Thursday, February 11, 2016

Usiende mbali bushoke ft Julian

Usiende mbali

Juliana
Verse 1
Beka unavyo beka kama mtoto
Natakubembeleza mimi wako
Nita zidi kukupa vitu moto moto
Mapenzi kupendana sii mchezo
Nakusihi usihi usijilezu mimi solema
Nahisi na mimi sisijapata ku solema
Tunavyo ishi wanandhani tunadanganyana
Sii rahisi amini mimi na wewe tukatengana
Chorus 2x
Usiende mbali nami
Mimi bado nakupenda
Usotoke mbali nami
Mimi bado nakupenda
Verse 2
Tangu niko na wewe ni furaha
Kukosa tosa nikaraha
Na wewe siwezi ishi
Nakuhisi sio mbishi
Wanapiga misels kila mara
Wanatimua mavumbi sisi twala
Wanaotaka mapinduzi na mapinduzi hawayawezi ooh
Naumia -aaya mapenzi yanaokosanaa
Hata wivu kwani naosina roho ya chuma
Nakusihi usiniache solemaa-aa
Nahisi na mimi nisije kuwacha solema
Chorus 2x
Usiende mbali nami
Mimi bado nakupenda
Usotoke mbali nami
Mimi bado nakupenda
Usiendeeee......mimi bado nakupenda (2x)
Usiondoke.....mimi bado nakupenda (2x)
Nakupenda wanipenda usija penda mbali nami
Usiende......mimi bado nakupenda
Usiondoke....mimi bado nakupenda (3x)
Nakupenda wanipenda usija penda mbali nami

Marlaw pii pii

Pii Pii

Marlaw
Ahh Ahh Eiy Eiy (Eiy Eiy)
Ahh Ahh Eiy Eiy (Eiy Eiy)


Verse 1
Ninataka niwahi kufika, njia inajam sasa wapi nitapita
Nimekaa karibia saa sita, sasa kukaa nimechoka ooh baby

Sijamwona long time now, nimerudi toka mwezi jana
Nimeshakwambia mama nimefika tangu mchana

Anajua nimeshafika, ameshapika, amekasirika
Alipika tangu mchana, ila sasa, lunch imegeuka dinner


Chorus
Nimechoka kupiga honi now (pii pii) hatuelewani (2x)
Pii pii, move out of the way, nimechoka kupoteza time
Nina siku nyingu kwenda home, I'm missing my baby
Pii pii, hello baby, natamani niwe nyumbani
Nimekwama hapa njiani kuna jam baby

Aah aah, kuna jam baby
Aah ahh, hello (3x)


Verse 2
Unanikatia simu unanionea, wewe ungekuwepo ungejionea
Unafanya hivyo unakosea mamaa

Unanikatia simu unanionea, wewe ungekuwepo ungejionea
Unafanya hivyo unakosea mamaa 

Nakuomba mpenzi ungojee, ni njiani naja niombee
Nimeochoka nakuja tulee, huruma nionee

Nakuomba mpenzi ungojee, ni njiani naja niombee
Nimeochoka nakuja tulee, huruma nionee


Hook 2x
Nimechoka kungoja highway, 
nitapita popote mradi wee
Ili kama ni kesi na iwe (hatuelewani)


Chorus
Nimechoka kupiga honi now (pii pii) hatuelewani (2x)
Pii pii, move out of the way, nimechoka kupoteza time
Nina siku nyingu kwenda home, I'm missing my baby
Pii pii, hello baby, natamani niwe nyumbani
Nimekwama hapa njiani kuna jam baby

Aah aah (ooh), I love you so much
Aah ahh, I love you Mama 
Aah aah, I love you Mamaa, ah ah ai


Hook 2x
Nimechoka kungoja highway, 
nitapita popote mradi wee
Ili kama ni kesi na iwe (hatuelewani) 
(2x)

Pii pii, move out of the way, nimechoka kupoteza time
Nina siku nyingu kwenda home, I am missing my baby
Pii pii, hello baby, natamani niwe nyumbani
Nimekwama hapa njiani kuna jam baby 
(2x)

I love you so much, I love you Mama
I love you mama (2x)
  
My baby (6x)

My baby quick rocka ft shaa ft ngwair

Quick Rocka
My Baby by Quick Rocka, Ngwair, and Shaa
Yeah man its ya boy Switcher lemme talk to this girl one time, listen.

