Wednesday, November 29, 2017

Kajiandae alikiba lyrics

Oh cherie
Usione nachelewa
Mwenzako nafanya mipango
Tupate riziki kidogo
Yo mamii
Usione nachelewa
Yote sababu mipango utasubiri kidogo
My moonlight
My sunshine
My moonlight
My moonlight
My sunshine
My moonlight
Nimekuwa kama daladala
Kutwa kuchwa kwa barabara
Kuzichanga hizo gwalagwala nikutunze mama
Nimekuwa kama daladala
Kutwa kuchwa kwa barabara
Kuzichanga hizo gwalagwala nikutunze mama
Basi mamii ooh
Kajiandae
We jiandae andae
Vunja kabati kidogo
Kajiandae
We jiandae andae
Basi mamii ooh
Kajiandae
We jiandae andae
Nikutoe out kidogo
Kajiandae
We jiandae andae
Mimi nakuja oooh
Kajiandae
We jiandae andae
Kuna foleni kidogo
Kajiandae
We jiandae andae
Mamii mamii ooh
Kajiandae
We jiandae andae
Nimepata visenti kidogo
Kajiandae
We jiandae andae
Kajiandae
Imeandikwa kila mtu na msalaba wake
Na we ndio ndo roho yangu mi nataka utoke
Alichonipa Mungu mimi unakijua
Sina haja ya kujitutumua nikaumia
Ile saa aloniachia babu unaikumbuka
Mimi niliuza jana ili tupate pesa
Kwanza uvae upendeze na tabasamu lako
Uhai kwangu mimi kwenye upini wako
Mshahara bado mashaka kazini sijalipwa
Liwezekanalo leo lisingoje kesho
We ndo raha yangu
Na mimi ndo raha yako
Umejawa roho yangu
Kajiandae
Basi mamii ooh
Kajiandae
We jiandae andae
Vunja kabati kidogo
Kajiandae
We jiandae andae
Basi mamii ooh
Kajiandae
We jiandae andae
Nikutoe out kidogo
Kajiandae
We jiandae andae
Mimi nakuja oooh
Kajiandae
We jiandae andae
Kuna foleni kidogo
Kajiandae
We jiandae andae
Mamii mamii ooh
Kajiandae
We jiandae andae
Nimepata visenti kidogo
Kajiandae
We jiandae andae
Kajiandae
Wewe na mimi mimi ooh
Ujiandaee ooh
Najua siku moja moja raha
Si haba uko nami
Kajiandae
We jiandae
We jiandae andae
We jiandae
We jiandae andae
We jiandae
We jiandae andae
We jiandae
We jiandae andae

Lini alikiba

Nakuthamini kama dola
Wala usije nichora
Ukaniletea ukora
Chochote unachotaka we hu decide
Kwenye mabaya we huni guide
You’re my baby can’t deny
Baby hmm
(Eeeh)
You got my spirit to rise I’m popping
(Eeeh)
She like a ride to the heavens I’m a puppet
(Eeeh)
You got my spirit to rise I’m popping
(Eeeh)
She like a ride to the heavens I’m a puppet
Itakuwa ni lini au saa ngapi (lini saa ngapi)
Atakuwa ni mzawa wa wapi (what is love)
When you wanna fall in love with somebody
When you wanna get a lot with somebody
Atokee kwa bibi
Amfunge vikali
Akipasi maujanja baby
Na me nitamkubali eh
Amfunze maujanja (ujanja ujanja)
Asiende kwa mganga (mganga mganga)
Nimejawa na ma lover lover
Hakuna expire
Nitalinda na kulea lea
Kama mtoto wa jana
Nimejawa na ma lover lover
Hakuna expire
Nitalinda na kulea lea lea lea lee
Itakuwa ni lini au saa ngapi (lini saa ngapi)
Atakuwa ni mzawa wa wapi (what is love)
When you wanna fall in love with somebody
When you wanna get a lot with somebody
Kuna siri kubwa juu yako na mimi
Kukupata mpaka kuwa wangu my queen
Nikikuzima me tulia na mimi
Ya ndani tuyamalize chini chini
Si wajua mwanzo wako we na mimi yo
Kukupata mpaka kunijibu ndio
Nikikuzima me tulia na mimi
Ya ndani tuyamalize chini chini
Nikitaka Ile kitu baby wangu come now now now
Gimme some more baby now now now
Look at my eyes baby now now now
Sex in the morning now now now
Whine for me baby now now now
Bring it turn over
Don’t blame me baby
Don’t flex it baby
Don’t fake it
Itakuwa ni lini au saa ngapi (lini saa ngapi)
Atakuwa ni mzawa wa wapi (what is love)
When you wanna fall in love with somebody
When you wanna get a lot with somebody
Itakuwa ni lini au saa ngapi (lini saa ngapi)
Atakuwa ni mzawa wa wapi (what is love)
When you wanna fall in love with somebody
When you wanna get a lot with somebody
Nakuthamini kama dola
Wala usije nichora
Ukaniletea ukora
Nakuthamini kama dola
Wala usije nichora
Ukaniletea ukora

