Saturday, April 7, 2018

Hahahaha ah vijana sasa hivi naona wanajitahidi
Ari Mpya
Kasi Mpya
Nguvu Mpya
Ehee hata mimi nimeliona hilo toka longi taim
Au siyo Babu Ayubu
Hilo liko wazi
Jamani vijana wapewe nafasi
Si ndio sisi-M
Si ndio sisi-M
Si ndio sisi-M
Ah pisha njia
Tunaingia
Wote pisha njia
Nasema tena kwamba si ndio sisi-M
Pisha njia
Watu wazima tuongee na Watanzania
Oh yeah mtoto wa Jah-Kaya
Profesa kama Dadi japo choka zaidi ya mbaya
(On fire)
Mikasi siyo mbaya mademu nasikiliza
Kimtindo nimewafundisha tu japo sikumaliza
Inaleta maana pembeni ukiwa na mama
Na yeyote atakaye kukana masela wanaandamana
Una mengi ya kufanya kutokomeza umaskini
Kuhusu swala la vijana na UKIMWI uko na mimi
Hujajua nachokizungumzia nini
Au hujaskia albamu ya A.K.A Mimi
Na mengi ya maana ya kuongea kwa vijana
Ndiyo maana mwana nakufagilia sana
Huna mpinzani si bara si visiwani
Naamini maneno ya Komba sisi ndo namba wani
Hizi ni salam pokea zangu salamu
Ndani ya Dar es Salaam na tena ukitabasamu
Hizi ni salam toka Dom to Jakaya dot com
Sauti toka gheto mpaka home sweet home
Tuseme wakishinda upinzani labda vita itokea
Ila ni jamani amani imepotea
Ntazidi kukuombea miaka kumi uendelee
Wala usiache moyo wako wa kukumbuka wazee
Mapenzi yako kwa binti yako sawa na kwa Ngwair
Haki sasa nina imani pia utatetea japo sheria ina mkondo
Kila atakayekosea natoa pisto Dudu Baya Nice na Babu Seya
Watoto hadi wazee rika zote umekubaliwa
Wala usihofu labda siku nchi yako itapinduliwa
Nani aingie msituni na vijana wote watu wako
Mimi mwenyewe ni mmoja wa wale wenye kura yako
Shahidi ukija geto ukutani picha yako
Natamani kuona japo sarafu yenye sura yako
Kiti chako kakuachia Benjamini nakuamini son
You know what I mean
Hizi ni salam pokea zangu salamu
Ndani ya Dar es Salaam na tena ukitabasamu
Hizi ni salam toka Dom to Jakaya dot com
Sauti toka gheto mpaka home sweet home
Ninachotaka kurudisha heshima ya East Zoo
Kwa kumheshimu babu aliyepanga makao makuu
Na kila mbunge jimbo lake liwe juu
Si kusinzia bungeni tu tena miguu juu
Maisha ninayotamani huendi kuyawinda Ikulu
Basi fanya Tanzania jivunie kuwa huru
Walinde uhusiano na amani
Pia kutuokoa waige mfano wako
Kila mmoja awe staa kama aka mimi
Tuone kama taiweza naita mia tatu stini
Mimi ni zaidi ya mamiss mimi sio rahisi
DCA sijasahau na polisi
Tupunguze mbio za mchangani na mapusha
Una mengi ya kufanya kutokomeza rushwa
Kila mmoja aelewe hii situation
Ok nna mambo mengine na mimi I’m gone
Hizi ni salam pokea zangu salamu
Ndani ya Dar es Salaam na tena ukitabasamu
Hizi ni salam toka Dom to Jakaya dot com
Sauti toka gheto mpaka home sweet home
Yea mapya
Wee na East zoo
Nani mwingine wa kufanya zaidi ya hii
Zaidi ya mi
Na bado nipo na P yep
Bongo Records
East Zoo
Babu Ayubu

Tuesday, April 3, 2018

2019 NFL Draft Quarterback prospects

Ranking the top 2019 NFL Draft quarterback prospects heading into next season
First things first, the 2019 QB class isn't as "deep" as the 2018 class is.




