Tuesday, April 3, 2018

kisiwa cha malavidavi zanto lyrics

Kwa kweli nilikuwa napenda sana
Mechi za nje za ujana
Aliyekuwa mke wangu
Analia aah

Kwa kweli nilikuwa napenda sana vibinti
nakuwahonga mpaka magari
Waliyekuwa watoto wangu
Wanateseka na njaa

Mitungi kila saa
Nyumbani sina time ya kukaa
Marafiki nami
Night club na mimi

Sasa nimebaki lonely 
Track redioni hazichezwi 
Yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
Hata bebi hunitaki tena

Sasa nimebaki lonely 
Track redioni hazichezwi 
Yaani pesa hakuna, marafiki hakuna 
Hata bebi hunitaki tena
 
Nakupenda aiyaa 
Nakupenda sana bebi
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

Nilikutenda aiyaa 
Nisamehe my baby 
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi
 
Sielewi tena nisikize ma 
Kwani najua pombe ndiyo chanzo ah 
Kilichofanya nikutende dharau kibao 
Ndani ya nyumba hakuna raha

Na kwangu ulikuwa dhaifu nisikize ma 
Kwani najua kweli ulinipenda ah 
Watoto wangu niliwatenga 
Nisamehe mpenzi we unasema

Sitaki rudia tena 
Najuta kwa yote niliyofanya 
Nisamehe na goti napiga, nalia ahh

Sasa nimebaki lonely 
Track redioni hazichezwi 
Yaani pesa hakuna marafiki hakuna 
Hata bebi hunitaki tena

Sasa nimebaki lonely 
Track redioni hazichezwi 
Yaani pesa hakuna marafiki hakuna 
Hata bebi hunitaki tena
 
Nakupenda aiyaa
Nakupenda sana bebi
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

Nilikutenda aiyaa
Nisamehe my baby
Nakuhitaji mama mama
Njoo kisiwa cha malavidavi

Uje kwenye kisiwa cha malavidavi 
Uje tupeane mapenzi 
Usisahau na wanangu 
Sahau yaliyopita na tugange yajayo 

No comments:

Post a Comment