Monday, October 11, 2021

Teacher - Harmonize lyrics

 Ahahaha hahahah jeshiiiiiii

Wakati wanahanya kugombea kiti

Wanadanganyana na views wa ku-cheat

Mie jicho lipo nyanya nilishakula kijiti

Na magoma yakipigwa huko club mtiti

Ninachojua masela huko mtaani kuna dhiki

Ndo maana sitingishi hela wala ninavyovimiliki

Mafumbo andika kwa dela watu wanataka muziki

Mara kumi mwanangu wa sindelela yeye hapendagi makiki

Huu muziki nauweza

Nauweza kuuimba na kucheza

Ona unavyonipendeza

Hadi majirani wameanza kunigeza

Huu muziki nauweza

Nauweza kuuimba na kucheza

Ona unavyonipendeza

Hadi majirani wameanza kunigeza

I’m your Teacher, Teacher Konde

Teacher, Teacher Konde

I’m your Teacher, Teacher Konde

Teacher, Teacher Konde

Huu muziki nauweza

Nauweza kuuimba na kucheza

Ona unavyonipendeza

Hadi majirani wameanza kunigeza

Huu muziki nauweza

Nauweza kuuimba na kucheza

Ona unavyonipendeza

Hadi majirani wameanza kunigeza


Ninachojua masela huko mtaani kuna dhiki


Ndo maana sitingishi hela wala ninavyovimiliki


Mafumbo andika kwa dela watu wanataka muziki


Mara kumi mwanangu wa sindelela yeye hapendagi makiki


Huu muziki nauweza


Nauweza kuuimba na kucheza


Ona unavyonipendeza


Hadi majirani wameanza kunigeza


Huu muziki nauweza


Nauweza kuuimba na kucheza


Ona unavyonipendeza

Hadi majirani wameanza kunigeza

I’m your Teacher, Teacher Konde

Teacher, Teacher Konde

I’m your Teacher, Teacher Konde

Teacher, Teacher Konde

Teacher, Teacher Konde

Teacher, Teacher Konde

I’m your Teacher, Teacher Konde

Teacher, Teacher Konde

Price wa kigoma add it.........


Nimekuzoea Nandy

 Nimekuzoea Nandy


Kimamba on the beat......

aiyayayaaa.....aiyayayaaa.....aiyayayaaaa

Niko tuli beibe, kama maji kwa mtungi

Naunga puli beibe, nivute niishi nibaki kishungi,

ai..

Zuri beibe, nibandike nigande ka gundi

Maakuli beibe, nilishe nishibe kitumbo ndindi

ai...

Unanikoleza

Unanichombeza

Unanilegeza ai wee

Ukianzaga ndani, unayaweza kiundani

Kwenye meza sunami jeneza ni wee

Nakupenda,nakuwaza forever your my boo

Unipendeeee, nikupendee ooh

Nimekuzoea

Nimekuzoea

Nime nime nime nimekuzoea

Nimekuzoea

Nimekuzoea

Nime nime nime nimekuzoea

aiyayayayaaaa...........aiyayayayaaa .........uuuu ......uuuu

Kazoea vyote kazoea mpaka kazoea

Kabobea kote kabobea mpaka kabobea tena

Nalowea kote nalowea mpaka nalowea

Nakolea yote nakolea tamu kukolea tena

Nipo katikati nazungukwa na upendo

Sa natokea wapi, kaziba kote hajaacha pengo

Wanafikaga wapi, peku bila sendo

Nifike saa ngapi vyote tembea kwao kwa mwendo

Nakupenda

Nakuwaza forever your my boo

Unipendee nikupendee

Nimekuzoea

Nimekuzoea

Nime nime nime nimekuzoea

Nimekuzoea

Nimekuzoea

Nime nime nime nimekuzoea



YUDA - Nandy lyrics

 YUDA - Nandy

Kimambo on the beat

Nimemnyosha wangu yuda

vyake vitamu najipakulia

Kungwi nimefundwa, wake ma ex ndo wanaumia

Walisema limevunda sasa jikoni ndo linanukia

Ye ndo wangu kiti tena hachoki nikimkalia

Tena sikuihizi nanenepa nanawili

Yamenoga mapenzi na yameshamili

Kanipa vinono na vikubwa vitamu sio shubiri

Nyumban kumenoga unipoza mwili

Ananileta chumbani unikoleza wangu honey

Tunacheza kibaba mama.. kibaba mama

Wakienda vitani sisi tuko nyumbani

Aniteach inama inama.. inama inama

Ziwaume roho zao(kumtuliza)

Na ziwaume roho zao (najua kutunza)

Na ziwaume roho zao(kashindikana)

Na ziwaume roho zao

Kanipa sikio ananisikiliza

Malumbano ndani hana

Nimepitisha fagio na hawezi kuniliza

Mashindano ndani hana

Nimefundishwa na mama kumlea bwana

Akitaka nyama nampanaga na tena

Ananileta chumbani

Unikoleza wangu honey

Tunacheza kibaba mama.. kibaba mama

Wakienda vitani sisi tuko nyumbani

Aniteach inama inama.. inama inama

Na ziwaume roho zao(kumtuliza)

Na ziwaume roho zao (najua kumtuza)

Na ziwaune roho zao

Na ziwaume roho zao