Tuesday, February 27, 2018

Otile Brown – Tamu Sana Lyrics ft Shetta

Tamu sana tamu sana (sema nini)
She say tamu sana tamu sana hii
Tamu sana tamu sana (she say give me some more)
She say tamu sana tamu sana hii
Da chocolate kwako ujanja sina ujanja sina
Da chocolate sema mimi ujanja sina ujanja sina
Da chocolate mimi kwako ujanja sina ujanja sina
Da chocolate sema mimi ujanja sina ujanja sina
Da chocolate
Tena vanilla nikimpa hatosheki anadai rudia
She’ll want to see it I know you want it eh
And I know that you need it eh
You can’t do without it eh
You’re crazy over it wala usipaniki
Sema muda saa ngapi nije maskani
Anytime you want it I’ma pull up pull up I’ma pull up pull up my girl
Anytime you need me I’ma pull up pull up I’ma pull up pull up my girl
For you I’ma pull up pull up I’ma pull up pull up my girl
Anytime you need me I’ma pull up pull up I’ma pull up pull up for you
Tamu sana tamu sana (sema nini)
She say tamu sana tamu sana hii
Tamu sana tamu sana (she say give me some more)
She say tamu sana tamu sana hii
Da chocolate kwako ujanja sina ujanja sina
Da chocolate sema mimi ujanja sina ujanja sina
Da chocolate mimi kwako ujanja sina ujanja sina
(Sherere sherere sherere sherere ok yo baba kayla and tha’t what it is)
Da chocolate sema mimi ujanja sina ujanja sina
Sawa kwako ujanja sinaga sina mpango wa vimada
Ningesha kuonga gari ningekuonga nyumba
Ila mkwanja sinaga
Vile sina shida kwa diva ahah
Vi vile mi napaa bila visaa ahah
Katoto kanang’a kwenye giza
Na macho malegevu kama kamekula wida
Bae baby you are mine bila shaka
Kwa huo utamu mi nadata (basi nipe yote)
Sema kitu gani unataka kwangu mambo fulani utapata (hadi uyachoke)
Ni nisha zima taa niko room njoo unipe raha nikuchum
Don’t be scared usije nikataa ninywe sumu
Hakili zikapaa nile ndum
Basi don’t fear
Tamu sana tamu sana (sema nini)
She say tamu sana tamu sana hii
Tamu sana tamu sana (she say give me some more)
She say tamu sana tamu sana hii
Da chocolate kwako ujanja sina ujanja sina
Da chocolate sema mimi ujanja sina ujanja sina
Da chocolate mimi kwako ujanja sina ujanja sina
Da chocolate sema mimi ujanja sina ujanja sina

1 comment: