Saturday, April 14, 2018

Dogo Janja ft PNC la moyoni lyrics

la moyoni by Dogo Janja ft PNC

wala mimi sina hila, ila nafsi yangu inanituma kusema ya moyoni
wala sina kisasi, namshukuru mola huko nilikotoka na sasa nilipofika
kitanashati haswa, natiririsha ngoma
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma
kitanashati haswa, nakinukisha pale
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma

Verse zangu mi naziacha mungu atawasomea
Jasho langu kwenye shamba lao, walifanya Mbolea
Hawakujali nilikotokea, shida zajibebea
wakanifunga akili huku miguu inatembea
Mama akasema mwanangu kaza msuli
Ukitaka zikwa na watu vua koti la ukiburi
Dawa ya Jeuri kiburi, mimi sio mzuri
Pesa ndio kivuli nalea mapenzi kama hujui
kudai haki yangu kumejenga uadui
napenda 'madugu' zangu na ndugu siwabagui
mtanizika na simjui, ntapoelekea asubuhi
nani mwenye upendo wa ukweli hata nikishuka haupungui
Bado nasukuma kete, weka nami niweke
chomeka nichomeke ngumi dabo na teke
kwenye maseke ya makeke
mfukoni mambo bado kama Chege wa Temeke!

wala mimi sina hila, ila nafsi yangu inanituma kusema ya moyoni
wala sina kisasi, namshukuru mola huko nilikotoka na sasa nilipofika
kitanashati haswa, natiririsha ngoma
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma
kitanashati haswa, nakinukisha pale
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma

Naamua kukaa kimya, ila nina domo la kaya
Hata we niliyekuamini, leo unanisema vibaya
stoneshi kidonda binadamu ka' kinyonga
ukitaka kuishi wanavyotaka, he utakonda
wako waliofurahi, wakasema naenda kuteseka
kumbe kwangu bora maana hata nikilala kwenye mkeka
siwezi kukataa nimetoka kwenye njaa
kama hakuna manufaa siwezi ng'ang'ania Dar
Jasho nililomwaga halijachonga hata kitanda
watu wanaendesha magari na kumiliki vinanda
Inshallah, Mungu ndiye anayepanga
Machungu naya'rewind kwenye mind kama kanda
Nashukuru asubuhi kumekucha kwenye mwanga
Mungu ananilinda ananikinga na Majanga
Namuomba safari hii isiishie njiani
waje sema maisha yangu bila wao haiwezekani

wala mimi sina hila, ila nafsi yangu inanituma kusema ya moyoni
wala sina kisasi, namshukuru mola huko nilikotoka na sasa nilipofika
kitanashati haswa, natiririsha ngoma
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma
kitanashati haswa, nakinukisha pale
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma

Mziki kwenye ala, nawasukuma kama mpira
kama nafunga kushoto kumbe kulia..Bila!
Ndege mjanja tundu mlinzi tatu..Bila!
Janjaro bado yupo kama desturi na Mila

Right!
Niko makini, kwenye game sitong'oka
Japo kuna wanga wanaotaka kuzima nyota
kuna wanaodiriki, hata fala mi kuniita
ila mridi nipinde, wao wabaki wakipeta
ila nimeshtuka, siri ndo imefichuka
mwanzo walipoona fani na sasa wapo jukwaani
walo.sema ni uhuni watu imewaingia damuni
wengine bila haya

wala mimi sina hila, ila nafsi yangu inanituma kusema ya moyoni
wala sina kisasi, namshukuru mola huko nilikotoka na sasa nilipofika
kitanashati haswa, natiririsha ngoma
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma
kitanashati haswa, nakinukisha pale
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma

Steve rnb Jambo Jambo lyrics

Jambo jambo by Steve RnB

(Chorus)
Nasema jambo jambo mama
Habari gani nzuri sana
Ukiniacha ntaumia
Mwenzio nshakuzimia
Nasema jambo jambo mama
Habari gani nzuri sana
Ukiniacha ntaumia
Mwenzio nshakuzimia

(Verse1)
Uzuri wako umenifanya
Niwe nawe ka kabisa
Tabia ndio imenivuta
Niwe karibu
Moyoni niwe na furaha baby
Na furaha baby
Hakuna atakayenitenganisha atakayenitenganisha
niwe mbali na we mama
Ni mungu mwenyewe anaweza
Anapenda wote tuwe na furaha baby
Na furaha baby

(Bridge)
Without you
Without you
Love me o  I can't be
Without you
Without you
No steve rnb
Without you
Without you
Love me o  I can't be
Without you
Without you
No steve rnb

(Verse2)
Natamani niwe nawe kila saa
Usiku na mchana kuna njaa
Ukiwapo we pembeni kweli  najivunia
Karibu ndani yangu washa taa
Ndani giza nene washa mshumaa
Sikia hizi hisia
Karibu ndani naumia yeeah

(Chorus)
Nasema jambo jambo mama
Habari gani nzuri sana
Ukiniacha ntaumia
Mwenzio nshakuzimia
Nasema jambo jambo mama
Habari gani nzuri sana
Ukiniacha ntaumia
Mwenzio nshakuzimia

Without you
Without you
Love me o  I can't be
Without you
Without you
No steve rnb
Without you
Without you
Love me o  I can't be
Without you
Without you
No steve rnb

Shetta ft Rich Mavoko sina imani lyrics

(Intro)
De fatality
Na baba kaira
Richad Mavoko
Mavoko
Ukimwi nyumbani
Chief kiumbe the boss
Street soul
Meseni selector

(Chorus)
Wivu me sina (okey) ila sina imani
Nami nakupenda sana ila usilete ukimwi nyumbani
I say eh Wivu me sina ila sina imani (baby baby baby)
Nami nakupenda sana ila usilete ukimwi nyumbani
Aah usilete ukimwi nyumbani
Uuh uuh ukimwi nyumbani
Eeh Usilete ukimwi nyumbani
Usilete ukimwi nyumbani
Eeh usilete ukimwi nyumbani
Uuh uuh ukimwi nyumbani
Usilete ukimwi nyumbani
Usilete ukimwi nyumbani

(Verse_Shetta)
(..............!?)
Unidanganye danganye lakini peace
Leta mapenzi usilete ukimwi  tunapoishi
Baby usipende hongo kama polisi
Najua outing najua patyn
Nikijaribu kukubana we're fightin
Weka ngata beba heshima vunja kesi
Mali ya wanangu pima kama ni wepesi
Me ni mgonjwa na we ndio dokta na we ndio nesi
Sawa sikupeti peti kwa kibesi
Mara ngap unatoka nalala
Jua marafiki mjini hasara
Hujali family
Bata jumatatu mpaka jumapili
Ujue sipendi kukuchunga chunga
una mapenzi ya kweli au unavunga vunga

(Chorus)
Wivu me sina (okey) ila sina imani
Nami nakupenda sana ila usilete ukimwi nyumbani
I say eh
Wivu me sina ila sina imani (baby baby baby)
Nami nakupenda sana ila usilete ukimwi nyumbani
Aah usilete ukimwi nyumbani
Uuh uuh ukimwi nyumbani
Eeh Usilete ukimwi nyumbani
Usilete ukimwi nyumbani
Eeh usilete ukimwi nyumbani
Uuh uuh ukimwi nyumbani
Usilete ukimwi nyumbani
Usilete ukimwi nyumbani

(Verse2_Shetta)
Me sio mtu wa mabinti sijawahi kuhias dini
Mfuasi mzuri wa maadili (tusije tukafa kwa ngoma)
Ugonjwa tupate kama ajali sio kwasababu hatukujali so please tulia na mimi (tusije tukafa kwa ngoma)
Sijipangii ntakufa lini mama
Nafsi na mwili bado vinataka kuishi sana
Acha ubishi hizi cash ndio chanzo cha balaa
Unanifaa mama basi punguza tamaa
Watu wanakufa kila siku
Maisha matamu zaidi ya kila kitu
Tukipata ukimwi haina jinsi
Madawa gharama tutazikwa hatuna kitu
Hujali family
Bata jumatatu mpaka jumapili
Ujue sipendi kukuchunga chunga
una mapenzi ya kweli au unavunga vunga

