Tuesday, December 3, 2019

ASLAY - NIBEBE

Intro :
mmmmmh 

Verse one:

Labda mapenzi yawaumiza roho zao
Et kwengine sipati sijiwezi 
Ndo maneno wasema, Kwamba  
kwako sifurukuti sijiweziii
Ivyo ivyo wanavyo sema
 namimi nanyamaza kimya {Nakupenda}
ogopaa nikikuona nakuwa mkimyaa 
Sina chakusema Nakupenda 

Labda Sina faragha Nashuka kupanda 
ila nakupenda 
Mimi kwako nimjinga sinaga ujanga wache wanongonaa

Bridge:
Kama chumba midalali{aaanhnn}
Penzi letu lifike mbalii {aaanhnn}

Chorus:

Nibebe bee [nakupenda usiwe namakuu]
BabyNibebe bee [atakama nikininginiza miguu]
Nibebe bee [wanataka niwechini wao juu]
Mpenzi wee ninbebe bee {aaanhnn annnh}

Nimesiki wamekuundia na group 
matusi matupu
wanakunyanyasa wanakutukana 
jitoee
Usiwe mchonga vivyago utanifirisi
mwisho wasiku  tukigombana ikawa hadithii
Wee kitumbo mbelembele kwa kuku na chipsi
usie acha mifupa utakuwa fisii

Bridge:
Kama chumba midalali{aaanhnn}
Penzi letu lifike mbalii {aaanhnn}

Chorus:

Nibebe bee [nakupenda usiwe namakuu]
BabyNibebe bee [atakama nikininginiza miguu]
Nibebe bee [wanataka niwechini wao juu]
Mpenzi wee ninbebe bee {aaanhnn annnh}

No comments:

Post a Comment