo basi tena)
Mara navuta mjani oh (ndo basi tena)
Maneno kitu simple
I got love for my people
Heyo natoka chafu pozi chafu pozi
Natoka chafu pozi chafu pozi
Natoka chafu pozi chafu pozi
Natoka chafu pozi chafu pozi
Maneno kitu simple (chafu pozi)
I’m more than you vision (chafu pozi)
I got love for my people (chafu pozi)
I know I’m the mission (chafu pozi)
Hii ni kwa wanangu wanaoishi chini ya dollar moja
Waambie watoto wa kiswazi ndo vile tunajikongoja
Shida kitu gani na tunaishi mara moja
Waki-hit siwachukii streets ninawanyonya
Wangetoa ridhiki wao (ndo basi tena)
Isingekuwa hivi now (ndo basi tena)
Wangetoa ridhiki wao (ndo basi tena)
Isingekuwa hivi now (ndo basi tena)
Ni noma kuwa na wana wana wanafkichi
Ni bora kuwa na mchawi kuliko wana wanafiki
Fitina zao uzushi kibao
Wanatengeneza chuki mi nashiriki yao
Haya cross dongo
Nashukuru Mungu ananipa michongo
Nazidi kung’ara na naiteka Bongo (Bongo)
(Ndo basi tena)
Heyo natoka chafu pozi chafu pozi
Natoka chafu pozi chafu pozi
Natoka chafu pozi chafu pozi
Natoka chafu pozi chafu pozi
Maneno kitu simple (chafu pozi)
I’m more than you vision (chafu pozi)
I got love for my people (chafu pozi)
I know I’m the mission (chafu pozi)
Hii ni kwa wanangu wanaoishi chini ya dollar moja
Waambie watoto wa kiswazi ndo vile tunajikongoja
Shida kitu gani na tunaishi mara moja
Waki-hit siwachukii streets ninawanyonya
Mi naenda mi naenda
(Heyo natoka chafu pozi)
Mi naenda mi naenda
(Heyo natoka chafu pozi)
Heyo natoka chafu pozi chafu pozi
Natoka chafu pozi chafu pozi
Natoka chafu pozi chafu pozi
Natoka chafu pozi chafu pozi
Maneno kitu simple (chafu pozi)
I’m more than you vision (chafu pozi)
I got love for my people (chafu pozi)
I know I’m the mission (chafu pozi)
Maneno kitu simple (chafu pozi)
I’m more than you vision (chafu pozi)
I got love for my people (chafu pozi)
I know I’m the mission (chafu pozi)
Chafu pozi
Natoka chafu pozi
Chafu pozi chafu pozi
Natoka chafu pozi
Amani Limo whats up
Heyo natoka chafu pozi
To-toka chafu pozi
(To-toka chafu pozi)
Chafu Pozi
(Free Nation

Listen Belle 9 lyrics

Wakufunzi wengi
Manguli wa mapenzi
Ila mi sitaki nataka kwako
Wakufunzi wengi
Manguli wa mapenzi girl oh oh
Nitaridhika baby
Na penzi lako we
Nataka kwako oh
Nitaridhika baby
Na penzi lako we
Nataka kwako oh
Listen now listen now
My baby
Listen now listen now
Nielewe
Listen now listen now
My baby (nisikiize)
Listen now listen now
Nime-fall in love baby
Fall in love
Nime-fall in love baby
Fall in love
Listen now listen now
My baby
Listen now listen now
Nielewe
Listen now listen now
My baby
Listen now listen now
Nielewe
Huu sio wimbo
Ila hii ni zawadi yako (zawadi zawadi kwako)
Safari yangu ya mapenzi
Naomba iishie kwako (please baby please baby)
Nimeridhika baby
Nawe itika mpenzi
Niwe wako uwe wangu
Mi sitaki kuwa kama yule
I-I-I want to give you true love (true love true love)
Listen now listen now
My baby
Listen now listen now
Nielewe
Listen now listen now
My baby
Listen now listen now
Nime-fall in love baby
Fall in love
Nime-fall in love baby
Fall in love
Listen now listen now
My baby
Listen now listen now
Nielewe
Listen now listen now
My baby
Listen now listen now
Nielewe
Nime-fall in love baby
Fall in love
Nime-fall in love baby
Fall in love
Nime-fall in love baby
Fall in love
Nime-fall in love baby
Fall in love
Aabyelle 9
Moro Town
Ma man Tiddy Heart
Toka nimuone sura haipotei
Nashindwa kubadili profile picture WhatsApp
Najaribu kusubiri moyo haungojei
For the first time my date carry this track
(Uuh) njoo nikuoneshe nini unatakiwa upate
Mtoto mzuri mzuri kama we (we we)
The blissful couple in this world we na Belle
Daily baby hold me tight
Burger movie selfie (what)
Pop corn anataka ye
Burger movie selfie kiss and hug
Pop corn anataka ye
Burger movie selfie (haaa)
Pop corn anapata ye
Burger movie selfie kiss and hug
Pop corn anapata ye
Yeee ee
Ameniweza
Yeee eeh
Tunapendeza
Yeee eeh
Oh oh
Yeee eeh
Oh oh oh oh ooo
Ameniweza
Oh oh ooo
Tunapendeza
Oh oh ooo oh oh
Oh oh ooo
(Come again come again)
Hajawahi kunifanya niwe lonely hata kidogo
Walokutenda u-lonely wape kisogo ulala
African queen you’re my sunshine
Gimme some more I wanna fly
African queen you’re my sunshine
Gimme some more oh oh ooo
Burger movie selfie (what)
Pop corn anataka ye
Burger movie selfie kiss and hug
Pop corn anataka ye
Burger movie selfie (haaa)
Pop corn anapata ye
Burger movie selfie kiss and hug
Pop corn anapata ye
Yeee ee
Ameniweza
Yeee eeh
Tunapendeza
Yeee eeh
Oh oh
Yeee eeh
Oh oh oh oh ooo
Ameniweza
Oh oh ooo
Tunapendeza
Oh oh ooo oh oh
Oh oh ooo

