Friday, December 30, 2016

Bob Junior Nichumu LYRIC

[Intro]
Oooh ooooh ooh
Ni Mr Chocolate
Bob Chocolate
Tuimbe wote, chocolate, chocolate
[Verse 1]
Kufuri imewekwa ili watu waseme
Basi acha mi nikwambie
Umekuwa dokta wa kuniponya
Basi acha mi nikusifie
Nishakuwa zoba, nikawa rofa
Basi acha kwako nitulie
Nilishaanguka ukaniokota, mzigo wangu usiachie
[Bridge]
Usijebadilika, ukawa kama wale
Wa enzi zile, zile, zile
Ukanitapika, ukawa kama wale
Wa enzi zile, zile, zile
[Chorus]
Sukari yangu, asali yangu
Mapigo yangu ya moyo wangu
Sukari yangu, asali yangu
Mapigo yangu ya moyo wangu
Basi nichumu nikiss mwaah
Nichumu nikiss mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah, mwaah, mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah
Ahaa nichumu nikiss mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah, mwaah, mwaah
Ooh ooo
Ah raisi wa masharobaro nimechoka mimi aah
Ooh oooh ooo
[Verse 2]
Usimiss hadithi ya sungura na fisi
Acha ukweli nikwambie
Umenidhibiti, sihadaiki
Acha sifa nikupatie
Kula nanasi kwa hitaji nafasi
Basi acha nijiservie
Anaekushika mshikilie, shika basi usiachie
[Bridge]
Usijebadilika, ukawa kama wale
Wa enzi zile, zile, zile
Ukanitapika, ukawa kama wale
Wa enzi zile, zile, zile
[Chorus]
Sukari yangu, asali yangu
Mapigo yangu ya moyo wangu
Sukari yangu, asali yangu
Mapigo yangu ya moyo wangu
Basi nichumu nikiss mwaah
Nichumu nikiss mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah, mwaah, mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah
Aah nichumu nikiss mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah, mwaah, mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah
Aah nichumu nikiss mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah, mwaah, mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah
Aah nichumu nikiss mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah, mwaah, mwaah
[Outro]
Nichumu nikiss mwaah
Nichumu nikiss mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah, mwaah, mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah
Aah nichumu nikiss mwaah
Basi nichumu nikiss mwaah, mwaah, mwaah
Masharobaro ndo habari ya mjini!

No comments:

Post a Comment