Friday, September 2, 2016

Inter Milan showing signs of progress
Few years ago the decline of Italian football giants Inter Milan were a shadow of themselves. Since Mourinho leaving for real Madrid numerous managers have come and went.
 Seven managers have taken charge of Inter in the past six seasons. Having tried and failed to restore the club to winning ways.
Inter have been in steady decline since Mourinho’s exit.
Lack of  replacing departing stars, too many managerial changes . Great players have left the club
  Cambiasso,  Samuel, Diego Milito and  Zanetti , Eto’o, Sneijder who was linked with a move to Manchester United.  Lucio and Thiago Motta .
Since then inter Milan have struggled to attract players

 With transfer market coming to a close.
 Ever Banega, who arrived from Sevilla ,  Antonio Candreva  ,young players such as  Gabriel Barbosa and Joao Mario . Brozovic being linked with a move to Chelsea will also big lose sell him.
Mauro Icardi  no interest in leaving Inter we are close to having a  team that can compete in serie a  .

Thursday, September 1, 2016

Sam sina raha lyrics

Kila siku mi naumia na mawazo wapi nitampata mkee mwema maishani Najifuta machozii Nikasahau nilivyo tendwa zamani
Naona kama ngege waa moto mazuri kuwa nawe maishani
Nacho mwambia ananielewaa Napenda animpenda Sito mwaacha asilani Gari pesa sinaa Ndio maana nakuita mchuba We wa gari na nyumba ama pesa ndio chumba Bora unieleze mchumba Mi si mgeni wa mpenzi mwenzako Maumivu naya tambua Nipe nikupu ndio ishara ya upendo Haiwezekani daily unanizingua Nisipokuona sina raha eeh Naumia namawazo Sema Kama haunipendi Ikiwa haunipendi Haiwezekani we daily unanizingu We nimgonjwa na unamwitaji mtabibu Mi ni daktari ki maradhi ntakutibu
Listen to any song with synced 

Wednesday, August 31, 2016



alikiba, Chege - starehe gharama

uhhhhh
uhhhhhhhhhhh

usisikie la kuambiwa jua starehe gharama
kamwa usiwafate wala bata ukiwa na hela ya ndama
usinifate kwenye starehe usije ukanipa lawama
ntakufwata huko kwenye ku'boost ikiwa gari lako limekwama
usinihonge bia kama hujaja na mimi
ushajijua huna huku umefwata nini
mi usinipe lawama pindi nikikupiga chini
hebu nikumbushe mara ya mwisho nlikuja

oya oya kaa ukijua starehe gharama
oya oya kaa ukijua starehe gharama
oya kaa ukijua kwambaaa
oya kaa ukijua kwambaaa
oya oya kaa ukijua starehe gharama
oya oya kaa ukijua starehe gharama
oya kaa ukijua kwambaaa
oya kaa ukijua kwambaaa

usipende mademu wa bure ujue wana madhara
usipende na pombe za bure ujue zina madhara
ushajua hela hauna basi usitoke we lala
usikae mpaka disco liishe ili upande daladala
mtoto wa kike kavamia bia kilichomvuta
mtoto wa kiume kaponzwa na bia kashika ukuta
kaja na hela msiba club we kilichomkuta
onesha wowowo TINGISHA KAMA IMEKWISHAAA!!!

oya oya kaa ukijua starehe gharama
oya oya kaa ukijua starehe gharama
oya kaa ukijua kwambaaa
oya kaa ukijua kwambaaa
oya oya kaa ukijua starehe gharama
oya oya kaa ukijua starehe gharama
oya kaa ukijua kwambaaa
oya kaa ukijua kwambaaa


Onaaaaa, alivyoumbuka!
onanaaa, kimemshuka!
mmwemmwacha kalewa kazima kashtuka kumekucha!
Onaaaaa, alivyoumbuka!
onanaaa, kimemshuka!
mmwemmwacha kalewa kazima kashtuka kumekucha!
*
*

oya oya kaa ukijua starehe gharama
oya oya kaa ukijua starehe gharama
oya kaa ukijua kwambaaa
oya kaa ukijua kwambaaa
oya oya kaa ukijua starehe gharama
oya oya kaa ukijua starehe gharama
oya kaa ukijua kwambaaa
oya kaa ukijua kwambaaa

skuhizi ukitaka kutoka lazima ujipange
si unajua club ukitoka utaogopa ni pombe
skuhizi ukitaka kutoka lazima ujipange
si unajua club ukitoka utaogopa ni pombe

