Thursday, December 6, 2018

ONE TIME by RICH MAVOKO

Nipate kamba tuongee
Hata mbali twende
Nataka me nikueleze 
mapenzi ni kitovu cha uzembe
Usilete mawenge utafanya wanizomee
Uwe mpogole mmakonde me nataka nikuoe
Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuongee
Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuonge
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Sikurogi na pembe
Me nataka unipende
Utamu wa peremende
Hasa za pwani na tende
Zile za unyama unyamani niwe kwako ndio ni jembe
Anitake nani kama hutaki niende
Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuongee
Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuonge
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee tuongee oleba olebaba
Nataka tuonge tuongee olo babao
Nataka tuongee tuongee oleba olebaba
Nataka tuonge tuongee olo babao
Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuongee
Sikia mapenzi sukari me nataka kidogo nionje
Si kama hutojali nipe kanamba si tuonge
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Nataka tuongee me na wewe time
Basi nipe one time..*2
(Piano Playing .....till fade)

unanichora by BenPol ft Joh makini

Yeah
With best rnb singer
Kumbe wanichora
Ni king Jo
Yeah
(Verse1:Joh Makini)
Siri me na we ni lazima iwe serious
Show ni me na we na sioni ulazima ulete shazi
Soo ni ni me na we na sioni kama uongo ni kazi
Usione kama urafiki ni vyeti upate kazi
Sioni rafiki wa mbuzi eti keti mkune nazi
Urafiki mkia wa mbuzi mfupi na nyeti wazi
Nakushangaa u baniani mhaya
We na baniani mbaya
Waubani vipi haya
Yachumbani yakimwagika hadharani ujue ni haya
Haya wanashika nini washkaji washika mabaya
Yanawika jogoo ajawika alfajiri
Washayaanika kariakoo
Hawakai maneno yamewakalia koo
Kumbe nao wanataka kunikalia oooh
Mpaka kwa nyumbani yangu wakiparty no
Mpaka moshi unavuma juu ndani ni pamoto
(Chorus:Benpol)
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
(Bridge)
Mama baba yereeeeee
Mama baba yereeeee
(Verse2:BenPol)
Utulie home nakupa vitamu
Usinitenge nazi kama embe la msimu
Utulie home nakupa vitamu
Na me nikulimde nizidi pata utamu
Najuaa Hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Hasa kwanini mpenzi unakana
Wao Hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Sasa kwanini mpenzi unaongea naoo
(Chorus:Benpol)
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Yere zere yere zere...........till fade

Kila Ndoto Lyrics by SaRaha ft Marlaw

Verse 1 - SaRaha
Mara kwanza nilipokuona
nimeshindwa kuongea
unafanya nini na mimi baby (baby)
Natafuta maneno
kuelezea kukujulisha
umeshika moyo wangu wewe (wewe)
Nakupigia bila sababu
kusikiliza sauti yako
mbona siwezi kukwambia
kwamba nilikutamani
ila nikawa na aibu
kumbe na mwenzangu ni vile vile
Chorus
Kila wimbo nakuimba wewe
Kila ndoto nakuonta wewe
kila siku nakuwaza wewe
wewe
Verse 2 - Marlaw
Kwa muda mrefu sasa
nimeshindwa kukwambia
moyo umekuchagua wewe (wewe)
Nikitaka kuongea
maneno yanapotea
natamani uanze mwenyewe (mwenyewe)
oh everytime I see you
I wanna tell you how I feel
but you make me shy
Nilikutamani
ila nikawa na aibu
kumbe na mwenzangu ndo vile vile
Chorus
Kila wimbo nakuimba wewe
Kila ndoto nakuonta wewe
kila siku nakuwaza wewe
wewe
Kila wimbo nakuimba wewe
Kila ndoto nakuonta wewe
kila siku nakuwaza wewe
wewe

