Friday, December 30, 2016

Bonge la Nyau ft Q Chillah Aza LYRICS

[Chorus – Q Chillah & (Bonge La Nyau)]
Aza, Aza, mtoto wa Kariakoo
Aza, Aza, ah, nakupa shikamoo
Aza, Aza
(Ah mtoto wa Kariakoo, mtoto wa Kariakoo)
Aza, Aza, ah, nakupa shikamoo
Kwenu wananiita golo
Ukweli sio koro
Mapenzi ndivyo yalivyo
[Verse 1 – Bonge La Nyau]
Eyo flow nazi-fix so bad
Navyo-feel bad just like na-play card
More motivation, more money, more play
Visa na vituko unavyofanya siongei
Ngwair, kama Ngwair akakuita She-Got-A-Gwan
Pozi mpaka pozi za Blue ukiwa chumbani
Ulivyodeka dah, ndo unanipa burudani
Umenipa thamani kwa mwingine sitamani
Kama umezaliwa mi nisota
Mwanao hata mia naokota
Ukirudi kwangu ka naota
Unavyonitunuku naogopa
Mtaka nyingi ukosa na saba
Usipende madingi utakuja kuvaba
Tulia na mimi tuishi pamoja
Tukikosa leo kesho inakuja
[Chorus – Q Chillah & (Bonge La Nyau)]
Aza, Aza, mtoto wa Kariakoo
Aza, Aza, ah, nakupa shikamoo
Aza, Aza
(Ah mtoto wa Kariakoo, mtoto wa Kariakoo)
Aza, Aza, ah, nakupa shikamoo
Kwenu wananiita golo
Ukweli sio koro
Mapenzi ndivyo yalivyo
[Verse 2 – Bonge La Nyau]
Ile love nayotaka kwako naipata
Siwezi kusaka vingine kwenye vichaka
Unavyokata, mpaka nadata
Kama love ni uchafu, Kkoo zitupwe taka
Mungu akupe imani uzidi kunithamini
Na akulinde na shetani ufate miongozo ya dini
Atuweke vyema duniani mpaka tukienda chini
Kila siku furahani: shida, raha na mimi
Kama umezaliwa mi nisota
Wanaogharami unaokota
Ukirudi kwangu ka naota
Unavyonitunuku naogopa
Mtaka nyingi ukosa na saba
Usipende madingi utakuja kuvaba
Tulia na mimi tuishi pamoja
Tukikosa leo kesho inakuja
[Chorus – Q Chillah & (Bonge La Nyau)]
Aza, Aza, mtoto wa Kariakoo
Aza, Aza, ah, nakupa shikamoo
Aza, Aza
(Ah mtoto wa Kariakoo, mtoto wa Kariakoo)
Aza, Aza, ah, nakupa shikamoo
Kwenu wananiita golo
Ukweli sio koro
Mapenzi ndivyo yalivyo

No comments:

Post a Comment