Saturday, December 24, 2016

Ali Kiba – Aje Lyrics (ft. M.I)

Ali Kiba – Aje Lyrics (ft. M.I)


Aje Lyrics –  ft. 

[Verse 1 – Ali Kiba]
Ucheshi na sauti
Amenifanya nam miss tu
Mwambie asiogope
Ali ni kipenzi cha watu
Ntafanya party nyumbani
Hiyo yote kwa ajili yake
Tena asije peke yake
Asiogope aje na wenzake
Ntafanya party nyumbani
Hiyo yote kwa ajili yake
Tena asije peke yake
Asiogope aje na rafiki zake eh
[Hook – Ali Kiba]
Basi mwambie aje “aje”
Oh aje “aje”
Aje na rafiki zake “aje”
Asije peke yake “aje”
Oh aje “aje”
Aje, oh aje “aje”
Aje jamani aje “aje”
Aje nam miss aje “aje”
[Verse 2 – Ali Kiba]
Uzuri wake timilifu
Nshamuona na watu maarufu tu
Kina Wema Sepetu
Nikaomba namba bichwa akanishushua shuu!
Ilinikosesha raha
Lulu nae kandanganya
Kwamba mi ni wa kwake
Aniogope tena asinichekee
Ilinikosesha raha
Lulu nae kandanganya oh
Kwamba mi ni wa kwake
Aniogope tena asinichekee
[Hook – Ali Kiba]
Basi mwambie aje “aje”
Oh aje “aje”
Aje na rafiki zake “aje”
Asije peke yake “aje”
Oh aje “aje”
Aje, oh aje “aje”
Aje jamani aje “aje”
Aje nam miss aje “aje”
[Verse 3 – M.I]
I say, I say, I say…
I’m gonna marry you one day
Come through baby girl
I just want us to speak
See we met on a Monday
You must be next Monday
Cause you make it one week
Have you been to the West side?
Forget whatever you seen on them Nollywood films
I wanna be your best guy
So let’s try till you testify no one’s better than him
So baby, give me your digits
Let me google map location, come and visit
You should show up in something exquisite
I can come over to yours, girl, where is it?
You could teach me to speak in Swahili
Like “sawa sawa, mambo vipi?”
Can you tell that I’m feeling you really?
Ali Kiba and M.I, my baby, I know that you feel me
[Hook – Ali Kiba]
Basi mwambie aje “aje”
Oh aje “aje”
Aje na rafiki zake “aje”
Asije peke yake “aje”
Oh aje “aje”
Aje, oh aje “aje”
Aje jamani aje “aje”
Aje nam miss aje “aje”
[Outro]
Come through, baby
I want you to come through, baby
Come through, baby
I want you to come through, baby
Come through, baby
I want you to come through, baby
Come through, baby
I want you to come through, baby

Tutoke (LYRICS) by Quick Rocka ft Shaa and Q-Chilla

Intro:

M-Chali c'mon bounce to this,bounce to this(Shaa)
We takin over now,Yeiye iyee*2
Chali..(Q-Chilla)

CHORUS:
Imekuwa longtime sana hatuja toka baby
Sa' narudi ndo nataka tule happy,*2
Nakuja tutuke*8

VERSE 1:
Imepita longtime since i left pipi girl,
kabla sijawa famous na kupata hizi dough,
batta la manati b'coz of low budget,
kuwahi kurudi home asubuhi tuwahi classez,
Sasa imechange sio vile sio kama kipindi cha shule,
Sasa batta huku na kule wala usiogope usiwire,
twende tuka party tuwashtue mazee,
tukapige monde mimi nawe baby,
pretty pretty mama nimekumis sana nakuja unitulize roho,
naughty naughty drama hazina time bwana lets party all night long,
full moon party in zanzibar abroad vacations in december,
na vile we' ni mjanja all way tutachanja,
never stay sobber please wasaha ganja,
hold ma hand n follow ma lead coz i'm the one that u've ever needed,
take a ride inna high speed to the limit,
live inna easy way but just rock it,
najua utaipenda sana na hivyo vyote ntafanya kwa ajili yako msichana,
nataka utambue yo' ma best girl ever- na hiyo sexy talk (aaha') yo a diva,

CHORUS:
Imekuwa longtime sana hatuja toka baby
Sa' narudi ndo nataka tule happy,*2
Nakuja tutuke*8

VERSE 2:
Nipo q.u.i.c.k na navigator nakuwaza all the way,
nataka uni-tease kiss n cares me nna three c'z bill zote on me,
itakuwa raha si tukila raha kila day kila saa tuki-shine tu mama,
mos-mos tukipiga steps kwenye dance floor na we' mtoto mrefu,
nata na midundo kulean' back haaaa' back it up girl wee nifanye nifurahi,
We rollin we rollin....
yani vile nakuta wote tuwe high nishakula kitu hakuna kujidai,
Just fallin just fallin...
katakata baby kiuno kamata jinsi unavyo dance hadi watu wamedata,
unavyozungusha me utanipagawisha kiuno chako baby girl kilicholegea mfupa,
unavyopanda na kushuka me unaniacha hoi,
na pale unaponikiss na kusema i love u baby boy,
nikiwa nawe kila muda nai-enjoy,
everytime i'm smilling ni mcheshihuniboi,
nimedata na lips na hizo zako kiss bambataa na zako hips na vile unavyo dress maa,
so tell me kama kwangu unafuraha ndo maana napenda kuwa nawe kila saa,..*2

CHORUS:
Imekuwa longtime sana hatuja toka baby
Sa' narudi ndo nataka tule happy,*2
Nakuja tutuke*8

VERSE 3:(Shaa)
Nasubiri tena sana unitoe ma bby usiniangushe please..
niko tayari nimependeza just how u like it boy ajili yako wewe tu,
kwahiyo fanya haraka njoo quick quick quick rocka,
wajua mimi niko weak weak by yo swagga,
nimepanga kukupa utakacho,
take me out show me off baby boy,
baby boy oooi oooi yeah,

 CHORUS: :(With 'NJOO TUTOKE'-Shaa)
Imekuwa longtime sana hatuja toka baby
Sa' narudi ndo nataka tule happy,*2
Nakuja tutuke*8

Outro:
Quick rocka...Shaa...Quick rocka....Shaa,
yeeeah tutoke ma baby..tutoke ma girl*2,
Njoo-o njoo njooo oooh ooooh oooh!
You alrdy know what it is Marco Chali Holla..