Shea Patterson, Michigan
Jacob Eason, Washington
Will Grear, West Virginia
Deondre Francois, Florida State
Kelly Bryant, Clemson
Justice Hansen, Arkansas State
Best of the rest
Daniel Jones Duke
Justin Herbert, Oregon
Nick Fitzgerald, Mississippi State
Shane Buechele Texas
Trace McSorley Penn State
Brett Rypien Boise State
Tanner MangumBYU

The 2020 class features some more exciting players, including Alabama’s National Championship hero Tua Tagovailoa and Georgia’s stud young arm Jake Fromm.




Starehe gharama tundaman lyrics

Kama umechacha
Si utulie
Usitufuate wala bata

Usisikie la kuambiwa jua starehe gharama
Kamwe usiwafate wala bata ukiwa na hela ya ndama
Usinifate kwenye starehe usije ukanipa lawama
Ntakufuata huko kwenye ku-boost ikiwa gari lako limekwama
Usinihonge bia kama hujaja na mimi
Ushajijua huna huku umefwata nini
Mi usinipe lawama pindi nikikupiga chini
Embu nikumbushe mara ya mwisho nilikuja

Oya oya kaa ukijua starehe gharama
Oya oya kaa ukijua starehe gharama
Oya kaa ukijua kwamba
Oya kaa ukijua kwamba
Oya oya kaa ukijua starehe gharama
Oya oya kaa ukijua starehe gharama
Oya kaa ukijua kwamba
Oya kaa ukijua kwamba

Usipende mademu wa bure ujue wana madhara
Usipende na pombe za bure ujue zina madhara
Ushajua hela hauna basi usitoke we lala
Usikae mpaka disco liishe ili upande daladala
Mtoto wa kike kavamia bia kilichomvuta
Mtoto wa kiume kaponzwa na bia kashika ukuta
Kaja na hela msiba club we kilichomkuta
Onesha wowowo (Tingisha kama imekwisha!)

Oya oya kaa ukijua starehe gharama
Oya oya kaa ukijua starehe gharama
Oya kaa ukijua kwamba
Oya kaa ukijua kwamba
Oya oya kaa ukijua starehe gharama
Oya oya kaa ukijua starehe gharama
Oya kaa ukijua kwamba
Oya kaa ukijua kwamba

Ona, alivyoumbuka
Onanaaa, kimemshuka
Mmemwacha kalewa kazima kashtuka kumekucha
Ona, alivyoumbuka
Onanaaa, kimemshuka
Mmemwacha kalewa kazima kashtuka kumekucha

Oya oya kaa ukijua starehe gharama
Oya oya kaa ukijua starehe gharama
Oya kaa ukijua kwamba
Oya kaa ukijua kwamba
Oya oya kaa ukijua starehe gharama
Oya oya kaa ukijua starehe gharama
Oya kaa ukijua kwamba
Oya kaa ukijua kwamba

Siku hizi ukitaka kutoka lazima ujipange
Si unajua club ukitoka sio Coca ni pombe
Siku hizi ukitaka kutoka lazima ujipange
Si unajua club ukitoka sio Coca ni pombe

Binti kiziwi zanto lyrics

Nimpate vipi mi sijui
Nina imani mapenzi hayajui
Nitapata ugojwa wa moyo
Kwa sababu ya mawazo
Ninavyojuwa maisha yake
Hajawai kuwa na boyfriend
Ila ni mimi wakwanza naninashindwa kumpata
Kwa ishara inaonekana nampenda
Yeye eti ninamzingua
Eti ingelikuwa anaskia
Basi ukweli wangu angeujua
Kwa ishara inaonekana nampenda
Yeye eti ninamzingua
Laiti angelikuwa anaskia basi ukweli wangu angeujua
Ningelizoe< rafiki yakee basi ye ni,ningemtumaaaa
Ningezitambua ishara zake basi mi kwake ningefika
Ningelizoea rafiki yake basi ye ni,ningemtumaaaa
Ningezitambua ishara zake basi mi kwake ningefika

Si siri ninampenda
Binti kiziwi
Moyo wangu ameuteka
Binti kiziwi
Si siri nataseka juu yake
Ye binti kiziwi
Si siri ninampenda
Binti kiziwi
Kwakuwa moyo wangu ameuteka
Binti kiziwi
Kichwa kinauma mawazo
Kwake binti kiziwi

