Sunday, December 27, 2020

PROUD OF YOU DARASSA FT ALIKIBA LYRICS

 ALI KIBA (CHORUS) ULIVYO JIDAMBIKA OH MAMA, YANI WE NDIO MY WOMAN, PITA MBELE WAKUSHANGAE I'M PROUD OF YOU MY WOMAN,MI SIOGOPI EEH, WEWE NDIYE WA MOYOOO PAMBIOO, NA HAKIOMBEKI YAMKIOO FAGIOOO OHH OHH FAGIOOO EEH EEH FAGIOOO OHH OHH EEH EEH

 DARASSA YOU MAKE A MAN WAWAWA, WOMAN WHY YOU DO ME LIKE LALALA LIKE THAT, YOU MAKE ME SING NANANANA,SHE GOT THAT BOOTY KAMPA MAMA MAPENZI YANAWEZA KUTIPUWA JANGWANI, MAPENZI HAYADANGANYANI USIFANYE UTANI, SHIKWA NA POLISI UTAFUNGWA UKAE NDANI, YAKIKUSHIKA MAPENZI MAMBO HADHARANI NIKUBEBE MGONGONI NIKUZUNGUSHE MTAANI AU FUNGUA MOYO NDANI UONE THAMANI NO GAME, GAME OVER NIME SURRENDER, SINA, SINA SERA SINA AGENDA SINA PAKWENDA, MTU UKIPENDA DANGER, UNAWEZA KUSAGA CHUMA KWA BLENDER

 

 ALI KIBA (CHORUS) ULIVYO JIDAMBIKA OH MAMA, YANI WE NDIO MY WOMAN, PITA MBELE WAKUSHANGAE I'M PROUD OF YOU MY WOMAN,MI SIOGOPI EEH, WEWE NDIYE WA MOYOOO PAMBIOOO, NA HAKIOMBEKI YAMKIOO FAGIOOO OHH OHH FAGIOOO EEH EEH FAGIOOO OHH OHH EEH EEH

 

 ALI KIBA

 

 TOO MUCH SWEET, UNAPO TABASAMU HUNISHI HAM, MY LEMON MY SUGAR SUGAR TAMTAM, I'M PROUD OF YOU MY WOMAN, MI SIOGOPI EEH, NA WE NDIYO NYOTA YA KAMCHEZO NI GHARAMA HAKUNA CHA DEZODEZO WAAMBIE WE KWANGU USHATULIA BILA YA KIUNGULIA.

 DARASSA 

 ANACHOTAKA ANAPATA POCHI NAMNUNULIA, NAMWAGA MANOTI NAHUDUMIA, HAITAJI TOCHI NAMMULIKIA KASHAVUA UPWEKE KAVUA KOTI NAMKUMBATIA, I NEED YOU BY MY SIDE, NEED YOU IN MY LIFE GIRL I WANNA MARRY YOU, CAN YOU BE MY WIFE SIKUMWAGII SERA ZA KUJA KUKULAGHAI, ME I TELL YOU NO LIE WALLAHI MAMA I'M DIE UNANIPANDISHA MIZUKA ZUKA, NARUKA RUKA MATUTA TUTA SIFA NYINGI ZA KUKUPA NAKUPA, MWENDO KAMA UMEJISUSA UNAJITUPA FUNGA KAZI NAMBA MOJA TOP TOP KOTE MWANAMKE USWAZI ANAJUWA SOP SOP CHOCHOTE ANACHOVAA KINAMFAA DOPE DOPE KWAKE AKIINUKA AKIKAA NI BALAA OH OH!!! 

 ALI KIBA (CHORUS) ULIVYO JIDAMBIKA OH MAMA, YANI WE NDIO MY WOMAN, PITA MBELE WAKUSHANGAE I'M PROUD OF YOU MY WOMAN,MI SIOGOPI EEH, WEWE NDIYE WA MOYOOO PAMBIOOO, NA HAKIOMBEKI YAMKIOO FAGIOOO OHH OHH FAGIOOO EEH EEH FAGIOOO OHH OHH EEH EEH OUTRO COME STAS, NIKO NA DARASSA, YE BABAA!!! OOHLALA! ABBAH, ABBAHBABA!!! VITU VITAMU NDIYO VINAGHARAMIWA

Friday, December 4, 2020

Nandy aibu lyrics

 Kimambo on the beat

Ooh baby
Mwenzako
Mi nawashwa pabaya
Kiuchokozi
Ukinigusa gusa mie haya
Wetu mtoko
Mihogo bichi koko ooh
Nidekeze kitoto
Kachumbari kwa kijiko

I wanna be solo
Na unifanye utakavyo
Baby give me some more
Ziteke zangu hisia
I wanna be solo
Na unifanye utakavyo
Baby give me some more
Ziteke zangu hisia
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu

Nawaza imekuaje mmetumbukia
Kina kirefu mble sioni
Sholole chumbani umenitunukia
Unipeleke ngara mtoni
Umerishika idara
Hallo hallo kwako fala oyo oyo
Sina sera oyo oyo
Kesho shela

I wanna be solo
Na unifanye utakavyo
Baby give me some more
Ziteke zangu hisia
I wanna be solo
Na unifanye utakavyo
Baby give me some more
Ziteke zangu hisia
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu

Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu
Aibu

dunia shamba alikiba lyrics

 Asubuhi kumekucha Ali naamka

Nakwenda shamba kutafuta matunda
Good mornie sweety ye nakuaga bibie
Nakwenda shamba chochote tutapata
Tutakapo kosa leo mamii tuvumilie
Uh ni Mungu kapanda yote ni matokeo
Ona unavumilia namshukuru Mola
Kote nimezunguka wewe ni mke bora
Ona unavumilia namshukuru Mola
Kote nimezunguka wewe ni mke bora

We hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo dunia mashindano
We hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo dunia mashindano

Mumeo narejea
Hali yangu si waiona
Wakati nakwenda
Ajali nilipata
Ile njia panda nilipita
Alinivamia simba
Na watu wakaja pale kuniokoa
Walinipeleka hospitali ya wilaya
Matibabu nilipata ah
Na sasa nimetoka
Hali yako mjamzito
Usijepatwa mshituko
Dunia ni king’amo
Dunia mashindano
Hali yako mjamzito
Usijepatwa mshituko
Dunia ni king’amo
Dunia mashindano

We hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo dunia mashindano
Hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo dunia mashindano

(Yote ni matokeo)

Ona unavumilia namshukuru Mola
Kote nimezunguka wewe ni mke bora
Ona unavumilia namshukuru Mola
Kote nimezunguka wewe ni mke bora

We hivyo vyote maa (we hivyo vyote maa)
Ulivyo nakupendaga daaa..
Dunia ni king’amoaaa
Jua milele niwe nawe
Nishakutia medani ya chuma

We hivyo vyote maa
Nakupendaga
Dunia ni king’amo dunia mashindano

Ni kingamo mchumba
Kila mtu na yake
Na mila yake mamaa
Duniani kingambo!

We hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo dunia mashindano
Hivyo vyote maa (ulivyo)
Nakupendaga (ulivyo)
Dunia ni king’amo dunia mashindano

Una Mimi Mars na Young Lunya - Marioo

 (RoofTop Audio Station)

Na najiamini
Halali nje analala na mimi (ndani ndani)
Wengine wa nini (yeiye)
Anadata anavopewa na mimi (chumbani chumbani)

Una (una una)
Unanichanganya (una una)
Unavyonifanya (una una)
Unanichanganya sana
Tena ukinigusaga
Na kunipa zaga
Unanichanganya sana

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavonipa vyote

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya
Unanichanganya

Weka niweke (we)
Weka niweke (we)
Weka niweke (we)
Weka niweke (we)

Hata kama nitakosea usininunie beibe
Niambie
Maana si unajua mwanadamu
Na mie
Na unavyoninogesha
Ukija kuacha
Mwenzako nitajutia
Utanitoa roho (utanitoa roho)

Habari za mjini kwani nini (we)
Natoka na mimi kwani nini (we)
Mchezo mchezo na baby wa mimi (we)
Tulipotoka wanajua ni nini (we)
Sema ukweli nishampata nishamnasa
Alafu sasa na kwenye bedi mtamu haswa
Chuma mimi ila sumaku ishamnasa
Pelekeni ANGAZA huo wenu ushauri nasaha sa
Anavyozungusha hicho kiuno
Mimi ndo nazidisha mikuno
Wanapataka sasa unavyowapatia michuno
Kwani hawapati usingizi wakisikia miguno

Una unanichanganya (una una)
Unavyonifanya (una una)
Unanichanganya sana

Tena ukinigusaga
Na kunipa zaga
Unanichanganya sana

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavonipa vyote

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unanichanganya

Weka niweke (we)
Weka niweke (we)
Weka niweke (we)
Weka niweke (we)

Umenishika pabaya
Umenishika pabaya (ooh yeah beibe)
Umenishika pabaya
We bwana ni mbaya

Umenishika pabaya
Umenishika pabaya (aah ah)
Umenishika pabaya
We dada ni mbaya

Una una
Una una
Una una
Una una

Saturday, November 14, 2020

Alikiba mshumaa lyrics

 Ule ugonjwa ulioniacha nao,

Bado sijapona
Hata mapenzi ulioniacha nayo,
Yamebaki jina
Hospitali ooh,
Za dunia nzima
Nimezunguka kote,
Wamepima majibu hakuna

Hata ngoma sina (sina ooh)
Pressure sina (sina eeh)
Ugonjwa sina (sina)
Jina lako ninalo
Uwepo wako
Ndo ulikuwa wangu uzima
Naona giza (ungeniacha hata na mshumaa)