nivute kwako lyrics by dayna ft barnaba

nivute kwako lyrics by dayna ft barnaba

Nivute kwako Niwe wako mileleNivute kwako, nivute baby
Nivute kwako ,Niwe wako milele
Nivute kwako, nivute
najua unanipenda nami nakupenda wewe
Najua nakupenda ila nakungoja uanze wewe
Moyo wangu, wakupenda wewe pekee
Nivute kwako, Nitoe huu upweke
akili yangu, yakuwaza wewe pekee
Nivute kwako, Nitoe huu upweke
endapo utasema hutokaliwa [wewe!]
endapo utasema hutofikiriwa
endapo utasema utakubaliwa
utakubaliwa baby!
Nivute kwako, Niwe wako milele
Nivute kwako, nivute baby
Nivute kwako ,Niwe wako milele
Nivute kwako, nivute
Kama kukuvuta ntakuvuta, ila upendo wangu kwako usijeshuka
ziko shida nyingi na mabalaa, vumilia hata tukishinda njaa
mola hugawa ridhiki kwa mafungu, subiri zamu yetu atafika kwetu
Uh ziko shida usijali, usijali usijali
mi ni wako tayari, tayari tayari
ziko shida usijali, usijali usijali
mi ni wako tayari, tayari tayari
uhh baby
Nivute kwako, Niwe wako milele
Nivute kwako, nivute baby
Nivute kwako ,Niwe wako milele
Nivute kwako, nivute
kapanga yeye!
mimi kuwa nawe!
uwoga utowe!
ungechelewa ningesema mwenyewe!
Nivute kwako, Niwe wako milele
Nivute kwako, nivute baby
Nivute kwako ,Niwe wako milele
Nivute kwako, nivute

baadae lyrics -ommy dimpoz

Nampenda kama ringtone

hana maringo, huyu binti mtamtam
swagga zake zipo simple
hapendi dingo, haniishi hamham
niko naye sina nyimbo
Nikatoa single, mpaka sasa nna album
mimi mkali wa mitindo
hata iki'mingle, kitandani mashamsham

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
hata mama na papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
dem mama eh dem papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

tukutane tena baadae eh, ai, baadae eh
njoo unipe tena baadae eh, si, baadae eh
usikose kuja baadae eh, ai, baadae eh
nitakungoja baadae eh, si, baadae eh

baadae eh, niko naye heey
baadae eh, niko naye heey

unang'aa bila lotion
mkali wa fashion, baby kama umechorwa eh
you got a temptation
sitaki nikukose, matajiri wakanipora eh
Penzi langu sio boshen
usijipe question, mimi ndiye mume bora eh
wananipangia mission
ili unitose, nimemuachia mola eh

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
hata mama na papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
dem mama eh dem papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

tukutane tena baadae eh, ai, baadae eh
njoo unipe tena baadae eh, si, baadae eh
usikose kuja baadae eh, ai, baadae eh
nitakungoja baadae eh, si, baadae eh

baadae eh, niko naye heey
baadae eh, niko naye heey

raha zote kwako napata, ai, napata!
umenichanganya nadata, si, nadata!

raha zote kwako napata, ai, napata!
umenichanganya nadata, si, nadata!
kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
hata mama na papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
dem mama eh dem papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

tukutane tena baadae eh, ai, baadae eh
njoo unipe tena baadae eh, si, baadae eh
usikose kuja baadae eh, ai, baadae eh
nitakungoja baadae eh, si, baadae eh

baadae eh, niko naye heey
baadae eh, niko naye heey

kamiligado lyrics by Prof Jay

Mtoto yuko kamili gado

Prof Jizzy Jizzy! Chali Chali!
Prof Jizzy Jizzy! Chali Chali!
Chali!, Chali

Nakucheki cheki kila kona, maana mpaka pwani kote sijakuona
moyo wangu unauma mie, japo nikuone mi nitapona
nimekwenda hospitali, mbalimbali wanadai dawa yangu ni wewe
we ndo wangu daktari, sitapona sitaishi tafadhali nielewe
bado napenda kuishi, bado nataka kuishi nionee huruma mwenzio
hey, nipigwe hata kwa kiss naishi kitatanishi mpaka useme ndio
hey, unavyokatikakatika, zungushazungusha juu mpaka chini mi ninabaki hoi,
hoi unavyotingishatisha binukabinuka back and forth, mi ninabaki hoi

ma, unang'aa kistaa, kukuona ni adimu kama nyota ya jah
ah, unasifika kila kona mtaa, njoo kwangu unitibu ili nipone kachaa
na, naahidi kukupenda cause nakupenda
haya mawazo kuwa nitakutenda sitatenda
twende wote popote unapokwenda
nakiri mimi mateka na kwako nime'surrender

mtoto yuko kamili gado, kamili gado oh
mtoto yuko kamili gado, kamili gado oh
mtoto yuko kamili gado, kamili kamili
kamili kamili kamili gado
mtoto yuko kamili gado, kamili kamili
kamili kamili kamili gado

watu wegi wanishangaa, kwanini kila siku mi' sina raha
afadhali ushinde njaa, kuliko maisha yako yakose furaha
wanasema nimechiz, wanasema nimenok
wanasemasema usiku watalala
njoo karibu nami tuwatoe nishai, wanoknok tuwatoe kafara
furaha yangu ni wewe, maisha yangu ni wewe, fikra zangu ni wewe tu
ndoto yangu ni wewe, maisha yangu hayana thamani bila wewe tu
natamani siku moja uwe nami, kwa furaha na maisha yote
ili tuende nikutambulishe nyumbani, kwakuwa una sifa zote
nikubali uwe wangu mwandani, siku zote na maisha yote
mapenzi yetu yachome wapinzani, daima na milele yote



anh, you're the one and only, sina nia ya kuzingua niamini shortie
usishangae wakinyoosha vidole, wanadhani uko single wabadili story
we ndio wangu wife material, uzuri na tabia zinafuta changu kilio
ado ado mambo bado, wape kisago mtoto uko kamili gado
anh

mtoto yuko kamili gado, kamili gado oh
mtoto yuko kamili gado, kamili gado oh
mtoto yuko kamili gado, kamili kamili
kamili kamili kamili gado
mtoto yuko kamili gado, kamili kamili
kamili kamili kamili gado


Usi-niache mi, hey usi-niache mi ah
Usi-niache mi, hey usi-niache mi
Ukiniacha peke yangu na mawazo nakonda
Usi-niache mi
Ukiniacha peke yangu na mawazo nakonda

mtoto yuko kamili gado, kamili gado oh
mtoto yuko kamili gado, kamili gado oh
mtoto yuko kamili gado, kamili kamili
kamili kamili kamili gado
mtoto yuko kamili gado, kamili kamili
kamili kamili kamili gado

