Saturday, December 24, 2016

Izzo Bizness ft. Belle 9 - Utarudishwa

Intro: Izzo Bizness

Attention!!!
This Is Dirty Mode Record and One The Incredible
I got ma big boy Belle 9
Mbeya City
Triss, Word Up
Is On TOP now, whooohh
Here we go now

Verse 1: Izzo Bizness

Mateso dhiki bado hadithi haijaisha, vya kurithi wamebinafsisha
Njaa adui mkubwa na silaha zimetuishia, tusaidieni nyie wakubwa tuliwachagua
Mpenzi tabu kazichoka na bado ananizimia, kachoka shona viraka wadau wanamvizia (woohhh)
Yataka moyo wapinzani kila kukicha, ubinafsi chuki na uchoyo argh kila kukicha
Viganja vinawasha na pesa haionekani, habari nawapasha tumtafute mchawi nani
Sio MBEYA dunia nzima wote tuingie vitani, Say what??
Dunia nzima wote tuingie vitani… whooh
Graph yangu ipo kasi inapanda hata haishuki, wanao-fake ni wafuasi sasa imefika tamati
Hawapindui hawajui wote kwangu ni masokolo, mimi msondo hawajui wao Twanga Chipolopolo

Chorus: Belle 9 & Izzo Bizness
Izzo… What??
Izzo… That’s Ma Name
Utarudishwa MBEYA
Izzo… what you saying
Izzo… Yeaaah
Utarudishwa MBEYA
Izzo… Na Naniii?
Izzo Izzo… Utarudishwa MBEYA
What??
Izzo… acha kuwabana, Izzo… kausha
Utarudishwa MBEYAAA
Shauri Yakooo




Verse 2: Izzo Bizness

Nawasoma uwezo hawana nawabana, nawamwagia zangu laana
Uzito wao bado mdogo kilo zetu hazifanani, siogopi kuwapa kisogo kusema wamseme nani
Haya kweli mapinduzi thanks a lot FA, hawanitishi hawa makuzi anga hizi hawasogei
Sitishiki na mizoga watishieni hao fisi, wanakesha wanaroga siogopi nawapa stress
Nawapuliza hawaenei wanahofia, wameanza mimi namaliza hii mvua nawanyeshea
Nawatwanga nawapepeta muulize Asha Baraka, melody tamu za matata mpaka utamu umepita
Movie hii sio bongo si-shoot kwa siku moja, nooh… mi ni star mwenye usongo uta-dead kwa hizi hoja
Wabunifu wa mavazi sikujua kumbe ma-model, hivi haikushangazi kwa IZZO ukileta nyodo…
Aaannhhh

REPEAT CHORUS:

Verse 3: Izzo Bizness

Yote wananisema mimi, siwezi loose nimejipanga isitoshe najiamini
Got image good looking yes ladies they love me, still roll and rocking and my hood still shining
Big contracts I keep on signing hommie, yeah nigga I keep on signing
Tamaa chanzo cha dhambi so vizuri tukaishinda, wanaobebwa hawatambi wanajiita mabingwa
Akili nguvu tele ninazo jipange kushindana, niite mjinga toa vigezo we mnyonyaji huna maana
Natubu kama Chiddi japo sitokei Ilala, nasema ukweli inapobidi na uniamini kama sala
Maisha ya shida na njaa ndio chanzo cha u-ganster, hii ni mtaa kwa mtaa kujichanganya tupo faster
UYOLE, MWANJELWA, SOWETO hawakatai, pande za ILOMBA, MBALIZI mpaka wanangu wa SAE
MAMA JOHN, ISANGA mpaka NONDE kwa makauzu, visu na mapanga ukionekana kavu
Uuuuuhhhhh

Clam down Bizness
Nani wa kunirudisha sasa
Calm Down

No comments:

Post a Comment