Tuesday, December 3, 2019

Hawajui Vanessa Mdee lyrics

Nahreel wussup wussup wussup wussup
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
Kila kitu majaliwa kupata nimebarikiwaga
Nini tilalila usiku mchana unabwabwaja
Kwako mi mpira unanicheza unavyotaka
Kila siku beki leo kipa nimekudaka
We mwanadamu gani uliyekosa aibu
Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
Huishi Zogoa Zogoa
Kila Siku Zogoa Zogoa
Ukilala Zogoa Zogoa
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
Choko choko ndiyo mambo mliozoea
Kuweka vigenge na makundi mkiniongelea ah ah
Eti naringa, nikishinda mnavimba, hamuishi kuniwinda
Mungu ndiyo ananilinda
We mwanadamu gani uliyekosa aibu
Kunisema kwa ubaya
Na ukiapa kwa Mungu
Huishi zogoa zogoa
Kila siku zogoa zogoa
Ukilala zogoa zogoa
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
We mwanadamu gani uliyekosa aibu
Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
Huishi Zogoa Zogoa
Kila Siku Zogoa Zogoa
Ukilala Zogoa Zogoa
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana

No comments:

Post a Comment