Nakupenda wewe, ninakupenda wewe
Nakupenda wewe, ninakupenda wewe
Nakupenda wewe, ninakupenda wewe
Nakupenda wewe, ninakupenda wewe

kamili kamili, kamili kamili kamili gado
kamili kamili, kamili kamili kamili gado
kamili kamili, kamili kamili kamili gado

haturudi nyuma lyrics by Juliana ft Kidum

Mpenzi, Mpenzi

Mpenzi wewe (wewe)
Mpenzi wewe Mpenzi wewe
Mpenzi wewe Mpenzi wewe (eeeeh)
Verse 1
nieleze vipi mimi ntaweza kuishi bila wewe
ukiniacha ukienda zako, penzi wewe
kama ni ukweli, yale nasikia kwa majirani
ya kwamba utakuja kwenda zako
uliniahidi, tutakuwa tukijadiliana
na maswali yangeleta utata
kwa nini chinichini
unanificha yanayokusinya
lakini unayosema, ni majirani
kwa nini kando kando
unanificha yanayokuudhi
lakini unayateta kwa marafiki

ukiniacha mi ntalia
ukienda zako ntabaki naumia
kama ungelijua
uoga ni lao, kukupoteza
ndio nasema, baby

Chorus
nakuomba please ubaki nami
nasema penzi
nakuomba ubaki, tujaribu tena, tunayo nafasi
ya kuanza tena
tunayo nafasi
ya kujikosoa, haturudi nyuma kamwe
haturudi nyuma kamwe

Juliana wee

Verse 2
watu wanasema kama karibuni wee unaoa tena
ya kwamba nianze kujipanga
si ukweli, nimekataa
ni tahadhari kubwa kwangu, na unanitisha
sijui nimekosea wapi
uliniahidi
kama kila jambo lote la nyumbani
ni muhimu kuliweka wazi
Ni kuki shenge
Uguma buri gihe umbabaza
Kandi uzi ko ngukunda
Ni kuki rukundo
Uguma untera umujinya
Ukica amatwi ngukunda

ukiniacha mi ntalia
ukienda zako ntabaki naumia
kama ungelijua
uoga ni lao, kukupoteza
ndio nasema, baby

Chorus

nakuomba please ubaki nami
nasema penzi
nakuomba ubaki, tujaribu tena, tunayo nafasi
ya kuanza tena
tunayo nafasi
ya kujikosoa, haturudi nyuma kamwe
haturudi nyuma kamwe

me and you by Ommy Dimpoz ft Va


(verse1)
Huna skendo wala maringo
Acha nijidai jidai jidai ai ai 
Kwa wako upendo
wengine kando
Tupendane tufurahi furahi furahi
Tabia na mwenendo
Mpaka kwa vitendo
Ukiniacha me ntadie ai ai ai
Ooh maji ya shingo nimefika ukingo
 kweli I don't lie ie ie

(chorus)
ooh tubabajoro eeh baba ee
afyenga afyenga
Tumefika leo kwasababu yako baba
tubabatoro eeh baba ee
 i thank God  i thank God  
Tumefika leo kwasababu yako baba
Ooh me and you
Ooh me and you
Just me and you
Ooh me and you
Ooh me and you
just me and you
Ooh me and you
Ooh me and you
wherever me and you

(verse2)
Penzi lake ulimbo
Tabia nzuri na umbo
Mpaka najihisi  nafurahi
Pesa kwake sio fimbo
Hadanganyiki na bingo
Wengi kawatoa nishai
Nimeshamwimbia na nyimbo
Ye dereva me utingo
Kunipenda me sishangai
Chumbani mjuzi wa mambo
Ye ndio ala me chambo
Akinipa sikinai


(chorus)
ooh tubabajoro eeh baba ee
afyenga afyenga
Tumefika leo kwasababu yako baba
tubabatoro eeh baba ee
 i thank God  i thank God  
Tumefika leo kwasababu yako baba
Ooh me and you
Ooh me and you
Just me and you
Ooh me and you
Ooh me and you
just me and you
Ooh me and you
Ooh me and you
wherever me and you

nikupe nini by Noorah ft Ali Kiba


Fish crub music
Ni baba k ali k once again

(verse1)
Nikikupenda unaanza niringia
Nikipunguza upendo unaanza nililia
Au ndo mwalimu wako kipofu
anakufunza kula mfupa palipo minofu
Kama bado unajali hujali we bado hujapata majibu nikuache ukatarii tu
Maana huachi kuaribu haribu vile kama unalisaka bifu
Tunapendana au tunapima au tunashindana
aah unachisana aah tunabishana aah
Umekuja kunipenda au uje kunitawala
Me mwenzio nakuheshimu ujue
 kama hupendi tunavyoenda tuvunje mkataba
Nijue moja nisijisumbue

(chorus)
Unapenda migogoro gogoro
Kila siku migogoro gogoro
Me na we migogoro
Ndani migogoro
Hivi nikupe nini ufurahi me na wewe twende sawa
Nimeshatapeli wajanja wa town nusu niende jela
Kila siku migogoro
(verse2)
Na masharo uwezo wanakula zaidi
Sijui ni utoto au uko ndio unafaidi
Unavyozidi kutumika thamani yako inashuka
Me ntaumia ntasikitika baadae sitakukumbuka
Nikiwa gentleman me bwege
 unajisifu eti ushanikamata eeh
Nikichange kwa bed me kicheche
Utaanza mapepe hadi wajinga watachapa
Unataka nikupe mapenzi hadi usiyoyahitaji
Au nikutumie kwa sex then nikudischarge
Sijui sisi ni wapenzi au maadui
Au labda mapenzi me ndio siyahitaji
Vitu vingapi nihuvipati
Sema Vitu vingapi si huvitaki
Mapema siku ni ngapi zimebaki kunitema
Jibu now usinigasi tena

(bridge:Ali Kiba)
Nikiwa na kosa unafoka foka
We ukiwa na kosa ndio tulivyoumbwa
Me nikiwa na kosa unatishia kuondoka
We ukiwa nakosa hata huna msamaha

(chorus)
Unapenda migogoro gogoro
Kila siku migogoro gogoro
Me na we migogoro
Ndani migogoro
Hivi nikupe nini ufurahi me na wewe twende sawa
Nimeshatapeli wajanja wa town nusu niende jela
Kila siku migogoro

Noorah a.k.a baba styles ali k

jambo jambo by Steve RnB

(Chorus)

Nasema jambo jambo mama
Habari gani nzuri sana
Ukiniacha ntaumia
Mwenzio nshakuzimia
Nasema jambo jambo mama
Habari gani nzuri sana
Ukiniacha ntaumia
... Mwenzio nshakuzimia

(Verse1)
Uzuri wako umenifanya
Niwe nawe ka kabisa
Tabia ndio imenivuta
Niwe karibu
Moyoni niwe na furaha baby
Na furaha baby
Hakuna atakayenitenganisha atakayenitenganisha
niwe mbali na we mama
Ni mungu mwenyewe anaweza
Anapenda wote tuwe na furaha baby
Na furaha baby