Sajna ft Linah - Sitaki Kuumizwa



Umechagua adhabu ya kujiua
Iweje sumu umeze maziwa
Si ndo ndoto Lina acha unajua
kwa huu wimbo nakupa ukweli
Umependa mwenyewe kuwa njiwa
Wivu wa nini kwa Ng'ombe anayekamuliwa
Ukuwaridhisha wazazi kwa kuolewa
Ukaniacha mwenye upendo wa ukweli

Najua so kosa lako, Najua ni wazazi wako
Najua mi chaguo lako, Ila kwanini unikosee
Najua so kosa lako, Najua ni wazazi wako
Najua mi chaguo lako, Ila kwanini unikosee

Sitaki tena kuumizwa, Namimi staki kumuumiza mwenzangu
Sitaki tena kuumizwa, Namimi staki kumuumiza mwenzangu
Sitaki tena kuumizwa, Namimi staki kumuumiza mwenzangu
Sitaki tena kuumizwa, Namimi staki kumuumiza mwenzangu

mmmhh, aaaahhh, mhhhhhhhh, mhhhhh

Kama kuvaa na kung'aa mamaa, mamaa
kwa binadamu ni sawa, na kama ukinipa salamu
wala sitoikataa
Usinigande, usinigande kama ruba
wazazi wako uliwaona wako sawa
sitaki kumuumiza huyu mwenzangu
sitaki uumize moyo wangu
Ni Sajna yule yule, na Moyo uleule
Ni mimi yule yule, Ulomtupa jongoo na mti wakeee
Ni Sajna yule yule, na Moyo uleule
Ni mimi yule yule, Ulomtupa jongoo na mti wakeee

Sitaki tena kuumizwa, Namimi staki kumuumiza mwenzangu
Sitaki tena kuumizwa, Namimi staki kumuumiza mwenzangu
Sitaki tena kuumizwa, Namimi staki kumuumiza mwenzangu
Sitaki tena kuumizwa, Namimi staki kumuumiza mwenzangu

mhhhhh
Najua sistahili kufutwa machozi
Japo sikuyasababisha mwenyewe
Najua hustahili kuendelea kutoa machozi
Japo nauumia kuona tayari una mwingine
kwa miguu yangu sikuondokaaaa
Nilisukumwa wakafanya nipoteee
Moyo wangu bado unaishi kwakooo
Huku ugenini uko mwili pekeeeee
Naumiaaaa, Naumiaaaa, Naumiaaaaaaaaaa

Najua so kosa lako, Najua ni wazazi wako
Najua mi chaguo lako, Ila kwanini unikosee
Najua so kosa lako, Najua ni wazazi wako
Najua mi chaguo lako, Ila kwanini unikosee

Sitaki tena kuumizwa, Namimi staki kumuumiza mwenzangu
Sitaki tena kuumizwa, Namimi staki kumuumiza mwenzangu
Sitaki tena kuumizwa, Namimi staki kumuumiza mwenzangu
Sitaki tena kuumizwa, Namimi staki kumuumiza mwenzangu

Z Anto - Kisiwa cha malavidavi


mhhhhhhh!
ohhhhh!
lalalalalah!

kwakweli nilikuwa napenda sana, mechi za nje za ujana
aliyekuwa mke wangu, analia aaaah
kwakweli nilikuwa napenda sana vibinti
nakuwahonga mpaka magari
waliyekuwa watoto wangu, wanateseka na njaa
mitungi ni kila saa, nyumbani sina time ya kukaa
marafiki nami, night club na mimi ohhh

sasa nimebaki lonely, track redioni hazichezwi
yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
hata baby hunitaki tena
sasa nimebaki lonely, track redioni hazichezwi
yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
hata baby hunitaki tena

nakupenda, nakupenda sana baby
nakuihitaji mama mama, njoo kisiwa cha malavidavi
nilikutenda, nisamehe ma baby
nakuihitaji mama mama, njoo kisiwa cha malavidavi