Nashangaa pale nampomkutaaa
Akiwa nawenzake wanaongeaaa
Huwa najiuliza mimi
Wanaongea naye vipi
Nashangaa napo muitaa
Nahisi huwa anakata
Sijui ndio hasiki
Au mapozi au mapozi naye
Afadhali angejuae kusoma
Hata Tale ujumbe ningempa
Eti kama ningejuwa isharaaa
Basi kwake ningefika mimi
Afadhali angejuwa kusoma
Hata Bonge ujumbe  ningempa
Laiti kama ningejua ishara
Basi kwake ningefika baby

Si siri ninampenda
Binti kiziwi
Moyo wangu ameuteka
Binti kiziwi
Si siri nataseka juu yake
Ye binti kiziwi
Si siri ninampenda
Binti kiziwi
Kwakuwa moyo wangu ameuteka
Binti kiziwi
Kichwa kinauma mawazo
Kwake binti kiziwi

Binti kiziwi yuko full yani yuko bombaa
Amenidatisha Mnyamwezi na yake figure
Tatizo moja tu ambalo mimi huwa linasibu
Kila kukicha hata inikiwaza mimi sipati jibu
Nikimwambia neno I love you wala halijui
Nikimwambie neno I need you halitambui
Nikimwimbia nyimbo nzuri hata sikiii
Pingu nasikitika nikimwona binti kiziwi
Nikimwambia neno I Iove you wala halijuwi
Nikimwambie neno I need you halitambui
Nikimwimbia nyimbo nzuri hata sikiii
Pingu nasikitika nikimwona mbinti kiziwi

Hatakusema neno I Iove you kwake halijui
Hatakusema neno I need you kwake halitambui
Hatakusema neno I Iove you kwake halijui
Hatakusema neno I need youuu kwake
halitambui
Baby,baby baby,booo,baby I love you
Ingawa nateseka naye, baby I need you
Baby, baby, booo(uhuu),baby I love you (uhuhu)
Baby (tuhuu) baby, I need you (uhu)

Si siri ninampenda
Binti kiziwi
Moyo wangu ameuteka
Binti kiziwi
Si siri nataseka juu yake
Ye binti kiziwi
Si siri ninampenda
Binti kiziwi
Kwakuwa moyo wangu ameuteka
Binti kiziwi
Kichwa kinauma mawazo
Kwake binti kiziwi

Dear gambe belle 9 lyrics

Dear gambe umefanya maisha yangu yayumbe
Mi nimpambe wako leo nimekutumia ujumbe
Mi ndugu yako nipe ukweli usinifumbe
Uwepo wako karibu vp unafanya ni yumbe
Kila muda kwene friji unajipoza,
Mi domo zege nikisha kutumia natongoza
Nalewa usiku kucha jua lina chomoza
Nasindikiza na supu asubuhi njema unaniongoza
We ni nani unaiyendesha hii akili
Ninikiwa na mawazo unanitoa stress nisifikiri
Ukiwa mezani chupa kadhaa sijiwezi
Mpaka mtaani washanipa jina jingine la mlevi
Unafanya nafubaa mi mwenzako
Hadi kazini naiba chapaa nije kwako
Dear gambe mitaa ipo ukweli wako
Nakila ugomvi wa baa kwanini chanzo ni chako

I wanna know
Umenipa nini
I don’t know
Sikuachi kwa nini
I wanna know
Umenipa nini
I don’t know
Sikuachii kwa nini eeh

Unafanya ndoa nyingi zinavunjika
Hasi-chanya we na msosi nikichanganya na tapika
Haukatai kila mteja anae kuarika
Unafurahi na ubaridi wa maji unachirizika
Likitokea tatizo we ndo kimbilio
Nakutinga nakua muongeaji bila mpangilio
Nasahau kinga tamaa ndo kimbilio
We ni funda la ziada unaniumbua mi mwenzio
Unalainisha koo kifikra unanibembeleza
Unani-control sijasoma naongea hadi kingereza
Ushaniweza nani aliyekutengeneza
Na nini aliwaza nawe ni mbaya kwa wasiojiweza
Sa najinyea nanilikunywa kwa furaha
Najikojolea unaniathiri na ninatoa chapaa
Dear gambe mitaa ipe ukweli wako
Nakila ugomvi wa baa kwanini chanzo ni chako