(Bridge)
Without you
Without you
Love me o I can't be
Without you
Without you
No steve rnb
Without you
Without you
Love me o I can't be
Without you
Without you
No steve rnb

(Verse2)
Natamani niwe nawe kila saa
Usiku na mchana kuna njaa
Ukiwapo we pembeni kweli najivunia
Karibu ndani yangu washa taa
Ndani giza nene washa mshumaa
Sikia hizi hisia
Karibu ndani naumia yeeah

(Chorus)
Nasema jambo jambo mama
Habari gani nzuri sana
Ukiniacha ntaumia
Mwenzio nshakuzimia
Nasema jambo jambo mama
Habari gani nzuri sana
Ukiniacha ntaumia
Mwenzio nshakuzimia

Without you
Without you
Love me o I can't be
Without you
Without you
No steve rnb
Without you
Without you
Love me o I can't be
Without you
Without you
No steve rnb

nje ya box by Nikki wa pili,Joh makini and G.wara wara


House of music A city in tha house
Mpeleke joh makini nikki wa pili wara wara
Mpeleke Nje nje nje ya kumi na nane
Nje ya kumi na nane
Mpeleke Nje nje nje ya kumi na nane

(VERSE1: Niki wa pili)
Mungu nijalie demu mpenda pesa
kila siku nipigane kuwa bakhresa
Asinipende mimi apende verosa
Wana wamegewa wengi  ndio kitu wamekosa
Malighafi ya suruali si boxer
Siri nyingi mahali dingi alikosa
Demu wa  shida na raha na misoto sana
Huyo demu hanifai changamoto hana
Ikiwa demu wako anapenda vidogo
Uwezi kuwa na vingi na kuwa kigogo
Demu amsifie sana bosi wangu
Nikasirike kesho nijenge kiwanda changu
Sitaki demu wa kitanga jioni moja kanga
Tayari amejipanga kwa mabusu  mangapi
Demu nayemtaka manka wa kichaga jioni anaulizaga umeingiza sh ngapi

(CHORUS: G –Nako)
Mpeleke nje nje nje nje ya kumi nane
Nje nje nje nje ya kumi na nane
Mpeleke nje nje nje nje nje nje   ya box  nje ya box
Nje ya kumi na nane

(VERSE2: Joh Makini)
Namtoa nje ya box ndio nampecha ndani ya box
Aulizie ferrari jo ni kitu gani verosa
Demu boda boda kwenye bajaj anasinzia
itaua kipaji na uwezo wa kufikiria
Asinipende kama joh anipende kama stars
Super kabisa  ile gumzo ya kitaa
Hili nikaze asinilemaze nikadumaa
Sio demu anayehitaji kuwa na ndoa
Bali mwanamke anayehitaji mahitaji ya ndoa
Na sheria mikononi simpgi demu
Nachukua sheria kiunoni joh let me kill them
Asiyefanya kazi ndio neno lenye uhai
Asishike neno ashike maneno lenye maslahi
My lips don’t shine when yo hips don’t lie
Sio wa lift vocha  chips mayai
Demu cheap me hanifai
Habari gani afanye niwze milioni
Kumuonga laki mbili tabu nisione
Ukiona mdundo ni mapene ya mweusi
Sio miaka thelethini na tano driving school

(CHORUS: G –Nako)
Mpeleke nje nje nje nje ya kumi nane
Nje nje nje nje ya kumi na nane
Mpeleke nje nje nje nje nje nje   ya box  nje ya box
Nje ya kumi na nane

sorry by Barnaba

This is Barnaba boy classic
Ima the boy classic
And good music classic

(verse1)
Aaah haya eeh aah
nyuma nilitaka kuzungumza na we ila nafasi hiyo kwako nikakosa
sikujuta wala sikulalamika sababu naamini kukupenda wewe sijafanya makosa
japo nilisuffer machozi nikaangusha ila hujawahi nifuta hata kwa kuniongopea
ndio kwanza unacheka huku ukinibeza na mashoga zako vibarazani kuniongelea
mpenzi dunia imebadilika bado naweza nikakupa pesa na bado nikawa nakuongopea
basi vumilia kesho nitapata
nitakupa kila unachotaka sababu wewe ni malkia

(chorus)
baby wangu  am sorry hiii hii
sorry hiii hiii
sorry hii hii hii
sorry hii hii
baby wangu  am sorry hiii hii
sorry hiii hiii
sorry hii hii hii
baby am sorry hii


(verse2)
oneni navyolia kama mtoto
 kwenye sekta ya mapenzi nahisi nimechapwa viboko
na kinachoniumiza ni yangu huruma
maana mama barnaba alisema mwanamke akikuudhi usije kumpiga
oneni ndio nasuffer huruma yangu  inaniponza
kazi yangu kufungua milango usiku wa manane wenzangu wakigonga
nakupenda bado unampenda
namvumilia kila akinitenda
nahisi hiyo ndio nafasi anayoitumia kuniumiza
inshallah navumilia najua yataisha
ipo siku atagundua me ni wake wa maisha
na sitamlipizia nitamvulia na ntambembeleza nitamsahihisha
kila atakapokuwa anakosea

(chorus)
baby wangu  am sorry hiii hii
sorry hiii hiii
sorry hii hii hii
sorry hii hii
baby wangu  am sorry hiii hii
sorry hiii hiii
sorry hii hii hii
baby am sorry hii

joto hasira by Lady Jay dee ft Prof Jay


CHORUS
Hili joto hasira amba
Upepo hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Foleni mzee mzima  amba
Na pesa hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Hili joto hasira amba
Upepo hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Foleni mzee mzima  amba
Na pesa hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba

VERSE1
Kila siku nimenuna kwanini tunagombana
Tena tunakosoana kama tumechanganyikiwa
Na sioni hata maana ya si kuzinguana
Yaani kila mtu anajua sana au yote sababu ya sababu ya

CHORUS
Hili joto hasira amba
Upepo hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Foleni mzee mzima  amba
Na pesa hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Hili joto hasira amba
Upepo hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Foleni mzee mzima  amba
Na pesa hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba

VERSE2
Mazao twalima wote sahani wavuta kwako
Kama  chakula tule wote kwanini  chote kije kwako
Kisu mpini umeshika wewe ni tishio kunikata mimi
Mmmmh Au yote sababu ya sababu ya

CHORUS
Hili joto hasira amba
Upepo hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Foleni mzee mzima  amba
Na pesa hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Hili joto hasira amba
Upepo hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Foleni mzee mzima  amba
Na pesa hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba

VERSE3
(LADY JAY DEE)
Sahau sahau shida ooh kamilisha jana
Say goodbye joto rest in peace shida
Nok nok money
(PROF JAY)
Wenyewe wanasema usawa unakaba na rafiki wa kweli ni mama na baba
Hawa wengine wala usiwaamini binadamu wa sasa wana roho saba
Watakuwa na wewe kwenye raha na hawatakuwa na wewe kwenye njaa
Bora nipige misele yangu peke yangu niruke peke yangu uwoga niliukataa
Nabadilika kama saa na siku hazigandi   na sitakata tama
Wamejaa usaliti na chuki
Watu wa karibu wamenageuka mamluki
booom  General nasonga
Iwe joto au baridi naamini tutashinda
Kama mbwai iwe mbwai barida
We make more money rest in peace shida
Ukinuna unataka tunune wote
Ukilia unataka tulie wote
Vita vyako tunapigana wote
Tukishinda tushinde au bora tufe wote
Kama kulima kote tumelima wote
Hata kupanda kote tumepanda wote
Kupalilia tumepalilia wote
Aah nashangaa sasa mbona hatuvuni wote


CHORUS
Hili joto hasira amba
Upepo hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Foleni mzee mzima  amba
Na pesa hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Hili joto hasira amba
Upepo hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Foleni mzee mzima  amba
Na pesa hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba

Yahaya by Lady Jay Dee


Chorus:
Yahaya unaishi wapi
Kwani jina lako halisi nani Yahaya
eeehh
Oooh Yahaya, Oooh Yahaya, Oooh
Yahaya
Maskani yako Kinondoni
Nyumba namba haijulikani Yahaya
eeeehh
Oooh Yahaya, Oooh Yahaya

VERSE 1:
Huyu kijana mwenzetu, Kila siku
tupo nae maskani
Anakula ofa za watu, Anapoishi hata
hapajulikani
Tumetafuta, tumeuliza, hakuna
ajuae
Anavyozuga, anavyopita
Si umdhaniae
Na hafananii kabisa, na fix
anazofanya
Akidanganya kwa kina
Unaingia kingi unafuata, kumbe
hana helaaaa
Longo longo nyingi

Chorus:
Yahaya unaishi wapi
Kwani jina lako halisi nani Yahaya
eeehh
Oooh Yahaya, Oooh Yahaya, Oooh
Yahaya
Maskani yako Kinondoni
Nyumba namba haijulikani Yahaya
eeeehh
Oooh Yahaya, Oooh Yahaya

VERSE 2
Kwa story za vilingeni, Utafikiri
kweli yeye ndio boss
Suruali zake na mashati, Anasema
anafanya kazi bank
Mara anasema usalama wa Taifa,
Hakuna ajuae
Kalubandika wa kizazi kipya,
usomdhaniae
Na hafanii kabisa, na fix anazofanya
Akidanganya kwa kina
Unaingia kingi unafuata, kumbe
hana helaaaa
Ooooh Yahaya

Chorus:
Yahaya unaishi wapi
Kwani jina lako halisi nani Yahaya
eeehh
Oooh Yahaya, Oooh Yahaya, Oooh
Yahaya
Maskani yako Kinondoni
Nyumba namba haijulikani Yahaya
eeeehh
Oooh Yahaya, Oooh Yahaya

Mara anasema usalama wa Taifa
Hakuna ajuae
Kalubandika wa kizazi kipya
Uso mdhaniae
Na hafanii kabisa na fix anazo fanya
Akidanganya kwa kina, unaingia
kingi unafuata
Kumbe hana helaa

Chorus:
Yahaya unaishi wapi
Kwani jina lako halisi nani Yahaya
eeehh
Oooh Yahaya, Oooh Yahaya, Oooh
Yahaya
Maskani yako Kinondoni
Nyumba namba haijulikani Yahaya
eeeehh
Oooh Yahaya, Oooh Yahaya

MWISHO:

Mtunzi/ Mwandishi: Judith Wambura ( Lady JayDee)
Producer: Man Water
Studio: Combination Sound

Monifere by Gosby feat. Vanessa Mdee and Jux


Monifere my babeeeeee
Vanessa
Mshike mkono mshike mkono/ mfuate pale alipo mshike mkono
mvute kisha mvute mkatike mkatike mkatike kisha mkatike

Chorus
You know it's you Monifere my baby
 just stay with me oh baba you dey go make me crazy X2

Verse - Gosby
I wanna show the world that you're my girl
Don't worry I got you girl
Prada, Gucci, Fendi girl
usiniambie hupendi girl
I said I got this em paper girl
kiss you in public I don't care
Touch you in public I don't care
Squeeze you in public I don't care (you know why)
Coz love is in the air
hawana kitu wanaleta umbea umbea
I'm not doing ish zaidi ya kuwaombea
Em bitches they like coco
Huh you need a beach I can you buy coco
I'm so fabolous do you think I'm Loso
you thirsty I can get you cocoloso
lets make love while we listenin' to Azonto let's go

Chorus
You know it's you Monifere my baby
 just stay with me oh baba you dey go make me crazy X2

Verse 2 - Vanessa
I don't wanna be just any girl
Save my number as baby girl
Material things they can't buy my world
take a dive in my ocean and find your pearls
I know you got that thing called paper boy
Kiss me in public  I don't care
DP on BBM would you dare
Facebook status  I don't care (You know why?)
I definitely know that you're my guy
Na hata wakisema kwamba najidai
I don't mind,I know they jealous cos we fly
and we keep on elevating cos we on cloud nine
Peter Parker picked a pair of perfect pickles
That's how you perceive me baby
I know I'm your equal
Put your pride aside and tuck away your ego
Actually bring it back - I love the way we mingle,

Chorus
You know it's you Monifere my baby
 just stay with me oh baba you dey go make me crazy X2

Bridge - Vanessa
And if you spot that guy
u wanna claim him tonight
Mfuate pale alipo mshike mkono mvute kisha mkatike
mshike Mkono mkatike, viuno vikate
legeza kiuno kikate ayyy aiii!