Silewi tena niskize ma ah, kwani najua pombe ndo chanzo ah
kilichofanya nikutende, dharau kibao ndani ya nyumba hakuna raha
na kwangu ulikuwa dhaifu niskize ma, kwani najua kweli ulinipenda ah
watoto wangu nliwatenga nisamehe mpenzi, we unasema..
sitaki rudia tena, najuta kwa yote nliyofanya
nisamehe na goti napiga, nalia aaaah

sasa nimebaki lonely, track redioni hazichezwi
yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
hata baby hunitaki tena
sasa nimebaki lonely, track redioni hazichezwi
yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
hata baby hunitaki tena

nakupenda, nakupenda sana baby
nakuihitaji mama mama, njoo kisiwa cha malavidavi
nilikutenda, nisamehe ma baby
nakuihitaji mama mama, njoo kisiwa cha malavidavi

uje kwenye kisiwa cha malavidavi
uje tupeane mapenzi
usisahau na wanangu..
sahau yaliyopita.... na tugange yajayo!

Chriss 4 Real ft Alikiba - Umechina

wewe ni sexy gal, beauty zaidi ya mima
sikufananishi na demu wangu shaina
uko Hot gal, cute zaida ya mima
mpaka kuwa na huyu moyo wangu unajutaa
sijajua nini nafeel, sijajua nini nafeel
mpaka sasa niko chizi, mpaka sasa niko chizi
sjajua nini nafeel, sjajua nini nafeel
mpaka sasa niko chizi,
sjajua nini nafeel, mpaka moyo unadunda
sema, labda nafsi ishapendaaa

Bongo wanasema we si mzima na umechina (wewe si mzima)
simpakizie m'baya, mwacheni mtoto analia (Baby!)
Kama ni shobo anashoboka, anashobokee
anajivunia, yeye, she is part of me (she is part of me)

kama upeo umepewa basi nahisi we unajua (sema)
Nnavyofeel me sihitaji kuelezea (baby!)
leo na jana nahisi kumuacha shaina (yeah!)
(hey!) we ni cute zaidi ya jana
basi nieleze ila nami nijue, kama ni wangu ili nami nitambue
basi nieleze ila nami nijue, kama ni wangu ili nami nitambue
Cause nahisi kuchanganyikiwa, kila ninapokuona mi napagawa (napagawa baby!)
we boo usiniweke roho juu, I love you we baby boo

Bongo wanasema we si mzima na umechina (wewe si mzima)
simpakizie m'baya, mwacheni mtoto analia (Baby!)
Kama ni shobo anashoboka, anashobokee
anajivunia, yeye, she is part of me (she is part of me)

Nahisi kama unafall in love navyokuimbia kwa mbaaali
najinsi unavyonataka sijui kama utakubali girl
Pia, hili bonge la demu cheki anavyoruka mi ndo nachizika
Bling za kinyamwezi na mapozi ya uchokozi (yeah)
Real, mpaka najihisi mchizi, nami nachizika (zika) wapi ntajishika (shika)
anavyotetemesha kama beat ya masoud Girl

Bongo wanasema we si mzima na umechina (wewe si mzima)
simpakizie m'baya, mwacheni mtoto analia (Baby!)
Kama ni shobo anashoboka, anashobokee
anajivunia, yeye, she is part of me (she is part of me)

Bongo wanasema we si mzima na umechina (wewe si mzima)
simpakizie m'baya, mwacheni mtoto analia (Baby!)
Kama ni shobo anashoboka, anashobokee
yeah, yeah, she is part of me

Marlaw - Rita

oh rita rita
oh rita rita oh no no
sauti inasikika, tega umakini ujue nani inamuita
chozi lamtoka, nitazamapo angani naona sura ya rita
ona mikono yangu mitupu, hii mizuri ya kukushika mpenzi
hata nyumbani kwangu haupo, umepotea sikuoni mpenzi
oh rita oh rita, daily nakuwaza we
oh rita oh rita, mi nitanyamazaje?

