Thursday, May 26, 2016

mb dogg latifah ft madee

[Verse 1 – MB Dogg]
Maneno mengi wanasema juu yako
Eti kuna kitu honey umenifanyia
Mganga sio sababu mimi kuja kwako
Ila mi mwenyewe moyoni nimekuchagua
Nakutafuta, nione sura yako
Nakutamani, niwe karibu yako
Kama ni gari ndio mapenzi yawe tight
MB Dogg man, mi nishalinunua
Kama salamu honey we ukini-miss
Ni-beep baby, mi nitakupigia
Nakutafuta, nione sura yako
Nakutamani, niwe karibu yako
Aaya aa baby
Yei yei yei, oh baby
[Chorus – MB Dogg]
Sema basi unachotaka mamii
Sema basi unachotaka honey
Honey achana na mawazo kishetani
Ukiniacha mi nitabaki na nani?
Latifah we ndo tu mamii
Lati we ndo honey
Latifah we ndo tu mamii
Latifah, haya!
[Bridge – MB Dogg]
Yei yei yee, yee baby
Aah aa, oo oh
Yei yei yee, yee baby
Aah aa, oo oh
[Verse 2 – Madee]
Vipo vya ku-share Lati sio mapenzi
We ni wangu imepangwa toka enzi
Sema basi kitu gani unachotaka
We usijali mrume sina matata
Nachotaka we milele uwe wangu
Uje nikuite mama wa watoto wangu
Ukiniacha utaumiza moyo wangu
Kwani n’shaachana na habari za machangu
Ndio, sharo wacha waone donge (waone donge)
Kama mikwanja tutachota club tubonge
Kilichobaki sir God tumuombe
Tuwapo wawili nyoyo zetu tuzikonge
Nachotaka we milele uwe wangu
Uje nikuite mama wa watoto wangu
Ukiniacha utaumiza moyo wangu
Kwani n’shaachana na habari za machangu
[Verse 3 – MB Dogg]
Penzi la dhati Latifah mi nitaona ah
Haa aa haa a
Penzi la uzushi Lati mi nitajua ah
Haa aa haa a
Kumbuka Doggy man, Dogg nakupenda
Ukiniacha Doggy man, Dogg nitakonda
Njoo uni-kiss lady, njoo unipe denda ahaa
Madee ye anajua
Kama penzi langu kwako moyoni kidonda
Haa aa haa a
Kama penzi langu kwako nguvu za kiganga
Haa aa haa a
Ukiniacha Doggy man, Dogg nitakonda
Njoo uni-kiss lady, njoo unipe denda ahaa
Dogg naumia
[Bridge – MB Dogg]
Yei yei yee, yee baby
Aah aa, oo oh
Yei yei yee, yee baby
Aah aa, oo oh
[Chorus – MB Dogg]
Sema basi unachotaka mamii
Sema basi unachotaka honey
Honey achana na mawazo kishetani
Ukiniacha mi nitabaki na nani?
Latifah we ndo tu mamii
Lati we ndo honey
Latifah we ndo tu mamii
Latifah, haya!

No comments:

Post a Comment