Friday, December 30, 2016

Lyric G Nako Arosto Ft. Chin Bees & Nikki Wa Pili

[Hook 1 – G Nako]
Gari umeniwasha, eh
Na hii arosto yangu, nani aniponye?
Gari umeniwasha, eh
Na hii arosto yangu, nani aniponye?
Gari umeniwasha, gari umeniwasha
Gari umeniwasha eh
Gari umeniwasha, gari umeniwasha
Gari umeniwasha eh
[Hook 2 – Chin Bees]
Uu uh arosto, usiniache na arosto
Baby baby uh uh
Arosto, usiniache na arosto
Baby baby uh uh
Arosto, usiniache na arosto
Baby baby uh uh
Arosto, usiniache na arosto
[Verse 1 – G Nako]
Nikaanza peleka round kwanza
Nikamuendea kumuombea tenga mamaa
Nkamvuta chemba, tema cheche kadhaa
Kumuomba denda akaniambia “tamaa
Mbona less, hata kujuana jamaa”
Nikaenda less sikushtuka kwamba
Labda huyu sio demu wa majina na material
Ni ngumu kumpa vina aingie interior
Mi huwaga OG, hujasikia “Original”?
Nataka nikumiliki sitaki kiki no!
[Pre-Hook – Chin Bees]
Ou ou uh
Nakusakanya kila kona sikuoni
Napaperemba, uko wapi mamii?
Nakusakanya kila kona sikuoni
[Hook 1 – G Nako]
Gari umeniwasha, eh
Na hii arosto yangu, nani aniponye?
Gari umeniwasha, eh
Na hii arosto yangu, nani aniponye?
Gari umeniwasha, gari umeniwasha
Gari umeniwasha eh
Gari umeniwasha, gari umeniwasha
Gari umeniwasha eh
[Hook 2 – Chin Bees]
Uu uh arosto, usiniache na arosto
Baby baby uh uh
Arosto, usiniache na arosto
Baby baby uh uh
Arosto, usiniache na arosto
Baby baby uh uh
Arosto, usiniache na arosto
[Verse 2 – G Nako]
Kukushika ukanizungushia
Kukuomba namba ukanizungusha
Ukanambia “why you worry, G?
Tupo wote mpaka kuna kucha”
Nkadhani yangu yote kumbe chaukucha
Unanirusha, rusha
Samaki nje ya maji umenivusha, vusha
Haukuniaga alamsiki, no!
Haukuniachia signal
Umeniacha tu na ala ya mziki oh
[Pre-Hook – Chin Bees]
Nakaperemba, uko wapi mamii?
Nakusakanya kila kona sikuoni
Nakaperemba, uko wapi mamii?
Nakusakanya kila kona sikuoni
[Hook 1 – G Nako]
Gari umeniwasha, eh
Na hii arosto yangu, nani aniponye?
Gari umeniwasha, eh
Na hii arosto yangu, nani aniponye?
Gari umeniwasha, gari umeniwasha
Gari umeniwasha eh
Gari umeniwasha, gari umeniwasha
Gari umeniwasha eh
[Hook 2 – Chin Bees]
Uu uh arosto, usiniache na arosto
Baby baby uh uh
Arosto, usiniache na arosto
Baby baby uh uh
Arosto, usiniache na arosto
Baby baby uh uh
Arosto, usiniache na arosto
[Verse 3 – Nikki Wa Pili]
Mama ma-ex wangu na uwa-diss
Maana ma-ex wangu wote walikuwa rahisi
Sikujua kutongoza kuwa ni ngumu like this
Sikujua mi sijui kutongoza like this, ah
Kumbe kushobo shobokewa
Kuwapata kuwa ngekewa
Ni kuanza kuondokewa
Na maujuzi yako ya watoto kuwatokea
Na upuuzi wake leo mtoto kapotea
Ah!
[Hook 2 – Chin Bees]
Uu uh arosto, usiniache na arosto
Baby baby uh uh
Arosto, usiniache na arosto
Baby bab

No comments:

Post a Comment