ah
rita we unajua jinsi gani mi na wewe tulivyopendana
nimejitoa sadaka kimapenzi ili mradi tusije tengana
ila, we unajua ni yako familia,
damu yangu ya bongo si ya asia
ndo kigezo cha wao kunitosa
mara mbili hivi sasa umenikosa
kumbuka ile mimba ndo ilokufanya ukaja kwangu...ulifukuzwa kwenu!
ulijifungua poa mtoto na wote mkaishi kwangu... ukawachukiza kwenu!
na taarifa ikaja kwako wewe rita
uende arusha nduguzo wanakuita
ukani'kiss kiss mimi na mtoto
nikaku'kiss yeah!

sauti inasikika, tega umakini ujue nani inamuita
chozi lamtoka, nitazamapo angani naona sura ya rita, [sura ya rita]
ona mikono yangu mitupu, hii mizuri ya kukushika mpenzi
hata nyumbani kwangu haupo, umepotea sikuoni mpenzi
oh rita oh rita, daily nakuwaza we [rita we]
oh rita oh rita, mi nitanyamazaje?

ni tangu arusha hadi iringa simu inaita unapokea unalia
kurudi iringa uishi nami ndugu zako wako wamekuzuia
ukasema laiti ungejua, usingekubali uondoke peke
mwanao analia, ona mumeo ni bora ninywe pombe
ila kwa penzi uka'force kurudi piga simu mume wangu nakuja
na maneno ya konda kwenye basi ulifika
akakupa siti ukakaa, ulipokaa ukakaa
ile siku mi nimelewa niko mi na mwanangu kumpokea mke wangu
konda akasema si wewe, ila tu ni mwili wako

sauti inasikika, tega umakini ujue nani inamuita
chozi lamtoka, nitazamapo angani naona sura ya rita
ona mikono yangu mitupu, hii mizuri ya kukushika mpenzi
hata nyumbani kwangu haupo, umepotea sikuoni mpenzi
oh rita oh rita, daily nakuwaza we
oh rita oh rita, mi nitanyamazaje?

oh rita rita ah rita
ah eh
rita hata nyumbani kwangu haupo

Marlaw - Rita

oh rita rita
oh rita rita oh no no
sauti inasikika, tega umakini ujue nani inamuita
chozi lamtoka, nitazamapo angani naona sura ya rita
ona mikono yangu mitupu, hii mizuri ya kukushika mpenzi
hata nyumbani kwangu haupo, umepotea sikuoni mpenzi
oh rita oh rita, daily nakuwaza we
oh rita oh rita, mi nitanyamazaje?

ah
rita we unajua jinsi gani mi na wewe tulivyopendana
nimejitoa sadaka kimapenzi ili mradi tusije tengana
ila, we unajua ni yako familia,
damu yangu ya bongo si ya asia
ndo kigezo cha wao kunitosa
mara mbili hivi sasa umenikosa
kumbuka ile mimba ndo ilokufanya ukaja kwangu...ulifukuzwa kwenu!
ulijifungua poa mtoto na wote mkaishi kwangu... ukawachukiza kwenu!
na taarifa ikaja kwako wewe rita
uende arusha nduguzo wanakuita
ukani'kiss kiss mimi na mtoto
nikaku'kiss yeah!

sauti inasikika, tega umakini ujue nani inamuita
chozi lamtoka, nitazamapo angani naona sura ya rita, [sura ya rita]
ona mikono yangu mitupu, hii mizuri ya kukushika mpenzi
hata nyumbani kwangu haupo, umepotea sikuoni mpenzi
oh rita oh rita, daily nakuwaza we [rita we]
oh rita oh rita, mi nitanyamazaje?

ni tangu arusha hadi iringa simu inaita unapokea unalia
kurudi iringa uishi nami ndugu zako wako wamekuzuia
ukasema laiti ungejua, usingekubali uondoke peke
mwanao analia, ona mumeo ni bora ninywe pombe
ila kwa penzi uka'force kurudi piga simu mume wangu nakuja
na maneno ya konda kwenye basi ulifika
akakupa siti ukakaa, ulipokaa ukakaa
ile siku mi nimelewa niko mi na mwanangu kumpokea mke wangu
konda akasema si wewe, ila tu ni mwili wako

sauti inasikika, tega umakini ujue nani inamuita
chozi lamtoka, nitazamapo angani naona sura ya rita
ona mikono yangu mitupu, hii mizuri ya kukushika mpenzi
hata nyumbani kwangu haupo, umepotea sikuoni mpenzi
oh rita oh rita, daily nakuwaza we
oh rita oh rita, mi nitanyamazaje?

