Tuesday, December 3, 2019

ASLAY - KWA RAHA

Verse one :
mmh umenipikutisha umeniacha kama bwege 
umenipa ugonjwa kama ule degedege 
mmh sina hata sumni yakununua chipsi zege
eh nikianza kulia machozi yanajaza debe (debe)

imani na hitaji la moyo wako sikulijua 
kumbe kwangu  ulitaka kipato ukakimbia 
anh ulivo pata kile ukitakacho ukazingua (wewe)
kumbe tapeli wamapenzi misikujua (aii wee)

Bridge :
wema sura wa moyo wangu mama ndie 
uliniacha mimi njia panda 
umeondoka na moyo wangu mama aanh 
wakati mwenzako nilisha kupenda 

ulipenda kuforce hatakama sitaki 
yani bando lako lakutumia unataka laki anh
umeisha nifirisi eti aunitaki
sawa mwanakwenda minitapata mungu akipenda 

chorus:

Kwa raha (sawaa)
 kwa raha zako
kwa raha (ponda tuu malizangu wedada)
iyee kwa raha (aya yaa yaa) 
kwa raha zako (kufakwaja)
kwa raha (atanilipia mungu baba bababaa)
 iyee kwa raha kwa raha zako
kwa rahaaaa

Verse two:
ona sasandu umeniachi mdeni 
wayule mama sikudhani
kumbe ulikopaga rosheni {naumbuka huku}
umetupa jiwe gizani kisha limenipata mimi 
wembona hunashukurani {naumbuka huku}
kichwa boga zuga zuga 
mpaka daga nashindwa kukopaa eeh
madeni uliyo niachia nashindwa kulipaa enh

Bridge :
wema sura wa moyo wangu mama ndie 
uliniacha mimi njia panda 
umeondoka na moyo wangu mama aanh 
wakati mwenzako nilisha kupenda 

ulipenda kuforce hatakama sitaki 
yani bando lako lakutumia unataka laki anh
umeisha nifirisi eti aunitaki
sawa mwanakwenda minitapata mungu akipenda 

chorus:

Kwa raha (sawaa)
 kwa raha zako
kwa raha (ponda tuu malizangu wedada)
iyee kwa raha (aya yaa yaa) 
kwa raha zako (kufakwaja)
kwa raha (atanilipia mungu baba bababaa)
 iyee kwa raha kwa raha zako
kwa rahaaaa

No comments:

Post a Comment