(Chorus)
Wivu me sina (okey) ila sina imani
Nami nakupenda sana ila usilete ukimwi nyumbani
I say eh
Wivu me sina ila sina imani (baby baby baby)
Nami nakupenda sana ila usilete ukimwi nyumbani
Aah usilete ukimwi nyumbani
Uuh uuh ukimwi nyumbani
Eeh Usilete ukimwi nyumbani
Usilete ukimwi nyumbani
Eeh usilete ukimwi nyumbani
Uuh uuh ukimwi nyumbani
Usilete ukimwi nyumbani
Usilete ukimwi nyumbani

(Verse3_Richard Mavoko)
Kama kupenda me sikatai
Nafanya yote hili ufurahi
Usiniue kijerumani shingoni na tai
Kweli me wivu sina
Ila tatizo jina
Naomba ujichunge mwenyewe ili ulinde heshima
Kweli me wivu sina
Ila tatizo jina
Naomba ujichunge mwenyewe ili ulinde heshima

(Outro)
Jamani Eeh that whatsap
Papzo
Messeni utawaua

Usilete
wivu me sina
Ila sina imani
Nakupenda sana ila usilete ukimwi nyumbani
wivu me sina
Ila sina imani
Nakupenda sana ila usilete ukimwi nyumbani

Piano....till fade

Vanessa mdee come over lyrics

come over by Vanessa Mdee

[Intro]
I'm thinking about you baby
Vee Money on the track
Nahreel wussup

[Verse 1]
Waking up this Monday morning
Time for a new start
Memories 'bout my weekend past I spent in Funkytown
Vile uliniomba namba, mimi nilikata
Roho ilikuwa giza wewe uliwasha taa

[Bridge 1]
Ooooooh I'm thinking about you baby
And maybe you'll come over

[Hook]
Come over baby, Cos you're my baby
Come over baby (Nisubirie) Cos you're my baby (Nataka Uniambie)
Come over, Come Over, Come Over

Come over baby ( We na mie) Cos you're my baby (Nakupenda mie)
Come over baby (Nisubirie) Cos you're my baby
Come over baby (Nataka Uniambie)
Come over, Come over, Come over, Come over eh!

[Verse 2]
Na mi siamini
Nakuwaza wewe, nakuwaza wewe
I'm going crazy, ooh baby crazy
Eh eh eh eh
Hali ni tete ninateseka mi
Lisiwe janga nikachekesha mi
Hali ni tete ninateseka mi
Lisiwe janga nikachekesha mi

[Bridge 1]
Ooooooh I'm thinking about you baby
And maybe you'll come over

[Hook]
Come over baby, Cos you're my baby
Come over baby (Nisubirie), Cos you're my baby (Nataka Uniambie)
Come over, Come Over, Come Over, Come Over eh!

Come over baby ( We na mie), Cos you're my baby (Nakupenda mie)
Come over baby (Nisubirie), Cos you're my baby
Come over baby (Nataka Uniambie)
Come over, Come over, Come over eh!

[Bridge 2]
Nimebakizwa na umwemweru x7
Mwemweru mweru eh!
Mwemweru mweru x5

[Bridge 1]
Ooooooh I'm thinking about you baby
And maybe you'll come over

[Hook to fade]

[Written by: Vanessa Mdee, Gosby Kibanza, Marianne Mdee]

source:rapgenius.com

Mo music nenda lyrics

Nenda by Mo music

(Verse1)
Kulalama kufuru lakini
Naona ndio napoza moyo
Uwepo wako sawa na muiba kidoleni
Ile tamu imegeuka shubiri
Nilipokuthamini nikakupa moyo
Hata kutendwa sikufikiri
Kinywa kizito kukubali ukweli
Moyo unashindwa inaniuma ni hatari
Mapenzi yanatawala dunia sawa
Nimechoka kutawaliwa kama
Uwepo wako sawa na muiba kidoleni
Ile Asali wanalina wengine
Siwezi kubishana na moyo
Nilikupenda kipepeo
Ila ile picha inaonyesha mapenzi yamekwisha
Ooh

(Chorus)
Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia

Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia

(Verse2)
Wanasema upendo wa kweli ndio haufutiki
Ila kwa baadhi najua
Right ningeelewa kuvuma kwa upepo kusingebadili misimu ya jua
Nilishajua miendeno yako
Tusingewezana aaha
Kumbe nakunywa maji ya moto me bado mtoto
Kwangu changamoto mmh
Waliposema hufai
Nilijipa moyo ni ya walimwengu
(Bilekebizembe bindi  biloza)
Karol aliniambia

Labda thamani ya mapenzi ni kikombe
Sikukivunja sina thamani
Sawa nimelewa sana sina haja ya kung'ang'ana

(Chorus)
Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia

Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia

Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia

Basi nenda
Na me ntafute sababu ya kuridhia
Sawa nenda
Nami niudanganya moyo utatulia

..

John makini perfect combo lyrics

Joh Makini Ft Chidinma Perfect combo lyrics

A City in a house
(Ooh… miss Kedike)
And the king himself
[Verse 1 – Joh Makini]
Wanasema kuishi kwingi
ni kuona mengi
Chagua ilinishinda,
chaguzi nyingi!
Kimsingi tulianzana
msingi
And the winner is me and
you washindi
Kweli nashukuru Mungu,
ashenalee
Changu ni chako, mega
jipendelee
Sioni sababu mi
nsikupendelee
Mi nashika we nishike
tuendelee
Mahabani misumari
nigongelee
Taabani niteketee
Tahadhari tuweke bango
wasitusogelee
Huu mchezo wa mapenzi
tuna talanta
Swadakta manyota wa
danta
Perfect combo na sio
karata
Na kama ni kamari basi
mi ni taita
Jina lenyewe Joh Makini
fighter
[Chorus – Chidinma]
Me and you na perfect
combo, combo, combo
Me and you na perfect
combo, combo, combo
Me and you na perfect
combo, combo, combo
Me and you na perfect
combo, combo, combo
[Verse 2 – Joh Makini]
Oh baby umeroga roga
juu juu (oh juu juu)
If you do me, do me
better I do you my boo
(oh my boo)
Vile natwanga hii kinu
wachawi finyu
Tuna miundo hakuna
kutuundia mbinu
Crazy, wrong
usiniendeshe
Uniogeshe nikuogeshe
(baby)
Unionyeshe
nikuonyeshe…
Nilichowaficha wenzako
Kiti cha umalikia
himayani chako
International sio tena
local
Permanent sio tena
temporary
Kwa ma-net
wazipandishe habari
Shusha neti mi na we ni
parley
(Oh baby) lemmi be you
baby’s daddy
[Chorus – Chidinma]
Me and you na perfect
combo, combo, combo
Me and you na perfect
combo, combo, combo
Me and you na perfect
combo, combo, combo
Me and you na perfect
combo, combo, combo
[Bridge – Chidinma]
How I wish to say, baby
(oh my baby eh)
How I wish to say,
darling (my darling eh)
I feel to say I don’t love
you, no, I don’t love you
I feel to say I don’t need
you, no, I don’t need you
Oh my baby singular
Yours my so spectacular
Jozzi non irregular
Oh my baby no be lie
Dunia mingi mitihani jibu
langu ni we
We, we, majibu mi na we
Dunia mingi mitihani jibu
langu ni we
We, we, majibu mi na we
[Chorus – Chidinma] x2
Me and you na perfect
combo, combo, combo
Me and you na perfect
combo, combo, combo
Me and you na perfect
combo, combo, combo
Me and you na perfect
combo, combo, combo
[Outro]
Zikibamba nabamba na
we
Nabambika na wee
Zikibamba nabamba na
we
Nabambika na wee
Zikibamba nabamba na
we
Nabambika na wee
Zikibamba nabamba na
we
Nabambika na wee
(Naija, Tz, RK)
Me and you na– eh deba!
Ayayaya
Me and you na perfect
combo, perfect combo
Eh na na nah
Me and you na

