Wednesday, November 29, 2017

Kajiandae alikiba lyrics

Oh cherie
Usione nachelewa
Mwenzako nafanya mipango
Tupate riziki kidogo
Yo mamii
Usione nachelewa
Yote sababu mipango utasubiri kidogo
My moonlight
My sunshine
My moonlight
My moonlight
My sunshine
My moonlight
Nimekuwa kama daladala
Kutwa kuchwa kwa barabara
Kuzichanga hizo gwalagwala nikutunze mama
Nimekuwa kama daladala
Kutwa kuchwa kwa barabara
Kuzichanga hizo gwalagwala nikutunze mama
Basi mamii ooh
Kajiandae
We jiandae andae
Vunja kabati kidogo
Kajiandae
We jiandae andae
Basi mamii ooh
Kajiandae
We jiandae andae
Nikutoe out kidogo
Kajiandae
We jiandae andae
Mimi nakuja oooh
Kajiandae
We jiandae andae
Kuna foleni kidogo
Kajiandae
We jiandae andae
Mamii mamii ooh
Kajiandae
We jiandae andae
Nimepata visenti kidogo
Kajiandae
We jiandae andae
Kajiandae
Imeandikwa kila mtu na msalaba wake
Na we ndio ndo roho yangu mi nataka utoke
Alichonipa Mungu mimi unakijua
Sina haja ya kujitutumua nikaumia
Ile saa aloniachia babu unaikumbuka
Mimi niliuza jana ili tupate pesa
Kwanza uvae upendeze na tabasamu lako
Uhai kwangu mimi kwenye upini wako
Mshahara bado mashaka kazini sijalipwa
Liwezekanalo leo lisingoje kesho
We ndo raha yangu
Na mimi ndo raha yako
Umejawa roho yangu
Kajiandae
Basi mamii ooh
Kajiandae
We jiandae andae
Vunja kabati kidogo
Kajiandae
We jiandae andae
Basi mamii ooh
Kajiandae
We jiandae andae
Nikutoe out kidogo
Kajiandae
We jiandae andae
Mimi nakuja oooh
Kajiandae
We jiandae andae
Kuna foleni kidogo
Kajiandae
We jiandae andae
Mamii mamii ooh
Kajiandae
We jiandae andae
Nimepata visenti kidogo
Kajiandae
We jiandae andae
Kajiandae
Wewe na mimi mimi ooh
Ujiandaee ooh
Najua siku moja moja raha
Si haba uko nami
Kajiandae
We jiandae
We jiandae andae
We jiandae
We jiandae andae
We jiandae
We jiandae andae
We jiandae
We jiandae andae

Lini alikiba

Nakuthamini kama dola
Wala usije nichora
Ukaniletea ukora
Chochote unachotaka we hu decide
Kwenye mabaya we huni guide
You’re my baby can’t deny
Baby hmm
(Eeeh)
You got my spirit to rise I’m popping
(Eeeh)
She like a ride to the heavens I’m a puppet
(Eeeh)
You got my spirit to rise I’m popping
(Eeeh)
She like a ride to the heavens I’m a puppet
Itakuwa ni lini au saa ngapi (lini saa ngapi)
Atakuwa ni mzawa wa wapi (what is love)
When you wanna fall in love with somebody
When you wanna get a lot with somebody
Atokee kwa bibi
Amfunge vikali
Akipasi maujanja baby
Na me nitamkubali eh
Amfunze maujanja (ujanja ujanja)
Asiende kwa mganga (mganga mganga)
Nimejawa na ma lover lover
Hakuna expire
Nitalinda na kulea lea
Kama mtoto wa jana
Nimejawa na ma lover lover
Hakuna expire
Nitalinda na kulea lea lea lea lee
Itakuwa ni lini au saa ngapi (lini saa ngapi)
Atakuwa ni mzawa wa wapi (what is love)
When you wanna fall in love with somebody
When you wanna get a lot with somebody
Kuna siri kubwa juu yako na mimi
Kukupata mpaka kuwa wangu my queen
Nikikuzima me tulia na mimi
Ya ndani tuyamalize chini chini
Si wajua mwanzo wako we na mimi yo
Kukupata mpaka kunijibu ndio
Nikikuzima me tulia na mimi
Ya ndani tuyamalize chini chini
Nikitaka Ile kitu baby wangu come now now now
Gimme some more baby now now now
Look at my eyes baby now now now
Sex in the morning now now now
Whine for me baby now now now
Bring it turn over
Don’t blame me baby
Don’t flex it baby
Don’t fake it
Itakuwa ni lini au saa ngapi (lini saa ngapi)
Atakuwa ni mzawa wa wapi (what is love)
When you wanna fall in love with somebody
When you wanna get a lot with somebody
Itakuwa ni lini au saa ngapi (lini saa ngapi)
Atakuwa ni mzawa wa wapi (what is love)
When you wanna fall in love with somebody
When you wanna get a lot with somebody
Nakuthamini kama dola
Wala usije nichora
Ukaniletea ukora
Nakuthamini kama dola
Wala usije nichora
Ukaniletea ukora