oh rita rita ah rita
ah eh
rita hata nyumbani kwangu haupo

Belle 9 - Masogange


upo mbali na masogange
njoo uutulize mtima wange
upo mbali na masogange eh

miaka mingi imepita baby, ila mi sijakuona
miaka mingi imekatika ma, ila mi sijakuona
kile kidonda changu cha mapenzi, moyoni bado hakijapona
nitapata afadhali mi, endapo we nikikuona
kama warembo mi nawaona wengi, tabia zao mi naona noma
najaribu shinda vishawishi, nisije mi kukupa ngoma

bado nakupenda wewe, wapi ulipokwenda
bado nakupenda wewe, wapi ulikokwenda

ndo maana nakuimbia popote ulipo sikia baby, urudi nyumbani
nakuimbia popote ulipo sikia mami, tuishi kama zamani

mapenzi yanautesa moyo we ,mapenzi yanaumiza moyo we
mapenzi yanautesa moyo we
njoo unipoze roho

mapenzi yanautesa moyo we, mapenzi yanaumiza moyo we
mapenzi yanautesa moyo we
Njoo unipoze roho

toka long time ago we, nakusaka mrembo we
nakusaka baby, nijue upo wapi mama

wasiopenda kuona mimi nawe, tunapeana real love ni wengi
hawapendi kuona mimi nawe, kila siku twapeana mapenzi
wasiopenda kuona mimi nawe, twapendana my baby ni wengi
hawapendi kuona mimi nawe, kila siku twapeana mapenzi

chochote watachokuambia, usiwasikilize
nakusihi mami puuzia, moyo wangu usiumize
chochote watachokuambia, usiwasikilize
nakusihi mami puuzia, moyo wangu usiumize

endapo ukiwasikiliza, moyo wangu utaumiza
endapo ukiwasikiliza, utaniacha mi kwenye kiza
endapo ukiwasikiliza, moyo wangu utaumiza
endapo ukiwasikiliza, utaniacha mi kwenye kiza haya

upo mbali na masogange, njoo uutulize mtima wangu
upo mbali na masogange, njoo uutulize mtima wangu


mapenzi yanautesa moyo we, mapenzi yanaumiza moyo we
mapenzi yanautesa moyo we
njoo unipoze roho

mapenzi yanautesa moyo we, mapenzi yanaumiza moyo we
mapenzi yanautesa moyo we
Njoo unipoze roho

upo mbali na masogange, njoo uutulize mtima wangu
upo mbali na masogange


upo mbali na masogange, njoo uutulize mtima wangu
mapenzi yanautesa moyo we, mapenzi yanaumiza moyo we
mapenzi yanatesa moyoni, mapenzi yanatesa rohoni


mapenzi yanautesa moyo we, mapenzi yanaumiza moyo we
mapenzi yanautesa moyo we
Njoo unipoze roho

mapenzi yanautesa moyo we, mapenzi yanaumiza moyo we
mapenzi yanautesa moyo we
Njoo unipoze roho

wewe, toka long time ago
nakusaka mrembo nijue uko wapi mama ah
I love you, i need you!

IZZO B ft Barnaba, Shaa - Love Me lyrics

IZZO B ft Barnaba, Shaa - Love Me

   


(VERSE 1)
Mapenzi hatujaanza juzi, long time niko nawe
naomba radhi nikikuuzi,  nahisi nimeumbwa na wewe
we barafu wa moyo wangu, acha leo niweke wazi
labda shahidi yangu mungu, nikiwatoa wazazi
nakumbuka toka shule, enzi za sekondari
baby ulikuwa pale, we ulionyesha kunijali
you're the one in a million, naapa kwa jina langu
ah Jose chamelleone, 'Sina Valuvalu baby'
Tangu izzo anaitwa Imma, we ulikuepo ulisimama
matatizo yalituandama, we hukuchoka ulipambana
we ndo maana ya mapenzi, mapenzi yanakuogopa
hawa vicheche ni washenzi, hawajui wanachotaka
ntakujali na kukuheshimu, acha woga mi bwana ako
ya kwetu jukumu letu, hayawahusu shoga zako
we ndo Alicia mi ndo Swizz, tupa mbali Jay Z, Beyonce
sharo izzie, mj beats, anayebisha shauri yake