Neddy music rudi lyrics

Neddy Music ft Christian Bella Rudi Lyrics
.
.
Ooh nawe subira
Hali yangu taabani moyo ngawira
Huko uliko huko uliko
Sina taswira
kukumbuka baya lako ila jema lazima
Tulikulaga kiapo
Shida zangu mimi ndo zako
mama yeyeeee
Una lalama kila kukicha
Natazama jua
Penzi langu sio hasira kila muda kuzira
Nikufute chozi unifute chozi
Tulie pamoja mama
Kosa letu siri
Mioyo yao wawili
Tuishi milele daima
.
.Kiitikio
.
Rudii
Rudi eeeh
Kosa nimekosa
Rudi
(                           )
Nisamehe sana
Rudiii
Kosa nimekosa
Rudiiii
Nisamehe sana
.
.CHRISTIAN BELLA
mamaaa mamamaaaaa
(                        )
Nashindwa lala usiku nakesha nakuwaza wewe
Nishazoea kila saa kuwa karibu na wewe
Umeondoka umeniacha nalia na nani!
Kama ni kosa mi tayari
Nimeshaomba musamaha
Nisamehe samahani
.
.Kiitikio

Rudii
Rudi eeeh
Kosa nimekosa
Rudi
(                           )
Nisamehe sana
Rudiii
Kosa nimekosa
Rudiiii
Nisamehe sana
.
.Neddy
Aliyepata macho roho
Zafanana  nami
Mbali uliko pendo
Mrithi simwonii
Maneno sumu yana
Kusamehe suna sana
Robo si nusu mama
Tumalize rudi mtima
Unalalama kila kukicha natazama jua
Penzi langu sio hasira kila mda kuzira
Nikufute chozi unifute chozi tulie pamoja nama
Kosa letu siri
Mioyo yao wawili
Tuishi milele daima
.
.Kiitikio
.

Rudii
Rudi eeeh
Kosa nimekosa
Rudi
(                           )
Nisamehe sana
Rudiii
Kosa nimekosa
Rudiiii
Nisamehe sana

Christian bella ollah lyrics

CHRISTIAN BELLA FT KHALIGRAPH JONES OLLAH LYRICS
[Intro]
Ollah Ollah
Is the OG Khaligraph
Jones
Alongside Christian Bella
For the lovers out there
Ollah eh Ollah x4
[Christian Bella]
Iyeh Iyeh
Nimedata Kwa huyu
Mwanamke Iyeh
Kila nikilala ananijia
ndotoni
Ananipenda mpaka
sielewi mbona
Kuna nini kwani, mbona
ananichanganya
Akitembea anamwendo
kama kinyonga eeh
Mtoto mzuri kama
malaika
Najiuliza kipi nimefanya
kupendwa na yeye
[Chorus]
Ollah eh Ollah X4
Kesho ni siku yetu ya
harusi
Tutafunga pingu ya
maisha
Tutakula kiapo kwa
Mungu baba
Na mbele ya dunia
hatutakuja wachana
Maneno ya wapambe
hapa hakuna nafasi
Vyumba vimekaza
milango hakuna wala
hata dirisha eh
Na wachekwa kanzo
wangu mama
Waambie poleni hakuna
pa kupenyeza
[Khaligraph Jones]
Hey I cant describe vile
nahisi
Pendo langu kwako ni
mazishi
Usijali na zao
malalamishhi
ni wivu juu wanatamani
kuwa sisi Bella
[Bella]
Chonde chonde Mpenzi
usijeniacha kwenye
mataa
Nakuahidi kukupenda
mpaka mwisho
promice feki zote
nimeshazima
Kwa moyo wa maisha we
ndio kila kitu changu wee
Niende tena wapi kwako
nimeshafika eeh
[Chorus]
[Khaligraph]
Nakuona akili yangu
inachizi
Girl juu you’re an angle
you believe me
I wanna be on your side
till I die
Umenifikisha juu napepea
mushtaf
Juu ya hewa we ndio air
hostess
Umenipea love crazy too
Them other coulples
couldnt do it the way that
we do
You’re a queen unastahili
sifa
Kwa kuniserve baby mimi
sina budi
The shore of my dreams
Ring mimi ntakuvisha juu
you look like a star
in a movie (say what)
N I know sometime
inaweza kaa kasijali
Ni hali ya maboy
wakitafuta mali, magari
Staki unishuku na
maswali
Bt lengo langu ni eti uishi
kifahari
So I promise to be here
everyday
N its only to God that I
pray
that between us
everything is gonna be
okay
Coz you really blow me
away
[chorus]
Nakuona akili yangu
inachizi
Girl juu you’re an angle
you believe me
I wanna be on your side
till I die
Coz when I see you moyo
wangu unafurahi

Harmonize Happy birthday lyrics

HARMONIZE HAPPY BIRTHDAY LYRICS
Verse 1
Kwanza nina furaha,
Nitaimba na kucheza (na
kucheza)
Washa mishumaa,
Weka keki juu ya meza,
(juu ya meza)
Oh ila usinicheke,
Nimekuletea zawadi,
Kidogo nilichobarikiwa
Haki mwana mpweke,
Aje na dumu la maji asije
akumwagia
Ah nakapicha kao
nitakoposti,
Wasiokupenda
itawacosti,
Ah leo siku yako
nishajikoki,
Tuko rafiki zako
tunasema
Chorus
Happy birthday
Happy birthday to you
Happy birthday to you
Happy birthday
Happy birthday to you
Happy birthday to you
Verse 2
Ah sinywagi pombe leo
ntalewa
Niwape shonde
waliochelewa
Zikinipanda monde
nitapepewa
Ah pembe la ng’ombe au
malewa
Ila usiforget, kusema
asante baba na mama
Walokukuza ukakua
Tunakupa na keki kwa
wema
Akulinde baba Maulana
Twakuombea na dua
Ah na kapicha kako
nitakaposti,
Wasikupenda itawacosti,
Ah leo siku yako
nishajikoki,
Tuko rafiki zako
tunasema
Chorus
Happy birthday
Happy birthday to you
Happy birthday to you
Happy birthday to you
Happy birthday to you
Kata keki kata,
Kata
Ooh Kata
Kata
Kata unilishe
Keki ya jina lako, kata
Waoneshe na wenzako,
kata
Tupo kwa ajili yako ,kata
Kata unilishe
Ooh basi kata
Kata
OohKata
Kata nikuone
Kata unilishe
Kata
kata
Kata unilishe
Ooh nakapicha kako
nitakaposti

Roma Zimbabwe lyrics

ROMA ZIMBABWE LYRICS

Wengi mlijiuliza walioniteka ni
maaskari?
Mkanitafuta vituo vyote Cetral hadi
sitaki shari,
Wakasema hawajui nilipo mama
alienda mpaka mochwari,
Daaah!,ya kaisari mwachie kaisari,
Machozi yenu yatalipwa mimi
nafunga na kusali
BRIDGE
Imba roma Imbaaa
Imba roma Imbaaa,
Imba roma Imbaaa,
VERSE 1
Mungu wa paul ndio mungu wadaudi,
Na ndio mungo wa John Mnaemuita
Yohana wa wayahudi,
Mwanangu alimuuliza mama “Baba
lini atarudi”?,
Na mke wangu aliwaliza
kuwashukuru sinabudi,
Kwa hamu ya kuwa mimi sio tu
rapper,
Mimi ni baba wa Familia,
Nawatoto mahitaji nawapa ka
isemavyo biblia,
Kipi bora?Nife mseme nilikufa
kiharakati?,
Siogopi kufa ila nawaachaje
wanaobaki?,
Je! Nani kati yenu mwanangu
atampa malezi?,
wapi atapata mahitaji?,wapi atapata
mapenzi?,
Mama nae wapi atapata mahitaji na
malezi?,
Na report ya upelelezi vipi akiiteka
mtekaji?,
Je! Kaburi langu mtalipalilia majani,
Nimeumwa hamjakuja
niona,mnangoja mje msibani?,
Nilipokuwepo sikuwa najua hii
sanne,hii saanane,
Nilichohitaji nitoke mzima na ndugu
zangu tuonane,
Nimechapwa Mijeledi nimevunjwa
bila huruma,
Asante mliopaza sauti nimeiona
nguvu ya umma,
Siku tatu nimefungwa macho,mikono
imefungwa nyuma,
CHORUS
Nakwendaaa Zimbabwe(Zimbombo
Iyelele mama we),
Nakwendaaa Zimbabwe(Zimbombo
Iyelele mama we),
Nakwendaaa Zimbabwe(Zimbombo
Iyelele mama we),
Nakwendaaa Zimbabwe(Zimbombo
Iyelele mama we),
BRIDGE
Imba roma Imbaaa,
Oo,Eee Roma(sema baba wewe)
VERSE 2
Nasimama na naunga hoja kwenye
uchumi wa Viwanda,
Nanasi linauza msoga,tikiti linaoza
shamba,
Walioniteka hawakuja na noah,Ni
uvumi na visanga,
ila kutekanateka huu ni uhuni wa
kishamba,
Weka Bunduki chini si tubishane kwa
hoja,
Maana sote lengo letu kuijenga
Tanzania moja,
Mi sikuona nyota kwa shoulder,Ila
najua wewe ni soldier,
(Inshallah)Ulikuja mwenyewe ama
ulipewa order(hewallah),