I wanna know
Umenipa nini
I don’t know
Sikuachi kwa nini
I wanna know
Umenipa nini
I don’t know
Sikuachii kwa nini eeh

Dear gambe unanichanganya sana
Unamajina mengi mpaka ya mbuga za wanyama
Nashangaa mengine yanatia kinyaa
Mfano mzuri ni gongo, chimpumu hata chang’aa
Kwenye ubongo umetawala kila sector
Niukweli siwezi kuwa nawe bila pesa
Watu wengine wana kula ada kisa wewe
Unawafanya wanasahau ibada
Na juzi juzi tu nimepata habari
Kuna mwana ulikua nae ameshapata ajali
Dear gambe nikweli unanichosha
Napenda kuwa nawe ila nyumbani mboga wanakosa
Nawaza jinsi gani ntakuacha
Mpaka wazalendo wa dini baadhi kwako wamedata
Hakuna utata, poa sasa najikata
Kapuku nikizipata ntakufata

I wanna know
Umenipa nini
I don’t know
Sikuachi kwa nini
I wanna know
Umenipa nini
I don’t know
Sikuachii kwa nini eeh

I wanna know
Umenipa nini
I don’t know
Sikuachi kwa nini
I wanna know
Umenipa nini
I don’t know
Sikuachii kwa nini eeh

Matatizo – Harmonize lyrics

Oi yeh
Olelele
Wasafi Records
Alfajiri imefika
Anga inang’aaa
Mvua inaanza katika
Ghafla tumbo la njaa
Naweka sauti kwa spika
Nipate umbea wa Dar
Mara simu inaita
Jina la Anko Twaha akisema
Mama yu hoi kitandani
Kama si wa leo wa kesho
Na kupona sidhani
Upate japo neno la mwisho
Mi ndo mtoto wa pekee
Nyumbani wananitegemea
Mdogo wangu wa kike
Hali duni alishagaolewa
Tazama jasho langu la mnyonge
Kipato hakikidhi mahitaji
Napiga moyo konde
Yarabi Mola ndo mpaji
Matatizo
Matatizo
Yatakwisha lini
Matatizo
Kila siku mimi (ewe Mola)
Matatizo
Yatakwisha lini
Japo likizo
Nifurahi na mimi
Mola aliniumba na subira
Imani pekee ngao yangu
Mbona nishasali sana
Ila mambo bado tafarani
Mama kanifunza kikabila
Ikunde sanda haimi yangu
Tena nijitume sana
Na vya watu nisivitamani
Hata mpenzi nilo nae
Najua siku atanikimbia
Itanitesa ye ndio nguzo
Zile ngoja kesho
Baadae atazichoka kuzivumilia
Anakosa hata matunzo
Ona
Nadaiwa kodi nilipopanga
Nashinda road nikiranda
Nishapinga hodi kwa waganga
Kwa kuhisi nalogwa
Nikauza maji na karanga
Nikawa dobi kwa viwanda
Ila kote ziro ni majanga
Mtindo mmoja
Mi ndo mtoto wa pekee
Nyumbani wananitegemea
Mdogo wangu wa kike
Hali duni alishagaolewa
Tazama jasho langu la mnyonge
Kipato hakikidhi mahitaji
Napiga moyo konde
Yarabi Mola ndo mpaji
Matatizo
Matatizo
Yatakwisha lini
Matatizo
Kila siku mimi (ewe Mola)
Matatizo
Yatakwisha lini
Japo likizo
Nifurahi na mimi

