Saturday, April 14, 2018

Neddy music rudi lyrics

Neddy Music ft Christian Bella Rudi Lyrics
.
.
Ooh nawe subira
Hali yangu taabani moyo ngawira
Huko uliko huko uliko
Sina taswira
kukumbuka baya lako ila jema lazima
Tulikulaga kiapo
Shida zangu mimi ndo zako
mama yeyeeee
Una lalama kila kukicha
Natazama jua
Penzi langu sio hasira kila muda kuzira
Nikufute chozi unifute chozi
Tulie pamoja mama
Kosa letu siri
Mioyo yao wawili
Tuishi milele daima
.
.Kiitikio
.
Rudii
Rudi eeeh
Kosa nimekosa
Rudi
(                           )
Nisamehe sana
Rudiii
Kosa nimekosa
Rudiiii
Nisamehe sana
.
.CHRISTIAN BELLA
mamaaa mamamaaaaa
(                        )
Nashindwa lala usiku nakesha nakuwaza wewe
Nishazoea kila saa kuwa karibu na wewe
Umeondoka umeniacha nalia na nani!
Kama ni kosa mi tayari
Nimeshaomba musamaha
Nisamehe samahani
.
.Kiitikio

Rudii
Rudi eeeh
Kosa nimekosa
Rudi
(                           )
Nisamehe sana
Rudiii
Kosa nimekosa
Rudiiii
Nisamehe sana
.
.Neddy
Aliyepata macho roho
Zafanana  nami
Mbali uliko pendo
Mrithi simwonii
Maneno sumu yana
Kusamehe suna sana
Robo si nusu mama
Tumalize rudi mtima
Unalalama kila kukicha natazama jua
Penzi langu sio hasira kila mda kuzira
Nikufute chozi unifute chozi tulie pamoja nama
Kosa letu siri
Mioyo yao wawili
Tuishi milele daima
.
.Kiitikio
.

Rudii
Rudi eeeh
Kosa nimekosa
Rudi
(                           )
Nisamehe sana
Rudiii
Kosa nimekosa
Rudiiii
Nisamehe sana

No comments:

Post a Comment