Aminini siku hazigandi,wewe ni
yanga mimi simba,
Kuwa mpinzani sio dhambi,
Ipo siku mtawala atakuwa mpinzani,
Simba akichukua kombe sijui
atapona nani,
Na kuna mbunge alisema eti
nimemtukana mkuu,
Utahukumiwa na mkono wa
Mungu,kumshtakia aliye juu,
Kwanza lini,na kwanini mimi
nimtukane mjomba,
Umepewa gari ya wagonjwa,mi
Tanga wananijalia bomba,
Mimi mbarikiwa na nikifa nitaketi
kuume kwa baba,
na ni mtu wa watu that is
why,lilisimama bunge la bajeti,
Kunijadili mtanzania kuwa makini
pia makinikia nayatungia,
Mapini Piyaa,
Nilitabiri utaitwa Raisi kipindi
unaitwa waziri,
Japo maisha sio rahisi ila pongezi
unastahili,
waliosadiki roma ataonekana kabla
ya jumapili,
God bless imetimia injili nilio itabiri,
CHORUS
Nakwendaaa Zimbabwe(Zimbombo
Iyelele mama we),
Nakwendaaa Zimbabwe(Zimbombo
Iyelele mama we),
Nakwendaaa Zimbabwe(Zimbombo
Iyelele mama we),
Nakwendaaa Zimbabwe(Zimbombo
Iyelele mama we),
BRIDGE
Imba roma(ee ee roma),
Zimbomboo we simama(ee ee
roma),
sema baba wewe(ee ee roma),
iyelelel mama wewee(zimbombo we
simama),
watakwenda,uko zimbabwee,
ee ee roma(iyelele mama wewee)

Ommy dimboz cheche lyrics

OMMY DIMPOZ CHECHE LYRICS
Ninawaza ni yule yule au
nimeona mzimu
Ulivyonipita kwa kasi ya 4G
Nilikuja nikusalimu
Simu nilipotezaga
Umenishow madharau najuta
Nayakumbuka yale mapele
nakukuna
Umejisweka kwenye shuka
Unaona aibu leo mashallah
Marembo ya china unayovaa
Kwa huo mkorogo ulivyongaaa
Umejichubua chubu
Labda ushamba wangu ndo
uloniponza
Ningeomba appointment ndo
ungeongea
Yaani na ndala zangu
nilivyongojea
Nikuone usoni tu umenishushua
Shushue shushu
Hivi ndo umesahau
Cheche za upendo wangu
Kisa u star
Hivi ndo umesahau
Cheche za upendo wangu
Kisa u star
Na jina sishangai nilikosea
Umebadilisha unaitwa Queen wa
mapenzi
Na pia ulaghai umezoea
Kuwabadilisha wenye fedha me
mshenzi
Nayakumbuka yale mapele
nakukuna
Umejisweka kwenye shuka
Unaona aibu leo mashallah
Marembo ya china unayovaa
Kwa huo mkorogo ulivyongaaa
Umejichubua chubu
Labda ushamba wangu ndo
uloniponza
Ningeomba appointment ndo
ungeongea
Yaani na ndala zangu
nilivyongojea
Nikuone usoni tu umenishushua
Shushue shushu
Hivi ndo umesahau
Cheche za upendo wangu
Kisa u star
Hivi ndo umesahau
Cheche za upendo wangu
Kisa u star
Hivi ndo umesahau
Cheche za upendo wangu
Kisa u star
Hivi ndo umesahau
Cheche za upendo wangu
Kisa u star
Nenda salama
Oh mama nenda
Nenda salama
Nakuombeaa
Nenda salama
Oh mama nenda
Nenda salama
Nakuombeaa

Jux fimbo lyrics


Kwanza kabisa thanks to the Lord (to the Lord)
Uzuri wako sio wa kudownload (wa kudownload)
Unanishangaza kila siku me sichoki
Mwingine kama wee me sitaki
Wewe ndo fimbo yangu baby ongeza raha zaidi mamy
Nikuweke tu kabisa ndani
Kwangu wewe ndo burudani
Wewe kiboko yangu baby
Ongeza utamu zaidi mamy
Ni wewe tu tu baby
wewee
Il give you everything
unanivuraga

Il give you everything
unanivuraga

Il give you everything
unanivuraga

Il give you everything

Nitafunga moyo wangu sitoki
Funguo nikukabidhi wee
Il give you everything
Nitakupa muda wangu na ndoto
Chochote unachotaka
Il give you everything
Una rangi ya chocolate magnetic romantic
Jinsi ulivyo humble baby
So sexy wanivuta zaidi
Kurudi nyumbani late me sitaki
(kurudi nyumbani late me sitaki)
Sababu nina wivu moyoni
Ukiwa mbali
(sababu nina wivu moyoni)

Wewe ndo fimbo yangu baby ongeza raha zaidi mamy
Nikuweke tu kabisa ndani
Kwangu wewe ndo burudani
Wewe kiboko yangu baby
Ongeza utamu zaidi mamy
Ni wewe tu tu baby
wewee
Il give you everything
unanivuraga

Il give you everything
unanivuraga

Il give you everything
unanivuraga

Il give you everything

Nitafunga moyo wangu sitoki
Funguo nikukabidhi wee
Il give you everything
Nitakupa muda wangu na ndoto
Chochote unachotaka
Il give you everything
unanivuruga eeeh
unanivuruga vuruga
unanivuruga mama
unanivuruga eeh
unanichanganya
unanivuruga vuruga
sioni sisikii
unanivuruga eeeh
yani siwezi
unanivuruga vuruga
mama siwezi
unanivuruga eeeh
weeee
unanivuruga vuruga
unanivuruga eeeh
unaniiii........eeeeeh
unanivuruga eeh
unanivuruga vuruga
unaniii....vuruga
unanivuruga eeeh
unanivuruga vuruga
unaniiiivuruga
unanivuruga eeeh
unanichanganyachanganya
unanivuruga eeeh
unanivuruga vuruga

Friday, April 13, 2018

Timbulo ft Baraka Da Princen Usisahau

Umeninyanyasa kwa kutoa moyo natafuta
Bila ubaya usinitangazie vya ndani mama
Na isije kuwa vita
Sikuforce unipende usisahau
Nilikupenda sana
Siwezi kulipinga unafaham
Na ila nitunzie yangu madhaifu yangu ulioyaonaa
Japo sio wako tena aibu nitunzie
Halikuwa lengo langu
Tulivunje pendo me nawe
Najua sitoweza tena me naomba nitunzie
Mana niliahidi uhai na kifo hasa mapumziko nitakuwa nawe
ila mipango ya Mungu huwezi ipangua
Napowaona mashoga zako namc vituko nilipokuwa nawe
jaman mipango yake huwez ipangua
Nenda salama mama
we nenda usisahau
nilikupenda angalau
na madhaifu yangu unitunzie siri angalau
we nenda usisahau
nilikupenda angalau
na madhaifu yangu unitunzie siri angalau
Yani naiona michoro kwa mikono yako
Ila siamini kwa nini uliamua uende zako aha
tena naiona taswira ya ule wema wako aah
leo umegeuka ndo fimbo unanichapa mimi aha
basi moyo wangu nakupa zawad baki nao
nahisi ctopenda tena me naomba nitunzie
mana nilijitoa kimwili akili uhai na kifo ntakuwa nawee
ila mipango ya Mungu huwez ipangua
napowaona mashoga zako
namc vituko nilipokuwa nawe
jaman mipango yake huwezi ipangua
we nenda usisahau
nilikupenda angalau
na madhaifu yangu unitunzie siri angalau
we nenda usisahau
nilikupenda angalau
na madhaifu yangu unitunzie siri angalau
ukitaka nirudie
ukiniona sifai nichunie
ama vipi unipuuze
ukiniona popote nipotezee
ukitaka nirudie
ukiniona sifai nichunie
ama vipi unipuuze
ukiniona popote nipotezee
aaaaaaah aaaaaaah
aaaaaaah aaaaaaah
aaaaaaah aaaaaaah

