Saturday, December 24, 2016

haturudi nyuma lyrics by Juliana ft Kidum

Mpenzi, Mpenzi

Mpenzi wewe (wewe)
Mpenzi wewe Mpenzi wewe
Mpenzi wewe Mpenzi wewe (eeeeh)
Verse 1
nieleze vipi mimi ntaweza kuishi bila wewe
ukiniacha ukienda zako, penzi wewe
kama ni ukweli, yale nasikia kwa majirani
ya kwamba utakuja kwenda zako
uliniahidi, tutakuwa tukijadiliana
na maswali yangeleta utata
kwa nini chinichini
unanificha yanayokusinya
lakini unayosema, ni majirani
kwa nini kando kando
unanificha yanayokuudhi
lakini unayateta kwa marafiki

ukiniacha mi ntalia
ukienda zako ntabaki naumia
kama ungelijua
uoga ni lao, kukupoteza
ndio nasema, baby

Chorus
nakuomba please ubaki nami
nasema penzi
nakuomba ubaki, tujaribu tena, tunayo nafasi
ya kuanza tena
tunayo nafasi
ya kujikosoa, haturudi nyuma kamwe
haturudi nyuma kamwe

Juliana wee

Verse 2
watu wanasema kama karibuni wee unaoa tena
ya kwamba nianze kujipanga
si ukweli, nimekataa
ni tahadhari kubwa kwangu, na unanitisha
sijui nimekosea wapi
uliniahidi
kama kila jambo lote la nyumbani
ni muhimu kuliweka wazi
Ni kuki shenge
Uguma buri gihe umbabaza
Kandi uzi ko ngukunda
Ni kuki rukundo
Uguma untera umujinya
Ukica amatwi ngukunda

ukiniacha mi ntalia
ukienda zako ntabaki naumia
kama ungelijua
uoga ni lao, kukupoteza
ndio nasema, baby

Chorus

nakuomba please ubaki nami
nasema penzi
nakuomba ubaki, tujaribu tena, tunayo nafasi
ya kuanza tena
tunayo nafasi
ya kujikosoa, haturudi nyuma kamwe
haturudi nyuma kamwe

No comments:

Post a Comment