Jux utaniua lyrics

Iyei
Iyeiye
Iyei
Imekua asubuhi uwanja wa mapenzi moyoni umechafuka
Nami sitakikufagia upendo uende
Nina jua yangu roho ni ndogo ni ndogo hasa ikipenda-e
Ndio maana ukiwa tofauti baby unaniumiza ndani ndani (iyee)
Bado najiuliza ni kipi sijatimiza
Bado najiuliza ni kipi kinakuumiza
Bado najiuliza ni kipi mi sijaweza baby
Bado najiuliza ni kipi sijatimiza (haa)
Bado najiuliza ni kipi kinakuumiza (haa)
Bado najiuliza ni kipi mi sijaweza baby (haa)
Hey
Utaniua ua (haaha)
Hey (haaha)
My baby utaniua ua (haaha)
Hey (haaaha)
Ooh utaniua ua (haaha)
Hey (haaha)
Ooh babe utaniua ua (haaha)
Hey (haaha)
(Utaniua ua)
Nilijichangachanga ilimradi upendeze (ha)
Nikajibanabana minisijikweze (ha)
Sikutaka kugombana nikupoteze baby
Ilimradi niwe na wewe
Kibaya zaidi (naumia na upendo wako my love)
Ulisema mpaka kifo mama (ha) tungelizikwa wote
(Tungelifa wote)
Ila unanikatisha tamaa (ha) mimi sitaki uende
Bado najiuliza ni kipi sijatimiza
Bado najiuliza ni kipi kinakuumiza
Bado najiuliza ni kipi mi sijaweza baby
Bado najiuliza ni kipi sijatimiza (haa)
Bado najiuliza ni kipi kinakuumiza (haa)
Bado najiuliza ni kipi mi sijaweza baby (haa)
Hey
Utaniua ua (haaha)
Hey (haaha)
My baby utaniua ua (haaha)
Hey (haaaha)
Ooh utaniua ua (haaha)
Hey (haaha)
Ooh babe utaniua ua (haaha)
Hey (haaha)
(Utaniua ua)
We mama wee unaniua ua (we mama wee)
Unaniua ua
We mama wee unaniua ua (we mama wee)
Unaniua ua
We mama wee unaniua ua (we mama wee)
Unaniua ua
We mama wee unaniua ua (we mama wee)
Unaniua ua (haaha)
Hey (haaha)
Oh baby Unaniua ua (haaha)
Wewe unaniua ua (haaha)
Heiyeiye (haaha)
Unaniua ua (haaha)
Mh hey (haaha)
Unaniua ua
Your love your the one
You love the one
You love the one
Your love
Your love the one
Your love the one
Your love the one
Your love
Your love the one
Your love the one
Your love the one
Your love
Your love the one
Your love the one
Your love the one
Your love

