Tuesday, May 16, 2017

Speak tairi matonya lyrics

Najua nishachelewa
Kama kupenda umeshawahiwa
Nahisi kama ngekewa
Hadithi nzuri nasimuliwa
Kweli Maanani kaumba dunia kwa uwezo wa pekee
Nakupa marks asilimia mia baada wifey wewe
Kwani, lini, honey utakuja niamini?
Ya kwamba kidole kimoja hakiwezi vunja chawa hasirani
Pini ukinilia mi utanipa kovu kubwa maishani
Kwani Tonya mi tayari kuwa hata kwa spare tairi
Tafadhali Lati niamini
Nenda kwanza kafikiri
Tonya boy mi ni tayari kuwa hata spare tairi
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)
Kila ndege hutua kwenye mti aupendao
Hata kama una miba na majani kibao
Nishatota nugu tafadhali nikubali mwenzio
Hata kama una mchumba sitoweka vikwazo
Ayaa, hata mimi nakupenda kwenye hii sayari
Ayaa, na tabia za watu Lati huwezi tabiri
Unaweza tendwa na uliye nae
Nikaziba pengo juu yake yeye, Lati niamini
Tafadhali Lati niamini
Nenda kwanza kafikiri
Tonya boy mi ni tayari kuwa hata spare tairi
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)
Kila kukicha mi naona jii
Hata mwenzangu hueleweki
Na jibu langu hunipi
Nitafanyanini sasa wangu Lati
Kila kukicha mi naona jii (eeh)
Hata mwenzangu hueleweki (eeh)
Na jibu langu hunipi (eeh)
Nitafanyanini sasa wangu Lati (eeh)
Tafadhali Lati niamini
Nenda kwanza kafikiri
Tonya boy mi ni tayari kuwa hata spare tairi
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)
Bumsara bumsara ise (eeh)
Hata maua hunyauka (eeh)
Tafadhali Lati nitunze (eeh)
Ipo siku ntakayofaa (eeh)

No comments:

Post a Comment