Verse 1

First time tumekutana ilikuwa kitaa,

Nikiakuita kukupa hi ukapoteza tambaa,

Sema kweli ili touch sikukata tama,

Nikapiga moyo konde utakuwa wangu mamaa,

Second time tulivyo meet ilikuwa kwa club,

You were dancing with yo friends n looking so fab’,

Ukanicheki nikakukonyeza then u gave me a smile,

Excuse me can I buy u drink,ukasema alright,

Baada hapo we started talking n dancing,

Getting to know u n u know me joking n laughing yeaah!,

So that’s how it went may baby girl n now girl yo mine.


CHORUS

Baby yo mine x3 Ahuuuuuuaaaa!

Baby yo mine x3 Ahuuuuuuaaaa!


VERSE 2

(Yeah I’m so lucky to have girl,when I’m with u I feel so alive….Love u.)

Daima uli-stay true hukubabaika,

Waliokuja na magari kukutishia pesa,

Hukutetereka my baby ukanikumbata,

Kamoyo kalidunda japo nilijitunisha,

And now we are finally here n we’re about to get married,

Do u remember that day when I told u,

That nitakuoa uwe mke wangu wa ndoa,

Ni mimi nawe wewe na mimi milele yote,

Now u walking down the aisle with a sweet sweet smile,

Ushapendeza baby girl u look so fine,

I do u do tushavishana pete (Leleleee) vigelegele kote,


REPEAT CHORUS


VERSE 3 (Ngwair)

(Yeah I’m so glad yo mine baby,it’s been a long gtime coming…Cowizzy)

Mara ya kwanza tu nakuona wow! Nikakuelewa,

Nikaamua kupropose fasta sikuchelewa,

Cause nili-fall in love na sio kukutamani,

Najivunia leo nimekuweka ndani,

Japo wanaleta beef hawa masharo wa mtaani,

Vitisho vingi vya mapedejshee flani,

Sijali namshukuru Mungu aliye juu,

Kwangu wewe ni zaidi ya dreams come true,

Kila tunapotembea pamoja kama pair,

Majina yetu ya mwisho wote leo yanaishia na Ngwair,

Tunashine upo fine napenda unavyo-design my valentine,

N I’m so glad yo mine…..


REPEAT CHORUS


OUTRO

Yeah I go by the name of Rocka Quick, hahahaha

I got ma big brother cowbama

Yeah tunamwimbia motto mzuri, Mashallah!

I love u baby, Mwaaaaah!


SHAA

Baby yo mine x6

Nitafanya Kidum Lady Jaydee

Nitafanya

Kidum
Nitafanya by Kidum ft Lady Jaydee, Tanzania Bongo Flava Lyrics
Verse 1 (Kidum) 
Ikiwa umeamua kunitoroka 
ikiwa unahisi hujiskii nami tena 
na mbona imekuwa ngumu kunidokeza 
naona ni bora nilie leo, badala ya kesho 
kupenda, usipende 
ni kama kujitia kitanzi 
nitachimba na sururu 
kwa ardhi nikitafuta penzi lako 
ni heri nipigwe fimbo kwa mwili 
sababu ntajikuna ama ntajikanda na maji moto 
maumivu ya penzi, mtu hajikuni 
wala hajikandi na maji 
na hakuna upasuaji

Chorus 
kama 
kuna kosa nimewahi fanya (nielezee) 
kama 
kuna jinsi tunaweza leta (mpaka niishi) 
na kama 
kuna kitendo linaweza tendwa (nielezee)
nitafanya (fanya) 
nitatenda (tenda) 
nitafanya (fanya) 
nitatenda (tenda)
nitafanya (fanya) 
nitatenda (tenda) 
nitafanya (fanya) 
nitatenda (tenda)