Jux umenikamata lyrics

Nisikilize ninavyoimba
Na pia navyopiga gita
Naona Watu wamependeza aah
Nyuso zao zimejaa furaha (furaha ah)
Najua ujue leo hii kitatokea nini
Najua ujue leo hii nitakuambia nini
(Nitakuambia nini darling)
I do these for you (these for you)
I do these for you (these for you)
(I do these for you)
I do these for you (I do these for you)
These for you (I do these for you)
I do these for you (I do these for you)
These for you
Najua napenda kukuona wewe ukiwa na furaha (ah)
Najua thamani na heshima yako kweli unanifaa
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata
Haki ya Mungu wewe ni mzuri you are so beautifull
Na Mungu kakujalia hauna chembe ya Kiburi
Wewe ni msafi wa roho I don’t wanna let you go
I wanna marry you girl and nothing comes between us
Am gonna give you my loving and make them wanna be us
I do these for you (these for you)
I do these for you (these for you)
(I do these for you)
I do these for you (I do these for you)
These for you (I do these for you)
I do these for you (I do these for you)
These for you
Najua napenda kukuona wewe ukiwa na furaha (ah)
Najua thamani na heshima yako kweli unanifaa
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata
Mamy namuomba Mungu akulinde
Akutunze na watoto uniletee
Wewe ni furaha yangu (yangu)
Maisha yangu (ni wewe)
Ni wee
Najua napenda kukuona wewe ukiwa na furaha (ah)
Najua thamani na heshima yako kweli unanifaa
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata

Alikiba seduce me lyrics

Alikiba – Seduce Me Lyrics

Audio Player
00:00
00:00
Do not do like that I’m too smart dada
Seduce me like what the hell (ah hold up)
What the hell
Don’t do like that I’m too smart dada
Seduce me like what the hell (ah hold up)
What the hell
Nakuona unakata be careful sister
Na kama unataka they call me heart breaker (breaker)
Nina majina mapya kila mmoja amenipa
Wananiita kipusa ooh pasua kichwa
Mi ninamajina mapya kila kona wamenipa
Wananiita kipusa ooh pasua kichwa
Do not do like that I’m too smart dada
Seduce me like what the hell (ah hold up)
What the hell
Don’t do like that I’m too smart dada
Seduce me like what the hell (ah hold up)
What the hell
Eh Najua kupenda nagawa mavumba
Na kama unataka they call me kiba Rockstar
Nina mandinga mapya kila mmoja nampa
Wananiita misifa ooh pasua kichwa
Nina mandinga mapya kila mmoja nampa
Wananiita misifa ooh pasua kichwa ona
Do not do like that I’m too smart dada
Seduce me like what the hell (ah hold up)
What the hell
Don’t do like that I’m too smart dada
Seduce me like what the hell (ah hold up)
What the hell
Yup You know me girl I go by the name Alikiba
Unstopable what the…
Bambamba lailalaila bamba Despacito
Despacito cheza kidogo
Zungusha kiuno chako unionyeshe

Averina lyrics

Audio Player
00:00

00:00
Aaaah maskini moyo wangu uh unaniuma sana
Maskini nafsi yangu uh inahuzunika
Wewe ndio daktari wangu wa kutibu maradhi yangu
Nami ndani naumia
Wewe ndio daktari wangu wa kutibu maradhi yangu
Nia yao waharibu pendo nia yao wazamishe pendo
Nia yao waharibu pendo nia yao wazamishe pendo
wenye macho waliona jinsi tulivyopendeza
tena ndani ya penzi letu sumu wanasambaza
Averina (averina) mwambie Guso atulie
Averina (averina) mwambie Guso atulie
Averina (averina) mwambie Guso atuliw
Averina (averina) mwambie Guso atulie
Ingawa mimi bado ni wake sitaweza kukosea
Ingawa mimi bado ni wake sitaweza kukosea
Ingawa mimi bado ni wake sitaweza kukosea
Ingawa mimi bado ni wake sitaweza kukosea
Wewe wahuba wewe kidani changu
Wewe ni hazizi wangu wewe moyo wangu
Uh nia yao waharibu pendo nia yao wazamishe upendo
Shemeji Averina mwambie koso hali sina
mwengine sina uongo sina
Milupo inajileta habari sina nipo fiti na tayari nishapima
Maisha safi uje turide kwenye bima
Achane na maneno ya watu hawapendi penzi letu katu
Nitamganda kama smaku akitaka kumpanga ajibu aah
Nini anataka atulie machozi asitoke asilie
Habari za uzushi asisikie wazushi akiwaona akimbie
Ili maneno ya uzushi wasimwambie bado nampenda abaki namie
Averina (averina) mwambie uso watuli
Averina (averina) mwambie uso watulie
Averina (averina) mwambie uso watuli
Averina (averina) mwambie uso watulie
Ingawa mimi bado ni wake sitoweza kumkosea
Ingawa mimi bado ni wake sitoweza kumkosea
Ingawa mimi bado ni wake sitoweza kumkosea
Ingawa mimi bado ni wake sitoweza kumkosea
Tenten mwambie Skillz ahaaa hakuna kikubwa chini ya jua asante
Simbaaa hahahaha apa choma … avinadi

