Tuesday, April 17, 2018

Dully Sykes - Baby Candy

Baby usilie
Mi najua wazo lako
Ni kuwa na mimi leo mpaka kufa (baby Candy usilie)
Nenda shule kwanza
Halafu mambo ya love ndo baadae yatafuata
Usione nadharau
Hata mimi nakungoja baby Candy
Wala sijakusahau
Bado nakupenda usione sikupendi (baby usilie)
Umetoroka kwenu
Umenifuata home
Usiniponze Candy
Rudi kwenu Dom
Unataka tu-spend jigi, hug na rom
U-study mapenzi yatazidi ka ya dili ya niko
Kwa mwingine siendi
We ni zaidi ya utamu
Na ngoja ufike age
Mpaka moya msimamu
Itakuwa afadhali, rahisi kuja kwangu kwa room
Pia uache tabia zako za kutaka kunywa sumu
Nayafuta machozi
Acha kulia Candy
Nitakupa mapenzi
Utapokuwa na age
Takua upate umri wa ku-spend na mi
Usije ukanifungisha nikashangaza jamii
Baby usilie
Mi najua wazo lako
Ni kuwa na mimi leo mpaka kufa (baby Candy usilie)
Nenda shule kwanza
Halafu mambo ya love ndo baadae yatafuata
Usione nadharau
Hata mimi nakungoja baby Candy
Wala sijakusahau
Bado nakupenda usione sikupendi (baby usilie)
Sio kwamba sikupendi
We bado mdogo sana
Sikia baby Candy
Mi nakupenda sana
Nangoja ukue kwanza
Twaweza kuoana
Nataka niwe wa kwanza
Kikombe kukivunja
Wacha kulia sana
Unanisononesha
Mi nakusihi sana
Pia nakukumbusha
Rudi shuleni soma
Kwani bado mapema
Usije pata homa
Kwa kuniwaza mama
Hata rafiki zangu
Watanitenga pia
Na itakuwa kashfa kwangu
Hata kwako pia dear
Nadhani umenisikia
Yote nilokwambia
Wacha kulia lia
Wacha kulia lia
Baby usilie
Mi najua wazo lako
Ni kuwa na mimi leo mpaka kufa (baby Candy usilie)
Nenda shule kwanza
Halafu mambo ya love ndo baadae yatafuata
Usione nadharau
Hata mimi nakungoja baby Candy
Wala sijakusahau
Bado nakupenda usione sikupendi (baby usilie)
Baby Candy
Si kwamba sikupendi
Nangoja ukue, umalize shule
Tuta-spend, tuta-spend
Baby usilie
Mi najua wazo lako
Ni kuwa na mimi leo mpaka kufa (baby Candy usilie)
Nenda shule kwanza
Halafu mambo ya love ndo baadae yatafuata
Usione nadharau
Hata mimi nakungoja baby Candy
Wala sijakusahau
Bado nakupenda usione sikupendi (baby usilie)

No comments:

Post a Comment