Thursday, February 11, 2016

Haturudi Nyuma Kidum Juliana

Haturudi Nyuma

Kidum
Haturudi Nyuma by Kidum featuring Juliana, Uganda and Tanzania Lyrics
Verse 1 
nieleze vipi mimi ntaweza kuishi bila wewe 
ukiniacha ukienda zako, penzi wewe 
kama ni ukweli, yale nasikia kwa majirani 
ya kwamba utakuja kwenda zako 
uliniahidi, tutakuwa tukijadiliana 
na maswali yangeleta utata 
kwa nini chinichini 
unanificha yanayokusinya 
lakini unayosema, ni majirani 
kwa nini kando kando 
unanificha yanayokuudhi 
lakini unayateta kwa marafiki
ukiniacha mi ntalia 
ukienda zako ntabaki naumia 
kama ungelijua 
uoga ni lao, kukupoteza 
ndio nasema, baby

Chorus 
nakuomba please ubaki nami 
nasema penzi 
nakuomba ubaki, tujaribu tena, tunayo nafasi 
ya kuanza tena 
tunayo nafasi 
ya kujikosoa, haturudi nyuma kamwe 
haturudi nyuma kamwe
Juliana wee

Verse 2 
watu wanasema kama karibuni wee unaoa tena 
ya kwamba nianze kujipanga 
si ukweli, nimekataa 
ni tahadhari kubwa kwangu, na unanitisha 
sijui nimekosea wapi 
uliniahidi 
kama kila jambo lote la nyumbani 
ni muhimu kuliweka wazi 
Ni kuki shenge 
Uguma buri gihe umbabaza 
Kandi uzi ko ngukunda 
Ni kuki rukundo 
Uguma untera umujinya 
Ukica amatwi ngukunda
ukiniacha mi ntalia 
ukienda zako ntabaki naumia 
kama ungelijua 
uoga ni lao, kukupoteza 
ndio nasema, baby

Chorus 
nakuomba please ubaki nami 
nasema penzi 
nakuomba ubaki, tujaribu tena, tunayo nafasi 
ya kuanza tena 
tunayo nafasi 
ya kujikosoa, haturudi nyuma kamwe 
haturudi nyuma kamwe

No comments:

Post a Comment