vice versa Barnaba lyrics

Ulinipa raha fresh maa nilivyokuwa na wewe
Nilihisi ntapaa you’re the one
Na…
Na…
Upendo wangu haukuusoma tu
Ni vile nilikwama sikuwa macho juu
Kosa langu, majuto mjukuu
Imekula kwangu na ni wewe boo
Mwenye thamani ya mapenzi ndo maana nakung’ang’ania
Siishi kuwaza, siishi kulia lia
Nimekukabidhi moyo na mali za dunia
Najua nilikupenda nawe ulinipenda pia
Nini kimetokea, au wajanja wameniotea?
Hauishi kuniongopea kweli is not fair
Nilitaka kuishi nawe ili mradi usiende mbali
Mapenzi mtikisiko unanrushia maji ya bahari
Bora ungekimbia wakati wa dhiki nikajua sina (baby
Ndo maana umeenda)
Sasa ipo cash na nnalo jina (moyo ma ukanieka vidonda)
Baby na baby ni pombe
Leo siko nawe kivipi nitambe?
What! Baby na baby ni pombe
Leo siko nawe kivipi nitambe?
Kipi tena kwa Mola niombe?
Niliomba pesa akanipa
Dhamira yangu nikutunze mpenzi we
Kwangu we imekuwa vice versa
Nazikumbuka zile siku
Ulizotamani kula kuku
Mfukoni nami nina buku tu
Leo imekuwa vice versa
Huu ndo muda wa kutulia na kuacha kulia
Na kuanza kuifurahia hii dunia
Yale uloyasikia, leo unajionea
Sasa unaanzaje, unaachaje kuyatumia?
Ume-change kama weather, ghafla umeteleza
Nakusakanya huonekani umeniweza
Ningejikweza, maisha ndo yanacheza
Life buba bize tumepoteza
Bora ungekimbia wakati wa dhiki nikajua sina (baby
Ndo maana umeenda)
Kuliko sasa ipo cash na nnalo jina (moyo maa ukanieka vidonda)
Baby na baby ni pombe
Leo siko nawe kivipi nitambe?
What! Baby na baby ni pombe
Leo siko nawe kivipi nitambe?
Kipi tena kwa Mola niombe?
Niliomba pesa akanipa
Dhamira yangu nikutunze mpenzi we
Kwangu we imekuwa vice versa
Nazikumbuka zile siku
Ulizotamani kula kuku
Mfukoni nami nina buku tu
Leo imekuwa vice versa
Kipi tena kwa Mola niombe?
Niliomba pesa akanipa
Dhamira yangu nikutunze mpenzi we
Kwangu we imekuwa vice versa
Nazikumbuka zile siku
Ulizotamani kula kuku
Mfukoni nami nina buku tu
Leo imekuwa vice versa

