Monday, October 11, 2021

YUDA - Nandy lyrics

 YUDA - Nandy

Kimambo on the beat

Nimemnyosha wangu yuda

vyake vitamu najipakulia

Kungwi nimefundwa, wake ma ex ndo wanaumia

Walisema limevunda sasa jikoni ndo linanukia

Ye ndo wangu kiti tena hachoki nikimkalia

Tena sikuihizi nanenepa nanawili

Yamenoga mapenzi na yameshamili

Kanipa vinono na vikubwa vitamu sio shubiri

Nyumban kumenoga unipoza mwili

Ananileta chumbani unikoleza wangu honey

Tunacheza kibaba mama.. kibaba mama

Wakienda vitani sisi tuko nyumbani

Aniteach inama inama.. inama inama

Ziwaume roho zao(kumtuliza)

Na ziwaume roho zao (najua kutunza)

Na ziwaume roho zao(kashindikana)

Na ziwaume roho zao

Kanipa sikio ananisikiliza

Malumbano ndani hana

Nimepitisha fagio na hawezi kuniliza

Mashindano ndani hana

Nimefundishwa na mama kumlea bwana

Akitaka nyama nampanaga na tena

Ananileta chumbani

Unikoleza wangu honey

Tunacheza kibaba mama.. kibaba mama

Wakienda vitani sisi tuko nyumbani

Aniteach inama inama.. inama inama

Na ziwaume roho zao(kumtuliza)

Na ziwaume roho zao (najua kumtuza)

Na ziwaune roho zao

Na ziwaume roho zao


No comments:

Post a Comment