(CHORUS)


(VERSE 2)
kama ku'cheat, nishacheat sikufichi honey
nisamehe yo my sweet honey, ni pepo sio mi
ruksa kamba we nifunge, nishatua hapa
we ni jimbo nami mbunge, nishatua hapa
mapenzi motomoto mpaka joto linaona wivu
Nikuite nani? ama mtoto, leo baby naomba kavu
we mtamu kushinda asali, hakyamungu utaniua
acha waseme mi sijali, hakyamungu utaniuaa
acha basi nikusifie, sifa ulizonazo ila..
baby usijisikie, ikawa kama chanzo
Guu lako sio la bia, baby guu la champagne
leo wazi nakuambia, hey you got that thing
midomo wet sio mikavu, ona wanaona wivu
umejazika  si sana, maana sana inaboa
hasa kwa sisi waungwana, sana inaboa
macho na hizo hips ndo nakufa kabisa

((Chorus))

Abdu kiba - Huyoo sio demu lyrics

Abdu kiba - Huyoo sio demu

Kwanza ukimtazama, anaenda na mambo uliyoyaskia
Moja mzuri sana, na pili yeye anavutia
Kiumbo, yeye anavutia, kisura inshallah mola kamjalia
ana mwendo wa kimiss, mi napenda anavyotembea
hata kama wakimdiss mimi bado namfukuzia
Daily, kazi yenu nyinyi kumpakazia
Daily, sijui lini nyinyi mtampotezea
Daily, kazi yenu nyinyi kumpakazia
Daily, sijui lini nyinyi mtampotezea


Kakudanganya wa oysterbay wakati anakaa manzese
Halafu we mwenyewe una furaha
Usimwamini, kumpa moyo ye... usije kulia
Usimwamini, kumpa moyo we... utaja niambia

yuko juu kwa njia za panya, ni mengi aliyoyafanya oh we angalia
yuko juu kwa njia za panya, ni mengi aliyoyafanya aii we angalia
ye ni bingwa wa viduku, kwenye vikodoro aisee... hana maana huyu demu
ye ni bingwa wa viduku, kwenye vikodoro aisee... hana maana huyu demu

Huyoo, nasema huyo so demu
Huyoo, nasema huyo so demu
Huyoo, nasema huyo so demu
Huyoo, nasema huyo so demu
aaaaa, nasema huyo so demu
mhhhh, nasema huyo so demu
aaaaa, nasema huyo so demu
uuuuh, nasema huyo so demu

I know, siwezi laumu moyo kumpenda yule
alisema mtoto mdogo na bado ye yuko shule
jamani mi, nampendampenda yeye
jamani mi, namtakataka yeye
jamani mi, nampendampenda yeye
jamani mi, namtakataka yeye

ingawa walisema, bingwa wa viduku
nawengine wakanena, bingwa wa vikodoro
ingawa walisema, bingwa wa viduku
nawengine wakanena, bingwa wa vikodoro


Si lengo langu kukupiku Noo, nasema kweli huyu demu soo
Ujipe moyo, utakoshwa roho yule so demu wa kusizi nae mahome noo
nakupenda sana mchizi wangu ndo maana nakuambiaaa
usije iona hii dunia ni chungu, moyoni utaumia
nakupenda sana mchizi wangu ndo maana nakuambiaaa
usije iona hii dunia ni chungu, moyoni utaumia

Huyoo, nasema huyo so demu
Huyoo, nasema huyo so demu
Huyoo, nasema huyo so demu
Huyoo, nasema huyo so demu
aaaaa, nasema huyo so demu
mhhhh, nasema huyo so demu
aaaaa, nasema huyo so demu
uuuuh, nasema huyo so demu

Huyo huyoo, oooohhhh eeeeiiieeee
Huyo huyoo

Huyo so demu, mi mwenyewe namjua
hajui kukataa wanasema kaumia
hana mapenzi ya kweli anachojali ye shillingi
Kudadadeki mapenzi hayashughuliki
kama kweli unampenda we mpende tu maradufu
ila huku kitaa wanamgonga hata kwa buku
huyo sio demu (huyo huyo), demu wa kitaaa
huyo sio demu (huyo huyo), demu wa masela

aaaaa, nasema huyo so demu
mhhhh, nasema huyo so demu
aaaaa, nasema huyo so demu
uuuuh, nasema huyo so demu

(huyo huyo) [Tafuta mwingine, ila kama unampenda komaaa nae,
ila kubembeleza sio kukuambia ku give up, so tell em bro
Love is a beautiful thing, but sometimes love is crazy man.... haha!]