lover boy Barnaba lyrics

Akiombwa pesa Hataki
Na penzi langu amelidhihaki
Amekubali na kubaki
Haki ya Mungu jama simuachi
Kwenye life watu wengi wanafake
Ile wanyuma aliseparate maisha
Siyo lazima kudate na videnti Come on
Kama ni gari kwako nimefunga breki
Na pendo langu kwako halielezeki
Kwako si hate wala si fake siko true
And prie na warembo fake
Najua ushaumizwa mengi sana
Ushakutana na ma heart breaker
Ila siyo mimi I am a goodboy
Walishazichezea hisia zako
Mpenzi wangu mwisho wa siku wakakuacha ukilia
Mapenzi ukachukia
Ila sio mimi am a good boy
I am good boy I am boy good boy good boy babe
Don’t call me lover boy
Don’t call me lover lover lover boy babe
Don’t call me lover boy
I am innocent babe
Odada dey
Don’t call me lover boy
Don’t call me call me call me lover boy babe
Don’t call me lover boy
I am innocent babe
Odada dey
Noooo ooh babe
Nalalia gunia sio kama napenda
Nooo ooh
How come mpenzi wako eti unamuhudumia(eeh)
Wengine wanakuja kumtumia (Ebo)
Hamna love siku hizi wananunua eeeh
Washenzi bora wamalize na kutulia
Wakimaliza waishi kukutangazia
Eti yule binti si tumemtumia eeeh
Walishazichezea hisia zako
Mpenzi wangu mwisho wa siku wakakuacha ukilia
Mapenzi ukachukia
Ila sio mimi am a good boy
I am good boy I am boy good boy good boy babe
Don’t call me lover boy
Don’t call me lover lover lover boy babe
Don’t call me lover boy
I am innocent babe
Odada dey
Don’t call me Lover boy
Don’t call me call me call me lover boy babe
Don’t call me lover boy
I am innocent Babe
Odada dey
Akiombwa pesa Hataki
Na penzi langu amelidhihaki
Amekubali na kubaki
Haki ya Mungu jama simuachi
you are my everything
Akiombwa pesa ye Hataki
Na penzi langu amelidhihaki
Amekubali na kubaki
Haki ya Mungu jama simuachi
Babe you are ma everything
You are my only one
Odada dey
Don’t call me lover boy babe
Don call me lover boy Matali

nabembelezwa Barnaba lyrics

Muda mwingine utanikuta na mawazo
Kwasababu nakumiss
Muda mwingine chozi lanidondoka mimi
Kwa pendo langu la dhati
Muda mwingine nahofu..
Kwa vile unavyonipa ukimpa mwingine
Muda mwingine shahuku
Kwa vile unavyon’jali ukimjali mwingine, baby
Nikilia nabembelezwa kwa upendo
Nae akinuna namliwaza kwa vitendo
Je wewe ushawahi kubembelezwa?
Mwenzio mimi nishawahi kubembelezwa nadekezwa
Aah aahaa nabembelezwa
Ooh oohoo nabembelezwa
Mapenzi si mchezo naamini
Wapendanao huwa pacha
Vitendo na mawazo maishani
Huwezi kutofautisha
Fitina si kigezo sononinyi ehee!
Ishakuwa gumzo mtaani
Watu wanatengeneza picha
Nikilia nabembelezwa kwa upendo
Nae akinuna namliwaza kwa vitendo
Je wewe ushawahi kubembelezwa?
Mwenzio mimi nishawahi kubembelezwa nadekezwa
Aah aahaa nabembelezwa
Ooh oohoo nabembelezwa
Simuoni mwingine duniani
Wa penzi la kweli kama yeye
Sijawa punguani akilini
Niliemchagua ni yeye
Najua mtasema sema
Na mwisho wake mtulie
Mengi mtachonga sana
Ila nitabaki na yeye eh aa
Mamama mamama mamaa
Mama mamama (eeh!)
Mamama mamama mamaa
Tutu tururutu
Nikilia nabembelezwa kwa upendo
Nae akinuna namliwaza kwa vitendo
Je wewe ushawahi kubembelezwa?
Mwenzio mimi nishawahi kubembelezwa nadekezwa
Aah aahaa nabembelezwa
Ooh oohoo nabembelezwa
Nikilia nabembelezwa kwa upendo
Nae akinuna namliwaza kwa vitendo
Je wewe ushawahi kubembelezwa?
Mwenzio mimi nishawahi kubembelezwa nadekezwa
Aah aahaa nabembelezwa
Ooh oohoo nabembelezwa

Alikiba wife was dunia lyrics

Mwanzo nilikuona,
Sijui nilikuona na nani eeh
Kwani najitahidi niwe na wewe yah we
Kama ni ujanja
mwenyewe unajua me sina
Wololo wololo wololo
Zile porojo zangu zinapokuona zinazima
Yaani nikikuona me aah ,
Kichwa kinaniuma
Ata mwili wangu ooh
Aah yawe eeh
Macho yangu yametoa machozi sana,
Lakini moyo wangu una furaha,
Ya kukuona,wewe kila siku,
Kila siku iendayo kwa mungu,
Ona machozi yatoka eeh,
Bila ata kuyavuta
Nakupenda wewe ,
Nakufikiria wewe
Lini nitakuwa na wewe
Mimi nakupenda wewe
Nakupenda wewe ,
Nakufikiria wewe
Lini nitakuwa na wewe
Mimi nakupenda wewe
Wife wa dunia nakupenda
Huku nagumana
Rhumba napiga na nani moyo wangu
Maana naona naona picha hata kama siwezi soma
Navuta hisia aah nalia kwani inaniuma sana
Moyo wangu unaumia kwani inaniuma sana
Ooh me nakupenda sana ila wewe hujui kabisa
Nna moyo unangoja unangoja
Lakini najua hautakuja
Na bado naamini
Utakuja uwe nami kimaisha
Nna moyo unangoja unangoja
Lakini najua hautakuja
Na bado naamini
Utakuja uwe nami kimaisha
Nna moyo unangoja unangoja
Lakini najua hautakuja
Na bado naamini
Utakuja uwe nami kimaisha
Nna moyo unangoja unangoja
Lakini najua hautakuja
Na bado naamini
Utakuja uwe nami kimaisha
Dole dole
Dole gumba
Dole dole
Dolemifamirado
Doramifasolatido

Thursday, April 12, 2018

Dear gambe Belle 9 lyrics

Dear gambe umefanya maisha yangu yayumbe
Mi nimpambe wako leo nimekutumia ujumbe
Mi ndugu yako nipe ukweli usinifumbe
Uwepo wako karibu vp unafanya ni yumbe
Kila muda kwene friji unajipoza,
Mi domo zege nikisha kutumia natongoza
Nalewa usiku kucha jua lina chomoza
Nasindikiza na supu asubuhi njema unaniongoza
We ni nani unaiyendesha hii akili
Ninikiwa na mawazo unanitoa stress nisifikiri
Ukiwa mezani chupa kadhaa sijiwezi
Mpaka mtaani washanipa jina jingine la mlevi
Unafanya nafubaa mi mwenzako
Hadi kazini naiba chapaa nije kwako
Dear gambe mitaa ipo ukweli wako
Nakila ugomvi wa baa kwanini chanzo ni chako
I wanna know
Umenipa nini
I don’t know
Sikuachi kwa nini
I wanna know
Umenipa nini
I don’t know
Sikuachii kwa nini eeh
Unafanya ndoa nyingi zinavunjika
Hasi-chanya we na msosi nikichanganya na tapika
Haukatai kila mteja anae kuarika
Unafurahi na ubaridi wa maji unachirizika
Likitokea tatizo we ndo kimbilio
Nakutinga nakua muongeaji bila mpangilio
Nasahau kinga tamaa ndo kimbilio
We ni funda la ziada unaniumbua mi mwenzio
Unalainisha koo kifikra unanibembeleza
Unani-control sijasoma naongea hadi kingereza
Ushaniweza nani aliyekutengeneza
Na nini aliwaza nawe ni mbaya kwa wasiojiweza
Sa najinyea nanilikunywa kwa furaha
Najikojolea unaniathiri na ninatoa chapaa
Dear gambe mitaa ipe ukweli wako
Nakila ugomvi wa baa kwanini chanzo ni chako
I wanna know
Umenipa nini
I don’t know
Sikuachi kwa nini
I wanna know
Umenipa nini
I don’t know
Sikuachii kwa nini eeh
Dear gambe unanichanganya sana
Unamajina mengi mpaka ya mbuga za wanyama
Nashangaa mengine yanatia kinyaa
Mfano mzuri ni gongo, chimpumu hata chang’aa
Kwenye ubongo umetawala kila sector
Niukweli siwezi kuwa nawe bila pesa
Watu wengine wana kula ada kisa wewe
Unawafanya wanasahau ibada
Na juzi juzi tu nimepata habari
Kuna mwana ulikua nae ameshapata ajali
Dear gambe nikweli unanichosha
Napenda kuwa nawe ila nyumbani mboga wanakosa
Nawaza jinsi gani ntakuacha
Mpaka wazalendo wa dini baadhi kwako wamedata
Hakuna utata, poa sasa najikata
Kapuku nikizipata ntakufata
I wanna know
Umenipa nini
I don’t know
Sikuachi kwa nini
I wanna know
Umenipa nini
I don’t know
Sikuachii kwa nini eeh
I wanna know
Umenipa nini
I don’t know
Sikuachi kwa nini
I wanna know
Umenipa nini
I don’t know
Sikuachii kwa nini eeh