Barnaba Ft Vanessa Mdee siri lyrics

Tosa la secret baby
Jamais
Oh mamaa maa
Oh nanaa naa
Yooo zane valee baby
Yooo zane valee papaaa
Treni langu la kutongoza
Limefunga breki na kituo ndo wewe (ndo wewe kipenzi)
Sina mengi mimi
Sio mtoto wa mjini
Nimefundwa jandoni kipenzi
Hadithi Hadithi uwongo njoo
Nae anieleze porojo
Mie bado mdogo
Ivi ni juzi ulikuja na mauwa (yes)
Ulikuwa na barua ila sukuifunguaa na na naa (why)
Ungesoma ndani (why)
Ungejua vingi (no)
Vile moyo wangu ulivyojawa na vigingii iih
Wewe una mume (nampenda)
Nami nina mke
Twaweza iba bado wasishituke (loh)
Kumbe muhuni iih iih iihi
Aku siwezi kushare penzi no way
Kasoro yangu nini iih iih iih
Si una mke yule amekosa nini
Ohuu yeah Uuhu
Kwanza ningekuomba
Kupenzi ukubali iih
Tutafanya siri iih
Ya watu wawili
Utaniponza kwa jambo hili
Hamnaga siri
Ya watu wawili
Kama ukikubali
Nitakupa kagari
Na vi-salary
Utakuwa bonge la sister duu
Aliniifunza mama
Niogope wavulana
Nikae mbali
Nyie wabaya sana
Kwetu nyumbani iih
Tumekulia kwenye dini mmh
Penda wako nyumbani kwanza
Kisha unipende mimi mmh (awe muwongo baba)
Aaasante
Kwa muda wako
Nimependa majibu yako
Hivi nikuulize swali (niulize nini)
Anavyotoka mumeo unajua mangapi anafanya
Mi muhuni (muongo)
Niseme nini (muongo)
Kila kitu (muongo)
Maneno yangu hayakuvuna pendo
Hunajipya (muongo)
Useme nini (muongo)
Maneno ya (uongo)
Kibaya zaidi mke wako akijua
Kumbe muhuni iih iih iih
Aku siwezi kushare penzi noo way
Kasoro yangu nini iih iih iih
Si una mke yule amekosa nini (oh no no)
Ohuu yeah uuhuu (Ebo)
Ukikubali
Nitakupa kagari
Na vi-salary
Utakuwa bonge la sister duu
Aliniifunza mama
Niogope wavulana
Nikae mbali
Nyie wabaya sana
Kwanza ningekuomba
Kupenzi ukubali iih
Tutafanya siri iih
Ya watu wawili
Utaniponza kwa jambo hili
Hamnaga siri
Ya watu wawili
Kama ukikubali
Nitakupa kagari
Na vi-salary
Utakuwa bonge la sister duu
Aliniifunza mama
Niogope wavulana
Nikae mbali
Nyie wabaya sana

nivumilie ruby

Mmh mh mhh
Staki mizozo
Mmh mh mhh
Eti nikuvumilie (univumilie)
Ku-share na bwana yule
Hata dhamiri yako wee (yako wee)
Ikusute unihurumie
Wewe nivumilie (nivumilie)
Nakupenda sana wewe
Hata moyo wangu wee
Umefungwa kwako wewe
Labda sijui mapenzi ndo sababu ukakimbia
Au alikuwepo kitambo hukutaka kuniambia
Na kiherehere cha kupost vipicha wenzangu
wananichora
Na kusema hujui hivi kwanini umeninyima
amani ehee ehee
Basi nikueleze huko kulalama unaniumiza moyo
Ningekuwa na choyo nisingedhamini upendo
Umejawa na lawama ila ungenionea huruma
Wajua hali yetu mpenzi
Nisingeweza vumilia shida na ku-pretend
Inaniumiza nakuweka wazi
Niambie nimuache aende
Na magari nilirudishe wazazi uwaambie
Kwenye nyumba watoke usimame kama mume
Basi nambie nimuache aende
Na magari nirudishe wazazi uwaambie
Kwenye nyumba watoke usimame kama mume
Eti nikuvumilie (univumilie)
Ku-share na bwana yule
Hata dhamiri yako wee (yako wee)
Ikusute unihurumie
Wewe nivumilie (nivumilie)
Nakupenda sana wewe
Hata moyo wangu wee
Umefungwa kwako wewe
Amini na maneno nayokwambia utajanizingua
Mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanapungua
Kwanini nikuangalie mpenzi wee
Ukitoka na mwingine
Unipe pesa za yule nitumie
Utanipenda kwa lipi eehee hee heee
Habari ya mapenzi niulize mimi
We uko moyoni kelele za nini
Ninakuheshimu niamini
Vumilia kidogo nimchune mchune
Hivi ndo uanaume gani kusifiwa mapenzi
Kupeleka vijizawadi vyangu naona aibu
(Usijali baby)
Hadhi yangu ni vibajaji mwenzangu uzungu
Ntakuweza wapi samaki machozi baharini
Hata nikifanya huoni
Ni maumivu moyoni
Ntakuweza wapi samaki machozi baharini
Hata nikifanya huoni
Ni maumivu moyoni
Eti nikuvumilie masimango ya nini
Akijua mi mwenzie nitauawa yamkini
Eti nikuvumilie
Ku-share na bwana yule
Hata dhamiri yako wee
Ikusute unihurumie
Wewe nivumilie
Nakupenda sana wewe
Hata moyo wangu wee
Umefungwa kwako wewe
Sitaki mizozo (mhm)
Nasema sitaki mizozo (Mh mmh)
Sitaki mizozo (mhm)
Nasema sitaki mizozo (eeh)
Sitaki mizozo (Naah)
Nasema sitaki mizozo (Uuh)
Sitaki mizozo (eeh)
Nasema sitaki mizozo (Eeh eehee)