Jux utaniua lyrics

Iyei
Iyeiye
Iyei
Imekua asubuhi uwanja wa mapenzi moyoni umechafuka
Nami sitakikufagia upendo uende
Nina jua yangu roho ni ndogo ni ndogo hasa ikipenda-e
Ndio maana ukiwa tofauti baby unaniumiza ndani ndani (iyee)
Bado najiuliza ni kipi sijatimiza
Bado najiuliza ni kipi kinakuumiza
Bado najiuliza ni kipi mi sijaweza baby
Bado najiuliza ni kipi sijatimiza (haa)
Bado najiuliza ni kipi kinakuumiza (haa)
Bado najiuliza ni kipi mi sijaweza baby (haa)
Hey
Utaniua ua (haaha)
Hey (haaha)
My baby utaniua ua (haaha)
Hey (haaaha)
Ooh utaniua ua (haaha)
Hey (haaha)
Ooh babe utaniua ua (haaha)
Hey (haaha)
(Utaniua ua)
Nilijichangachanga ilimradi upendeze (ha)
Nikajibanabana minisijikweze (ha)
Sikutaka kugombana nikupoteze baby
Ilimradi niwe na wewe
Kibaya zaidi (naumia na upendo wako my love)
Ulisema mpaka kifo mama (ha) tungelizikwa wote
(Tungelifa wote)
Ila unanikatisha tamaa (ha) mimi sitaki uende
Bado najiuliza ni kipi sijatimiza
Bado najiuliza ni kipi kinakuumiza
Bado najiuliza ni kipi mi sijaweza baby
Bado najiuliza ni kipi sijatimiza (haa)
Bado najiuliza ni kipi kinakuumiza (haa)
Bado najiuliza ni kipi mi sijaweza baby (haa)
Hey
Utaniua ua (haaha)
Hey (haaha)
My baby utaniua ua (haaha)
Hey (haaaha)
Ooh utaniua ua (haaha)
Hey (haaha)
Ooh babe utaniua ua (haaha)
Hey (haaha)
(Utaniua ua)
We mama wee unaniua ua (we mama wee)
Unaniua ua
We mama wee unaniua ua (we mama wee)
Unaniua ua
We mama wee unaniua ua (we mama wee)
Unaniua ua
We mama wee unaniua ua (we mama wee)
Unaniua ua (haaha)
Hey (haaha)
Oh baby Unaniua ua (haaha)
Wewe unaniua ua (haaha)
Heiyeiye (haaha)
Unaniua ua (haaha)
Mh hey (haaha)
Unaniua ua
Your love your the one
You love the one
You love the one
Your love
Your love the one
Your love the one
Your love the one
Your love
Your love the one
Your love the one
Your love the one
Your love
Your love the one
Your love the one
Your love the one
Your love

Jux umenikamata lyrics

Nisikilize ninavyoimba
Na pia navyopiga gita
Naona Watu wamependeza aah
Nyuso zao zimejaa furaha (furaha ah)
Najua ujue leo hii kitatokea nini
Najua ujue leo hii nitakuambia nini
(Nitakuambia nini darling)
I do these for you (these for you)
I do these for you (these for you)
(I do these for you)
I do these for you (I do these for you)
These for you (I do these for you)
I do these for you (I do these for you)
These for you
Najua napenda kukuona wewe ukiwa na furaha (ah)
Najua thamani na heshima yako kweli unanifaa
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata
Haki ya Mungu wewe ni mzuri you are so beautifull
Na Mungu kakujalia hauna chembe ya Kiburi
Wewe ni msafi wa roho I don’t wanna let you go
I wanna marry you girl and nothing comes between us
Am gonna give you my loving and make them wanna be us
I do these for you (these for you)
I do these for you (these for you)
(I do these for you)
I do these for you (I do these for you)
These for you (I do these for you)
I do these for you (I do these for you)
These for you
Najua napenda kukuona wewe ukiwa na furaha (ah)
Najua thamani na heshima yako kweli unanifaa
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata
Mamy namuomba Mungu akulinde
Akutunze na watoto uniletee
Wewe ni furaha yangu (yangu)
Maisha yangu (ni wewe)
Ni wee
Najua napenda kukuona wewe ukiwa na furaha (ah)
Najua thamani na heshima yako kweli unanifaa
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata
Umenikamata wee umenikamata