dume suruali mwanafa lyrics

We ni dume suruali kaa mbali nami
Mbali nami
Kama dume suruali kaa mbali nami
Huendani nami
Falsafaaaa
Who dat who dat hii ni salamu
Na ufahamu kama unauza mapenzi si kwa Binamu
Huna haja ya kusubiri hii ni hukumu
Hakuna kitu utapata utangoja kama askari wa zamu
Dume suruali
Dume kaptura
Shauri zako ilimradi sipati hasara
Usione utani mimi siongei hata kwa ishara
Utaniambia nini mpaka unigeuze Fala
Kwanza naskia hongo zinaleta mkosi
Senti tano yangu hugusi hata ukiongea kidosi
Yabaki mapenzi tusileteani ujambazi
Hata upige sarakasi utachonga viazi
(Bahili kama nini)
Ndo mnavyosema
Na ukiniomba kesho hunisikii tena
Kwani unauza nini dada hunitakii mema
We ni dume suruali kaa mbali nami
Mbali nami aaah
Kama dume suruali kaa mbali nami
Huendani nami
I want that Gucci
Fendi
Spend all on a girl like me
My name is Vee Money (money)
Spend all on a girl like me
Nihonge nanunua nini kwanini yani
Kuna kipi nisichokijua ina TV ndani
Usiulize ntakupa nini dada
Piga moyo konde
Viuno vingi kama mwari wa kimakonde
Usipende ela kama mfuko
Au fanya unavyofanya upate zako
Vishawishi vingi binti sema na moyo wako
Na ujifunze pesa zinauza utu wako
Tajiri mtata kama Sallah
Zipo ila sitoi
Sio Bahiri mimi balaa
Unapenda ela zangu nami nazipenda pia
Kila mtu abaki na zake
Bye babe tutaongea
(Mwanaume wa hivyo wa nini sasa?)
Ndo mnavyosema
Na ukiniomba kesho hunisikii teyna
Kwani unauza nini dada hunitakii mema
We ni dume suruali kaa mbali nami
Mbali nami aaah
Kama dume suruali kaa mbali nami
Huendani nami
I want that Gucci
Fendi
Spend all on a girl like me
My name is Vee Money (money)
Spend all on a girl like me
Aje aje
Mi mtoto flani ghali
Yeaah
Nihonge gari
My sweet sweet babe
Wanna see u today
Unipeleke Paris
Aje aje
Njoo nikupe TBT
Yeaaah
Siyo kwa enzi ya Magufuli
Zali lilikuwa long siku hizi hakuna la mentali
Nikikuhonga na ukaniacha ntakujia usingizini
Naepusha shari
Matatizo yote ya nini?
Hakuna kipya chini ya jua
Hata nsiyoyafanya nshayasikia
Ningekuwa muhongaji ningeshafulia wangu
Mademu wangu wa zamani
Wote wangekuwa maadui zangu
(Mwanaume hovyo wewe)
Ndo mnavyosema
Na ukiniomba kesho hunisikii tena
Kwani unauza nini dada
Hunitakii mema
(Baki na hamu zako)
We ni dume suruali kaa mbali nami
Mbali nami aaah
Kama dume suruali kaa mbali nami
Huendani nami
I want that Gucci
Fendi
Spend all on a girl like me
My name is Vee Money (money)
Spend all on a girl like me
Baba bure huyu
Hata Pantoni lina staff
Unamwambia nani sasa
Unamwambia nani sasa

Mapozi mr blue lyrics

Nifanye nini ili unielewe
Nikupe nini ili niwe na wewe
Au majumba ya kifahari
Ili twende home tukajivinjari
Unajua sababu sina pesa
Ndo dhumuni la kunitesa
Unajua sababu sina pesa
Ndo dhumuni la kunitesa
Basi nieleze kabisa, kwamba ntapata au nitakosa
Uje unieleze kabisa, kwamba ntapata au nitakosa
Oh ooh, au uje unieleze labda mimi sifai
Au uje uniambie
Nataka nielewe wapi umejifunzia mapozi (mapozi)
Ili nipate tambua unapojifunzia hiyo course (hiyo course)
Maana nikifikiria huwaga natokwa machozi (machozi)
Au sina hadhi ya kuwa wako mpenzi
Basi nieleze usinifanyie mapozi
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Nataka nielewe wapi umejifunzia mapozi (mapozi)
Ili nipate tambua unapojifunzia hiyo course (hiyo course)
Maana nikifikiria huwaga natokwa machozi (machozi)
Au sina hadhi ya kuwa wako mpenzi
Basi nieleze usinifanyie mapozi
Nikilala sipati usingizi
Nikifikiria natokwa na machozi
Basi laazizi usiniletee mapozi
Nsijekufa sababu ya mapenzi
Najaribu kukuacha siwezi
Kwenye mapenzi labda umeniwekea hirizi
Najaribu kukuacha siwezi
Kwenye mapenzi labda umeniwekea hirizi
Basi nieleze nsije nkapata uchizi
Nkajakufa sababu ya mapenzi
Uje unieleze nsije nkapata uchizi
Nkajakufa sababu ya mapenzi
Oh ooh, au uje unieleze labda mimi sifai
Au uje uniambie
Nataka nielewe wapi umejifunzia mapozi (mapozi)
Ili nipate tambua unapojifunzia hiyo course (hiyo course)
Maana nikifikiria huwaga natokwa machozi (machozi)
Au sina hadhi ya kuwa wako mpenzi
Basi nieleze usinifanyie mapozi
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Ni neno moja ndo nalotaka tu
Unanipenda, haunipendi basi nijue moja tu
Kuliko kulia na mapenzi daily
Kuja home kwenu kupiga misele
Wakati we umeweka pesa mbele
Au sina hadhi Niambie tu
Kisa sina kazi ndo unitese du
Ah, ruksa mami tukapime HIV
Vuta ndani njoo tuset VIP
Basi cheka tena nione zako dimples
Sura nzuri mamii haina hata pimples
Nini unataka zaidi ya penzi
Mikoko boma ya Bima na Benz
No leta hapa mambo ya kishenzi
Nachohitaji tuwe close, uwe wangu mpenzi
Nataka nielewe wapi umejifunzia mapozi (mapozi)
Ili nipate tambua unapojifunzia hiyo course (hiyo course)
Maana nikifikiria huwaga natokwa machozi (machozi)
Au sina hadhi ya kuwa wako mpenzi
Basi nieleze usinifanyie mapozi
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe
Mapozi nawe
We na mapozi nawe

