Tuesday, December 3, 2019

ASLAY - NIBEBE

Intro :
mmmmmh 

Verse one:

Labda mapenzi yawaumiza roho zao
Et kwengine sipati sijiwezi 
Ndo maneno wasema, Kwamba  
kwako sifurukuti sijiweziii
Ivyo ivyo wanavyo sema
 namimi nanyamaza kimya {Nakupenda}
ogopaa nikikuona nakuwa mkimyaa 
Sina chakusema Nakupenda 

Labda Sina faragha Nashuka kupanda 
ila nakupenda 
Mimi kwako nimjinga sinaga ujanga wache wanongonaa

Bridge:
Kama chumba midalali{aaanhnn}
Penzi letu lifike mbalii {aaanhnn}

Chorus:

Nibebe bee [nakupenda usiwe namakuu]
BabyNibebe bee [atakama nikininginiza miguu]
Nibebe bee [wanataka niwechini wao juu]
Mpenzi wee ninbebe bee {aaanhnn annnh}

Nimesiki wamekuundia na group 
matusi matupu
wanakunyanyasa wanakutukana 
jitoee
Usiwe mchonga vivyago utanifirisi
mwisho wasiku  tukigombana ikawa hadithii
Wee kitumbo mbelembele kwa kuku na chipsi
usie acha mifupa utakuwa fisii

Bridge:
Kama chumba midalali{aaanhnn}
Penzi letu lifike mbalii {aaanhnn}

Chorus:

Nibebe bee [nakupenda usiwe namakuu]
BabyNibebe bee [atakama nikininginiza miguu]
Nibebe bee [wanataka niwechini wao juu]
Mpenzi wee ninbebe bee {aaanhnn annnh}

JUX - FIMBO

Verse 1:
Kwanza kabisa thanks to the lord
Uzuri wako sio wakudownload (wakudownload)
Unanishangaza kilasiku misichokiii 
Mwingine kama weee misiktakiii

Bridge:
(Tulu tulu tulu.........)
Wewe ndo fimbo yangu baby 
Ongeza raha zaidi mamy
Nikuweketu kabisa ndani 
Kwangu wewe ndo burudani
Wewe kiboko yangu baby
Ongeza utamu zaidi mamy
Niwewe tuu tuu baby wewee

Chorus:
I give you everything X3
{unanivuruga....} 
Nitafunga moyo sitoki funguo nikukabizi wee 
[i give u everything]
Nitakupa muda wangu na notii , chochote unachotaka wee
[ i give u everything]

(hayayaaa ayaaa...)
Unarangi ya chocolate magnetic romantic 
Jinsi ulivo humble baby so sex wananivuta zaidii 
Kurudi nyumbani late misitaki
[kurudi nyumbani late misitaki..]
Sababu ninawivu moyoni ukiwa mbalii
[sababu ninawivu moyoniiii.....] yeee

Bridge:
(Tulu tulu tulu.........)
Wewe ndo fimbo yangu baby 
Ongeza raha zaidi mamy
Nikuweketu kabisa ndani 
Kwangu wewe ndo burudani
Wewe kiboko yangu baby
Ongeza utamu zaidi mamy
Niwewe tuu tuu baby wewee

Chorus:
I give you everything X3
{unanivuruga....} 
Nitafunga moyo sitoki funguo nikukabizi wee 
[i give u everything]
Nitakupa muda wangu na notii , chochote unachotaka wee
[ i give u everything]

Univuraga vuruga eh....
yani mikwako sisiki baby 
Univuraga vuruga eh...
Unanichanganya changanya
Univuraga vuruga eh

ALIKIBA - MVUMO WA RADI

Intro :

Mh!!!

Verse 1:

Naannza na hii sifa yangu mpweke/
nisifa mingi na mkwezi misina makuzi/
nitakupenda wewe/
nitampenda mama/
na baba yako na ndugu zako /

Pre Chorus :

nitakupa mapenzi mimi/
 wavumbulee  vumbulee/
hujawahi pewa/
wavumbulee  vumbulee/
Nataka usikie /
Kaa mvumo wa radi/
Tatizo lako Sheri unanistahajabisha /
Unavonipendaga kweli roho inaniuma/
Wivu naona, Minaumia /
Im in love wewee/
Nampenda  Sana/

Chorus :

Tupendane Tupendane /
Penzi liwe sawa sawa/
Isiwe nusu na robo kwa kilo /
Penzi robo yengine yaende kule/
Nataka yote mapenzi kwa kilo /
Anh Tupendane Kama mapacha na mama
Na mama......

