Wednesday, August 31, 2016

Chriss 4 Real ft Alikiba - Umechina

wewe ni sexy gal, beauty zaidi ya mima
sikufananishi na demu wangu shaina
uko Hot gal, cute zaida ya mima
mpaka kuwa na huyu moyo wangu unajutaa
sijajua nini nafeel, sijajua nini nafeel
mpaka sasa niko chizi, mpaka sasa niko chizi
sjajua nini nafeel, sjajua nini nafeel
mpaka sasa niko chizi,
sjajua nini nafeel, mpaka moyo unadunda
sema, labda nafsi ishapendaaa

Bongo wanasema we si mzima na umechina (wewe si mzima)
simpakizie m'baya, mwacheni mtoto analia (Baby!)
Kama ni shobo anashoboka, anashobokee
anajivunia, yeye, she is part of me (she is part of me)

kama upeo umepewa basi nahisi we unajua (sema)
Nnavyofeel me sihitaji kuelezea (baby!)
leo na jana nahisi kumuacha shaina (yeah!)
(hey!) we ni cute zaidi ya jana
basi nieleze ila nami nijue, kama ni wangu ili nami nitambue
basi nieleze ila nami nijue, kama ni wangu ili nami nitambue
Cause nahisi kuchanganyikiwa, kila ninapokuona mi napagawa (napagawa baby!)
we boo usiniweke roho juu, I love you we baby boo

Bongo wanasema we si mzima na umechina (wewe si mzima)
simpakizie m'baya, mwacheni mtoto analia (Baby!)
Kama ni shobo anashoboka, anashobokee
anajivunia, yeye, she is part of me (she is part of me)

Nahisi kama unafall in love navyokuimbia kwa mbaaali
najinsi unavyonataka sijui kama utakubali girl
Pia, hili bonge la demu cheki anavyoruka mi ndo nachizika
Bling za kinyamwezi na mapozi ya uchokozi (yeah)
Real, mpaka najihisi mchizi, nami nachizika (zika) wapi ntajishika (shika)
anavyotetemesha kama beat ya masoud Girl

Bongo wanasema we si mzima na umechina (wewe si mzima)
simpakizie m'baya, mwacheni mtoto analia (Baby!)
Kama ni shobo anashoboka, anashobokee
anajivunia, yeye, she is part of me (she is part of me)

Bongo wanasema we si mzima na umechina (wewe si mzima)
simpakizie m'baya, mwacheni mtoto analia (Baby!)
Kama ni shobo anashoboka, anashobokee
yeah, yeah, she is part of me

No comments:

Post a Comment