Tuesday, April 10, 2018

Aslay - Naenda Kusema

Eyo
Are you ready for Mr. Indian
Sulesh
Poteza Records
Tena inaniuma kwa sana (leo)
Nikitoka naenda kumwambia mama  (leo)
Tena inaniuma kwa sana (leo)
Nikitoka naenda kumwambia mama (leo)
Naenda kusema kwa mama
Kusema
Naenda kusema kwa mama
Kusema
Wewe
Wewe
Mwanakidagala mkubwa ngalawa we
Ooh
Nyumbani mama umemwachia buku
Kishtobe bar umemnunulia kuku
Ukirudi nyumbani mikono mitupu
Tena kurudi kwako ni usiku
Inaniuma nasema
Sinyamazi hata uninunulie nyama
(Akununulie nani nyama utakula dagaa)
Nikitoka naenda kumwambia mama
(Ah usifanye ivo)
Nasema nasema
(Usifanye ivo mwanangu)
Nasema nasema
(We mtoto wa kiume bwana doko doko nini)
(Shetani we)
Tena inaniuma kwa sana (leo)
Nikitoka naenda kumwambia mama  (leo)
Tena inaniuma kwa sana (leo)
Nikitoka naenda kumwambia mama (leo)
Naenda kusema kwa mama
Kusema
Naenda kusema kwa mama Kusema
Leo nyumbani patachimbika
Nitamwambia hadi sehemu uliyotoka
Nasema leo mbona patanuka
(Unga nanunua mimi unanunua wewe)
Namweleza mama pamoja na kaka
We baba mbona si unatutesa
Unaondoka hutuachii hata pesa
Namwambia yote yako makosa
(Eeh utahama humu)
Pengine utakuja kuyaacha
(Utamponza mama ako muende Kiambankumbe)
Tena inaniuma kwa sana (leo)
Nikitoka naenda kumwambia mama  (leo)
Tena inaniuma kwa sana (leo)
Nikitoka naenda kumwambia mama (leo)
Naenda kusema kwa mama
Kusema
Naenda kusema kwa mama
Kusema
(Nyie watoto mliozaliwa wakati huu wa Jakaya yupo madarakani mna shida nyie kila kitu mnajifanya mnajua)
(Usiku mrefu mwanangu)
Nasema nasema
Inaniuma sana
Kila siku nyumbani kugombana
Nasema nasema
Inaniuma sana
Kila siku nyumbani kugombana
Oiye eh eh
Inaniuma sana
Oiye eh eh
Kila siku kugombana
Oiye eh eh
Inaniuma sana
Oiye eh eh
Kila siku kugombana
Poteza Record
Oiye eh eh
Mkubwa na Wanae
Oiyee eh eh
Mr. Indian
Sulesh
Dogo Aslay
Baraka zako hizi
Sign off

AY ft Marco Chali - Party Zone

Skia hii ndio fact usiact like you don’t know
The way u treated me ulishanipa somo
Skia hii ndio fact usiact like u don know
The way u treated me ulishanipa somo

Uliniona sifai
Ukaniacha ukaenda mbali
Dunia imekuonyesha
Sa unataka urudi no
Maisha haya safari
Uliniacha wakati nakuhitaji
All I wanna do
Niziache stress zi-go

Dance tonight
Drink tonight
Smoke tonight
Nijipe raha tuu
Nihave fun tonight
Cruise tonight
Blast tonight
Stress zigo

Party zone
Party zone
Party zone
Party zone
Party zone
Party zone
Party zone
Party zone

Skia hii ndio fact usiact like you don’t know
The way u treated me ulishanipa somo
Skia hii ndio fact usiact like u don know
The way u treated me ulishanipa somo

Hands up in the air (Pa pa pa pa party zone)
Maumivu yashapotea (Pa pa pa pa party zone)
Hands up in the air (Pa pa pa pa party zone)
Maumivu yashapotea (Pa pa pa pa party zone)

Maisha yanasonga naishi simple
Siku zinakwenda nishatua mzigoo
Yale uliyonitendea nishajiondoa kwako
Long time nishajiondoa nawaachia tu hao nishaanza new life

Uliniacha without sayin bye
Ulini-fa-nya niumie
Maumivu yote kwangu yashafly
Nipe nafasi nijiachieee

AY, Cha Cha Chali

Niache nienjoy my life
Nawe enjoy ya’ life
Sleep all day up all night
Nishazoea New Life
Huna tena nafasi
Niache nienjoy my life

Party zone
Party zone
Party zone
Party zone
Party zone
Party zone
Party zone
Party zone

Zile pain, damages, dharau, kebehi, attitude
Zinanifanya moyo wangu usitamani kabisaa yaani we hurudi
So nahitaji space
Nafasi yako ishawekwa desh
Handle ya’ business
Before ya’ business handles you
Wacha mi nienjoy tu
Kinyume cha pain (happy tu)
Maumivu tupa kule
I’m happy now

Dance tonight
Drink tonight
Smoke tonight
Nijipe raha tuu
Nihave fun tonight
Cruise tonight
Blast tonight
Stress zigo

Party zone
Party zone
Party zone
Party zone
Party zone
Party zone
Party zone
Party zone

Maisha yanasonga naishi simple
Siku zinakwenda ni shatua mzigo
Yale uliyonitendea nishajiondoa kwako
Long time nishajiondoa nawaachia tu hao nishaanza new life

AY ft Della - Asante

Si vibaya
Siku moja ukikaa na umpendae
Na kumwambia (asante)
Yeah!
Hah ah ah kwa yote aliyokufanyia
(Asante) mko wote long time
Mnapendana mnaheshimiana

Na na
Na naomba leo unipe nafasi
Unipe quality time ili wasitughasi
Nikueleze kitu muhimu toka kwa yangu nafsi
Nitazame straight machoni usiwe na wasi
All the time
(Unanifanya mi nitabasamu)
Talk to me girl
(You make my life niyaone matamu)
Hell yeah
(Nnavyoku-feel)
(Ujue vile nnavyoku-feel)
Yeah it’s been a while mi na we tuna-survive
Popote tupo wote
Tupo happy kama vile butterflies
Kwa mapenzi matamu
Yanaonifanya kila saa mi nitabasamu
Umenipa furaha kweli umenipa raha
Unanifanya mwenzio nisahau mpaka karaha
Nimepitia mambo mengi sana nawe
Mengine mazuri mabaya
Ndo maana nasema

Asante
Kwa mapenzi tele yako (juu yangu mi)
Siwezi kukuacha
Siwezi kukuangusha niamini
Asante
Kwa mapenzi tele yako (juu yangu mi)
Siwezi kukuacha
Siwezi
I believe you’ll never let me down

Kwangu we ndo taa
We ndo unanifaa
Kwako nishakaa
Mungu atuepushie balaa tuzidi songa right
Moyoni we ni ice cream
Unanipoza usiache na kunipa utamu
I’m sorry kwa yote niliyokukosea
Na-struggle all the time ili nisije potea
Sweetheart
Know that I care about you
Bado tuna long journey witchu my boo
Sometimes (sometimes)
Nakuwa arrogant,
Nakukosea mpaka kuniona hutaki
Najiona mwenye bahati ingawa wengine hawataki
Chance kwangu hawapati twende heart to heart
I trust you believe in you
We ndo my boo
We ndo unanifanya nikwambie hivi
Una taste kwenye nguo una taste kwenye mapishi
Kwenye game we ndo queen haina ubishi

Asante
Kwa mapenzi tele yako (juu yangu mi)
Siwezi kukuacha
Siwezi kukuangusha niamini
Asante
Kwa mapenzi tele yako (juu yangu mi)
Siwezi kukuacha
Siwezi
I believe you’ll never let me down

Mapenzi yako
Mapenzi yako
(Love you love you love you love you love you)
Vile unavyonijali
Vile unavyonijali
(I’ll love you love you love you love)
We were meant to be together
No one else could do it better
Than you boy
Than you boy

Asante
Hell yeah
Love’s in the air
Asante inatambaa coast to coast
Karibisheni furaha ndani yenu
Si kugombana au kukomoana right
Right
Na kama uko nae karibu
Fanya kum-kiss
Na kama uko nae mbali
Mwambie umem-miss
Yeah
Woo

