Tuesday, April 3, 2018

Yahaya lady Jay dee lyrics

Yahaya unaishi wapi Kwani jina lako halisi nani Yahaya eeehh
Oooh Yahaya, Oooh Yahaya, Oooh Yahaya
Maskani yako Kinondoni, Nyumba namba haijulikani Yahaya eeeehh
Oooh Yahaya, Oooh Yahaya
Huyu kijana mwenzetu, Kila siku tupo nae maskani
Anakula ofa za watu, Anakoishi hata hapajulikani
Tumetafuta, tumeuliza, hakuna ajuae
Anavyozuga, anavyopita Si umdhaniae
Na hafananii kabisa, na fix anazofanya
Akidanganya kwa kina, Unaingia kingi unafuata, kumbe hana helaaaa
Kwa story za vilingeni, Utafikiri kweli yeye ndio bosi
Suruali zake na mashati, Anasema anafanya kazi benki
Mara anasema usalama wa Taifa, Hakuna ajuae
Kalubandika wa kizazi kipya, usomdhaniae
Na hafananii kabisa, na fix anazofanya
Akidanganya kwa kina, Unaingia kingi unafuata, kumbe hana helaaaa
 
 
Mara anasema usalama wa Taifa Hakuna ajuae
Kalubandika wa kizazi kipya Uso mdhaniae
Na hafananii kabisa na fix anazo fanya
Akidanganya kwa kina, unaingia kingi unafuata Kumbe hana helaa

No comments:

Post a Comment