Verse 2 (Lady Jay Dee) 
kweli hukumbuki ulioyafanya 
ni kweli unakumbuka tulikotoka 
sisemi habari zozote za kusikia 
bali kwa ushahidi niliouona 
msamaha mara ngapi 
umeshaomba na bado 
chenye makosa mangapi 
niliyoyafumbia macho 
mpaka leo nahisi kufika kikomo 
maumivu yanazidi 
ndani ya moyo 
sitaki kwenda mbali kwani uko moyoni 
nikusamehe mimi mara ngapi wee 
nielezee mpenzi mara ngapi

Chorus 
unataka nikusamehe mara ngapi (usihesabu) 
ungependa nikuvumilie mara ngapi (hii ni ya mwisho) 
je wewe nikulilie mara ngapi (vumilia)
sitoweza (utaweza wee) 
nimechoka (usichoke) 
nimeshindwa (usishindwe) 
naondoka (usiondoke)
sitoweza (utaweza yee) 
nimechoka 
nimeshindwa (usishindwe) 
naondoka (usishindwe)

Verse 3 
ukihesabu mara ngapi umenisamehe 
ni kama kuhesabu 
ni mara ngapi mtoto kaharibu nappy 
usichoke 
usiondoke 
usilie 
niko hapa kukulinda

Chorus
kama 
kuna kosa nimewahi fanya (nielezee) 
kama 
kuna jinsi tunaweza leta (mpaka niishi) 
na kama 
kuna kitendo lingeweza tendwa (nielezee)
nitafanya (fanya) 
nitatenda (tenda) 
nitafanya (fanya) 
nitatenda (tenda)
nitafanya (fanya) 
nitatenda (tenda) 
nitafanya (fanya) 
nitatenda (tenda)
unataka nikusamehe mara ngapi (usihesabu) 
ungependa nikuvumilie mara ngapi (hii ni ya mwisho) 
je wewe nikulilie mara ngapi (vumilia)
sitoweza (utaweza wee) 
nimechoka (usichoke) 
nimeshindwa (usishindwe) 
naondoka (usiondoke)
sitoweza (utaweza yee) 
nimechoka 
nimeshindwa (usishindwe) 
naondoka (usishindwe)

Kisiwa cha Malavidavi ZAnto

Kisiwa cha Malavidavi

ZAnto
Kisiwa cha Malavidavi by Z-Anto, Bongo Flava
Verse 1
Kwa kweli nilikuwa napenda sana
Mechi za nje za ujana
Aliyekuwa mke wangu
Analia aah

Kwa kweli nilikuwa napenda sana vibinti
nakuwahonga mpaka magari
Waliyekuwa watoto wangu
Wanateseka na njaa

Mitungi kila saa
Nyumbani sina time ya kukaa
Marafiki nami
Night club na mimi

Sasa nimebaki lonely 
Track redioni hazichezwi 
Yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
Hata bebi hunitaki tena

Sasa nimebaki lonely 
Track redioni hazichezwi 
Yaani pesa hakuna, marafiki hakuna 
Hata bebi hunitaki tena

Chorus
Nakupenda aiyaa 
Nakupenda sana bebi
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

Nilikutenda aiyaa 
Nisamehe my baby 
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

Verse 2
Sielewi tena nisikize ma 
Kwani najua pombe ndiyo chanzo ah 
Kilichofanya nikutende dharau kibao 
Ndani ya nyumba hakuna raha

Na kwangu ulikuwa dhaifu nisikize ma 
Kwani najua kweli ulinipenda ah 
Watoto wangu niliwatenga 
Nisamehe mpenzi we unasema

Sitaki rudia tena 
Najuta kwa yote niliyofanya 
Nisamehe na goti napiga, nalia ahh

Sasa nimebaki lonely 
Track redioni hazichezwi 
Yaani pesa hakuna marafiki hakuna 
Hata bebi hunitaki tena

Sasa nimebaki lonely 
Track redioni hazichezwi 
Yaani pesa hakuna marafiki hakuna 
Hata bebi hunitaki tena

Chorus
Nakupenda aiyaa
Nakupenda sana bebi
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

Nilikutenda aiyaa
Nisamehe my baby
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

Uje kwenye kisiwa cha malavidavi 
Uje tupeane mapenzi 
Usisahau na wanangu 
Sahau yaliyopita na tugange yajayo 

