Saturday, December 24, 2016

Godzilla ft. Marco Chali - Nataka (Produced by Marco Chal

Godzilla ft. Marco Chali - Nataka (Produced by Marco Chali


Verse I
Weita leta mitungi ,
Mbaka asubuhi nakunywa siyumbi(X2)
Nipe mimi pia na marco chali,
Usijari nje nimecome na gari
Vumbi linatimKa basi njoo uone
Kwasa kwasa mbaKa zile indemonie
Mambo yako poa kila kitu mukide mukide,
Ka dully juu chini mwendo shikide shikide
Beef cha yupo na wolper
Kwenye viwanja zilla huwezi nikosaa

(Bridge)
(Nasema ahahahah
Ayaaayaa yaayaaa)X2

Chorus:
NataKaaa,kusomeka viwanja vyote na sehemu,
Zenye baata,
Cheza na manzi yangu lakini usivukee mipakaa,
Ukijifanya mtoto wa mbwa si wenyewe mbona watoto wa paKa.
Ahaahah(hahaah)

Verse II#
Dondoshaa champgne again
Counter nimeclear,niko safi sina deni(X2)
Watoto wamepandishaa moriii
Hizi ndo zetu tukikuuzi we sorry
Hapa ni tungi badala ya tungi
Usiku mzima busy tunasaga mirungi
Mkono wa kushoto big g na soda.
Nahitaji john walker nimeshaweka order,
Angushaa hiloo bapa here we go
Tungi haliishi zimejaa kwenye store

(Bridge)
(Nasema ahahahah
Ayaaayaa yaayaaa)X2

Chorus:
NataKaaa,kusomeka viwanja vyote na sehemu,
Zenye baata,
Cheza na manzi yangu lakini usivukee mipakaa,
Ukijifanya mtoto wa mbwa si wenyewe mbona watoto wa paKa.
Ahaahah(hahaah)

Bridge:
Nipo nipo kwenye party
We unabaki hapa mi nasonga palee
(X2)
Leta leta ,letaa mondee letaaa
Leta leta letaa mondee basi letaa

Chorus:
NataKaaa,kusomeka viwanja vyote na sehemu,
Zenye baata,
Cheza na manzi yangu lakini usivukee mipakaa,
Ukijifanya mtoto wa mbwa si wenyewe mbona watoto wa paKa.
Ahaahah(hahaah)

No comments:

Post a Comment