Akonyirani tabu nilizopitia ngavuni
Milele we ni wangu
Wenye kununa na wanune

Asante
I can’t live without you
Baby
We were meant to be together

Chege -- Mwanayumb

Oyaeeh
Oyaee (check it out!), oyaaee
It’s A Fish Crab
Oyaeeh (Chege!), Mwanayumba
Oyaeeh (It’s a Fish Crab presentation), oyaaee
Oyaee, Mwanayumba
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Ujumbe wangu ni mfupi tu
Nawaombeni ndugu na jamaa
Popote pale mlipo oo
Msikiapo Chege naimba wimbo huu
Nahangaika kumtafuta, kipenzi changu Mwanayumba aah
Popote pale mtapomuona mwambieni bado nampenda
Sijui kama yuko Kenya, sijui labda yuko Dar Es Salaam
Sijui kama yuko Kigoma, mwambieni bado nampenda
Najua bado ananipenda, na mimi bado nampenda aa
Sijui nani kamchanganya Mwanayumba hayupo tena nami
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mwanayumba kwani uko wapi nikufate mrembo ooh
Kama uko kwa mama yako mdogo nikufate Mabibo ooh
Mwanayumba kamwe bila wewe sitoweza mpenzi
Nimefunzwa kupenda nisiache tuwe enzi na enzi iii
Sasa wapi ulipokwenda mpenzi umeniacha na majonzi
Sikuoni tena mbele usoni nakuota kwenye njozi
Usiku navuta shuka napapasa sikupati
Aahaa aa aaah aa aah
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona, mkimuona
Mkimuona mleteni
Mkimuona, mkimuona
Mkimuona mleteni
Mkimuona yule pale, mkimuona mleteni
Mkimuona yule pale, mkimuona mleteni
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Mkimuona Mwanayumba mwambieni bado nampenda
Ee iye iye mwambieni bado nampenda
Yee iye iye mwambieni bado nampenda
Ee iye iye mwambieni bado nampenda
Yee iye iye mwambieni bado nampenda
Oyaeeh, oyaee
Oyaeeh Mwanayumba
Oyaeeh (check it out!), oyaee
Oyaeeh Mwanayumba

Ray C ft. Chidi Benz - Nihurumie.

Nihurumie wangu eh (nihurumie wangu eh)
Usiniache wangu eh (usiniache wangu eh)
Utanitesa wangu eh (utanitesa)
Ukiniacha utanionea
Nihurumie wangu eh (nihurumie wangu eh)
Usiniache wangu eh (usiniache wangu eh)
Utanitesa wangu eh (utanitesa wangu eh)
Ukiniacha utanionea
Miaka mingi nimeishi na we
Toka kwenye shida mpaka kwenye raha
Laazizi leo usijegeuka
Ukafanya wenzangu wakanicheka
Nimeishi nawe, nimekupa raha
Bila kuwa nawe sioni raha
Nakuthamini we ni bora kwa mimi
Amini siwezi kudata na wa mjini
Mpaka milele sikuachi
Mi na wewe kama kidevu na mustache
Nihurumie wangu eh (nihurumie wangu eh)
Usiniache wangu eh (usiniache wangu eh)
Utanitesa wangu eh (utanitesa)
Ukiniacha utanionea
Nihurumie wangu eh (nihurumie wangu eh)
Usiniache wangu eh (usiniache wangu eh)
Utanitesa wangu eh (utanitesa wangu eh)
Ukiniacha utanionea
Siku dakika zimepita
Mi siwezi kukuchoka
Penzi letu uhakika
Udhu isiyochomoka
Usingizi wangu ni mimi
Huwezi lala bila ya wewe
Bila kuwa nawe mi sioni raha eh
Nami siwezi ndo maana
Siwezi kujaribu kukukana (braa!)
We na mi na mi na wee
Niko nawe kwenye msiba na sherehe
Nihurumie wangu eh (nihurumie wangu eh)
Usiniache wangu eh (usiniache wangu eh)
Utanitesa wangu eh (utanitesa)
Ukiniacha utanionea
Nihurumie wangu eh (nihurumie wangu eh)
Usiniache wangu eh (usiniache wangu eh)
Utanitesa wangu eh (utanitesa wangu eh)
Ukiniacha utanionea
Ukiniacha utanionea
Ukiniacha utanionea

Dayna Nyange - Angejua

Natamani, nikitaka lala
Basi nijilaze kifuani mwake yeye
Natamani, nikifumbua macho
Awe wa kwanza nione sura yake yeye
Alisema babu usimtusi mamba, hujavuka mto
Akasema bibi usidharau kijiko, ukipata mwiko
Wanaopenda usiwaone wazembe
Kukupenda usinione mi mzembe
Kama mapenzi pesa kwa kipato chako
Ningeondoka
Kama mapenzi raha kwa hizo kero zako
Basi ningechoka
Naomba Mungu uh
Nipate nafuu
Utulie kwangu
Maana ninakata kitunguu uh
Macho yako juu
Machozi kwangu
Angejua
Mimi ndo n’naejua thamani yake
Angejua
Asingedanganywa akaumiza moyo wake
Angejua
Mimi ndo n’naejua thamani yake
Angejua
Asingedanganywa akaumiza moyo wake
Kama pendo lingekuwa jangwa
Nami ngamia ningepita kimya
Ila yanachoma moyo, eh
Maumivu yangekuwa taa
Ningeshazima
Hasira tabu ya moyo, eh eh
Nasikia, sikia maneno tu mitaani
Na kila wakisema nahisi nasemwa mimi
Eti “ukiona umependwa basi jua
Mjinga katendwa”
“Ukiona umetendwa basi jua
Kuna mjanja kapendwa”
Sitajuta na sitalalama popote
Ntasema na moyo wangu (sema na moyo wangu)
Au labda, niulize tu Mola
Lipi fungu langu (fungu langu)
Naomba Mungu uh
Nipate nafuu
Utulie kwangu
Maana ninakata kitunguu uh
Macho yako juu
Machozi kwangu
Angejua
Mimi ndo n’naejua thamani yake
Angejua
Asingedanganywa akaumiza moyo wake
Angejua
Mimi ndo n’naejua thamani yake
Angejua
Asingedanganywa akaumiza moyo wake
Basi aseme
Kama nimekosea, anisamehe
Asiniteme
Maana naona mapema tuendelee
Basi aseme
Kama nimemkosea, anisamehe
Asiniteme
Maana naona mapema tuendelee
(Free Nation!)

Dayna Nyange ft Billnass - Komela

Hakuna zawadi nzuri kama upendo
Hakuna ahadi nzuri kama vitendo
Kunijali hata nkiwa sina
Ilihali hata bila jina
Kila nikiwaza
Unanifanya mi nikose nakosa raha
Kwa vile nakudata unanifanya niwe mnyonge
Na naumia rohoo nakuwaza
Bila wewe sina tabasamu ooh
Nakugonza bila wewe sina tabasamu
Nakudata data natamani ila moyo wangu unasita
Nananachowaza waza ntaonaje na moyo umejificha
Oooooh oooh
Nyomela nyomela yote sababu ya pendo lako ohohoo
Nyomela nyomela hakika kwako nimesettle ohohoo
Konko komela ndani kwa ndani nikomele ohoo
Babe komela ndani kwa ndani nikomele
Huenda ikawa unanipenda kuliko unavyodhani
Maana unahofia kutendwa
Unaishia kutamani
Unahitaji faraja na kwenda faragha pia
Sitohitaji darasa ili ujue nakuzimia
Mi siamini niko peke yangu na wewe uamini
Juu ya nafsi na upendo wangu
Nipe nafasi nzuri ya moyo wako
Nione fahari tu mi niwe wako
Twende mbali yani kila dinner
Mida flani mida mida ya midnight
Moyo wako moyo wako
Moyo wako moyo wako
Oooooh oooh
Nyomela nyomela yote sababu ya pendo lako ohohoo
Nyomela nyomela hakika kwako nimesettle ohohoo
Konko komela ndani kwa ndani nikomele ohoo
Babe komela ndani kwa ndani nikomele
Show me what you got
show me what you got
show me what you got
(Show me what got ma)
Give me what you got
Give me what you got
Give me what you got
(Give me what got ma)
Show me what you got
show me what you got
show me what you got
(Show me what got ma)
Give me what you got
Give me what you got
Give me what you got
(Give me what got now)
Oooooh oooh
Nyomela nyomela yote sababu ya pendo lako ohohoo
Nyomela nyomela hakika kwako nimesettle ohohoo
Konko komela ndani kwa ndani nikomele ohoo
Babe komela ndani kwa ndani nikomele ooooh ohoo
Oooooh oooh
Nyomela nyomela yote sababu ya pendo lako ohohoo
Nyomela nyomela hakika kwako nimesettle ohohoo
Konko komela ndani kwa ndani nikomele ohoo
Babe komela ndani kwa ndani nikomele ohoo ohoo
Ohoo ohooo
Ohoo ohooo
Ohoo ohooo