Aiyola harmonize lyrics

Wasafi
Aiyo Aiyola iyee
Aiyola mama
Aiyo Aiyola
Mmh
Nilifundishwa na bibi kijijini jinsi ya kupenda
Na mwanamke hapigwi na ngumi ila upande wa kanga
Tena mapenzi sio ligi nikakubali kushindwa
Mi sikufunzwa giraji sishindani risasi kwa panga
Mbona nilikuthamini mengi nikakusevia (Aaha)
Sikusema hadharani wengi wakayasikia (Aaha)
Sio wa kunipanda kichwani hukumbuki tulikotokea (Aaha)
Na kunishusha thamani kipi nilichokosea
(Aaha)
Ingawa kidogo nilichopata nikajinyima uridhike
Ila hukujali ukanikatili moyo
Majirani walinicheka ulipo-force nipike
Aah Sio siri ilinivunja moyo
Oh kisirani ugomvi bila chanzo
Ni kweli upo moyoni sina budi nilivue pendo
Ingawa kishingo upande (Aiyo Aiyola iyeeh)
Sito-force unipende (Aiyo Aiyola iyeeh)
Oh kishingo upande mama (Aiyo Aiyola iyeeh)
Si bora uende mama (Aiyo Aiyola iyeeh)
Sitosema mapenzi basi
Nimeumbwa na moyo
Moyo wenye matamanio na unapenda pia
Ila nitaijutia nafsi ili kufanya chaguo
Aah chaguo la moyo kumbe ulipita njia
Nilivyowanyima ndugu visiri nikakutunzia
Usijeleta vurugu akili ukaitibua
Najuta kujitia bubu sitaki vya kusikia
Kisa pendo unisulubu mengi nishayafumbia
Eh
Mbona nilikuthamini mengi nikakusevia
(Aaha)
Sitosema hadharani wengi wakayasikia (Aaha)
Si wa kunipanda kichwani hukumbuki
tulikotokea (Aaha)
Na kunishusha dhamani kipi nilichokosea
(Aaha)
Oh Kisirani ugomvi bila chanzo
Ni kweli upo moyoni sina budi nilivue pendo
Ingawa kishingo upande (Aiyo Aiyola iyeeh)
Sito-force unipende (Aiyo Aiyola iyeeh)
Oh kishingo upande mama (Aiyo Aiyola iyeeh)
Basi bora uende mama (Aiyo Aiyola iyeeh)
Ingawa kishingo upande (Aiyo Aiyola iyeeh)
Sito-force unipende (Aiyo Aiyola iyeeh)
Oh kishingo upande mama (Aiyo Aiyola iyeeh)
Basi bora uende mama (Aiyo Aiyola iyeeh)
Kishingo upande
Kishingo upande (Aaha)
Na Maxmizer (Aaha)
Harmonize baby
I’m nice baby (Aaha)
Dibilion (Aaha)

Matatizo – Harmonize lyrics

Oi yeh Olelele Wasafi Records Alfajiri imefika Anga inang’aaa Mvua inaanza katika Ghafla tumbo la njaa Naweka sauti kwa spika Nipate umbea wa Dar Mara simu inaita Jina la Anko Twaha akisema Mama yu hoi kitandani Kama si wa leo wa kesho Na kupona sidhani Upate japo neno la mwisho Mi ndo mtoto wa pekee Nyumbani wananitegemea Mdogo wangu wa kike Hali duni alishagaolewa Tazama jasho langu la mnyonge Kipato hakikidhi mahitaji Napiga moyo konde Yarabi Mola ndo mpaji Matatizo Matatizo Yatakwisha lini Matatizo Kila siku mimi (ewe Mola) Matatizo Yatakwisha lini Japo likizo Nifurahi na mimi Mola aliniumba na subira Imani pekee ngao yangu Mbona nishasali sana Ila mambo bado tafarani Mama kanifunza kikabila Ikunde sanda haimi yangu Tena nijitume sana Na vya watu nisivitamani Hata mpenzi nilo nae Najua siku atanikimbia Itanitesa ye ndio nguzo Zile ngoja kesho Baadae atazichoka kuzivumilia Anakosa hata matunzo Ona Nadaiwa kodi nilipopanga Nashinda road nikiranda Nishapinga hodi kwa waganga Kwa kuhisi nalogwa Nikauza maji na karanga Nikawa dobi kwa viwanda Ila kote ziro ni majanga Mtindo mmoja Mi ndo mtoto wa pekee Nyumbani wananitegemea Mdogo wangu wa kike Hali duni alishagaolewa Tazama jasho langu la mnyonge Kipato hakikidhi mahitaji Napiga moyo konde Yarabi Mola ndo mpaji Matatizo Matatizo Yatakwisha lini Matatizo Kila siku mimi (ewe Mola) Matatizo Yatakwisha lini Japo likizo Nifurahi na mimi