Bridge - Gosby
And if I spot you gal mbona utakoma tonight
Nitavyokuingiza ndani halafu baby nitakuambia ukatike
ebu fanya ukatike
halafu baby ukatike ebu fanya ukatike eyaaaaa

Chorus
You know it's you Monifere my baby
 just stay with me oh baba you dey go make me crazy X2

Jux Moniferee my baby yeeeaaaahMoniferee my baby ohoooo yeeaah mmmhMonifere my baby aiiiiii yeaaaah

sugua gaga by Shaa

(verse1)

Wewe nyambonde mimi nyasumi
Matatizo yetu hayafanani
Wewe nyambonde mimi nyasumi
Matatizo yetu hayafanani
kama una shida unamwambia nani
Watu wanacheza mambo hadharani...
kama una shida unamwambia nani
Hata me za kwangu nimeacha nyumbani
Hatufanani
Hatulingani
Jiachie full mwanawani
Mshike mwenzio mkono kiunoni
Wote Jiachie full mwanawani
Mshike mwenzio mkono kiunoni
Tufanane

Usihofu hasara hasara
Hakuna kulala kulala
Usihofu hasara hasara
Hakuna kulala kulala
Usihofu hasara hasara
Hakuna kulala kulala

(chorus)
 Kama shida tumezaliwa nazo
Njaa isiwe kikwazo
Tukazeni mjini mipango
Njoo tuzisahau shida
Kama shida tumezaliwa nazo
Njaa isiwe kikwazo
Tukazeni mjini mipango
Njoo tuzisahau shida

Kama kucheza tunacheza wote
Njoo tuzisahau shida
Kama kuimba tunaimba wote
Njoo tuzisahau shida
Kama kucheza tunacheza wote
Njoo tuzisahau shida
Hata kuimba tunaimba wote
Njoo tuzisahau shida

(verse2)
Sina gari na nyumba ila wema nnao
Sina gari na nyumba ila wema nnao
Unataka kushindana na mimi
huwezi
Maisha yangu uswahilini
Siishi mbezi
Unataka kushindana na mimi
huwezi
Maisha yangu uswahilini
Siishi mbezi

(bridge)
Hii ni serikali ya kiswazi bibi tunakaba jiko tunakaba choo
Hakuliki wala hakuendeki
Wao wana dollar mmh si tuna visenti
Inakuhusu usije ukangoka meno sababu ya uchu

Kwanini usipende
Kwanini usiende
Kwanini usicheze
Kwanini usipende
Kwanini usiende
Kwanini usicheze

Wengine chakara chakara
Mashetani yamepanda
Ameshika usinga kanasa kwenye kibanda
Wengine chakara chakara
Mashetani yamepanda
Ameshika usinga kanasa kwenye kibanda
kibanda kibandaa

(chorus)
Kama shida tumezaliwa nazo
Njaa isiwe kikwazo
Tukazeni mjini mipango
Njoo tuzisahau shida
Kama shida tumezaliwa nazo
Njaa isiwe kikwazo
Tukazeni mjini mipango
Njoo tuzisahau shida
Kama kucheza tunacheza wote
Njoo tuzisahau shida
Kama kuimba tunaimba wote
Njoo tuzisahau shida
Kama kucheza tunacheza wote
Njoo tuzisahau shida
Hata kuimba tunaimba wote
Njoo tuzisahau shida

Sugua gaga sugua gaga
Sugua gaga sugua gaga
Sugua gaga sugua gaga
Sugua gaga sugua gaga
sugua gaga

Usihofu hasara hasara
Hakuna kulala kulala
Usihofu hasara hasara
Hakuna kulala kulala
Usihofu hasara hasara
Hakuna kulala kulala

Heri kuwa na pengo kuliko jino bovu
alama ya mguuni sio kovu
ni hayo tu

nilipe nisepe lyrics - belle



Nilipe nisepe
Nilipe nisepe
Nilipe nisepe

Nilipee
Uliniahidi baada ya wiki mbili sasa yapita miezi mitano
Pesa zangu ni zaidi ya laki mbili hujanirudishia hata senti 5
Sitaki kuamini we tapeli ila upo nje ya makubaliano
Kama huna useme me nijue nafanyaje

Unataka tusielewane kizimbani tufikishane
 
Eti sababu ya money wakati me na wewe na majirani
Unataka tusielewane kizimbani tufikishane
Eti sababu ya money wakati me na wewe na majirani

Nikisema unanikimbia ama
 
Nini unafikilia jamaa
Baada ya kukusaidia wakati watu wanategemewa
Nikisema unanikimbia ama
Nini unafikilia jamaa
Baada ya kukusaidia wakati watu wanategemewa

We we we ya fasta
 
We we nilipe
Ukitaka kuwa mbaya dai chako
Umejenga uadui kati yangu me na ndugu zako
Ukitaka kuwa mbaya dai chako
Umejenga uadui kati yangu me na rafiki zako
Wakati unataka msaada tuliandikishiana shahidi mwenyekiti
Hivi sasa ukiniona unanikwepa unasepa ina maana hunilipi
Unataka tusielewane(fasta)
Kizimbani tufikishane(fasta)
Eti sababu ya money(fasta)
Wakati me na we ni majirani
Nikisema unanikimbia ama
Nini unafikilia jamaa
Baada ya kukusaidia wakati watu wanategemewa
Nikisema unanikimbia ama Nini unafikilia jamaa
Nikisema unanikimbia ama Nini unafikilia jamaa

Ubinadamu kazi (kazi)
Bora umfadhili mbuzi (mbuzi) utamla mchuzi binadamu ana mauzi
Ubinadamu kazi wewe
Bora umfadhili mbuzi yeye utamla mchuzi binadamu ana mauzi
Tuseme unanikimbia mama
Simu unanizimia jamaa

Nilipe nisepe fasta
..till fade

come over by Vanessa mdee

[Intro]

I'm thinking about you baby
Vee Money on the track
Nahreel wussup

[Verse 1] 

Waking up this Monday morning
Time for a new start
Memories 'bout my weekend past I spent in Funkytown
Vile uliniomba namba, mimi nilikata
Roho ilikuwa giza wewe uliwasha taa

[Bridge 1] 

Ooooooh I'm thinking about you baby
And maybe you'll come over

[Hook] 

Come over baby, Cos you're my baby
Come over baby (Nisubirie) Cos you're my baby (Nataka Uniambie)
Come over, Come Over, Come Over

Come over baby ( 
We na mie) Cos you're my baby (Nakupenda mie)
Come over baby (Nisubirie) Cos you're my baby
Come over baby (Nataka Uniambie)
Come over, Come over, Come over, Come over eh!


[Verse 2] 

Na mi siamini
Nakuwaza wewe, nakuwaza wewe 

I'm going crazy, ooh baby crazy
Eh eh eh eh
Hali ni tete ninateseka mi
Lisiwe janga nikachekesha mi
Hali ni tete ninateseka mi
Lisiwe janga nikachekesha mi


[Bridge 1] 

Ooooooh I'm thinking about you baby
And maybe you'll come over

[Hook] 

Come over baby, Cos you're my baby
Come over baby (Nisubirie), Cos you're my baby (Nataka Uniambie)
Come over, Come Over, Come Over, Come Over eh!

Come over baby ( 
We na mie), Cos you're my baby (Nakupenda mie)
Come over baby (Nisubirie), Cos you're my baby
Come over baby (Nataka Uniambie)
Come over, Come over, Come over eh!

[Bridge 2] 

Nimebakizwa na umwemweru x7
Mwemweru mweru eh!
Mwemweru mweru x5

[Bridge 1] 

Ooooooh I'm thinking about you baby
And maybe you'll come over

[Hook to fade] 

my baby by Quick racka ft Ngwair

Intro;

Yeah man its yo boy Switcher lemmi talk to this girl 1 time,Listen.

