Friday, December 30, 2016

Barakah Da Prince Siachani Nawe LYRIC

[Intro]
Ohoo weo, ohoo weo
Ouhoo!
Ohoo weo, ohoo weo
Mmhh! mnhh!
Ohoo weo, ohoo weo
[Verse 1]
Wakati nalazimisha moyo kupenda sio kama ninakosea
Ipo sababu ya mi kurejesha namba ambayo ilipotea
Hali ya mtoto kumsusa mama akishachapwa
ni sawa na mapenzi
Ukishapenda unasahau hata kama ulishafanyiwaga ushenzi
Nakumbuka nilijuta sana kupenda penda kusikokua na thamani
Ila hitaji la moyo lalazimisha kurudia zamani
[Chorus]
Ohoo weo, ohoo weo
Mimi bado nina imani
Ohoo weo, ohoo weo
Ipo siku utanipa thamani
Ohoo weo, ohoo weo
Mimi bado nina imani
Ohoo weo, ohoo weo
Jua mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Acha nisote mie
Ila mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Wacha nisote mie
[Verse 2]
Labda juu ya kaburi utanipenda mimi nikiwa sina uhai
Hisia zangu haziheshimiwi najidharau sifai
Heri ya upofu wa macho kwa yale nayoyaona
Umeruhusu mboni zangu mi kumwaga machozi
Yaani ungejua hisia za mapenzi
Kutesa moyo ila bado hazichoshi
Kupendwa sipendwi najua wazi ila bado silithii
Maana kesho nitaurubuni moyo
Unapendwa ila unapimwa
Mi na meno ila najiona kibogoyo
Kweli penzi donda moyo
[Chorus]
Ohoo weo, ohoo weo
Mimi bado nina imani
Ohoo weo, ohoo weo
Ipo siku utanipa thamani
Ohoo weo, ohoo weo
Mimi bado nina imani
Ohoo weo, ohoo weo
Jua mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Acha nisote mie
Ila mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Wacha nisote mie
[Outro]
Jua mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Acha nisote mie
Ila mi siachani nawe
Na sishindani nawe
Maana upo moyoni (ndani eeh)
Wacha nisote mie
Acha nisote mie ehee
Mi sishindani nawe wewe
Mi sibishani na wewe

No comments:

Post a Comment