Tuesday, May 16, 2017

Love me izzo bizzness lyrics

Here they talk, let ’em talk girl
Now what they talk?
Here they talk, let ’em talk girl
Now what they talk?
Here they talk, let ’em talk girl
Now what they talk?
Here they talk, let ’em talk girl
Ah haa
Kama kijana, nilishafanya vitu vyote pia nikamaliza
Na mwisho wa siku, akili yangu kwake kabisa ikagota
Please don’t judge me (don’t judge baby, don’t judge baby eh)
Baby love me (I love you baby, I love ya!)
Mapenzi hatujaanza juzi, long time niko nawe
Naomba radhi nikikuudhi, nahisi nimeumbwa na wewe
We barafu wa moyo wangu, acha leo niweke wazi
Labda shahidi yangu Mungu, nikiwatoa wazazi
Nakumbuka toka shule, enzi za sekondari
Baby ulikuwa pale, we ulionyesha kunijali
You’re the one in a million, naapa kwa jina langu
Ah Jose Chameleone,
Sina valuvalu baby’
Tangu Izzo naitwa Imma, we ulikuepo ulisimama
Matatizo yalituandama, we hukuchoka ulipambana
We ndo maana ya mapenzi, mapenzi yanakuogopa
Hawa vicheche ni washenzi, hawajui wanachotaka
Ntakujali na kukuheshimu, acha woga mi bwana ako
Ya kwetu jukumu letu, hayawahusu shoga zako
We ndo Alicia, mi ndo Swizz, tupa mbali Jay Z, Beyonce
Shaa ndo keys, MJ beats, anayebisha shauri yake
Kama kijana, nilishafanya vitu vyote pia nikamaliza
Na mwisho wa siku, akili yangu kwake kabisa ikagota
Please don’t judge me (don’t judge baby, don’t judge baby eh)
Baby love me (I love you baby, I love ya!)
Kama ku-cheat, nisha-cheat sikufichi honey
Nisamehe yo my sweet honey, ni pepo sio mi
Ruksa kamba we nifunge, nishatua hapa
We ni jimbo nami mbunge, nishatua hapa
Mapenzi moto moto mpaka joto linaona wivu
Nikuite nani, ama mtoto? Leo baby naomba kavu
We mtamu kushinda asali, hakyamungu utaniua
Acha waseme mi sijali, haki ya Mungu utaniuaa
Acha basi nikusifie, sifa ulizonazo
Ila baby usijisikie, ikawa kama chanzo
Guu lako sio la bia, baby guu la champagne
Leo wazi nakuambia, hey you got that thing
Midomo wet sio mikavu, ona wanaona wivu
Umejazika si sana, maana sana inaboa
Hasa kwa sisi waungwana, sana inaboa
Macho na hizo hips ndo nakufa kabisa
Kama kijana, nilishafanya vitu vyote pia nikamaliza
Na mwisho wa siku, akili yangu kwake kabisa ikagota
Please don’t judge me (don’t judge baby, don’t judge baby eh)
Baby love me (I love you baby, I love ya!)
(I love ya)
I love you baby, I love ya
(I love ya)
I love you baby, I love ya
(I love ya)
I love you baby (baby), I love ya
(I love ya)
Ah ah I love ya (I love ya)
I love you baby, I love ya
(I love ya)
I love you baby, I love ya
(I love ya)
I love you baby (baby), I love ya
(I love ya)
Ah ah I loving ya
Kama kijana, nilishafanya vitu vyote pia nikamaliza
Na mwisho wa siku, akili yangu kwake kabisa ikagota
Please don’t judge me (don’t judge baby, don’t judge baby eh)
Baby love me (I love you baby, I love ya!)
Yeah!
Hii special kwako baby, au sio?
You’re the one and only
Yo miss Bizz.. miss Bizness, baby
Hahah
I love you, baby aah