Shetta ft Belle 9 - Nimechokwa lyrics




[Belle9]
kweli ya leo sio ya jana, ona
a-to-z maumivu
kweli ya leo sio ya jana, ona
ona, a-to-z maumivu

Inaniuma nachoma, nachochochoma!
Inaniuma nachoma, nachochochoma!
Inaniuma nachoma, nachochochoma!
Ina chochochoma!
mazoea!

Inaniuma nachoma, nachochochoma!
Inaniuma nachoma, nachochochoma!
Inaniuma nachoma, nachochochoma!
Ina chochochoma!
mazoea!

[Shetta]
sura yako inanipa picha kamili
bila ya vitendo tayari nimeshaitabiri (((mazoea))
umekuwa mjasiri tena bonge la msiri
hata kwenye tabu hutaki tu-solve wawili
na
haifanani na kiburi bali umechokwa nami
mi sijiulizi kwanini umalaya nimeufanya dini
hata mashoga zako nawawinda niwavue bikini
mi mkauzu kama mbuzi tena mchinjia baharini
makosa yanajirudi nayote unayabaini
ushahidi mpaka sibishi jinsi ulivyo makini
machale mpaka na-doubt au unaongozwa na jini
maana umemkamata mwizi kabla ya siku arobaini
mmoja poa tu kwako si mali kitu
kama ngoma ni local mithili ya 'mchiliku'
mpaka nahisi mafala washanipiku
mkuki kwa binadamu zaidi ya uchungu wa jipu
umekuwa mvivu wa kutimba mahome
hata kwenye sex unanigomea **mpaka condom**
drama kama filamu mpaka kwenye couple
kutesa kwa zam zam man!!!

[Belle 9]
kweli ya leo sio ya jana, ona
a-to-z maumivu
kweli ya leo sio ya jana, ona
ona, a-to-z maumivu

Inaniuma nachoma, nachochochoma
Inaniuma nachoma, nachochochoma
Inaniuma nachoma, nachochochoma
Ina chochochoma
mazoea!

Inaniuma nachoma, nachochochoma
Inaniuma nachoma, nachochochoma
Inaniuma nachoma, nachochochoma
Ina chochochoma
mazoea!


[Shetta]
unasema nawapanga vigoli kama mswati
umalaya upo ndani ya damu kamwe siachi
Please! hebu nipe nafasi ku discuss
mapenzi hayahitaji kulipiziana visasi
wepesi kunijibu hautaki
route zimezidi kama dereva taxi
day after day unazidisha masharti
hata kiss la shavu hutaki mbele ya umati
natapatapa bila hata kukabwa koo
kisa si zaidi ya uchokozi sipunde utanitoa roho
sekeseke unazonipa ni zaidi ya ngoma droo
maumivu yanafanana na hukumu ya death-row
malumbano,,,vita ka CUF na CCM, Duh!
umenichoka mpaka nahisi nipo kuzimu
sometime ni shetani so inabudi tumrehemu
lets forget about past please usinitoe damu baby
you got true love mpaka najiona kavu
nipo tayari kutubu na msaafu,
ruksa nikirudia unibanike kama ndafu
Yeah, Dats wats up!!

[Belle 9]
kweli ya leo sio ya jana, ona
a-to-z maumivu
kweli ya leo sio ya jana, ona
ona, a-to-z maumivu

Inaniuma nachoma, nachochochoma!
Inaniuma nachoma, nachochochoma!
Inaniuma nachoma, nachochochoma!
Ina chochochoma
mazoea!

Inaniuma nachoma, nachochochoma!
Inaniuma nachoma, nachochochoma!
Inaniuma nachoma, nachochochoma!
Ina chochochoma!
mazoea!