Gere by Weusi

[Intro - Joh]
Yeah!
You know whats happening when Weuse meets
Nahreel, right?
Oyayoo...ooohoo
A city in the house!
Oyayoo...ooohoo
Lets go!!
[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
[Joh Makini]
Kubadili hizi mboga mbili tu tabu kwa mswahili
Mganga hana mashairi jomba ni bure kupiga
ramli
Flow Weusi ni mbele, kanzu tobo ka Pele
Mboyoyo mingi kelele, kamata tupa kule
Wajukuu wa Nyerere, chuki zako ni bure
Kiunoni ni sime njele, juu sipendi kelele
Mavumba ni baba Fere, Temeke huita michele
Karibu gheto ni sherehe, Weusi hatuna kwere
Nina kibali juu ya mdundo huu so sina sorry
Sinyasori wapi Shaa sina story
Wivu ni kidonda umeshiriki ugua pole
Chakati juu kiki...woo woo!...pole pole
[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
[Nikki Wa Pili]
Sio gweraa hii jombaa Nikki yule yule
Nilivyovaa, nilivyong'aa ni kimulimuli
Viburi flow Idd Amin like nduli nduli
Brain kubwa, ndoto kubwa za manguli nguli
Watoto nao ni kibao siku hizi sipigi puli
Usijikombe chonde chonde na makonde bure
Punguza njaa lia ubao jomba kaza msuli
Kwenye hela ndo watoto wanatulia tuli
Benchi mnasugulia ha..hamna carrier
Ah! mziki kama mbege kwangu suna kulia
Ah! Yesu na Maria! Ah! Ndo tunatulia
Ndo nguna inaliwa, imebarikiwa
Get it?
[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
[Gnako]
Kimbiza kimbiza...Usain Bolt
Tupo center ya mchezo...centre bolt
Hatuna penda love, Weusi mtu tano
Center half no beef..no..no..no!
Tulifanya ndafu, mchezo unatupa bread
Mda wa chai ujuzi unasambaza umbea
Mkuda hakai, hatuongei ongei
Tunafanya hatufanyi fanyi, tunafanya kazi
Mungu hakupi roho mbaya
Sshh! Umeipandikiza
Kichwa chako passport, uwezo wako ndo Visa
Aaah! Tuna viburi eeh? Tuna flow vizuriii
[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
...kwere!
...gere!
...kwere!
...gere!
[Outro]
*kinanda kinanyongwaaaa*

NISOME BY GODZILA ft Gnako

(intro)
Weka vyombo juu ya meza (we on it, we on it)
Mtoto mzuri namkonyeza (nisome, nisome)
Kiuno mama umepewa (tuone, tuone)
(Show me what you got baby)
(Show me what you got baby)
(VERSE1:Godzilla)
Nahitaji kupoza koo baada ya kufanya kazi
Nacluz kwenye tinted kukwepa paparazi
Ni kukesha macho baada ya kuhustle
Nipo na G G G Gnako
Mara namuhita muhudumu
namuulza kama anaroom
na pia kama ana ndomu
naruhusiwa kuvuta ndumu
Nipo na mrembo ni sumu
kama ni dhambi nihukumu
Tungi baada ya tungi leo nasimamia humuhumu
Mtoto wa uswazi akinimiss anacall
Hana mbwembwe sijui mara shopping twende mall
Me na wewe busy hapa tunahook up baby
Ile kigangstar gangstar haina make up baby
(CHORUS:Gnako)
Askari wanauliza uliza
wapi wanapuliza puliza
Harufu inasikika sikika
Tunawaambia counter counter
Tumewaka waka
Haki ya Mungu I don't see nobody
Tumewaka waka Mitungi vishungi
Tumewaka waka Na me sivungi siungi
Tumewaka waka Yesu na Maria sioni mbele
Ongeza vyombo kwenye meza we on it we on it
Mtoto mzuri namkonyeza nisome nisome
Kama kiuno ulipewa tuone tuone
(VERSE2:Gnako)
Tafadhari fungeni mikanda vipi
Tumetimba kipande Na wana (Vijiti)
zimeni askari wametanda (Titi)
zipo juu viunoni na shanga (Sipy)
Unachotaka natumia kipanga aghaaa
Watu wewe tumechizika kama milembe
Matumizi ka tuliuza sembe
Na hii ndio wanasemaga kama lembe
Usisubiri akwambie ana genye
Maneno mtekenye
Toilenga mapaki ngavenye
(CHORUS:Gnako)
Askari wanauliza uliza
wapi wanapuliza puliza
Harufu inasikika sikika
Tunawaambia counter counter
Tumewaka waka
Haki ya Mungu I don't see nobody
Tumewaka waka
Mitungi vishungi
Tumewaka waka
Na me sivungi siungi
Tumewaka waka
Yesu na Maria sioni mbele
Ongeza vyombo kwenye meza on it on it
Mtoto mzuri namkonyeza nisome
Kama kiuno ulipewa tuone tuone
Ongeza vyombo kwenye meza we on it we on it
Mtoto mzuri namkonyeza nisome
Kama kiuno ulipewa tuone tuone