Kidatokimoja lil ghetto lyrics

Kama safari ya mapenzi, nataka kuianzisha mimi na wewe
Nimepita nimeona wengi, jua moyo umekuchagua wewe
Kama safari ya mapenzi, nataka kuianzisha mimi na wewe
Nimepita nimeona wengi, jua moyo umekuchagua wewe
Nikiwa karibu na ua ridi, basi na mimi nitanukia
Kukuoa inanibidi, kwa kila hali ma umenivutia
Unanikumbuka
Ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule
Tulosoma wote kidato kimoja
Unanikumbuka
Ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule
Tulosoma wote kidato kimoja
Unajua mtu halazimishwi kupenda, anapenda mwenyewe
Basi usinikuzishie kidonda, wakati wajua dawa ni wewe
Unajua mtu halazimishwi kupenda, anapenda mwenyewe
Basi usinikuzishie kidonda, wakati wajua dawa ni wewe
Ntapata mi au nitakosa, utanisononesha kama ukinitosa
Kiangazi hata mvua za masika, nikikukosa jua ntaweweseka
Ntapata mi au nitakosa, utanisononesha kama ukinitosa
Kiangazi hata mvua za masika, nikikukosa jua ntaweweseka
Unanikumbuka
Ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule
Tulosoma wote kidato kimoja
Unanikumbuka
Ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule
Tulosoma wote kidato kimoja
Naamini unanikumbuka, hizo dharau uloleta
Kama tunda limeshawiva, tulibandue maganda
Fikiri, kumbuka tulipotoka
Mama wee, dada wee, unanitesa sana
Mama wee, dada wee, mbona unanichanganya?!
Unanikumbuka
Ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule
Tulosoma wote kidato kimoja
Unanikumbuka
Ila tu unaleta ukaidi
Mimi ni yule yule
Tulosoma wote kidato kimoja

Made hela lyrics

Hee – laa
Hee – laa
Hee – laa
Hee – laa
Habari gani jamani
Na hali ni gani
Mliopo duniani na mna raha
Game hatushindani na hatubishani
Nani ni Bingwa wa raha heeh
Siku hizi hela inakupa u star
Ni rahisi kumpinga hata Jah
Mwenye ela atakuhamisha Dar
Na akitaka hata jela utakaa
Hela imeleta hata vita imeua majita
Hali mradi balaa
Hela imevunja kanisa
Leo hakuna misa tunashinda bar
Yule kijana wa home sio star
Anatukana hata walio mzaa
Wivu tamaa na njaa
Ukiendekeza jua kidole utakaa
Hee – laa
Hee – laa
Hee – laa
Hee – laa
Hii dunia ni njia na nishapitia
Na nakaribia kusepa
Wengi wanaisifia ila mi naichukia
Na naona ni ngumu pia kuikwepa
Basi nyinyi watoto someni
Ya akina wema kadinda komeni
Kesho mufike kule bungeni
Msiendekeze ya mabrazamen
Mengi nimepitia nikiwahadithia
Wengine mtalia sana
Ina mengi dunia usipoangalia
Watakutatisha tamaa
Eti Masaki kuna Mungu-Watu
Nje Jongoo kumbe nani chatu
Hivi nyie darasa la tatu
Mshaisoma hadithi ya kibantu
Hee – laa
Hee – laa
Hee – laa
Hee – laa
Enyi nyinyi wadada wa mjini
Mnauza chini mnataka nini hela
Siwezi weka akilini chumvini mimi
Alafu nikupe hela
Kama wewe una act tom boy
Hata unshike kwa wapi huchojoi
Hata ufungue hii nati sienjoy
Nakula bati kuliko hata toy
Hee – laa
Hee – laa
Hee – laa
Hee – laa

