Tuesday, December 3, 2019

Dume Suruali MwanaFA

We ni dume suruali kaa mbali nami
Mbali nami
Kama dume suruali kaa mbali nami
Huendani nami
Falsafaaaa
Who dat who dat hii ni salamu
Na ufahamu kama unauza mapenzi si kwa Binamu
Huna haja ya kusubiri hii ni hukumu
Hakuna kitu utapata utangoja kama askari wa zamu
Dume suruali
Dume kaptura
Shauri zako ilimradi sipati hasara
Usione utani mimi siongei hata kwa ishara
Utaniambia nini mpaka unigeuze Fala
Kwanza naskia hongo zinaleta mkosi
Senti tano yangu hugusi hata ukiongea kidosi
Yabaki mapenzi tusileteani ujambazi
Hata upige sarakasi utachonga viazi
(Bahili kama nini)
Ndo mnavyosema
Na ukiniomba kesho hunisikii tena
Kwani unauza nini dada hunitakii mema
We ni dume suruali kaa mbali nami
Mbali nami aaah
Kama dume suruali kaa mbali nami
Huendani nami
I want that Gucci
Fendi
Spend all on a girl like me
My name is Vee Money (money)
Spend all on a girl like me
Nihonge nanunua nini kwanini yani
Kuna kipi nisichokijua ina TV ndani
Usiulize ntakupa nini dada
Piga moyo konde
Viuno vingi kama mwari wa kimakonde
Usipende ela kama mfuko
Au fanya unavyofanya upate zako
Vishawishi vingi binti sema na moyo wako
Na ujifunze pesa zinauza utu wako
Tajiri mtata kama Sallah
Zipo ila sitoi
Sio Bahiri mimi balaa
Unapenda ela zangu nami nazipenda pia
Kila mtu abaki na zake
Bye babe tutaongea
(Mwanaume wa hivyo wa nini sasa?)
Ndo mnavyosema
Na ukiniomba kesho hunisikii teyna
Kwani unauza nini dada hunitakii mema
We ni dume suruali kaa mbali nami
Mbali nami aaah
Kama dume suruali kaa mbali nami
Huendani nami
I want that Gucci
Fendi
Spend all on a girl like me
My name is Vee Money (money)
Spend all on a girl like me
Aje aje
Mi mtoto flani ghali
Yeaah
Nihonge gari
My sweet sweet babe
Wanna see u today
Unipeleke Paris
Aje aje
Njoo nikupe TBT
Yeaaah
Siyo kwa enzi ya Magufuli
Zali lilikuwa long siku hizi hakuna la mentali
Nikikuhonga na ukaniacha ntakujia usingizini
Naepusha shari
Matatizo yote ya nini?
Hakuna kipya chini ya jua
Hata nsiyoyafanya nshayasikia
Ningekuwa muhongaji ningeshafulia wangu
Mademu wangu wa zamani
Wote wangekuwa maadui zangu
(Mwanaume hovyo wewe)
Ndo mnavyosema
Na ukiniomba kesho hunisikii tena
Kwani unauza nini dada
Hunitakii mema
(Baki na hamu zako)
We ni dume suruali kaa mbali nami
Mbali nami aaah
Kama dume suruali kaa mbali nami
Huendani nami
I want that Gucci
Fendi
Spend all on a girl like me
My name is Vee Money (money)
Spend all on a girl like me
Baba bure huyu
Hata Pantoni lina staff
Unamwambia nani sasa
Unamwambia nani sasa

No comments:

Post a Comment