Tuesday, May 16, 2017

So uliniambia mb Dogg lyrics

Si kwamba tu naimba sometimes huwa nalia
Hofu na mashaka ulipo labda una-share
Ulisema waja mnyamwezi nikakungojea
Sema mami sema lini utarejea
Ee-eh eh I love you maa
Oo-oh oh I love you girl
Ee-eh eh I love you maa
Oo-oh oh I love you girl
Na uliposema waja wengi walikungojea
Mara muda umepita Abdul Bonge umeshamboa
Hivi kangoja mpaka Mola kamchukua
Sema mamii sema lini utarejea
Ee-eh eh I love you maa
Oo-oh oh I love you girl
Ee-eh eh I love you maa
Oo-oh oh I love you girl
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Ajabu toka ulipotoka miaka imepita
Sijakuona wangu my darling
Ni mbali uliko mi’ko mi na mashaka
Nakosa raha kabisa
Penzi lako nkilikosa baby kwangu soo
Ndo mana mi nakwita baby baby kwangu njoo
Nakupa live baby unanitesa roho
Ndo maana nakonda nadata na beat zapo
Au ndo ule mfano baby wanipenda roho
Na ile nyama mbichi baby itaniuma roho
Kama ni dili ntazicheza baadae
Kwanza rudi home washangae
Rudi home baby ili wapagawe
Nicheze nawe Kuchi Kuchi Hota Haii
Nakusubiri baby nakungojea mchumba
Nakusubiri nakungoja mchumba usinizuge
Nakusubiri baby nakungojea mchumba
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Ajabu toka ulipotoka miaka imepita
Sijakuona wangu my darling
Ni mbali uliko mi’ko mi na mashaka
Nakosa raha kabisa
Na kama waja niambie baby yee iye
Kama utanitosa mi nijua baby ei yee
Yaani na maana sina jinsi I love you girl
I love you shori everyday
Na maana sina jinsi I love you girl
I love you shori everyday
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Si ulinambia kwamba waja
Man Dogg man mi nakungoja
Ajabu toka ulipotoka miaka imepita
Sijakuona wangu my darling
Ni mbali uliko mi’ko mi na mashaka
Nakosa raha kabisa

No comments:

Post a Comment