Tuesday, April 10, 2018

Navy kenzo ft Alikiba - lini

Nakuthamini kama dola
Wala usije nichora
Ukaniletea ukora
Chochote unachotaka we hu decide
Kwenye mabaya we huni guide
You’re my baby can’t deny
Baby hmm
(Eeeh)
You got my spirit to rise I’m popping
(Eeeh)
She like a ride to the heavens I’m a puppet
(Eeeh)
You got my spirit to rise I’m popping
(Eeeh)
She like a ride to the heavens I’m a puppet
Itakuwa ni lini au saa ngapi (lini saa ngapi)
Atakuwa ni mzawa wa wapi (what is love)
When you wanna fall in love with somebody
When you wanna get a lot with somebody
Atokee kwa bibi
Amfunge vikali
Akipasi maujanja baby
Na me nitamkubali eh
Amfunze maujanja (ujanja ujanja)
Asiende kwa mganga (mganga mganga)
Nimejawa na ma lover lover
Hakuna expire
Nitalinda na kulea lea
Kama mtoto wa jana
Nimejawa na ma lover lover
Hakuna expire
Nitalinda na kulea lea lea lea lee
Itakuwa ni lini au saa ngapi (lini saa ngapi)
Atakuwa ni mzawa wa wapi (what is love)
When you wanna fall in love with somebody
When you wanna get a lot with somebody
Kuna siri kubwa juu yako na mimi
Kukupata mpaka kuwa wangu my queen
Nikikuzima me tulia na mimi
Ya ndani tuyamalize chini chini
Si wajua mwanzo wako we na mimi yo
Kukupata mpaka kunijibu ndio
Nikikuzima me tulia na mimi
Ya ndani tuyamalize chini chini
Nikitaka Ile kitu baby wangu come now now now
Gimme some more baby now now now
Look at my eyes baby now now now
Sex in the morning now now now
Whine for me baby now now now
Bring it turn over
Don’t blame me baby
Don’t flex it baby
Don’t fake it
Itakuwa ni lini au saa ngapi (lini saa ngapi)
Atakuwa ni mzawa wa wapi (what is love)
When you wanna fall in love with somebody
When you wanna get a lot with somebody
Itakuwa ni lini au saa ngapi (lini saa ngapi)
Atakuwa ni mzawa wa wapi (what is love)
When you wanna fall in love with somebody
When you wanna get a lot with somebody
Nakuthamini kama dola
Wala usije nichora
Ukaniletea ukora
Nakuthamini kama dola
Wala usije nichora
Ukaniletea ukora

No comments:

Post a Comment