Haturudi Nyuma Kidum Juliana

Haturudi Nyuma

Kidum
Haturudi Nyuma by Kidum featuring Juliana, Uganda and Tanzania Lyrics
Verse 1 
nieleze vipi mimi ntaweza kuishi bila wewe 
ukiniacha ukienda zako, penzi wewe 
kama ni ukweli, yale nasikia kwa majirani 
ya kwamba utakuja kwenda zako 
uliniahidi, tutakuwa tukijadiliana 
na maswali yangeleta utata 
kwa nini chinichini 
unanificha yanayokusinya 
lakini unayosema, ni majirani 
kwa nini kando kando 
unanificha yanayokuudhi 
lakini unayateta kwa marafiki
ukiniacha mi ntalia 
ukienda zako ntabaki naumia 
kama ungelijua 
uoga ni lao, kukupoteza 
ndio nasema, baby

Chorus 
nakuomba please ubaki nami 
nasema penzi 
nakuomba ubaki, tujaribu tena, tunayo nafasi 
ya kuanza tena 
tunayo nafasi 
ya kujikosoa, haturudi nyuma kamwe 
haturudi nyuma kamwe
Juliana wee

Verse 2 
watu wanasema kama karibuni wee unaoa tena 
ya kwamba nianze kujipanga 
si ukweli, nimekataa 
ni tahadhari kubwa kwangu, na unanitisha 
sijui nimekosea wapi 
uliniahidi 
kama kila jambo lote la nyumbani 
ni muhimu kuliweka wazi 
Ni kuki shenge 
Uguma buri gihe umbabaza 
Kandi uzi ko ngukunda 
Ni kuki rukundo 
Uguma untera umujinya 
Ukica amatwi ngukunda
ukiniacha mi ntalia 
ukienda zako ntabaki naumia 
kama ungelijua 
uoga ni lao, kukupoteza 
ndio nasema, baby

Chorus 
nakuomba please ubaki nami 
nasema penzi 
nakuomba ubaki, tujaribu tena, tunayo nafasi 
ya kuanza tena 
tunayo nafasi 
ya kujikosoa, haturudi nyuma kamwe 
haturudi nyuma kamwe

Baadae Ommy Dimpoz

Baadae

Ommy Dimpoz
Baade by Ommy Dimpoz, Tanzania Bongo Flava Artist
Nampenda kama ringtone
hana maringo, huyu binti mtamtam
swagga zake zipo simple
hapendi dingo, haniishi hamham
niko naye sina nyimbo
Nikatoa single, mpaka sasa nna album
mimi mkali wa mitindo
hata iki'mingle, kitandani mashamsham

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
hata mama na papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
dem mama eh dem papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

Chorus
tukutane tena baadae eh, ai, baadae eh
njoo unipe tena baadae eh, si, baadae eh
usikose kuja baadae eh, ai, baadae eh
nitakungoja baadae eh, si, baadae eh

baadae eh, niko naye heey
baadae eh, niko naye heey

unang'aa bila lotion
mkali wa fashion, baby kama umechorwa eh
you got a temptation
sitaki nikukose, matajiri wakanipora eh
Penzi langu sio boshen
usijipe question, mimi ndiye mume bora eh
wananipangia mission
ili unitose, nimemuachia mola eh

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
hata mama na papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
dem mama eh dem papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

Chorus
tukutane tena baadae eh, ai, baadae eh
njoo unipe tena baadae eh, si, baadae eh
usikose kuja baadae eh, ai, baadae eh
nitakungoja baadae eh, si, baadae eh

baadae eh, niko naye heey
baadae eh, niko naye heey

raha zote kwako napata, ai, napata!
umenichanganya nadata, si, nadata!

raha zote kwako napata, ai, napata!
umenichanganya nadata, si, nadata!
kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
hata mama na papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
dem mama eh dem papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

Chorus
tukutane tena baadae eh, ai, baadae eh
njoo unipe tena baadae eh, si, baadae eh
usikose kuja baadae eh, ai, baadae eh
nitakungoja baadae eh, si, baadae eh