Vailet matonya lyrics

Watu walishachonga sana
Eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana
Kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss, hug sipati oh mama, baby
Watu walishachonga sana
Eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana
Kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss, hug sipati oh mama, baby
Mi na huyu demu tunapendana
Sisi kila sehemu mimi naye hatutoachana
Kwenye shida na raha sisi tunapendana
Bora tunapendana
Mseme msemavyo tutazikana
Mi na Vai hatutoachana
Mbane mbanavyo tutazikana
Mi naye hatutoachana
Wanaogombana wanapatana
Nikikuudhi naomba unisamehe
Kama kadi I’m sorry mpenzi nikuletee
Semaa unachotaka
Chochote unachotaka nitakupa maa
Baby usiwe na pupa
usiwe kama fisi unataka mfupa
Wewe Vailet amini we ndo
My sweet heart, mi napenda unavyodeka
Unavyocheka, mwili unaweweseka
Watu walishachonga sana
Eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana
Kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss, hug sipati oh mama, baby
Watu walishachonga sana
Eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana
Kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss, hug sipati oh mama, baby
Vailet njoo Vailet usihofu
Vailet usifanye chochote itakuwa soo
Kwani mi mwenzako Tonya nakupenda sana
Ziba masikio wanafiki watakudanganya
Vailet basi usiwe na wasi
Ushanikataza nastop kuvuta nyasi
Kuna mazuri baby utakuwa huyapati
Kipindi kile we utaponisaliti we
Vailet we ndo keki wengine fake
Wataolewa hawariziki we
Mi na wewe tu, we ndo wangu sista duu
Usiwe na makuu nasisitiza we ndo my au
Vailet usininyanyase mie
Vailet nini nikununulie
Watu walishachonga sana
Eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana
Kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss, hug sipati oh mama, baby
Watu walishachonga sana
Eti Vailet simpati tena
Na kuongea uzushi bwana
Kwa kuona mambo yetu yananyooka
Hata kiss, hug sipati oh mama, baby

Speak tairi matonya lyrics

Najua nishachelewa
Kama kupenda umeshawahiwa
Nahisi kama ngekewa
Hadithi nzuri nasimuliwa
Kweli Maanani kaumba dunia kwa uwezo wa pekee
Nakupa marks asilimia mia baada wifey wewe
Kwani, lini, honey utakuja niamini?
Ya kwamba kidole kimoja hakiwezi vunja chawa hasirani
Pini ukinilia mi utanipa kovu kubwa maishani
Kwani Tonya mi tayari kuwa hata kwa spare tairi
Tafadhali Lati niamini
Nenda kwanza kafikiri
Tonya boy mi ni tayari kuwa hata spare tairi
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)
Kila ndege hutua kwenye mti aupendao
Hata kama una miba na majani kibao
Nishatota nugu tafadhali nikubali mwenzio
Hata kama una mchumba sitoweka vikwazo
Ayaa, hata mimi nakupenda kwenye hii sayari
Ayaa, na tabia za watu Lati huwezi tabiri
Unaweza tendwa na uliye nae
Nikaziba pengo juu yake yeye, Lati niamini
Tafadhali Lati niamini
Nenda kwanza kafikiri
Tonya boy mi ni tayari kuwa hata spare tairi
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)
Kila kukicha mi naona jii
Hata mwenzangu hueleweki
Na jibu langu hunipi
Nitafanyanini sasa wangu Lati
Kila kukicha mi naona jii (eeh)
Hata mwenzangu hueleweki (eeh)
Na jibu langu hunipi (eeh)
Nitafanyanini sasa wangu Lati (eeh)
Tafadhali Lati niamini
Nenda kwanza kafikiri
Tonya boy mi ni tayari kuwa hata spare tairi
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)

Anita matonya lyrics

Anita (iye iyee)
Anita wangu (uwo uwo)
Lelele lilele iye iyee
Nasukuma sukuma, ili siku ziende
Urudi nyumbani tuishi pamoja
Nasikia mazoea yanatabu, leo ndio naamini
Tangu uondoke Anita raha nakosa mimi
Hukumbuki tulilishana yamini
Kwamba mimi na wewe
Maisha milele mpaka nafukiwa chini
Ni mawazo yanautesa moyo wangu Anita nielewe iyee
Natamani uyajue ili unilinde mimi
Sijajua uliwaza nini Anita kuwa mbali na mie iyee
Hata hilo nilijue ili nisaishwe mimi
Kama ni maradhi, mimi ndio wako dakitari
Unambie mapema ili dawa yake niijue
Ama ni waradhii iiih hiii
Anii..
Anita (iye iyee)
Anita wangu (uwo uwo)
Lelele lilele iye iyee
Nasukuma sukuma, ili siku ziende
Urudi nyumbani tuishi pamoja
Unajua mi nilikupendaa zaidi
Ila ya dunia we yalikuzidi
Nilitamani kuwa nawe zaidi
Kuliko yoyote unayemdhani
Siku zote uko safarini kuniacha mimi upweke
Mi nilikupenda sana we mpenzi
Je kweli wataka kunienzi?
Au unataka kunitia mi mashakani?
Siku zaenda kama chizi, ni yangu njiani naongea
Hiyo yote sababu yako Anita kilio pokea
Chefu na majirani mtani wanakuulizia
Sina la kuwajibu nabaki kama chizi najililia
Waliniambia nikuache wewe
Ili mi niishi mwenyewe
Masikio nikaziiba, vipi niishi bila wewe
Wakasema hutonithamini, wala haikuniingia akilini
Mbuzi gita wakapiga jua wewe ndio wa maishani
Anita wewe umeumbika mama
Kila upitapo nyuma lawama
Sijiwezi mtoto wa kitanga
Kwako taabani nishabwaga manyanga
Anita wewe umeumbika mama
Kila upitapo nyuma lawama
Sijiwezi mtoto wa kitanga kwako taabani
Anita, nakuita..
Anita (iye iyee)
Anita wangu (uwo uwo)
Lelele lilele iye iyee
Nasukuma sukuma, ili siku ziende
Urudi nyumbani tuishi pamoja
Anita (iye iyee)
Anita wangu (uwo uwo)
Lelele lilele iye iyee
Nasukuma sukuma, ili siku ziende
Urudi nyumbani tuishi pamoja
Pamoja, pamoja na Dunga
Ndani ya 41 Records
Pamoja iih na Jide (aan haa, ah Jide)
Mkata
Ndani ya 41 Records (oh pamoja)