Hook up :

Tupendane bakongo
Tanzania Uganda Kenya
Burundi na Rwanda
Na Zambia mpaka
Mozambiki Ghana mpaka Nigeria /
Kameruni Sudani mpaka Somalia
Africa Africa nzima tupendane/

Chorus :

Tupendane Tupendane /
Penzi liwe sawa sawa/
Isiwe nusu na robo kwa kilo /
Penzi robo yengine yaende kule/
Nataka yote mapenzi kwa kilo /
Anh Tupendane Kama mapacha na mama
Na mama nasiku zote tuishi Kwa furaha

Verse 2:

Enh tuishi kwa furaha tupendane
uwewangu wa moyoni
Ukisikia homa hile homa ya jiji niwewe /
Wanao jiita masponser my love
Wasikuzingue/
Wanajiona maboss Lady
You're my boss baby
Tena wife material my hny burn /
Hnyburn una banaa
Wengine wote wanaachia Ayaa ayaa
Pre chorus :
Wavumbule wavumbule {x2}
Nitakupa mapenzi mimi/

Chorus :

Tupendane Tupendane /
Penzi liwe sawa sawa/
Isiwe nusu na robo kwa kilo /
Penzi robo yengine yaende kule/
Nataka yote mapenzi kwa kilo /
Anh Tupendane Kama mapacha na mama
Na mama nasiku zote tuishi Kwa furaha

YANJE | OMMY DIMPOZ FT SAYI SHAY |

Intro:

Right know!!!
aaanh aaayaaa annh [x2]/

Chorus:

aaanh aaayaaa annh
We uhuru wanjee  ii/
aaanh aaayaaa annh
wendo roho yanje/
aaanh aaayaaa annh
We uhuru wanjee  ii/
aaanh aaayaaa annh
wendo roho yanje/

Verse 1{Ommy Dimpoz}

Niliteleza mwendo/
Na vibaya vitendo/
Nikapoyosha fikrazoko/
Nami niko magendo ooh/
Habari zote zaskendo/
Usije livua pendo/
Et you know i want you right know/

Bridge:

Baby ndilaa nduvaaa/
baby nzelaaa/
Talk to me right know/

Chorus:

aaanh aaayaaa annh
We uhuru wanjee  ii/
aaanh aaayaaa annh
wendo roho yanje/
aaanh aaayaaa annh
We uhuru wanjee  ii/
aaanh aaayaaa annh
wendo roho yanje/

Verse 2 { Seyi Shay }

Penzi umeliweka vitani Raha umeiondoa/
Nirijaribu uwendani mwenyewe umjiondoa/
Nakukata sijuti umeitia doa/
kukanyaga we basi rudi maumivu kuchomoa/

Me now i know you/
Now dont tell me anymore/
You break ma heart /
Then you left upon the flow/
I Know a girl who you doing happy for/
i say  pric it pric it / 
peek your ass out of the door/

Chorus:

aaanh aaayaaa annh
We uhuru wanjee  ii/
aaanh aaayaaa annh
wendo roho yanje/
aaanh aaayaaa annh
We uhuru wanjee  ii/
aaanh aaayaaa annh
wendo roho yanje/

Bridge:

Baby ndilaa nduvaaa/
baby nzelaaa/
Talk to me right know/

Chorus:

aaanh aaayaaa annh
We uhuru wanjee  ii/
aaanh aaayaaa annh
wendo roho yanje/
aaanh aaayaaa annh
We uhuru wanjee  ii/
aaanh aaayaaa annh
wendo roho yanje/

ASLAY - KWA RAHA

Verse one :
mmh umenipikutisha umeniacha kama bwege 
umenipa ugonjwa kama ule degedege 
mmh sina hata sumni yakununua chipsi zege
eh nikianza kulia machozi yanajaza debe (debe)

imani na hitaji la moyo wako sikulijua 
kumbe kwangu  ulitaka kipato ukakimbia 
anh ulivo pata kile ukitakacho ukazingua (wewe)
kumbe tapeli wamapenzi misikujua (aii wee)

Bridge :
wema sura wa moyo wangu mama ndie 
uliniacha mimi njia panda 
umeondoka na moyo wangu mama aanh 
wakati mwenzako nilisha kupenda 

ulipenda kuforce hatakama sitaki 
yani bando lako lakutumia unataka laki anh
umeisha nifirisi eti aunitaki
sawa mwanakwenda minitapata mungu akipenda 

chorus:

Kwa raha (sawaa)
 kwa raha zako
kwa raha (ponda tuu malizangu wedada)
iyee kwa raha (aya yaa yaa) 
kwa raha zako (kufakwaja)
kwa raha (atanilipia mungu baba bababaa)
 iyee kwa raha kwa raha zako
kwa rahaaaa

Verse two:
ona sasandu umeniachi mdeni 
wayule mama sikudhani
kumbe ulikopaga rosheni {naumbuka huku}
umetupa jiwe gizani kisha limenipata mimi 
wembona hunashukurani {naumbuka huku}
kichwa boga zuga zuga 
mpaka daga nashindwa kukopaa eeh
madeni uliyo niachia nashindwa kulipaa enh

Bridge :
wema sura wa moyo wangu mama ndie 
uliniacha mimi njia panda 
umeondoka na moyo wangu mama aanh 
wakati mwenzako nilisha kupenda 

ulipenda kuforce hatakama sitaki 
yani bando lako lakutumia unataka laki anh
umeisha nifirisi eti aunitaki
sawa mwanakwenda minitapata mungu akipenda 

chorus:

Kwa raha (sawaa)
 kwa raha zako
kwa raha (ponda tuu malizangu wedada)
iyee kwa raha (aya yaa yaa) 
kwa raha zako (kufakwaja)
kwa raha (atanilipia mungu baba bababaa)
 iyee kwa raha kwa raha zako
kwa rahaaaa