Thursday, September 1, 2016

Sam sina raha lyrics

Kila siku mi naumia na mawazo wapi nitampata mkee mwema maishani Najifuta machozii Nikasahau nilivyo tendwa zamani
Naona kama ngege waa moto mazuri kuwa nawe maishani
Nacho mwambia ananielewaa Napenda animpenda Sito mwaacha asilani Gari pesa sinaa Ndio maana nakuita mchuba We wa gari na nyumba ama pesa ndio chumba Bora unieleze mchumba Mi si mgeni wa mpenzi mwenzako Maumivu naya tambua Nipe nikupu ndio ishara ya upendo Haiwezekani daily unanizingua Nisipokuona sina raha eeh Naumia namawazo Sema Kama haunipendi Ikiwa haunipendi Haiwezekani we daily unanizingu We nimgonjwa na unamwitaji mtabibu Mi ni daktari ki maradhi ntakutibu
Listen to any song with synced 

No comments:

Post a Comment