Alioo iyoo
Nakumiss

Tena!
Tutaonana
Tena!
Hata Mungu akipanga leo
Tena!
Nikufe kesho
Tena!
Tutaonana tena
Tena!
Ifike kesho uliamba
Tena!
Waniweke kwa mchanga
Tena!
Nikufe kesho
Tena!
Ali ooh

Labda nikukumbushe,
Nilipokuvisha pete
Ulisema machache,
Hauniachi mpaka nife
Maana ngoma sina (sina ooh)
Pressure sina (sina eeh)
Ugonjwa sina (sina)
Jina lako ninalo
Uwepo wako
Ndo ulikuwa wangu uzima
Mi naona giza (ungeniacha hata na mshumaa)

Alioo iyoo
Nakumiss

Tena!
Tutaonana
Tena!
Hata Mungu akipanga leo
Tena!
Nikufe kesho
Tena!
Tutaonana tena
Tena!
Ifike kesho uliamba
Tena!
Waniweke kwa mchanga
Tena!
Nikufe kesho
Tena!
Ali ooh

Gwiji mwana fa lyrics

 Ooh

Falsafa

Aah MwanaFA
Nkoyi
Omeki okangami
wewe ni gwiji wa magwiji
Asiyekubali aumbe dunia yake
Lakini mimi Nyoshi El Saadat
Nakuchukuliaga kama Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Zabanga
Le Martial Bosomba Seskuule hahahah
Never end never lose
MwanaFA
Légende
Légende
Légende

Naota ndoto hazina rangi naamka nazipaka
Watoto wa kiswazi huwezi ukatuwekea mipaka
Mungu ndio ametakajongoo kawa nyoka
Hakuna kiunzi hatuwezi ruka
Tushasukuma sana milango iliyoandikwa vuta (vuta)
Niamini na inafunguka
Mbwa mkali usikatize wahuni tunapita
Tunayavuka kwa kamba madaraja yaliyovunjika
Mungu wetu halali wala haendi likizo
Hatuachi kumuomba na anafuta matatizo
Yakija tena naomba tena na Mungu anayafuta tena
Mioyo yetu ipo safi safi ile kinoma
Kifo kiniue au maumivu yanikomaze
Yote sawa ila ujinga usinipumbaze
Kila kiumbe ana njaa yake moyo na tamaa zake
Mbwa mpumbavu ndio anaweza bwekea ndege

Waite wamuone gwiji wajigambe (we haya)
Waite waite waje wamuone gwiji wajigambe (we haya)
Waite wamuone gwiji wajigambe (we haya)
Waite waite waje wamuone gwiji wajigambe (we haya)

Mi ni hustler babe that’s what I do I hustle
Shida hazikwepeki zipo kukupima muscle
Zikutoe macho zikutoe jasho
Zikupe akili na zikuandae kwa kesho
Jikaze mwana usichukuliwe mateka
Ka unaachana na dunia we ndio uandike talaka
Ukiomba mafanikio fahamu yanakuja na wivu
Havitengani havikai mbali kidevu na ndevu
Dunia haitasimama ukigoma kutembea nayo
Sio magumu ka ku click link kwa bio
Kakamaa nakupa moyoumegusa tu button siyo
Kuwa mpambanaji kama binamu yangu Suyo
Huu sio mziki wa mafala ni mziki wa mataita
Unakuweka kitako na chaki unakufundisha
Una’feel the passion zaidi ya telemundo
Mapanchi mengi hata Touch akizima mdundo
Bye bye

Waite wamuone gwiji wajigambe (we haya)
Waite waite waje wamuone gwiji wajigambe (we haya)
Waite wamuone gwiji wajigambe (we haya)
Waite waite waje wamuone gwiji wajigambe (we haya)

Is another one
Touch (touch)

We haya
Uuh
We haya

Nandy ft Alikiba – Nibakishie Lyrics

 akili imesita imegoma

mwisho wa reli kigoma
ooh ooh


oh baby (nibakishie)
usinipe vyote mie (nibakishie)
utaniua (nibakishie)
we ndio roho yangu (nibakishie) ×2
ooh baby


nishaharibu cocky ya mapenzi acha niloe
pacha wangu ni ww tunamatch sare sare
nitazurula kulilinda penzi
kwa ndumba na chale
tetere lipe mchele mzoga wake mwewe
ooh, basi nikabidhi
ooh, moyo sitopunja wala kupima aiyayaya
ai inanishaka ganzi na kichomi kuchoma
mwili mzima wa tetema ooh baby
baby, umetekenya Ngoma
we mama ni noma (noma)
mwisho wa reli kigoma kigoma kigoma
ooh ooh


oh baby (nibakishie)
usinipe vyote mie (nibakishie)
utaniua (nibakishie)
we ndio roho yangu (nibakishie) ×2
ooh baby eeeh