Yahaya lady Jay dee lyrics

Yahaya unaishi wapi Kwani jina lako halisi nani Yahaya eeehh
Oooh Yahaya, Oooh Yahaya, Oooh Yahaya
Maskani yako Kinondoni, Nyumba namba haijulikani Yahaya eeeehh
Oooh Yahaya, Oooh Yahaya
Huyu kijana mwenzetu, Kila siku tupo nae maskani
Anakula ofa za watu, Anakoishi hata hapajulikani
Tumetafuta, tumeuliza, hakuna ajuae
Anavyozuga, anavyopita Si umdhaniae
Na hafananii kabisa, na fix anazofanya
Akidanganya kwa kina, Unaingia kingi unafuata, kumbe hana helaaaa
Kwa story za vilingeni, Utafikiri kweli yeye ndio bosi
Suruali zake na mashati, Anasema anafanya kazi benki
Mara anasema usalama wa Taifa, Hakuna ajuae
Kalubandika wa kizazi kipya, usomdhaniae
Na hafananii kabisa, na fix anazofanya
Akidanganya kwa kina, Unaingia kingi unafuata, kumbe hana helaaaa
 
 
Mara anasema usalama wa Taifa Hakuna ajuae
Kalubandika wa kizazi kipya Uso mdhaniae
Na hafananii kabisa na fix anazo fanya
Akidanganya kwa kina, unaingia kingi unafuata Kumbe hana helaa

kisiwa cha malavidavi zanto lyrics

Kwa kweli nilikuwa napenda sana
Mechi za nje za ujana
Aliyekuwa mke wangu
Analia aah

Kwa kweli nilikuwa napenda sana vibinti
nakuwahonga mpaka magari
Waliyekuwa watoto wangu
Wanateseka na njaa

Mitungi kila saa
Nyumbani sina time ya kukaa
Marafiki nami
Night club na mimi

Sasa nimebaki lonely 
Track redioni hazichezwi 
Yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
Hata bebi hunitaki tena

Sasa nimebaki lonely 
Track redioni hazichezwi 
Yaani pesa hakuna, marafiki hakuna 
Hata bebi hunitaki tena
 
Nakupenda aiyaa 
Nakupenda sana bebi
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

Nilikutenda aiyaa 
Nisamehe my baby 
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi
 
Sielewi tena nisikize ma 
Kwani najua pombe ndiyo chanzo ah 
Kilichofanya nikutende dharau kibao 
Ndani ya nyumba hakuna raha

Na kwangu ulikuwa dhaifu nisikize ma 
Kwani najua kweli ulinipenda ah 
Watoto wangu niliwatenga 
Nisamehe mpenzi we unasema

Sitaki rudia tena 
Najuta kwa yote niliyofanya 
Nisamehe na goti napiga, nalia ahh

Sasa nimebaki lonely 
Track redioni hazichezwi 
Yaani pesa hakuna marafiki hakuna 
Hata bebi hunitaki tena

Sasa nimebaki lonely 
Track redioni hazichezwi 
Yaani pesa hakuna marafiki hakuna 
Hata bebi hunitaki tena
 
Nakupenda aiyaa
Nakupenda sana bebi
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

Nilikutenda aiyaa
Nisamehe my baby
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

Uje kwenye kisiwa cha malavidavi 
Uje tupeane mapenzi 
Usisahau na wanangu 
Sahau yaliyopita na tugange yajayo 

Mali yangu alikiba lyrics

Kama ni makosa kupendelea moyo wangu huchagua
Hayo yote nisiumize moyo wako
Pia ujumlishe na yale yale yale
Mapenzi matamu ya kama halua ya ... bali yangu yaliwa
Verse 1
Mapenzi matamu ya wawili mashallah
Walio pendana kwenye hii dunia kama adam na hawa
Kwa hii hali mi sijali nivumilie ntazoea
Kukonyeze titi na kujiamini kunisaliti si hatari
Kiota changu cha moyo ni zawadi
Zinukie hisia zangu kwako kama ua ridi
Nishaumizwa sana kukinyesha mvua baridi
Kwa jinsi ulivyo utesa staki urudi .
Tell molina ali naumia, ali naumia, mapenzi
Tell molina ali nateseka, ....
Chorus
Verse 2
Pendera, hupendi karaha
Nami sinyora, nikose raha
Unantia hasara, kula kulala
Na garagara, unaniumiza roho
You my friend na uliniumiza roho
Kila weekend uko busy na hayo
Unayoyapenda ya kuuza sura
Nilisha nunua eti unapenda
Kutenda kwa yale yote unayo jiskia
Baby kwanini mateso, mateso, mateso, mateso ya roho
Wengi wanasema usiniumize roho
Chorus