subira by shaa

Intro:
Shika uliposhikwa,ujinga kuachia
Maana uliposhika ni muhimu sana kushikilia x2
Chorus:
Maneno x3
Hayashibishi mtu...
Maneno x3
Ila yagombanisha watu (repeats twice)
Verse 1
Hizi ni salamu,nakupatia Subira,nisipokuwepo nitakuwa nasikia
Hizi ni salamu nakupatia Subira mama,nisipokuwepo nitakuwa nasikia
Oooh Subira nisikize sana uendapo mbeleni kuna mawifi ujichunge sana
Oooh Subira nisikize sana uendapo mbeleni kuna mawifi ujichunge mama…
Acha kusangalai (Umpende mumeo)
Weh acha kusangalai (Umtunze mumeo)
Ogopa sanaaa (Kovu la ndui halifutiki)
Hayana maana (Maneno maneno ya wanafiki) X2
Chorus
Maneno x3
Hayashibishi mtu...
Maneno x3
Ila yagombanisha watu (repeats twice)
Verse 2
Mambo ya zamani tofauti na sasa mwenzangu
Na siri za ndani zitunze kifuani mwenzangu
Mambo ya zamani tofauti na sasa mwenzangu
Na siri za ndani zisiwafikie walimwenguuu
(Aaah chunga mdomo unajidanganya
unachoweza kufanya kuna wenzako wanaweza fanya)
Shoga eh kumbuka wanaume sikuhizi wachache
Akienda bafuni akienda kazini akuage shoga eh
(Aaah chunga mdomo unajidanganya
unachoweza kufanya kuna wenzako wanaweza fanya)
Aaaah hiyo nafasi usiipate uiache utachekwa weh
Wenzio wamaliza soli kwa waganga waipateee
(Aaah chunga mdomo unajidanganya
unachoweza kufanya kuna wenzako wanaweza fanya)
Shaa (Hehehe, maji ya ugali hayaonjwi mwenzangu
eh..Wee mwana mwana mwanangu weeehhh...eeeehhh)
Utaniacha hoi hoi hoi,hata nikikuona sauti sitoi
Utaniacha hoi hoi hoi,hata nikikuona sauti sitoi
Shoga eh kumbuka wanaume sikuhizi wachache
Akienda bafuni akienda kazini akuage shoga eh
(Aaah chunga mdomo unajidanganya
unachoweza kufanya kuna wenzako wanaweza fanya)
Shaa(We Shirko weh jamani we Shirko wewe...
Shughuli imeambata na mvua hii
wanyama wanakula wima,chezeya...
Vita vifanyike ila Raisi nisiuwaweeee..)
(Aaah chunga mdomo unajidanganya
unachoweza kufanya kuna wenzako wanaweza fanya)
.................
Utaniacha hoi hoi hoi,hata nikikuona sauti sitoi
Utaniacha hoi hoi hoi,hata nikikuona sauti sitoi
..............piano plays till fade

WALALA HOI by Izzo Business

Intro
Walala hoi…
Walala hoi…
Walala hoi
Chorus
Walala hoi sisi ndio Walala hoi (Walala hoi) x 4
moja haikai mbili haikai mbaya wako ni jirani babu (Walala hoi) x 4
Verse 1
Tunaunga unga maisha yetu ni safari bado tunataabika
(Walala hoi)
tunakomaa maisha ni safari imani ipo bado sisi mbali tutafika (Walala hoi)
tumazaliwa kwenye njaa njaa imetulea sisi home mali hatujakuta (Walala hoi)
mama Yanga baba Simba upinzani babu ndani yani kila dakika (Walala hoi)
kupinda ni sheria usishangae huku kwetu mbona imeshazoeleka (Walala hoi)
hatujasoma dili chafu leta pesa babu hata iwe dili ya kuteka
(Walala hoi)
tunaonekana hatuna maana tunatengwa kona zote twa dharaulika
majina yote sisi Vidampa wapumbavu wezi majambazi yote wametupachika
Rhumba kali wewe utadata
soma pata ondoa shaka
faster umenipata chafu tatu maisha karata
maisha bondi kukosa na kupata
jela nyummbani hakuna kuogopa sheli tunamoka
sisi machizi kama kaboka
uchungu wa meno na kucha kamuulize Ulimboka
Chorus
Walala hoi sisi ndio Walala hoi (Walala hoi) x 4
moja haikai mbili haikai mbaya wako ni jirani babu (Walala hoi) x 4
Verse 2
Roba za mbao mtaani ni nani kaleta? (Walala hoi)
kulogana logana tu bila sababu mtaani? (Walala hoi)
majungu fitina unafiki umbea na chuki? (Walala hoi)
kazi ngumu tunapigika lakini ujira ni mdogo babu (Walala hoi)
toa kazi tumalize hatulazi kitu hapa sisi mwendo ni wa CHAP-CHAP
kwenye Bar hatukai zetu vilabuni yes sisi mwendo ni MATAPU-TAPU
bila sababu tunakudiss tukijua umetuzidi sisi wala hatukukwepeshi
chuki roho mbaya jadi yetu Mungu hapendi lakini sisi tumerithi
kila time tupo simple watu wa Mingle mawazo yetu kwenye Bingo dr.Kingo ngoma zetu ni Segere na Msondo
sisi ndio wachezeshaji tuite Redondo
Rest in Peace James mtoto wa Dandu
hii game bado kwako japo upo kando
big brother the Chase muulize Nando
kama Zay-B vile watu wapo gado
Chorus
Walala hoi sisi ndio Walala hoi (Walala hoi) x 4
moja haikai mbili haikai mbaya wako ni jirani babu (Walala hoi) x 4
Outro
Walala hoi…
Walala hoi…
Walala hoi…
Walala hoi x 3…
hoi hoi hoi Walala …
hoi hoi hoi Walala…
hoi hoi hoi Walala.