So uliniambia mb Dogg lyrics

Si kwamba tu naimba sometimes huwa nalia
Hofu na mashaka ulipo labda una-share
Ulisema waja mnyamwezi nikakungojea
Sema mami sema lini utarejea
Ee-eh eh I love you maa
Oo-oh oh I love you girl
Ee-eh eh I love you maa
Oo-oh oh I love you girl
Na uliposema waja wengi walikungojea
Mara muda umepita Abdul Bonge umeshamboa
Hivi kangoja mpaka Mola kamchukua
Sema mamii sema lini utarejea
Ee-eh eh I love you maa
Oo-oh oh I love you girl
Ee-eh eh I love you maa
Oo-oh oh I love you girl
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Ajabu toka ulipotoka miaka imepita
Sijakuona wangu my darling
Ni mbali uliko mi’ko mi na mashaka
Nakosa raha kabisa
Penzi lako nkilikosa baby kwangu soo
Ndo mana mi nakwita baby baby kwangu njoo
Nakupa live baby unanitesa roho
Ndo maana nakonda nadata na beat zapo
Au ndo ule mfano baby wanipenda roho
Na ile nyama mbichi baby itaniuma roho
Kama ni dili ntazicheza baadae
Kwanza rudi home washangae
Rudi home baby ili wapagawe
Nicheze nawe Kuchi Kuchi Hota Haii
Nakusubiri baby nakungojea mchumba
Nakusubiri nakungoja mchumba usinizuge
Nakusubiri baby nakungojea mchumba
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Ajabu toka ulipotoka miaka imepita
Sijakuona wangu my darling
Ni mbali uliko mi’ko mi na mashaka
Nakosa raha kabisa
Na kama waja niambie baby yee iye
Kama utanitosa mi nijua baby ei yee
Yaani na maana sina jinsi I love you girl
I love you shori everyday
Na maana sina jinsi I love you girl
I love you shori everyday
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Ajabu toka ulipotoka miaka imepita
Sijakuona wangu my darling
Ni mbali uliko mi’ko mi na mashaka
Nakosa raha kabisa