Alikiba seduce me lyrics

Alikiba – Seduce Me Lyrics

Audio Player
00:00
00:00
Do not do like that I’m too smart dada
Seduce me like what the hell (ah hold up)
What the hell
Don’t do like that I’m too smart dada
Seduce me like what the hell (ah hold up)
What the hell
Nakuona unakata be careful sister
Na kama unataka they call me heart breaker (breaker)
Nina majina mapya kila mmoja amenipa
Wananiita kipusa ooh pasua kichwa
Mi ninamajina mapya kila kona wamenipa
Wananiita kipusa ooh pasua kichwa
Do not do like that I’m too smart dada
Seduce me like what the hell (ah hold up)
What the hell
Don’t do like that I’m too smart dada
Seduce me like what the hell (ah hold up)
What the hell
Eh Najua kupenda nagawa mavumba
Na kama unataka they call me kiba Rockstar
Nina mandinga mapya kila mmoja nampa
Wananiita misifa ooh pasua kichwa
Nina mandinga mapya kila mmoja nampa
Wananiita misifa ooh pasua kichwa ona
Do not do like that I’m too smart dada
Seduce me like what the hell (ah hold up)
What the hell
Don’t do like that I’m too smart dada
Seduce me like what the hell (ah hold up)
What the hell
Yup You know me girl I go by the name Alikiba
Unstopable what the…
Bambamba lailalaila bamba Despacito
Despacito cheza kidogo
Zungusha kiuno chako unionyeshe

Averina lyrics

Audio Player
00:00

00:00
Aaaah maskini moyo wangu uh unaniuma sana
Maskini nafsi yangu uh inahuzunika
Wewe ndio daktari wangu wa kutibu maradhi yangu
Nami ndani naumia
Wewe ndio daktari wangu wa kutibu maradhi yangu
Nia yao waharibu pendo nia yao wazamishe pendo
Nia yao waharibu pendo nia yao wazamishe pendo
wenye macho waliona jinsi tulivyopendeza
tena ndani ya penzi letu sumu wanasambaza
Averina (averina) mwambie Guso atulie
Averina (averina) mwambie Guso atulie
Averina (averina) mwambie Guso atuliw
Averina (averina) mwambie Guso atulie
Ingawa mimi bado ni wake sitaweza kukosea
Ingawa mimi bado ni wake sitaweza kukosea
Ingawa mimi bado ni wake sitaweza kukosea
Ingawa mimi bado ni wake sitaweza kukosea
Wewe wahuba wewe kidani changu
Wewe ni hazizi wangu wewe moyo wangu
Uh nia yao waharibu pendo nia yao wazamishe upendo
Shemeji Averina mwambie koso hali sina
mwengine sina uongo sina
Milupo inajileta habari sina nipo fiti na tayari nishapima
Maisha safi uje turide kwenye bima
Achane na maneno ya watu hawapendi penzi letu katu
Nitamganda kama smaku akitaka kumpanga ajibu aah
Nini anataka atulie machozi asitoke asilie
Habari za uzushi asisikie wazushi akiwaona akimbie
Ili maneno ya uzushi wasimwambie bado nampenda abaki namie
Averina (averina) mwambie uso watuli
Averina (averina) mwambie uso watulie
Averina (averina) mwambie uso watuli
Averina (averina) mwambie uso watulie
Ingawa mimi bado ni wake sitoweza kumkosea
Ingawa mimi bado ni wake sitoweza kumkosea
Ingawa mimi bado ni wake sitoweza kumkosea
Ingawa mimi bado ni wake sitoweza kumkosea
Tenten mwambie Skillz ahaaa hakuna kikubwa chini ya jua asante
Simbaaa hahahaha apa choma … avinadi