Tuesday, April 17, 2018

Hafsa ft Banana Zorro Pressure

Mpenzi wangu mimi kweli nakupenda
Unajua ndo maana wanitesa
Sio siri honey wanipa pressure
Pressure ah pressure
Pressure pressure pressure ya nini
Nakutesa tesa na nini
Pressure pressure pressure ya nini
Mbona mpenzi huniamini
Kila tunapotoka eh mi narudi na ndonya
Napigwa eti nawachukulia
Khadija ndio nani mbona anasumbua
Usiku hatulali simu kila mara
Sababu maneno maneno
Maneno yako mami
Sababu mdomo mdomo eh
Mdomo wako mami
Nisiongee na watu eh
Mbona wasichana pekee
Labda ni madada zangu eh
Mbona mabusu tele
Mambo ya kizungu
Maumaya sipumui akija
Hata huduma zinasitishwa
Niweke wazi
Mi naona mwenzangu huogopi maradhi
Mama mama hao wengine wadhamini eh
Mpenzi wangu mimi kweli nakupenda
Unajua ndo maana wanitesa
Sio siri honey wanipa pressure
Pressure ah pressure
Pressure pressure
Pressure ya nini
Nakutesa tesa na nini
Pressure pressure
Pressure ya nini
Mbona mpenzi huniamini
Vipi kuhusu Anitha
Yule binti wa Morocco oh
Acha yule Rose
Mwenye mtoto wako
Kitanda hakizai harumu
Ile kweli damu yangu (nisamehe)
Kuhusu huyo Anitha
Mh
Anitha mbona simkumbuki
Mbona kigugumizi
Sababu waniona mwizi
Mbona kigugumizi
Mapenzi yamekwisha siku hizi
Mpenzi wangu mimi kweli nakupenda
Unajua ndo maana wanitesa
Sio siri honey wanipa pressure
Pressure ah pressure
Pressure pressure
Pressure ya nini
Nakutesa tesa na nini
Pressure pressure
Pressure ya nini
Mbona mpenzi huniamini
Nakupenda nakuheshimu lakini huna aibu wewe
Nakupenda nakuamini lakini sina imani tena nawe eh
Kama zamani na sasa kuna tofauti nisamehe
Kama zamani na sasa kuna tofauti tumalize
Tofauti zetu eh
Mimi na wewe eh
Tofauti zetu eh
Mpenzi wangu mimi kweli nakupenda
Unajua ndo maana wanitesa
Sio siri honey wanipa pressure
Pressure ah pressure
Pressure pressure
Pressure ya nini
Nakutesa tesa na nini
Pressure pressure
Pressure ya nini
Mbona mpenzi huniamini
Allan Mapigo Said Komorien
Banana ananitesa eh
Hey

No comments:

Post a Comment