Ina maana mb Dogg lyrics

Natamani nikuone sijui ntakuona vipi
Natamani nikufuate sijui ntakufuata vipi
Please baby I don’t know sijui
Sema sema sema
Please baby I don’t know sijui
Nakwagara sheri wange
Natamani mi nikupe moyo wangu
Uende nao
Uni-kiss niridhike moyo wangu
Upoe nao
Kama nilivyo nipende mi msela
Mi msela aa usiniache
Kukuacha naweza
Naogopa nitajiumiza
Ndo maana nafanya miujiza
Moyoni usije niumiza
Naona raha naona
Raha naona
Mwenzenu raha naona
Nahisi unafirigita
Natamani nikuone sijui ntakuona vipi
Natamani nikufuate sijui ntakufuata vipi
Please baby I don’t know sijui
Sema sema sema
Please baby I don’t know sijui
Nakwagara sheri wange
Kipi mamaa kinachokusumbua? Oh
Nieleze baby ili nikupe mamii
Sema basi (basi) anaekuzuzua oh
Nieleze baby nami nimuige muhuni
Nami najua ni wewe tu ulie moyoni mwangu
Kwenye shida na raha usinimwage
Usiniache
Naona raha naona
Raha naona
Mwenzenu raha naona
Nahisi unafirigita
Natamani nikuone sijui ntakuona vipi
Natamani nikufuate sijui ntakufuata vipi
Please baby I don’t know sijui
Sema sema sema
Please baby I don’t know sijui
Nakwagara sheri wange (wange)
Dumba dumba dumba dumbe
Dumba dumba dumba dumbe
(Wange)
Dumba dumba dumba dumbe
Dumba dumba dumba dumbe
Ukitaka uje Afrika
Ukitaka twende Amerika
Ukitaka uje Afrika
Ukitaka twende Amerika
Ukitaka uje Afrika
Ukitaka twende Amerika
Ukitaka uje Afrika
Ukitaka twende Amerika
Ukitaka uje Afrika (Congo pia)
Ukitaka twende Amerika (Na Somalia)
Ukitaka uje Afrika (Nairobi pia)
Ukitaka twende Amerika (Kampala pia)
Ukitaka uje Afrika (Bujumbura)
Ukitaka twende Amerika (Comoro pia)
Ukitaka uje Afrika (Maputo aa)
Ukitaka twende Amerika
Dumba dumba dumba dumbe
Nigeria
Dumba dumba dumba dumbe
Hae hae hae
Dumba dumba dumba dumbe
Hae hae hae
Hae hae hae

Latifah mb Dogg lyrics

Maneno mengi wanasema juu yako
Eti kuna kitu honey umenifanyia
Mganga sio sababu mimi kuja kwako
Ila mi mwenyewe moyoni nimekuchagua
Nakutafuta nione sura yako
Nakutamani niwe karibu yako
Kama ni gari ndio mapenzi yawe tight
MB Dogg man mi nishalinunua
Kama salamu honey we ukini-miss
Ni-beep baby mi nitakupigia
Nakutafuta nione sura yako
Nakutamani niwe karibu yako
Aaya aa baby
Yei yei yei oh baby
Sema basi unachotaka mamii
Sema basi unachotaka honey
Honey achana na mawazo kishetani
Ukiniacha mi nitabaki na nani?
Latifah we ndo tu mamii
Lati we ndo honey
Latifah we ndo tu mamii
Latifah haya
Yei yei yee yee baby
Aah aa oo oh
Yei yei yee yee baby
Aah aa oo oh
Vipo vya ku-share Lati sio mapenzi
We ni wangu imepangwa toka enzi
Sema basi kitu gani unachotaka
We usijali mrume sina matata
Nachotaka we milele uwe wangu
Uje nikuite mama wa watoto wangu
Ukiniacha utaumiza moyo wangu
Kwani n’shaachana na habari za machangu
Ndio sharo wacha waone donge (waone donge)
Kama mikwanja tutachota club tubonge
Kilichobaki sir God tumuombe
Tuwapo wawili nyoyo zetu tuzikonge
Nachotaka we milele uwe wangu
Uje nikuite mama wa watoto wangu
Ukiniacha utaumiza moyo wangu
Kwani n’shaachana na habari za machangu
Penzi la dhati Latifah mi nitaona ah
Haa aa haa a
Penzi la uzushi Lati mi nitajua ah
Haa aa haa a
Kumbuka Doggy man Dogg nakupenda
Ukiniacha Doggy man Dogg nitakonda
Njoo uni-kiss lady njoo unipe denda ahaa
Madee ye anajua
Kama penzi langu kwako moyoni kidonda
Haa aa haa a
Kama penzi langu kwako nguvu za kiganga
Haa aa haa a
Ukiniacha Doggy man Dogg nitakonda
Njoo uni-kiss lady njoo unipe denda ahaa
Dogg naumia
Yei yei yee yee baby
Aah aa oo oh
Yei yei yee yee baby
Aah aa oo oh
Sema basi unachotaka mamii
Sema basi unachotaka honey
Honey achana na mawazo kishetani
Ukiniacha mi nitabaki na nani?
Latifah we ndo tu mamii
Lati we ndo honey
Latifah we ndo tu mamii
Latifah haya