Verse 1;
First time tumekutana ilikuwa kitaa,
Nikiakuita kukupa hi ukapoteza tambaa,
Sema kweli ili touch sikukata tama,
Nikapiga moyo konde utakuwa wangu mamaa,
Second time tulivyo meet ilikuwa kwa club,
You were dancing with yo friends n looking so fab’,
Ukanicheki nikakukonyeza then u gave me a smile,
Excuse me can I buy u drink,ukasema alright,
Baada hapo we started talking n dancing,
Getting to know u n u know me joking n laughing yeaah!,
So that’s how it went may baby girl n now girl yo mine.

CHORUS;
Baby yo mine*3 Ahuuuuuuaaaa!
Baby yo mine*3 Ahuuuuuuaaaa!

VERSE 2;
*(Yeah I’m so lucky to have girl,when I’m with u I feel so alive….Love u.)*
Daima uli-stay true hukubabaika,
Waliokuja na magari kukutishia pesa,
Hukutetereka my baby ukanikumbata,
Kamoyo kalidunda japo nilijitunisha,
And now we are finally here n we’re about to get married,
Do u remember that day when I told u,
That nitakuoa uwe mke wangu wa ndoa,
Ni mimi nawe wewe na mimi milele yote,
Now u walking down the aisle with a sweet sweet smile,
Ushapendeza baby girl u look so fine,
I do u do tushavishana pete (Lelyeleee) vigelegele kote,

CHORUS;
Baby yo mine*3 Ahuuuuuuaaaa!
Baby yo mine*3 Ahuuuuuuaaaa!

VERSE 3 (Ngwair);
*(Yeah I’m so glad yo mine baby,it’s been a long gtime coming…Cowizzy)*
Mara ya kwanza tu nakuona wow! Nikakuelewa,
Nikaamua kupropose fasta sikuchelewa,
Cause nili-fall in love na sio kukutamani,
Najivunia leo nimekuweka ndani,
Japo wanaleta beef hawa masharo wa mtaani,
Vitisho vingi vya mapedejshee flani,
Sijali namshukuru Mungu aliye juu,
Kwangu wewe ni zaidi ya dreams come true,
Kila tunapotembea pamoja kama pair,
Majina yetu ya mwisho wote leo yanaishia na Ngwair,
Tunashine upo fine napenda unavyo-design my valentine,
N I’m so glad yo mine…..

CHORUS;
Baby yo mine*3 Ahuuuuuuaaaa!
Baby yo mine*3 Ahuuuuuuaaaa!

OUTRO;
Yeah I go by the name of Rocka Quick…Hahahaha
I got ma big brother cowbama
Yeah tunamwimbia motto mzuri….Mashallah!
I love u baby…Mwaaaaah!

SHAA Harmonising;
Baby yo mine*6

hold me back by navy kenzo

Chorus: Nahreel

They hold me back,
they hold my luck,
but am gonna be what am destined to be,
run on the road that will set me free,
live to the dreams that will rise from me x2


Verse 1: Aika
They call me loser,call me beezy
Then hi!! haters, i keep moving
Call me burner, call me loser
Then hi!! suckers, i keep movin
This ma time and am gon make it
as a matter of fact i made it,
am a sister of all acts
My country made me big,so i prep maself bigger
these niggaz say that,i aint got no fans
Am gonna loose,lets leave this to the fans,
am 99%of my sucess and defence
They tryna push me away say that,
am just a girl tryna get famous
am more prescious than the diamonds in the sky,
Am A hero haya maneno mnayoongea ni muda unapotea
 mi nazidi songa mbele, you cant hold me back.

Chorus: Nahreel
They hold me back,
they hold my luck,
but am gonna be what am destined to be,
run on the road that will set me free,
live to the dreams that will rise from me x2

Verse 2: Weestar
I wanna be free,
get fame, get dough, stay fly
runaway from haters while they watchin me pass by
mama gimme blessins for your kid to always stay high
long live to haters so they see me gettin payed right,
riiiiight they runnin out of confidence,
 i told u right u see the consiquence,
killin nigaz wit ma flow and obliterate,
i love wat yall haters do but ya’ll gat to wait,
how long are your chains gonna hold me?
and how long are your words gonna bold me? ……..
pliz gimme a minute and you might as well go on hating i aint mad at you i get it aaaa

Chorus: Nahreel
They hold me back,
they hold my luck,
but am gonna be what am destined to be,
run on the road that will set me free,
live to the dreams that will rise from me x2


Bridge: Nahreel
Lord have mercy kwa wale walionitenda
japokuwa bado nawapenda,
kama wewe umeshapanga
Lord Have Mercy eeehh eeehh eehhh ehh ehhh eehh

Verse3: Aika
This music part of me,i sail on like am goin barbados
dont diss me like your toy.
i made you go international
U gatta be A man
Maisha mi kusaka pesa,pata pesa,kula pesa.
Sio kupiga domo maneno maneno
kuongea kila saa
kukicha,kila dakika nyota kuzima.
Watever that is, i dont care,
this is how we gon deal with it,
sleep with it,eat with it, ahahahaaa die with it.

Chorus: Nahreel
They hold me back,
they hold my luck,
but am gonna be what am destined to be,
run on the road that will set me free,
live to the dreams that will rise from me x2


!!!! NAVY KENZO !!!!

Serebuka by mwasiti

(Verse1)

Wengine wanalia sababu ya kupenda
Lakini wameachwa (wameachwa)
Wengine wanapigwa bado wang'ang'ana
sababu ya mapeenziii
Wengine wafumania lakini waendelea
Sababu ya kupeendaaa
Wengine wajiua wao walipendwa
lakini wameachwa leo
(Chorus)
Labda tunapenda tusipopendekaa
Tusipotakiwa tunavumilia
Labda tunapendwa tusipopapendaa
Tusipopataka tunasubiria yeah yeah
Serebuka serebuka
unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena
Serebuka serebuka
unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena
(Verse2)
Wengine wao waua hili wapendwe maishani
Mwishowe wateseka (watesekaa)
Wengine walishahapa hawatawapenda milele
Wakarudia yale yaleee
Wapo walioroga kushinda kwa waganga
Kupigania penzi lao lao ooh
Wengine zao kuhonga
Wao walipendwa pesa zao zikaisha wewe
(Chorus)
Labda tunapenda tusipopendekaa
Tusipotakiwa tunavumilia
Labda tunapendwa tusipopapendaa
Tusipopataka tunasubiria yeah yeah
Serebuka serebuka unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena
Serebuka serebuka
unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena
(Bridge)
Maisha ndivyo yalivyo
Kupata na kukosa
Maisha ndivyo yalivyo
Kutenda na kutendwa uuh
Lakini yote mipango ya mola
Alichopanga
La!la!la!la eeh
(Chorus)
Labda tunapenda tusipopendekaa
Tusipotakiwa tunavumilia
Labda tunapendwa tusipopapendaa
Tusipopataka tunasubiria yeah yeah
Serebuka serebuka
unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena
Serebuka serebuka
unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena
Weka chini shida zako wewe
Weka chini shida zako wewe
Weka chiini
........Drums plays till fade

