Monday, October 11, 2021

Nimekuzoea Nandy

 Nimekuzoea Nandy


Kimamba on the beat......

aiyayayaaa.....aiyayayaaa.....aiyayayaaaa

Niko tuli beibe, kama maji kwa mtungi

Naunga puli beibe, nivute niishi nibaki kishungi,

ai..

Zuri beibe, nibandike nigande ka gundi

Maakuli beibe, nilishe nishibe kitumbo ndindi

ai...

Unanikoleza

Unanichombeza

Unanilegeza ai wee

Ukianzaga ndani, unayaweza kiundani

Kwenye meza sunami jeneza ni wee

Nakupenda,nakuwaza forever your my boo

Unipendeeee, nikupendee ooh

Nimekuzoea

Nimekuzoea

Nime nime nime nimekuzoea

Nimekuzoea

Nimekuzoea

Nime nime nime nimekuzoea

aiyayayayaaaa...........aiyayayayaaa .........uuuu ......uuuu

Kazoea vyote kazoea mpaka kazoea

Kabobea kote kabobea mpaka kabobea tena

Nalowea kote nalowea mpaka nalowea

Nakolea yote nakolea tamu kukolea tena

Nipo katikati nazungukwa na upendo

Sa natokea wapi, kaziba kote hajaacha pengo

Wanafikaga wapi, peku bila sendo

Nifike saa ngapi vyote tembea kwao kwa mwendo

Nakupenda

Nakuwaza forever your my boo

Unipendee nikupendee

Nimekuzoea

Nimekuzoea

Nime nime nime nimekuzoea

Nimekuzoea

Nimekuzoea

Nime nime nime nimekuzoea



No comments:

Post a Comment