Mwana FA ft ali kiba - Kiboko yangu lyrics



     

kwa sifa moja umenikamata, nakupa
we peke yako ndo umeniweza... heey
nilikopita nimeteleza, lakini kwako
we ndio kiboko yangu

kila shetani ana mbuyu, wake we ni mibuyu mitatu
ukiamua unitumikishe mwenzio ntalala na viatu
najionea maajabu najionea mapya mama 'angu
hakuna mapenzi ya hivi popote kwenye ulimwengu
siwezi elezea jinsi ninavyokuzimia
nikicheza na moyo wako nacheza na wangu pia
nafsi yangu ilishapotea siwezi hata kujitetea
ka' ulitoroka peponi uzuri ulivyokuenea
figure la kushoto ntageuza na la kulia
wengine hawanijaribu wanajua kitachotokea
sitaki mambo yaende kombo, na yakienda yawahi kurudi
hatuendi nayo hatuwezi shindwa yaje na pambio ikibidi
tunapishana hatugombani, then we back here
hatuendi juu hatuendi chini ila we love it right here
hata mapenzi yakifa boo situbaki sawa tu
si' ni watu wazima halafu hatuwezi ishi ka' underground
ukiwa na nusu ya moyo wangu na nusu iliyobaki kwangu
yote nakupenda wewe, una Jua langu na mwezi wangu
unatembea na roho yangu, sio tena .......
we ndio Michelle Obama wangu

kwa sifa moja umenikamata, umenikamata!
we peke yako ndo umeniweza... umeniweza!
nilikopita nimeteleza, lakini kwako
we ndio kiboko yangu
sipagawi, hawajui kwanza
we ndio namba moja unawakimbiza
unatembea na roho, nataka ujue
wewe ndio kiboko yangu

Top c lofa lyrics

Haya mapenzi naogopa sana bwana mimi, Kuamua
wakati mwingine nakosa hata raha jamaniiiii
Nani nimpende, asinizingue
Nani nimpende, asinizingue
Hivi ni nani mrembo atakayenipenda kwa dhati
Na siyo kunitamani
Mvumilivu kwenye Raha hata nikiwa na dhiki
Asinishushe thamani

Sababu ya ulofa, Sababu ya ulofa
Sababu ya ulofa, Sababu ya ulofa
Sababu ya ulofa, Sababu ya ulofa
Sababu ya ulofa, Sababu ya ulofa

Ona bora nitulie niufaidi ujana, Kuliko kujitia kaa la roho
wangapi walipendana kuahidiana, hawatoachana mpaka kifo
wengi, wako kimaslahi, wakitimiza lengo inakuwa ulofa aiii
mapenzi yanakaba kama tai, mwisho wa siku unaweza poteza uhai

Haya mapenzi naogopa sana bwana mimi, Kuamua
wakati mwingine nakosa hata raha jamaniiiii
Nani nimpende, asinizingue
Nani nimpende, asinizingue

Nataka jiko, jiko la peke yangu mimi, si kila mjanja apikia
aje anipe raha mimi, asiwe anachakachua
niambie nimjue, nieleze ni nani mamaa
niambie ni nimjue, nieleze ni, nani nani mamaaaa

Sababu ya ulofa, Sababu ya ulofa
Sababu ya ulofa, Sababu ya ulofa
Sababu ya ulofa, Sababu ya ulofa
Sababu ya ulofa, Sababu ya ulofa

Nani nimpe dhamana, alitambue dhumuni
Mola nipe muungwana, si kama wale wahuni
Nani atanipenda mimi, iwe furaha siku zote maishani
aje aniliwaze mamii, iiiii

Nataka jiko, jiko la peke yangu mimi, si kila mjanja apikia
aje anipe raha mimi, asiwe anachakachua
niambie nimjue, nieleze ni nani mamaa
niambie ni nimjue, nieleze ni, nani nani mamaaaa

Sababu ya ulofa, Sababu ya ulofa
Sababu ya ulofa, Sababu ya ulofa
Sababu ya ulofa, Sababu ya ulofa
Sababu ya ulofa, Sababu ya ulofa

Sababu ya Ulofaaaaaaa!