siachani nawe baraka

Ohoo weo ohoo weo
Ouhoo
Ohoo weo ohoo weo
Mmhh mmhh
Ohoo weo ohoo weo
Wakati nalazimisha moyo kupenda sio kama ninakosea
Ipo sababu ya mi kurejesha namba ambayo ilipotea
Hali ya mtoto kumsusa mama akishachapwa
ni sawa na mapenzi
Ukishapenda unasahau hata kama ulishafanyiwaga ushenzi
Nakumbuka nilijuta sana kupenda penda kusikokua na thamani
Ila hitaji la moyo lalazimisha kurudia zamani
Ohoo weo ohoo weo
Mimi bado nina imani
Ohoo weo ohoo weo
Ipo siku utanipa thamani
Ohoo weo ohoo weo
Mimi bado nina imani
Ohoo weo ohoo weo
Jua mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Acha nisote mie
Ila mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Wacha nisote mie
Labda juu ya kaburi utanipenda mimi nikiwa sina uhai
Hisia zangu haziheshimiwi najidharau sifai
Heri ya upofu wa macho kwa yale nayoyaona
Umeruhusu mboni zangu mi kumwaga machozi
Yaani ungejua hisia za mapenzi
Kutesa moyo ila bado hazichoshi
Kupendwa sipendwi najua wazi ila bado silithii
Maana kesho nitaurubuni moyo
Unapendwa ila unapimwa
Mi na meno ila najiona kibogoyo
Kweli penzi donda moyo
Ohoo weo ohoo weo
Mimi bado nina imani
Ohoo weo ohoo weo
Ipo siku utanipa thamani
Ohoo weo ohoo weo
Mimi bado nina imani
Ohoo weo ohoo weo
Jua mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Acha nisote mie
Ila mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Wacha nisote mie
Jua mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Acha nisote mie
Ila mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Wacha nisote mie
Acha nisote mie ehee
Mi sishindani nawe wewe
Mi sibishani na wewe

Shikamoo mapenzi Ally nipishe

Shikamoo mapenzi
Ulinifanya nikalia
Heshima yako mapenzi
Umenifanya nafurahia
We ni chaguo langu
Wengi washanikimbia
Na hisia zangu
Nawe ukazipokea
Kama kupenda ni dhambi
Nipo radhi kwa Mungu nichomwe
Nami kuficha siwezi
Hadharani niacheni niseme
Na moyo wangu
Umpende-umpende-umpende-umpende
Nifanye nini, niacheni niwe naye
Waache waniseme (sema)
Waache waniseme (sema)
Wacha waniimbe lakini kwako nishafika
Waache waniseme (sema)
Waache waniseme (sema)
Waache waniimbe lakini kwako nishafika
We ndo tulizo la roho
Nafsi na mwili visharidhia
Na ukisema no
Yaani kiukweli utanionea
Ananipaga na pweza nakunywa
Nisichoke kupambana
Umeniweza ka wewe hakuna
Kama yupo sijamuona
Yule ni yeye, niacheni nae
Mimi, kama kupenda ni dhambi
Nipo radhi kwa Mungu nichomwe
Nami kuficha siwezi
Hadharani niacheni niseme
Na moyo wangu
Umpende-umpende-umpende-umpende
Nifanye nini, niacheni niwe naye
Waache waniseme (sema)
Waache waniseme (sema)
Waache waniimbe lakini kwako nishafika
Waache waniseme (sema)
Waache waniseme (sema)
Waache waniimbe lakini kwako nishafika
Wacha waniseme, wacha waniseme
Mimi na wewe
Mmh mmh, na wewe
Wakiniona wee
Waache wanisemege…
Sawa!
Mazuu (Record!)
Joshua Beze, Tumeruwana
Waache waseme
Mwisho wa siku ni mimi na we
Waache waseme (Limonsolo)
Respect ma boss
Ally Nipishe, I’m back again!
Sawa, AD Classic
Holla!