niambie harmonize lyrics

Hmm hmm hmm
Mujini kipenzi silani shilingi baby
Kupendana zamani ndo wanavyosemaga
Wazuri ni wengi ila uongo mwingi baby
Wakishaviona vya ndani basi wanakumwaga
Ndo maana
Ukichelewa dukani mie kamoyo kananidundaga
Nawaza asije mangi jirani akakuonga kilo ya unga
Mbaya zaidi sina kazi nakosa senti tano ya kipande
Bora nikuweke wazi yanini nikufiche Gambe
Tumeumbiwa shida maradhi ndo chanzo mpaka wengi wadande
Niweke wazi nikipi kinafanya Unipende
Niambie
Tell me baby love
Oh basi niambie
Vipi unanipenda ingali sina doo
Niambie
Oh basi niambie (oh basi niambie)
Tell me baby love
Usije nitenda ukaniumiza roho
Sikuhizi magari ya wakongo mapesa mara nyumba mbezi
Usinichanganye na ubongo nidate kisa mapenzi
Sijakuwekea ndumba umenipendea rumba
Vipi nikija kudunda oooh oooh
Usije mgezea punda ukaniachia ngunga
Wanakumendea chunga oooh oooh
Mbaya zaidi sina kazi nakosa senti tano ya kipande
Bora nikuweke wazi yanini nikufiche gambe
Tumeumbiwa shida maradhi ndo chanzo mpaka wengi wadande
Niweke wazi ni kipi kinafanya unipende
Niambie (tell me)
Tell me baby love (tell me)
Ooh Basi niambie
Vipi unanipenda ingali sina doo (tell me)
Niambie
Ooh Basi niambie (tell me Ooh Basi niambie)
Tell me baby love
Usije nitenda ukaniumiza roho
Umenipendea
kipi mama (pendea)
basi sema (umenipendea)
Umenipendea nini na mini sina doo (pendea)
Umenipendea
tell me baby love (pendea)
oh basi niambie (umenipendea)
Umenipenda ingali sina 

Natamba Aslay lyrics

Intro
Natamba by Aslay
Natamba natamba
aaah!
Verse 1
Kilichonishawishi upole wako
Na heshima yako
Wazazi wangu wamekusifia sana
Kwa tabia yako
Sura yako ya upole
Inanivutia aaah
Shape twiga mwenda pole
Najivunia
Oh tupeane mapenzi iwachome
Eeeh na kama number waisome
Hata tukigombana wasione
Washike jembe wakalime
Mapenzi mazuri
Wakutane wawili wanaopendana
Usizidishe washauri
Watasabisha tuje kugombana
Aeeeh
Chorus
Aee angalia shape
Kama wema sepetu
Angalia jicho
Hamisa Mobeto
Ka rangi kake
Elizabeth Michael
Yani we mrembo
Wallahy nachukua jiko
We ndo wangu wa milele
Verse 2
Nauza dagaa ili ninunue motokaa
Nikuridhishe
Unanipa furaha na nguvu ya kusaka
Chapaa nisikuangushe
Una nyota ya adamu na hawa
Ooh tunavyopendana
Hata wakituchukia ni sawa
Ooh tuwaminyie mama
Wanaona umenipa dawa
Ooh wanaongea sana
Chunga usije kuota mbawa
Ooh ukaniacha dilemma
Natabiri pweza penzi
Litafika mbali
Nacheka kingereza
Ndo maana nacheza
Ya watu natupia mbali
Natabiri pweza penzi
Litafika mbali
Ndo maana nacheza
Ya watu natupia mbali
Basi babe nikumbatie aah
Chorus
Aee angalia shape
Kama wema sepetu
Angalia jicho
Hamisa Mobeto
Karangi kake
Elizabeth Michael
Yani we mrembo
Wallahy nachukua jiko
We ndo wangu wa milele