Basi nenda by mo music

Basi nenda by mo music

(Verse1)
Kulalama kufuru lakini
Naona ndio napoza moyo
Uwepo wako sawa na muiba kidoleni
Ile tamu imegeuka shubiri
Nilipokuthamini nikakupa moyo
Hata kutendwa sikufikiri
Kinywa kizito kukubali ukweli
Moyo unashindwa inaniuma ni hatari
Mapenzi yanatawala dunia sawa
Nimechoka kutawaliwa kama
Uwepo wako sawa na muiba kidoleni
Ile Asali wanalina wengine
Siwezi kubishana na moyo
Nilikupenda kipepeo
Ila ile picha inaonyesha mapenzi yamekwisha
Ooh
(Chorus)
Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia
Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia
(Verse2)
Wanasema upendo wa kweli ndio haufutiki
Ila kwa baadhi najua
Right ningeelewa kuvuma kwa upepo kutobadili misimu ya jua
Nilishajua miendeno yako
Tusingewezana aaha
Kumbe nakunywa maji ya moto
me bado mtoto
Kwangu changamoto mmh
Waliposema hufai
Nilijipa moyo ni ya walimwengu
(Bilekebizembe bindi  biloza)
Karol aliniambia
Labda thamani ya mapenzi ni kikombe
Sikukivunja sina thamani
Sawa nimelewa sana sina haja ya kung'ang'ana
(Chorus)
Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia
Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia
Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia
Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia

sukido by Quick Racka ft Barnaba

Intro:

Yeeeeah!...Switcher Baby...Rocka....Yeeeeah!q

HOOK:
I'll give u what u want,sema mama.
I like a lot nitakupa mama wee.
Nimekuelewa uwe wangu mama.
Usinigeuze buzi lakuchuna mama eeeh.
*Whatchu say;
Subiria kidogo,subiria
Subiria kidogo,subiria eeh!*×2

VERSE 1:
Baby give it to me wajuwa nakutaka,
Na vile umzuri hadi nairobi nimekufuata,
I've been around the world never seen a girl like u,
Nimevurugika nimedata kwako tu,
So baby give it to wajuwa nakutaka,
Oooooh kwako nishadata,
Nikisema nichomoke i can't,Uuuh girl i can't
Eti nisikuwaze i can't,baby i can't.
HOOK:
I'll give u what u want,sema mama.
I like a lot nitakupa mama wee.
Nimekuelewa uwe wangu mama.
Usinigeuze buzi lakuchuna mama eeeh.
*Whatchu say;
Subiria kidogo,subiria
Subiria kidogo,subiria eeh!*×2


VERSE:
You said u were single nasubiria nini girl?,
Let me mend your heart kama ulishaumizwa baby,
Why nangoja ngoja siku nyingi,
Uongo,story na nyingi simulizi awee dada,
I need your love to make me feel alright,
And i'll give u my all and cherish u for life

#BRIDGE:(Barnaba)
Una nini? Au uko mwezini?
Mbona magirini,nini ni nini!! ×2
HOOK:
I'll give u what u want,sema mama.
I like a lot nitakupa mama wee.
Nimekuelewa uwe wangu mama.
Usinigeuze buzi lakuchuna mama eeeh.
*Whatchu say;
Subiria kidogo,subiria
Subiria kidogo,subiria eeh!*×2


#BRIDGE:(Barnaba)
Una nini? Au uko mwezini?
Mbona magirini,nini ni nini!! ×2
 
OUTRO:
Eeeh!,Nahreel whatsup whatsup....Aaaha

Nisome by Godzila ft Gnako

(intro)

Weka vyombo juu ya meza
(we on it, we on it)
Mtoto mzuri namkonyeza
(nisome, nisome)
Kiuno mama umepewa
(tuone, tuone)
(Show me what you got baby)
(Show me what you got baby)
(VERSE1:Godzilla)
Nahitaji kupoza koo baada ya kufanya kazi
Nacluz kwenye tinted kukwepa paparazi
Ni kukesha macho baada ya kuhustle
Nipo na G G G Gnako
Mara namuhita muhudumu
namuulza kama anaroom
na pia kama ana ndomu
naruhusiwa kuvuta ndumu
Nipo na mrembo ni sumu
kama ni dhambi nihukumu
Tungi baada ya tungi leo nasimamia
humuhumu
Mtoto wa uswazi akinimiss anacall
Hana mbwembwe sijui mara shopping twende
mall
Me na wewe busy hapa tunahook up baby
Ile kigangstar gangstar haina make up baby
(CHORUS:Gnako)
Askari wanauliza uliza
wapi wanapuliza puliza
Harufu inasikika sikika
Tunawaambia counter counter
Tumewaka waka
Haki ya Mungu I don't see nobody
Tumewaka waka Mitungi vishungi
Tumewaka waka Na me sivungi siungi
Tumewaka waka Yesu na Maria sioni mbele
Ongeza vyombo kwenye meza
we on it we on it
Mtoto mzuri namkonyeza nisome nisome
Kama kiuno ulipewa tuone tuone
(VERSE2:Gnako)
Tafadhari fungeni mikanda vipi
Tumetimba kipande Na wana (Vijiti)
zimeni askari wametanda (Titi)
zipo juu viunoni na shanga (Sipy)
Unachotaka natumia kipanga aghaaa
Watu wewe tumechizika kama milembe
Matumizi ka tuliuza sembe
Na hii ndio wanasemaga kama lembe
Usisubiri akwambie ana genye
Maneno mtekenye
Toilenga mapaki ngavenye
(CHORUS:Gnako)
Askari wanauliza uliza
wapi wanapuliza puliza
Harufu inasikika sikika
Tunawaambia counter counter
Tumewaka waka
Haki ya Mungu I don't see nobody
Tumewaka waka
Mitungi vishungi
Tumewaka waka
Na me sivungi siungi
Tumewaka waka
Yesu na Maria sioni mbele
Ongeza vyombo kwenye meza
on it on it
Mtoto mzuri namkonyeza nisome
Kama kiuno ulipewa tuone tuone
Ongeza vyombo kwenye meza
we on it we on it
Mtoto mzuri namkonyeza nisome
Kama kiuno ulipewa tuone tuone
Credit:Kibabra