Saturday, November 14, 2020

Alikiba mshumaa lyrics

 Ule ugonjwa ulioniacha nao,

Bado sijapona
Hata mapenzi ulioniacha nayo,
Yamebaki jina
Hospitali ooh,
Za dunia nzima
Nimezunguka kote,
Wamepima majibu hakuna

Hata ngoma sina (sina ooh)
Pressure sina (sina eeh)
Ugonjwa sina (sina)
Jina lako ninalo
Uwepo wako
Ndo ulikuwa wangu uzima
Naona giza (ungeniacha hata na mshumaa)

Alioo iyoo
Nakumiss

Tena!
Tutaonana
Tena!
Hata Mungu akipanga leo
Tena!
Nikufe kesho
Tena!
Tutaonana tena
Tena!
Ifike kesho uliamba
Tena!
Waniweke kwa mchanga
Tena!
Nikufe kesho
Tena!
Ali ooh

Labda nikukumbushe,
Nilipokuvisha pete
Ulisema machache,
Hauniachi mpaka nife
Maana ngoma sina (sina ooh)
Pressure sina (sina eeh)
Ugonjwa sina (sina)
Jina lako ninalo
Uwepo wako
Ndo ulikuwa wangu uzima
Mi naona giza (ungeniacha hata na mshumaa)

Alioo iyoo
Nakumiss

Tena!
Tutaonana
Tena!
Hata Mungu akipanga leo
Tena!
Nikufe kesho
Tena!
Tutaonana tena
Tena!
Ifike kesho uliamba
Tena!
Waniweke kwa mchanga
Tena!
Nikufe kesho
Tena!
Ali ooh

Gwiji mwana fa lyrics

 Ooh

Falsafa

Aah MwanaFA
Nkoyi
Omeki okangami
wewe ni gwiji wa magwiji
Asiyekubali aumbe dunia yake
Lakini mimi Nyoshi El Saadat
Nakuchukuliaga kama Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Zabanga
Le Martial Bosomba Seskuule hahahah
Never end never lose
MwanaFA
Légende
Légende
Légende

Naota ndoto hazina rangi naamka nazipaka
Watoto wa kiswazi huwezi ukatuwekea mipaka
Mungu ndio ametakajongoo kawa nyoka
Hakuna kiunzi hatuwezi ruka
Tushasukuma sana milango iliyoandikwa vuta (vuta)
Niamini na inafunguka
Mbwa mkali usikatize wahuni tunapita
Tunayavuka kwa kamba madaraja yaliyovunjika
Mungu wetu halali wala haendi likizo
Hatuachi kumuomba na anafuta matatizo
Yakija tena naomba tena na Mungu anayafuta tena
Mioyo yetu ipo safi safi ile kinoma
Kifo kiniue au maumivu yanikomaze
Yote sawa ila ujinga usinipumbaze
Kila kiumbe ana njaa yake moyo na tamaa zake
Mbwa mpumbavu ndio anaweza bwekea ndege

Waite wamuone gwiji wajigambe (we haya)
Waite waite waje wamuone gwiji wajigambe (we haya)
Waite wamuone gwiji wajigambe (we haya)
Waite waite waje wamuone gwiji wajigambe (we haya)

Mi ni hustler babe that’s what I do I hustle
Shida hazikwepeki zipo kukupima muscle
Zikutoe macho zikutoe jasho
Zikupe akili na zikuandae kwa kesho
Jikaze mwana usichukuliwe mateka
Ka unaachana na dunia we ndio uandike talaka
Ukiomba mafanikio fahamu yanakuja na wivu
Havitengani havikai mbali kidevu na ndevu
Dunia haitasimama ukigoma kutembea nayo
Sio magumu ka ku click link kwa bio
Kakamaa nakupa moyoumegusa tu button siyo
Kuwa mpambanaji kama binamu yangu Suyo
Huu sio mziki wa mafala ni mziki wa mataita
Unakuweka kitako na chaki unakufundisha
Una’feel the passion zaidi ya telemundo
Mapanchi mengi hata Touch akizima mdundo
Bye bye

Waite wamuone gwiji wajigambe (we haya)
Waite waite waje wamuone gwiji wajigambe (we haya)
Waite wamuone gwiji wajigambe (we haya)
Waite waite waje wamuone gwiji wajigambe (we haya)

Is another one
Touch (touch)

We haya
Uuh
We haya

Nandy ft Alikiba – Nibakishie Lyrics

 akili imesita imegoma

mwisho wa reli kigoma
ooh ooh


oh baby (nibakishie)
usinipe vyote mie (nibakishie)
utaniua (nibakishie)
we ndio roho yangu (nibakishie) ×2
ooh baby


nishaharibu cocky ya mapenzi acha niloe
pacha wangu ni ww tunamatch sare sare
nitazurula kulilinda penzi
kwa ndumba na chale
tetere lipe mchele mzoga wake mwewe
ooh, basi nikabidhi
ooh, moyo sitopunja wala kupima aiyayaya
ai inanishaka ganzi na kichomi kuchoma
mwili mzima wa tetema ooh baby
baby, umetekenya Ngoma
we mama ni noma (noma)
mwisho wa reli kigoma kigoma kigoma
ooh ooh


oh baby (nibakishie)
usinipe vyote mie (nibakishie)
utaniua (nibakishie)
we ndio roho yangu (nibakishie) ×2
ooh baby eeeh