Friday, December 30, 2016

Belle 9 We Ni Wangu Ft. Mr Blue LYRIC

[Intro – Belle 9]
We unanifaa
We unanifaa
We ni wangu unanifaa
Sipagawi, sichachawi na machangu wa Dar, au sio maa?
Hivyo ndivyo mamaa
Njoo unipe love kwenye shida na raha
Raha, raha, raha
We ni wangu unanifaa
Sipagawi, sichachawi na machangu wa Dar, au sio maa?
Hivyo ndivyo mamaa
Njoo unipe love kwenye shida na raha
Raha, raha, raha
[Chorus – Belle 9]
We ni wangu, wee ee-eh eeh
Mi ni wako, oh oo-oh ooh
We ni wangu, wee ee-eh eeh
Mi ni wako, oh oo-oh ooh
We ni wangu sina time na vicheche
Mi ni wako kwa matozi usishoboke
We ni wangu sina time na vicheche
Mi ni wako kwa matozi usishoboke
Baby, sina time na vicheche
Wewe, kwa matozi usishoboke
Baby, sina time na vicheche
Oh yeah
[Verse 1 – Belle 9]
Huna ujiko, na mi sina mshiko
Kwenye love tume-settle ile bomba
Tukipata twashukuru, tukikosa twalala
Ili mradi siku zinakwenda
Huna ujiko, na mi sina mshiko
Kwenye love tume-settle ile bomba
Tukipata twashukuru, tukikosa twalala
Ile kisela siku zinakwenda
Kama ni pamba uta-shine
Kwa mnyamwezi Belle 9
Usijali mimi ni wako
Nipo tayari hata twende kanisani
Ama kwa wazazi si tukale kiapo
Kama ni pamba uta-shine
Kwa mnyamwezi Belle 9
Usijali mimi ni wako
Nipo tayari hata twende kanisani
Ama kwa wazazi si tukale kiapo, my baby
[Chorus – Belle 9]
We ni wangu, wee ee-eh eeh
Mi ni wako, oh oo-oh ooh
We ni wangu, wee ee-eh eeh
Mi ni wako, oh oo-oh ooh
We ni wangu sina time na vicheche
Mi ni wako kwa matozi usishoboke
We ni wangu sina time na vicheche
Mi ni wako kwa matozi usishoboke
Baby, sina time na vicheche
Wewe, kwa matozi usishoboke
Baby, sina time na vicheche
Oh yeah
[Bridge – Belle 9]
Mimi na wewe, mpaka milele
Mimi na wewe, mpaka milele
Mpenzi njoo (njoo)
Mpenzi njoo (njoo)
Mpenzi njoo (njoo)
Mpenzi njoo (njoo)
[Verse 2 – Mr Blue]
Njoo taratibu, njoo kipenzi tabibu
Kwanini unaniadhibu, njoo unipe majibu
Taratibu tena bila wasiwasi
Si mapenzi mbele pesa, wapi na wapi?
Nivumilie nimesema sikwaachi
Nishasema nakupenda hata kushinda mitikasi
Wapi, unapopataka let’s go
Kipi, ulichokipenda let’s roll
Ulikuwa na bado utazidi kuwa mine
Nakuimbia, emu sikia hii na Belle 9
Subiria, honey kwanza tukamate line
Ukiniacha njiani, mi na wewe ni kwenda ku-shine
Nipe nafasi nikupe kiss, nikupe hug na love
Iko wazi tuki-hustle hatutolala na njaa
Mbele yako mpenzi wangu mi naapa kwa Jah
Machozi nayolia sasa kesho yageuke furaha
[Break – Belle 9]
Unachotaka mimi nakupa
Hivyo mrembo nielewe
Penzi langu usijelitupa
Tuwe sote milele
Unachotaka mimi nakupa
Hivyo mrembo nielewe
Penzi langu usijelitupa
Tuwe sote milele
Mi na we…
[Bridge – Belle 9]
Mimi na wewe, mpaka milele
Mimi na wewe (mi na wewe), mpaka milele (milele)
[Chorus – Belle 9]
We ni wangu, wee ee-eh eeh
Mi ni wako, oh oo-oh ooh
We ni wangu, wee ee-eh eeh
Mi ni wako, oh oo-oh ooh
We ni wangu sina time na vicheche
Mi ni wako kwa matozi usishoboke
We ni wangu sina time na vicheche
Mi ni wako kwa matozi usishoboke
Baby, sina time na vicheche
Wewe, kwa matozi usishoboke
Baby, sina time na vicheche
Oh yeah

No comments:

Post a Comment